MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 115

  • @eliasgoseph1075
    @eliasgoseph1075 Před 2 měsíci +11

    1.Njaa
    2.Njaa
    3.Njaa
    4.😂😂😂😂
    Hapa tu upinzani mnatuchoshaga..anyway😢

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 měsíci +1

      Sio upinzani wote ila kuna wengi watahama sasa hivi kwa kununuliwa fedha zinazokopwa sio kwa maendeleo ya nchi ni kwa kuua upinzani kwa kuiweka CCM madarakani milele wanafanya hivyo kuvunja wananchi mioyo yao wasiwaamini upinzani. Tunene na Mungu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 2 měsíci +8

    SIASA HAINA RAFIKI WALA ADUI NEXT LISU😢😢😢😢😢

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 2 měsíci +5

    SITAKAAA NIAMINI VYAMA VYA UPINZANI VYA TANZANIA😢

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před 2 měsíci +5

    Hongera kwa kurejeya tz❤❤❤❤

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti Před 2 měsíci +2

    Kwenye siasa za bongo, hakuna rafiki wala adui wa kudumu, kikubwa tusiseme tukamaliza maneno, kuna kesho na kesho kutwa 😀. Hongera sana👏👏👏
    KAZI IENDELEE

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 2 měsíci +8

    UNASHANGAA NINI CHAMA KUHAMIA YANGA,WAKATI MSIGWA AMEHAMIA C.C.M

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 2 měsíci +6

    *Mbowe chama anakibomoa amegeuza chadema kuwa chama cha ukoo wa kichaga sasa wanavuna matunda yao*

  • @WildHilary
    @WildHilary Před 17 hodinami

    Lewis Nancy Hernandez Jose Perez Kimberly

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 Před 2 měsíci +2

    Hongera Mr msigwa mungu akutangulie siasa siyo uadui afadhari umetoka kwenye genge la wahuni

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 Před 2 měsíci +2

    Khasante Ushirika wa wachawi haudumu na wao wamchukue Mpina

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 Před 2 měsíci +1

    Ndio maana nampenda RAIS SAMIA.CCM NG'ARAAAA

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Safi sana kaka huku ndiko kwenye Raha rudi nyumbani

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Před 2 měsíci +2

    Hukuridhika na matokeo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa nyanda za juu kusini

  • @abdul-azeezmagram4973
    @abdul-azeezmagram4973 Před 2 měsíci +1

    Kama ume.skia mama samia ndio kaanzisha hiyo nyimbo ya mlete msigwa mlete msigwa tujuane

  • @Doekuu
    @Doekuu Před 2 měsíci +2

    Chadema kanda ya Nyasa wameona mbali kutompakura maana ameonekana alikua mguu nje mguu mdani nenda tuachie chama chetu chadema hoyeeèeeeè

    • @dottomatola5905
      @dottomatola5905 Před 2 měsíci

      Khasira hukaa kwenye kifua Cha mpumbavu na bado

    • @user-sm7gj4mn5n
      @user-sm7gj4mn5n Před 2 měsíci

      Mimi naona chadema wajitafakari sana sana wakumbuke kipindi lowasa kama kweli chadem wanataka kuongoza dola uongozi wa juu ni tatizo hata msigwa pia ana matatizo

    • @JosephKembe-ee6bd
      @JosephKembe-ee6bd Před 2 měsíci

      Mchumia tumbo atatukuta anafiki ri Kanda ya nyasa hawana hakiri kama yeye na nyinyi

    • @JosephKembe-ee6bd
      @JosephKembe-ee6bd Před 2 měsíci

      Mchumia tumbo atatukuta anafiki ri Kanda ya nyasa hawana hakiri kama yeye na nyinyi

  • @peterdoisso2414
    @peterdoisso2414 Před 2 měsíci +1

    Msigwa kahamia sisiemu .Bungen Mpina analalamika.Siasa bhana.

