🔴LIVE | SEMINA YA KUTENGWA NA LAANA | KANISA LA VUKA YORDANI | SIKU YA 1 | 15 MAY 2024
Vložit
- čas přidán 10. 09. 2024
- IBADA HII INAKUJIA MOJA KWA MOJA KUTOKA KANISA LA VUKA YORDANI KISONGO WAYA - ARUSHA TANZANIA. IKIONGOZWA NA @Bishop Elibariki Sumbe MWANGALIZI NA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YA GRACE EVANGELICAL CHURCH TANZANIA.
Mawasiliano / Whatsapp
+255 745 489440 | +255 782 550 710
Email:vuka.yordani@gmail.com
Tufuatilie Katika Social Media Zetu Kwa Links Zifuatazo :
/ bishopelibarikis. .
/ bishopelibariks. .
tiktok.com/Bis...
/ bishopsumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #VukaYordaniMedia #GECT #Tanzania
#KisongoWaya #Arusha #Tanzania
Ahsante Mungu kupitia mtumishi wako Bishop Sumbe,Unatuonya,Unatufundisha,Unatubariki na Kutulinda....Malaika hawajanysmaza kwetu,,,,ndio maana bado wazima....
Mungu wangu ndio tunaanza leo ,laana inayo tutesa Mimi na family yangu mungu nakusihi 😢turehemu mungu akuna alie na ndoa ,yesu tupiganie kupitia semina hii iwe siku yetu🙏
Asante eeeeeh Mungu uliyeleta neno langu Kwa huu wakati ninaota vitu vizito juu yangu na juu ya wanangu eeewe Yesu nitakase na kunitenga na hizi laana za magojwa yaliyotesa Kwa muda mrefu mno,na wanangu Yesu uwatoa katikati ya vifungo vya wawindaji, wachawi na waganga Yesu kristo washindwe katika jina la Yesu kristo aliyehai
Asante MUNGU kutana nasi katika familia yetu maneno yako yamekuja sawasawa na maisha yetu tuponya na kaaba za vizazi pia laana za kichawi juu dada angus mwamini, na mdogoangu joshua wamelogwa na laana za kichawi tuponye eee MUNGU wa mbinguni🙏🙏
Mungu asante kwa neema yako, najiunganisha na mazabahu aya, mimi na familia yangu yote utuondoleye laana zote kupitia jina la Yesu amina
Najiunganisha na semina Kwa siku izi nne mungu kutana na haja za moyo Wangu 🙏🙏 Asante bwana mungu wa bwana wetu
Mungu nipoapa usinipite Mwanao unapowaponya wengine uniponye nami Bwana nikwajina la yesu Christo 🙏🙏🙏
MUNGU asante kutumia mtumishi wako kunifundisha nisandia mungu kupitia mtumishi wako nisandia 🙏🏻🙏🏻
Nafuatilia semina Mungu unitoe ktk laana kwa Familia ya watoto wangu
Najiunganisha na madhabau ya vuka yordan,namuunganisha mama yangu na uzao wake wote na madhabau nakataa roho zote za laana na mikosi na magonjwa ya kurithi ya sukari na presha nayakataa kwa jina la yesu
Aminaa Aminaa Aminaaa Aminaaa Aminaaa Aminaa
Asante Yesu Asante Yesu Asante Yesu Asante Asante Asante Yesu.
Najitenga na Laana za
Ukooo
Kifamilia
Kimaneno kwa jina la Yesu kristo wa nazarethi
Namshukuru Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa kibali nikawepo kwenye ibada hii
Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa Aminaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema sana ee Mungu nisaidie nimekuona leo Mtumishi wa Mungu nimejiujgamishanna semina hii.Nimeombewa na Mtu mmoja mahali siku nyingi akafunga fahamu zetu familia yote ,,alitungia utumishi napenda na familia kumtumikia Mungu nifunguwe.
Asante Mungu Baba kupenda batu bako nakushukuru sana bariki Mutumishi wako
Hasant mutumishi wa Mungu kwama fundisho , naku wombea ufungulivu katika yale tusiojuwa kwamaisha yetu nama famillia zetu. Tunaimani kuwa bwana ametenda maku na miwujiza. Mungu unaye mtumikia akupe humri murefu na mwisho mwema. Japo kuwa htuna wazazi wakimwili hakika Mungu katupa ww uwe msahada wetu baba yetu wakutu lea nakutuhimiza safari Mungu aku bariki . Najivunia Mungu anaye kutumikisha kamwe hto taaca gisi tulivyo.
Mungu nipo hapa nitetee na unitenge na laana zilizoniandana nisaidie ee mungu
Mungu zaidi kuku tumia na tunaomba ututembelee hata mkoa wa njombe
Amen niko MBELE ZAKO BWANA YESU PAMOJA NA NYUMBA YANGU EEE MUNGU ULIYE HAI UNIFUNGUE NA KUNITENGANISHA NA LAANA ZOTE KATIKA JINA LA YESU KRISTO
Najitenga na laana za ukoo na jitenga na vifungo vya maadui zetu kwa jina la yesu christo alie hai Aminaaaa Aminaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hakika Mwenyezi Mungu atukuzwe kwa kutukirimiya NENO kubwa kama hiyo.
