Sio upinzani wote ila kuna wengi watahama sasa hivi kwa kununuliwa fedha zinazokopwa sio kwa maendeleo ya nchi ni kwa kuua upinzani kwa kuiweka CCM madarakani milele wanafanya hivyo kuvunja wananchi mioyo yao wasiwaamini upinzani. Tunene na Mungu
Kwenye siasa za bongo, hakuna rafiki wala adui wa kudumu, kikubwa tusiseme tukamaliza maneno, kuna kesho na kesho kutwa 😀. Hongera sana👏👏👏 KAZI IENDELEE
Mimi naona chadema wajitafakari sana sana wakumbuke kipindi lowasa kama kweli chadem wanataka kuongoza dola uongozi wa juu ni tatizo hata msigwa pia ana matatizo
HUO N MWANZO HAPO ATAFUATA MNYIKA AFU LISU AFU TUNAMALIZA NA MBOWE 😂😂😂 SAS WE KAA KUNENGENEKA TU ET UNASUBILI MWANASIASA ABADIL MAISHA YAKO YAN YAO YAMEWALEMEA WAHANGAIKE NAYAKWAKO 😂😂 SOON TU UTASKIA HALIMA MDEE KALA KIJAN😂😂 CCM KAMA YANGA MPAKA MSEME❤❤❤
Haki ya mungu....daaah...kweli jamni...hivi hii ni nchi gani jamani...😢😢😢jamani tutafute hela tuondoke tukaish mataifa mengine...hapa lazima tufe kwa utaratibu huu
Wanasiasa ndo wameleta machafuko ya kenya ,halafu wanasingiziwa vijana kumbe kuna wajinga wachache tu wanatamani madaraka ili wakale wawo na familiya zawo halafu watoto wawenzawo wameumiya wameuwawa, ila siasa hapana.
Watahama wengi maana fedha zinazokopwa kazi sio kutuletea maendeleo bali ni kuuvunja nguvu upinzani. Mungu tetea hili Taifa fedha imekuwa mtaji wa kununua utu wa watu
SAS HAPO UNAKUTA LI MTU LIMEWEKEZA IMAN YAKE YOTE KWA MWANA SIASA SHENZ KABISA YAN WE KAMA UMEBWETEKA UNASUBILIA MWANASIASA AJE ABADIL MAISHA YAKO POLE SANA😂😂😂😂
Clolote na c chochote kwaustawi wataifa mabingwa wa akili ya siaasa duniani ni china wligundua shidaya wnanchiwachina ni huduma bola za kijamii Kama maji umeme balabAla bola mashule toshelezi elimbola ajila viwanda nasio wnasiasa wa aflika tz ikiwemo niujinga mtupu saiasazake
Njaa zitawawu, matusi alikuwa anatukana ccm na kashifa leo tena kaenda huko, ndo mana huwaga swaamini wanasiasa wanawo hamasisha maandamano kwajili ya njaa zawo halafu kwa mwamvuli wa kuteteya haki za raiya kumbe njaa za madaraka zinawasumbuwa.
Kabisa fedha zinakopwa badala zitumike kwa maendeleo ya nchi CCM inazitumia kuua upinzani na kunyongonyesha mioyo yetu kukataa wapinzani kuona hawana misimamo ili watawale milele .Alafu fedha hizo tunakuja kulipishwa wananchi kwenye kodi huku CCM ikizitumia kama zao binafsi .Nchi hii tuombe sana hawa watu ni waovu mbo Mungu yupo
Wafa maji kawaida yao Msigwa ni pengo kwa chadema mtasema sana lakini huu ndo ukweli sisi kwetu tunamkaribisha kijana wetu home kwa moyo moja CCM oyeee ❤️❤️❤️❤️
1.Njaa
2.Njaa
3.Njaa
4.😂😂😂😂
Hapa tu upinzani mnatuchoshaga..anyway😢
Sio upinzani wote ila kuna wengi watahama sasa hivi kwa kununuliwa fedha zinazokopwa sio kwa maendeleo ya nchi ni kwa kuua upinzani kwa kuiweka CCM madarakani milele wanafanya hivyo kuvunja wananchi mioyo yao wasiwaamini upinzani. Tunene na Mungu
SIASA HAINA RAFIKI WALA ADUI NEXT LISU😢😢😢😢😢
SITAKAAA NIAMINI VYAMA VYA UPINZANI VYA TANZANIA😢
Hongera kwa kurejeya tz❤❤❤❤
Kwenye siasa za bongo, hakuna rafiki wala adui wa kudumu, kikubwa tusiseme tukamaliza maneno, kuna kesho na kesho kutwa 😀. Hongera sana👏👏👏
KAZI IENDELEE
UNASHANGAA NINI CHAMA KUHAMIA YANGA,WAKATI MSIGWA AMEHAMIA C.C.M
🤣🤣🤣❤️❤️❤️