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q Před 2 měsíci +1

    Ametoka kwenye chama cha ukoo wa kichaga😂😂😂😂😂😂

  • @felixmathias6362
    @felixmathias6362 Před 2 měsíci +1

    Hana impact. Siku zote hanaga cha maana zaidi chama ndio kilikuwa kinamvumilia

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Před 2 měsíci

    Huyu nae amepoteza maboya CCM haifai inatufanya tuwe maskini na elimu mbovu

  • @SamwelMasisa-qy2zb
    @SamwelMasisa-qy2zb Před 2 měsíci +1

    😂😂😂 eti chama cha Demokrasia na maendeleo au chama cha njaa

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn Před 2 měsíci +2

    Dah! Inaumiza sana..

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci +1

    HUO N MWANZO HAPO ATAFUATA MNYIKA AFU LISU AFU TUNAMALIZA NA MBOWE 😂😂😂 SAS WE KAA KUNENGENEKA TU ET UNASUBILI MWANASIASA ABADIL MAISHA YAKO YAN YAO YAMEWALEMEA WAHANGAIKE NAYAKWAKO 😂😂 SOON TU UTASKIA HALIMA MDEE KALA KIJAN😂😂 CCM KAMA YANGA MPAKA MSEME❤❤❤

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Před 2 měsíci +1

    hongera sana msigwa

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 Před 2 měsíci +1

    Kawaida sana kuona hivi kipindi uchaguzi unapokaribia

  • @chrissmichaelmashouda1726
    @chrissmichaelmashouda1726 Před 2 měsíci

    Daaah haya maisha 😂😂😂 sijui niamini kipi, anyways ngoja niamini dini tu

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci +1

    Sio njaa CCM ni uwanja wa nyumbani amerud nyumbani

  • @georgewarioba9769
    @georgewarioba9769 Před 2 měsíci +1

    Nchi hii haina upinzani wala chama tawala. Kinachotakiwa ni kuwatumikia wananchi tu.

  • @MethodMichael-tf5re
    @MethodMichael-tf5re Před 2 měsíci

    Karibu ndg. Msigwa ndani ya ccm

  • @jimmysichalwe3586
    @jimmysichalwe3586 Před 2 měsíci +1

    Duu kweli akili za kuambiwa changanya na zako

  • @EzekeeliIsaay
    @EzekeeliIsaay Před 2 měsíci

    👍👍👍👍👍👍👍

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 Před 2 měsíci

    Haki ya mungu....daaah...kweli jamni...hivi hii ni nchi gani jamani...😢😢😢jamani tutafute hela tuondoke tukaish mataifa mengine...hapa lazima tufe kwa utaratibu huu

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi Před 2 měsíci

    hata aamiye wapi.sisi tunajua kila kitu. tuliona haya toka siku nyingi.hajatutengesha hata kidogo aende tuu.cc ndio.chadema

  • @lydiakisioly1476
    @lydiakisioly1476 Před 2 měsíci +1

    Nimeielewa sana tu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 2 měsíci +3

    HII NDIYO INAITWA SIASA SI HASWA

  • @mussasabini3855
    @mussasabini3855 Před 2 měsíci +2

    Aende zake tu

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před 2 měsíci

    Daaaaaah kafata pesa😅😅😅 maokotooo

  • @maombimimi9014
    @maombimimi9014 Před 2 měsíci

    Urahiani kugumu wazee, alafu mnaambiwa vijana mjiajiri.

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv1786 Před 2 měsíci

    Njaa mbaya sana!

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari Před 2 měsíci +1

    Daah

  • @FrankLwila
    @FrankLwila Před 3 dny

    Siasa inaniancha njia panda

  • @user-ek6sl4px7z
    @user-ek6sl4px7z Před 2 měsíci

    Eti mchngaji halafu unawasalit wenzao hakuna anae weza kutumikia mabwana wawil

  • @EgidMwalongo
    @EgidMwalongo Před 2 měsíci +4

    Njaa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 měsíci

      Mbaya sana ati ni Mchungaji ndio maana alikuwa anawakandamiza Wamaasai huyo mtu mbaya sana, Mungu atamuumbua