Naomba mungu aniokoe na raana za vizazi inatutesa sana eee mwenyezi mungu tunaomba utuokoee
Naomba Mungu anivushe maana laana ya vizazi inanitesa sana
Ee.mungu.tufunguwe.nalala.watoto.wetunyesu.kwajina.lako.amina
Ee mungu naji uganicha na mazabahu ya mutumichiyako elibariki unikumbuke namimi na ndowa yangu na ku omba baba mungu unikumbuke na mimi unapo hudumia wengine usinipite
by wille namanga nakubali mafundisho ya nabii sumbee jaman mungu amtieee nguvu
Babaku nikumbuke Mimi na family Yaku Mungu atumbee tufunguliwe Kwa laana za ukoo
Kila laana ya ukoo kifamilia ninaikataa kwa Jina la Yesu....Mungu tunaomba utuepushe na laana zote mimi na family yote amen 🙏
Amen baba nakufatilia nikiwa Kenya
Natamani siku moja Otuoma aje kwenye hii mathabau atapona nipo Kenya lakin uyu ni pastor wangu🙏🙏
Asante mungu kwakuwa wew nimwema naomba unihurumie nami usinipite kwahii ibada
Baba yangu asante neno hili ni kwangu n'a wangu tenda kwetu Léo Yesu kristu
Baba nashukuru kwa kulishika neno, namkabidhi mwanangu na mume wangu baba Naomba ukatutenganishe na laana kila aina
AMina
Ameeeeeeeeeeeeeen Asantee Yesu kufuta laanaa kwamaisha yangu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen amen, Napokeya kwa jina la yesu kristo 🔥🔥🔥🔥♥️
Asante asante asante yesu wangu unaweza yote🇨🇩
najiuganicha heee mungu unikubuke katika semina hii🙌🙌
Mungu tusaidie na laana za kichawi
Mungu wangu najiunga namazabau ya vuka yordani
Mungu kuniondoleya Laana ya kisasi n'a ya Ukoo.
Mungu ni mwema,sana🇨🇩
Nafunguliwa na uzao wa tumbo langu Kwa jina la Yesu
Wema wa Bwana Yesu ni Mkuu sana 🙏
Asante MUNGU mimi na familia yetu yote tunaomba ututenge na kila aina zote za laana kupitia madhabau yako amina🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu na Mungu atutoe katika laana hizo pamoja na vizazi vyetu.
Nakataa laana zote katika ukoo na familia yangu. Ee Mungu naomba unilinde na kuniepusha na laana hizo zote. Nahitaji kuwa mpya tena Baba. Amen🙏
Aminaa najiunganisha na ibada hii aminaa 🙏🙏🙏
Mungu tuondolee laana za ukoo🙏
Ameeeeeeen 👏🏼
Ututenge Na laana eeeh Mungu 🙇🙇
Ameeni,,,,Ameeni,,,Ameeni.....
Kila laana za wachawi na mganga shindwe ktk jina LA yesu
Ameen🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Amen na shukuru kuondolewa Laana
Yesu mwema nifungue mimi najamaa yangu
Amen and amen in the might name of Jesus christ
Asante yesu 🙏🙏
Mungu tusaidie
Asante MUNGU🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu nisaidiye
Ameeeeeeeeeeen🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ee mungu wangu nisaidiye kupitiya hii semina ya laana na mimi nakuomba pamoja na familiya yangu ufungulifu
Bwana wangu hayo usemayo hapo kwetu baba usitupite Léo tuguse tufungue Kristu
Ameeeeeeeen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Ameeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ameen🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ibada ina nguvu ya Mungu kubwa sana🙏🙏🙏ubarikiwe bishop Elibariki sumbe na atukuzwe Mungu aliekuandaa milele na milele
Ee mungu tuokoe na laana maana mtumishi wako amefikisha ujumbe
Amen and amen baba
Amen and amen 🙏🙏🙏🙋♀️
that's is true man of God
Amen and amen
Mungu akubariki Mutumishi.wangu najiunganisha na semina.hiyi.inifunguwe.mimi nafamilia yangu kwajina.la Yesu.cristo
Usinipiete mungu
Amen 🙏 and may your
Amina
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho mazuri. niko Dodoma nakupata vizuri sana
Mungu fungua family ya tu walaana
Ameen
Akika mungu mwenye nguvu bariki mtumishi wako
Ameeeeeen Ameeeeeeeeeen
Amen 🙏🙏
Amen kesho baba nita fanya kifungo 12
Ameeeeen 🙏🙏🙏
Fungua milango Mungu wangu na mm nije nikutumikiye
Ameeeeen
Amen nitenge na lana baba
Amen mtumishi wa Mungu
Mmi ni Enock Legrand ❤ ❤🙏
Baba yangu tuko hapa usitupite nasi Léo.ingawa tuko hapa buja
Nina kataa kila laana iliyotamkiwa katika familia yet ,nakataa roho ya ugonjwa wa kisukari na presha ya kurithi juu ya mama yangu na uzao wake wote.nasafisha kila chembechembe zote za sukar ndan ya mwili wa mama yangu ,popote ilipowekwa nafsi ya mama yangu naikomboa kwa jina la yesu
Huyu adui anamtumia kwa Siri bila yeye kutambua. Laana Mungu ndio anayoachilia sio Shetani. Pia mwana wa Mungu halogeki
Naminukumbuke baba unitenge na laana
Laana zang binafsi, ama kurithi nazikataa ktk jina la YESU KRISTU
Endelea kukutana nasi, Familia yangu uyifanye yako tukutumikie kabisa
Asante MUNGU kutana nasi katika familia yetu maneno yako yamekuja sawasawa na maisha yetu tuponya na kaaba za vizazi pia laana za kichawi juu dada angus mwamini, na mdogoangu joshua wamelogwa na laana za kichawi tuponye eee MUNGU wa mbinguni🙏🙏
Najiunganisha na semina Kwa siku izi nne mungu kutana na haja za moyo Wangu 🙏🙏 Asante bwana mungu wa bwana wetu
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Asante MUNGU🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameeen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
MUNGU asante kutumia mtumishi wako kunifundisha nisandia mungu kupitia mtumishi wako nisandia 🙏🏻🙏🏻
Ameeeen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