😂😂😂 ni kawaida amna shida
*Mbowe chama anakibomoa amegeuza chadema kuwa chama cha ukoo wa kichaga sasa wanavuna matunda yao*
Msigwa anasumbuliwa na madaraka nawala issue siyo mbowe
@@nelsonshillah6618 mboye ndio tatizo
Lewis Nancy Hernandez Jose Perez Kimberly
Hongera Mr msigwa mungu akutangulie siasa siyo uadui afadhari umetoka kwenye genge la wahuni
Khasante Ushirika wa wachawi haudumu na wao wamchukue Mpina
Ndio maana nampenda RAIS SAMIA.CCM NG'ARAAAA
Safi sana kaka huku ndiko kwenye Raha rudi nyumbani
Hukuridhika na matokeo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa nyanda za juu kusini
Kama ume.skia mama samia ndio kaanzisha hiyo nyimbo ya mlete msigwa mlete msigwa tujuane
Chadema kanda ya Nyasa wameona mbali kutompakura maana ameonekana alikua mguu nje mguu mdani nenda tuachie chama chetu chadema hoyeeèeeeè
Khasira hukaa kwenye kifua Cha mpumbavu na bado
Mimi naona chadema wajitafakari sana sana wakumbuke kipindi lowasa kama kweli chadem wanataka kuongoza dola uongozi wa juu ni tatizo hata msigwa pia ana matatizo
Mchumia tumbo atatukuta anafiki ri Kanda ya nyasa hawana hakiri kama yeye na nyinyi
Mchumia tumbo atatukuta anafiki ri Kanda ya nyasa hawana hakiri kama yeye na nyinyi
Msigwa kahamia sisiemu .Bungen Mpina analalamika.Siasa bhana.
Ametoka kwenye chama cha ukoo wa kichaga😂😂😂😂😂😂
Hana impact. Siku zote hanaga cha maana zaidi chama ndio kilikuwa kinamvumilia
Huyu nae amepoteza maboya CCM haifai inatufanya tuwe maskini na elimu mbovu
😂😂😂 eti chama cha Demokrasia na maendeleo au chama cha njaa
Dah! Inaumiza sana..
HUO N MWANZO HAPO ATAFUATA MNYIKA AFU LISU AFU TUNAMALIZA NA MBOWE 😂😂😂 SAS WE KAA KUNENGENEKA TU ET UNASUBILI MWANASIASA ABADIL MAISHA YAKO YAN YAO YAMEWALEMEA WAHANGAIKE NAYAKWAKO 😂😂 SOON TU UTASKIA HALIMA MDEE KALA KIJAN😂😂 CCM KAMA YANGA MPAKA MSEME❤❤❤
hongera sana msigwa
Kawaida sana kuona hivi kipindi uchaguzi unapokaribia
Daaah haya maisha 😂😂😂 sijui niamini kipi, anyways ngoja niamini dini tu
Sio njaa CCM ni uwanja wa nyumbani amerud nyumbani
Nchi hii haina upinzani wala chama tawala. Kinachotakiwa ni kuwatumikia wananchi tu.
Karibu ndg. Msigwa ndani ya ccm
Duu kweli akili za kuambiwa changanya na zako
👍👍👍👍👍👍👍
Haki ya mungu....daaah...kweli jamni...hivi hii ni nchi gani jamani...😢😢😢jamani tutafute hela tuondoke tukaish mataifa mengine...hapa lazima tufe kwa utaratibu huu
hata aamiye wapi.sisi tunajua kila kitu. tuliona haya toka siku nyingi.hajatutengesha hata kidogo aende tuu.cc ndio.chadema
Nimeielewa sana tu
HII NDIYO INAITWA SIASA SI HASWA
Aende zake tu
Daaaaaah kafata pesa😅😅😅 maokotooo
Urahiani kugumu wazee, alafu mnaambiwa vijana mjiajiri.
Njaa mbaya sana!
Daah
Siasa inaniancha njia panda
Eti mchngaji halafu unawasalit wenzao hakuna anae weza kutumikia mabwana wawil
Njaa
Mbaya sana ati ni Mchungaji ndio maana alikuwa anawakandamiza Wamaasai huyo mtu mbaya sana, Mungu atamuumbua
Ni mkakat msigwa alitaka mako aondolewe ili akarbishwe au
Usaliti upo😢...alooo matumbo haya yatatupeleka pabaya
Njaa mbaya sana 😅
Msigwa na katiba mpya
Chadema ni imara kuliko jana
Anaeimba hakufanya mazoezi yakuimba nyimbo za shuleni
Mtoto wa mama mudi kaludi
Hakuna tena wa kumuamini jamani..hakuna kabisa...tutaamini nini tena?