  • @godsson5954
    @godsson5954 Před 2 měsíci

    Ni mkakat msigwa alitaka mako aondolewe ili akarbishwe au

  • @eligiverkamnde510
    @eligiverkamnde510 Před 2 měsíci

    Usaliti upo😢...alooo matumbo haya yatatupeleka pabaya

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Před 2 měsíci

    Njaa mbaya sana 😅

  • @AldoSam-ld3uy
    @AldoSam-ld3uy Před měsícem

    Msigwa na katiba mpya

  • @MrMichaelHbog
    @MrMichaelHbog Před 2 měsíci

    Chadema ni imara kuliko jana

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 Před 2 měsíci

    Anaeimba hakufanya mazoezi yakuimba nyimbo za shuleni

  • @user-jn9gc8ru6v
    @user-jn9gc8ru6v Před 2 měsíci

    Mtoto wa mama mudi kaludi

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 Před 2 měsíci

    Hakuna tena wa kumuamini jamani..hakuna kabisa...tutaamini nini tena?

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před 2 měsíci

    Siasa ni kazi kama zilivyo kazi zingine unaangalia kipi kinakulipa sokoni kwa mda huo😂

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 2 měsíci +1

    Kipindi cha Magufuli walihama

  • @JeremiaMnanka
    @JeremiaMnanka Před 2 měsíci +2

    Niriwambia kwamba chadema hawa wa chini ndomna angaika rakini ukoo taifani chadema wanajuana na ccm ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Před 2 měsíci +4

    Yudaaaaa

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl Před 2 měsíci

    Msigwa Msigwa Msigwa nakuita Tena msigwa zile Fedha alizosema lissu ni Ukweli ? Ok

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Před 2 měsíci

    SOMA RAMANI

  • @fatumamohamed9614
    @fatumamohamed9614 Před 2 měsíci

    Hongera sana msigwa karibu CCM chama chetu kizuri

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 Před 2 měsíci

    Jamani njaaa zisitupanfebkwenye vichwa jamani

  • @eliudmkondo4290
    @eliudmkondo4290 Před 2 měsíci +2

    Njaaaaaaa mbaya

    • @mussamanyehe3918
      @mussamanyehe3918 Před 2 měsíci

      Endelea kusema njaa na kuendelea kupauka na umasikini wako na ndugu zako hiyo ndo siasa masikini wewe

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s Před 2 měsíci

    Me nacheka tu napendaga kila kitu😂😂😂

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 2 měsíci

    daaaah

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 Před 2 měsíci

    @😂😂😂😮😮😮😊haya kila la kheli na ukawe na mahubiri yenye mashiko

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b Před 2 měsíci

    Wanasiasa ndo wameleta machafuko ya kenya ,halafu wanasingiziwa vijana kumbe kuna wajinga wachache tu wanatamani madaraka ili wakale wawo na familiya zawo halafu watoto wawenzawo wameumiya wameuwawa, ila siasa hapana.

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 Před 2 měsíci

    Nina Imani na yanga

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Před 2 měsíci

    Siasa ni tamu sana jamani!

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 měsíci +2

    Watahama wengi maana fedha zinazokopwa kazi sio kutuletea maendeleo bali ni kuuvunja nguvu upinzani. Mungu tetea hili Taifa fedha imekuwa mtaji wa kununua utu wa watu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 2 měsíci

    SAS HAPO UNAKUTA LI MTU LIMEWEKEZA IMAN YAKE YOTE KWA MWANA SIASA SHENZ KABISA YAN WE KAMA UMEBWETEKA UNASUBILIA MWANASIASA AJE ABADIL MAISHA YAKO POLE SANA😂😂😂😂

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7p Před 2 měsíci +1

    Tushalijua kitambo mbona? Nenda zako! YUDA MKUBWA!

    • @hassanamani2131
      @hassanamani2131 Před 2 měsíci

      Subiri Mbowe na Lissu wakihamia CCM ndio utajua kwamba Chadema ni genge la wahuni

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 2 měsíci

    Aahhii dios mio siasa za bongo vibaraka😅

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Před 2 měsíci

    Clolote na c chochote kwaustawi wataifa mabingwa wa akili ya siaasa duniani ni china wligundua shidaya wnanchiwachina ni huduma bola za kijamii Kama maji umeme balabAla bola mashule toshelezi elimbola ajila viwanda nasio wnasiasa wa aflika tz ikiwemo niujinga mtupu saiasazake

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Lisu hamna bora mbowe yule kicheche

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 Před 2 měsíci

    Posho hizi..😀😀

  • @user-lt4ou1tu6s
    @user-lt4ou1tu6s Před 2 měsíci

    mbona kakipande kafupi?

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b Před 2 měsíci

    Njaa zitawawu, matusi alikuwa anatukana ccm na kashifa leo tena kaenda huko, ndo mana huwaga swaamini wanasiasa wanawo hamasisha maandamano kwajili ya njaa zawo halafu kwa mwamvuli wa kuteteya haki za raiya kumbe njaa za madaraka zinawasumbuwa.

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 Před 2 měsíci

    Kazi imeanza.

  • @cosein
    @cosein Před 2 měsíci

    Mageuzi katika taifa hili yataletwa watu wasio wanasiasa

  • @saidkhatib9146
    @saidkhatib9146 Před 2 měsíci

    Wacha inyeshe tuone panapovuja

  • @reviusmelius3162
    @reviusmelius3162 Před 2 měsíci

    Tanzania wote ni wamoja

  • @zingachaula
    @zingachaula Před 2 měsíci

    Ilikua siyo lahisi kushindana na sugu nenda2

  • @user-pl8bq3uy5l
    @user-pl8bq3uy5l Před 2 měsíci

    Subiri muone wafuasi wake wanahama ndio mtaelewa mtu wa uhakika huyu

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Před 2 měsíci

    Hahahahaha siasa bwana wacha tuone

  • @PelleSamky
    @PelleSamky Před 2 měsíci +1

    Tunae Mungu wetu yeye mwenye Haki kamwe Giza haliwezi kushinda nuru

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 2 měsíci

    Duuuh🥺

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 2 měsíci

    Mbowe ajitathimini

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 2 měsíci

    Jamani pesa za mikopo ya riba kubwa zinatumika kuvunja upinzani duuu

  • @eleteriushaule2693
    @eleteriushaule2693 Před 2 měsíci

    Na hapa ipo

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 měsíci

    Shenzi kabisa kuuza utu wako kwa fedha, ushindwe kwa jina na Yesu wewe

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7p Před 2 měsíci +1

    Ungetuuza ndo maana ukapigwa chini. Nenda Nenda ewe Yuda!

  • @joshuayoile6149
    @joshuayoile6149 Před 2 měsíci +1

    Nlijua tu zile fujo zake chadema zilikuw na maan na tulijua lazim aende ccm alikuw mamluki tulimjua tu

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před 2 měsíci

    Mbona anaonekana kama anajishangaa

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před 2 měsíci

    Hajiamini hata yuda huyu

  • @AHMEDYZUBERY-qh6xt
    @AHMEDYZUBERY-qh6xt Před 2 měsíci

    Kuma nyingine iyo😅😅😅😅

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před 2 měsíci

    Kafuata uteuzi

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 2 měsíci +1

    Tundulisu alituambia kuwa pesa ya abduri kuwa haitaicha chadema achawaende watabaki wenye moyo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 měsíci

      Kabisa fedha zinakopwa badala zitumike kwa maendeleo ya nchi CCM inazitumia kuua upinzani na kunyongonyesha mioyo yetu kukataa wapinzani kuona hawana misimamo ili watawale milele .Alafu fedha hizo tunakuja kulipishwa wananchi kwenye kodi huku CCM ikizitumia kama zao binafsi .Nchi hii tuombe sana hawa watu ni waovu mbo Mungu yupo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 2 měsíci

      Wafa maji kawaida yao Msigwa ni pengo kwa chadema mtasema sana lakini huu ndo ukweli sisi kwetu tunamkaribisha kijana wetu home kwa moyo moja CCM oyeee ❤️❤️❤️❤️

    • @user-ki7hd3lg2q
      @user-ki7hd3lg2q Před 2 měsíci

      Mbona magufuli aliamisha wengi pesa izo ni za nani alikuwa anatoa , mwache mtu awe na uhuru wa kuchagua aende chama cha wachaga au CCM

  • @HassanMasoud-yh7yx
    @HassanMasoud-yh7yx Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 2 měsíci

    Safi sana kaka huku ndiko kwenye Raha rudi nyumbani