Diva plz help me to know one thing ivi Kuna kuwa na shida gani pale amabapo labda mwanaume anaaga kwa wema kwenda labda ku meet na washikaji sehemu kwaajili ya kubadilishana mawazo lakin mwanamke anakubali sawa lakin mda ukifika wa kuondoka anakugeuka na ukiamua kutaa kwenda anaanza tena kulalamika eti ulikuwa na mambo yako wakati ww hutaki ugomvi shida inakuwa ni nn plz
Diva plz help me to know one thing ivi Kuna kuwa na shida gani pale amabapo labda mwanaume anaaga kwa wema kwenda labda ku meet na washikaji sehemu kwaajili ya kubadilishana mawazo lakin mwanamke anakubali sawa lakin mda ukifika wa kuondoka anakugeuka na ukiamua kutaa kwenda anaanza tena kulalamika eti ulikuwa na mambo yako wakati ww hutaki ugomvi shida inakuwa ni nn plz
🎉❤I like this
Ila kweli unachosema diva💯💯💯💯
KWAKO KUKIVUJA KWA MWENZIO KWA TEKETEA
🤝🤝🤝🤝🤝