Siasa ni kazi kama zilivyo kazi zingine unaangalia kipi kinakulipa sokoni kwa mda huo😂
Kipindi cha Magufuli walihama
Niriwambia kwamba chadema hawa wa chini ndomna angaika rakini ukoo taifani chadema wanajuana na ccm ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Yudaaaaa
😂
Msigwa Msigwa Msigwa nakuita Tena msigwa zile Fedha alizosema lissu ni Ukweli ? Ok
SOMA RAMANI
Hongera sana msigwa karibu CCM chama chetu kizuri
Jamani njaaa zisitupanfebkwenye vichwa jamani
Njaaaaaaa mbaya
Endelea kusema njaa na kuendelea kupauka na umasikini wako na ndugu zako hiyo ndo siasa masikini wewe
Me nacheka tu napendaga kila kitu😂😂😂
daaaah
@😂😂😂😮😮😮😊haya kila la kheli na ukawe na mahubiri yenye mashiko
Wanasiasa ndo wameleta machafuko ya kenya ,halafu wanasingiziwa vijana kumbe kuna wajinga wachache tu wanatamani madaraka ili wakale wawo na familiya zawo halafu watoto wawenzawo wameumiya wameuwawa, ila siasa hapana.
Nina Imani na yanga
Siasa ni tamu sana jamani!
Watahama wengi maana fedha zinazokopwa kazi sio kutuletea maendeleo bali ni kuuvunja nguvu upinzani. Mungu tetea hili Taifa fedha imekuwa mtaji wa kununua utu wa watu
SAS HAPO UNAKUTA LI MTU LIMEWEKEZA IMAN YAKE YOTE KWA MWANA SIASA SHENZ KABISA YAN WE KAMA UMEBWETEKA UNASUBILIA MWANASIASA AJE ABADIL MAISHA YAKO POLE SANA😂😂😂😂
Tushalijua kitambo mbona? Nenda zako! YUDA MKUBWA!
Subiri Mbowe na Lissu wakihamia CCM ndio utajua kwamba Chadema ni genge la wahuni
Aahhii dios mio siasa za bongo vibaraka😅
Clolote na c chochote kwaustawi wataifa mabingwa wa akili ya siaasa duniani ni china wligundua shidaya wnanchiwachina ni huduma bola za kijamii Kama maji umeme balabAla bola mashule toshelezi elimbola ajila viwanda nasio wnasiasa wa aflika tz ikiwemo niujinga mtupu saiasazake
Lisu hamna bora mbowe yule kicheche
Posho hizi..😀😀
mbona kakipande kafupi?
Njaa zitawawu, matusi alikuwa anatukana ccm na kashifa leo tena kaenda huko, ndo mana huwaga swaamini wanasiasa wanawo hamasisha maandamano kwajili ya njaa zawo halafu kwa mwamvuli wa kuteteya haki za raiya kumbe njaa za madaraka zinawasumbuwa.
Kazi imeanza.
Mageuzi katika taifa hili yataletwa watu wasio wanasiasa
Wacha inyeshe tuone panapovuja
Tanzania wote ni wamoja
Ilikua siyo lahisi kushindana na sugu nenda2
Subiri muone wafuasi wake wanahama ndio mtaelewa mtu wa uhakika huyu
Hahahahaha siasa bwana wacha tuone
Tunae Mungu wetu yeye mwenye Haki kamwe Giza haliwezi kushinda nuru
Duuuh🥺
Mbowe ajitathimini
Jamani pesa za mikopo ya riba kubwa zinatumika kuvunja upinzani duuu
Na hapa ipo
Shenzi kabisa kuuza utu wako kwa fedha, ushindwe kwa jina na Yesu wewe
Ungetuuza ndo maana ukapigwa chini. Nenda Nenda ewe Yuda!
Nlijua tu zile fujo zake chadema zilikuw na maan na tulijua lazim aende ccm alikuw mamluki tulimjua tu
Mbona anaonekana kama anajishangaa
Lazima ashangae kula matapishi siyo mchezo
Hajiamini hata yuda huyu
Kuma nyingine iyo😅😅😅😅
😂😂😂😂
Kafuata uteuzi
Tundulisu alituambia kuwa pesa ya abduri kuwa haitaicha chadema achawaende watabaki wenye moyo
Kabisa fedha zinakopwa badala zitumike kwa maendeleo ya nchi CCM inazitumia kuua upinzani na kunyongonyesha mioyo yetu kukataa wapinzani kuona hawana misimamo ili watawale milele .Alafu fedha hizo tunakuja kulipishwa wananchi kwenye kodi huku CCM ikizitumia kama zao binafsi .Nchi hii tuombe sana hawa watu ni waovu mbo Mungu yupo
Wafa maji kawaida yao Msigwa ni pengo kwa chadema mtasema sana lakini huu ndo ukweli sisi kwetu tunamkaribisha kijana wetu home kwa moyo moja CCM oyeee ❤️❤️❤️❤️
Mbona magufuli aliamisha wengi pesa izo ni za nani alikuwa anatoa , mwache mtu awe na uhuru wa kuchagua aende chama cha wachaga au CCM
😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana kaka huku ndiko kwenye Raha rudi nyumbani