MAMBO YA SIRI - 07-02-2021 (FULL VIDEO HD)
Vložit
- čas přidán 17. 04. 2021
- Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania, Tarehe 07- 02 - 2021 Na kuongozwa na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.
Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #NgaramtoniArusha
Mtumishi katika.mihaka.yako.mungu.hakuongezee.miaka.kumi.tena.hili.huwendelee.kufunguwa.watu🇹🇿🎉🎤🥁🎞️📞📯📢📣
Amina Baba BWANA anitendee sawasawa na neno lake ubarikiwe sana na BWANA. Amina.
Napokea uponyaji kwa niaba ya mwanangu Bwana Yesu naomba ukamponye uvimbe wake Amen
Nimebarikiwa sana nikiwa humu ufaranza .Ni usiku lakini niko na naifuatilia kila siku.....Mungu atulinde wakristo na wapenda mungu kila kukicha
Raphael
Amen.
Napokea uponyaji wangu, katika jina la Yesu Kristo.
Pia naomba maombi nikapate kazi sina kazi, Baba, Mungu anifungue mimi na maisha yangu mimi ni lango kwetu Mchngaji, maishayetu yapo yapo niyashida na mateso kuanzia Uchumi, Elimu na mahitaji yote nimateso Baba. Naomba maombi yako nifunguliwe. Naamin Mungu atanitendea. Amen
Amina Mchungaji🎷🎺📯📣🎙️. Mungu abariki VUKA YORDANI Tusimame na Injili ya Kweli mpaka Yesu arudi.🇰🇪
Amen baba naomba maombi kwajili ya mtoto wangu WA kwanza macho inamusumbuwa
Nakushukuru Mungu kunifunza mambo yako ya siri nifungue Mungu niguse Mungu
Amen nimebarikiwa na neno LA mtumishi barikiwa sana
Najiunganisha Mungu na mm anifunuliye siri za rohoni
Mafundisho yako Baba hunibariki sana. Hui ni ufunuo wa ndani sana. Uzidi kuinuliwa na Mungu
Huwa nawaina babu yangu mzaa mama na mzaa,baba na nimeokoka najitaidi lakini haliyangu sio nzuri niombee baba
Amena pasta god bless you 🙏 so much 💖 ❤ 💗 💕 💓
Ameen napokea Kwa jina la YESU
Barikiwe mtumishi wake MUNGU baba
Amen kwakunifunza kumutafuta Mungu Amen
Amina baba namuomba mungu anifungu mim na familia yangu
Amina sanaa baba 🙏🙏🙏🙏
Amina tukopamoja mtumishi wa mungu
Adlight owen hallelujah hallelujah amina asante sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa neno zuri sana tuombe hata nanzi
Amen, hallelujah. Glory to almighty God 🙏
Ubarikiwe mtumishi wayesu mungu akuongezee miaka yakumtumikia.
@@samsimwanza4934meeting
Scola Mwajombe .Ubarikiwe baba
Ubarikiwe baba nikomwanza masomoyako unayo fundisha huwa natamani ningekufaham mapema kabla sijaja kuishi mwanza
Amina bab
Ameen 🙏🙏
Amina mtumishi wa mungu
Thanks father
Ameen
Ubalikiwe baba na pokea uponyaji kwa jina la yesu wa na zaleti
Ameen kubwaaa
Asante YESU
Amina mtumishi
Jesus for us
Amina
Amen Amen Amen!!!!!!
Amen ubalikiwe sana Mtumishi wa Mungu
Ameni asante kwa kufunguliwa na mimi pia mungu wa mbinguni Asante
Aeeen🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ameen✍🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ameee👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Ameeen🙏🏻
Mungu ni bariki na mimi kupitiya ibanda iyi amenaaaaa
Amina ,napokea kwa imani🙏
Ameen🙏🇧🇮
Mtumishi upo mkoa gani
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Asante
Amen 🙏
🙏
aleluya
Mungu ni mwaminifu
Amen
Ameen🔥🔥
Amina mtumishi wa Mungu
Amen baba tukopamoja🙏🙏
Amen agifunue
Amen 🙏🙏🙏 halleluyah
Apo akuna maji wala mafuta apo kuzimu inatikisika vifungo vinavunjika yesu ndie kweli na uzima
Ila Usiamini tu kuona hakuna Maji wakati mwingine kuna nguvu nyingine,kikubwa damu ya Yesu tu itamkwe
Amen papa
Nafatlia mafundisho haya online mda huu....napokea sawa sawa na neno lako Mungu....mimi Linda Jackson
Amina
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen men
Baba nitoe gerezani baba nateseka sijawai kuona maisha ya furahaa kabisa tangu utoto nimeolewa nishida sio kwa wakwe kila mahali ninapoishi ninakataliwa
Ame baba tupo pamoja
Enderea kufatiria tu utafunguliwa kikubwa uwe na imani na kujitakasa utauona mkono Wa mungu
@@uwezodevedi7827 amen mungu ni Waajabu kweli
🙏🙏🙏🙏
Nipend
🙏🙏🙏🙏🙏
Mambo ya siri ni ya mungu milele😂
Ameeeen 🙏
Amina
Ameeen
Ameeeeeeen
AMEN
amen
Kwa maana niko mbali na nimeona huu ujumbe,naomba kwa maana nimeelewa,basi nisaidie kujifungua kwenye kifungo cha mababu
Nikwali
Ameeen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameeen 🙏
Ameen
Amina
nimekuelewa sana mtushi wa mungu asante sana mungu awabariki
Amen
Ameeen
Ameen
Ameen
Ameen
Amina
Amina
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen