@@najlaskitchen1572 ila dada me hua napata hisia za tendo ila nikiingia kwenye tendo lenyewe sisikii utam hata kidogo na Sina maambukizi yeyote naomba link pls.🙏🙏
Assalam aleykum. Shukran sana Allah Akulipe kheri kwa mafunzo yako. Dadangu mm nina shida damu yangu yatoka kidogo kisha dark sana in colour. Haiflow vizuri kabisa. Jee nikitumia hii itanisaidia? Shukran
Asante my nisaidie namna ya kurudisha hedh owe kawaida
Mashallah hiki kitunguy saumu ni dawa sana yaani umetuletea tiba nzuri sana nimependa shukran sana dear ❤
Mungu anisaidiye tu period ilikata muda mrefu nimekunywa dawa za hospital mpaka nimechoka
Mpenzi mm nawashwa uku chini pia kinaweza kunisaidia icho kitunguu swaumu
Amen 🙏
Asante! Sana sanaaa
Asante sana
Mm kimenisaidia sn nilikuwa natok uchafu lkn nikiliporumia kitumguu umeondoka tena kwamud mfupi cn asante dada🙏
Grace moja tu unatumia kwa kutwa nzima yaani asbui mchana na jioni?
Asante 🥰🥰🥰
Asante
❤❤❤
Shukurani 😊😊
Mm hukojowa mkojo wa yellow 💛 naweza fanya aje
Shukran ...👌
Afwan ❤
Mashallah mashallah Shukran
Afwan siz❤
Mamy lazima kuweka sukari au asali je ukitumia Ivo Ivo Bila kuweka chochote
Mm na tumia safe plane hyo basi naweza tumia dawa hii
Unaweza kunywa ukiwa kwa hedhi
Nilikuwa nauliza dada, je hata nikimeza punje zake zinaweza saidia au
Naomba nisaidie dawa ya kuzibua milija ya uzazi
Ni lazima kuweka sukari au asali? Nikinywa bila kuweka Kuna tatizo?
Hicho kikombe cha kitunguu swaumu unakigawa mara tatu au ukitaka kunywa unatengeneza kikombe kingine?
Hey sister utakunywa hiyo kikombe yote
Sasa
Unaweka maji moto ama baridi
Na ukiwa na vesico veins inatibu
Kwani ukitwanga kwa kinu haifai
Dad Kwan ukitwaga ni shida
Na kama.kwa periods naeza tumia
Damu yangu inatoa harufu naweza pata dawa my dear
Unakunywa mji tupu ivyo vya chin inaviacha am
Lizim sukar au asali mamy au
Ina maana mm ntapata mimba nkitumia
Yes love 😘
@@najlaskitchen1572 ak daa mm nmesumbuka miaka nane wallah aki sielewi
Kesho asubuhi naanza dawa
Asante Dada Najla,,, napenda video zako ni nzuri na fupi Huwa hazimalizi bando 👍👍👍
Awww thank you love ❤❤
@@najlaskitchen1572 ila dada me hua napata hisia za tendo ila nikiingia kwenye tendo lenyewe sisikii utam hata kidogo na Sina maambukizi yeyote naomba link pls.🙏🙏
dd samahan Kwa anaeaumbuliwa na UTI anatumiaje iyo dawa
Sasa hawujuji ayomaji
Yeah
Nna mwez WA pil SS sijaon pieiod nikimywa nawez kuona
Samahan dada mi natokwa na damu wakati wa tendo je ni ugonjwa gani na nini tiba yake
Unahakikisha umemaliza periods zako vizuri kabla ya kufanya tendo?? Please jibu❤
@@najlaskitchen1572 ndiyo nakuwa nimemaliza kabisa
Wakati ushakunywa hufanya MTU huendesha
Nooo❤
Maji ya vunguvungu njo ya baridi???
Baridi
Asante Wang
Madam izo remains za kitunguu utameza ama
Dada naomba namba yako
Dada Mm naonba namba Zako za Waasp
Kwa Kweli nataka nishike ujauzito dada nitajaribu Kweli Nina swahi nataka nikuulize pleas naweza nikatumiye Nini kama Niko mukavu?'''
Nitakutumia link
Nitumie na Mimi link hiyo.
Namm naomba link
Samahani dada mimi hua napata matone siku zangu tena hua ni siku mbili to halafu date zinabadilika je nikitumia hii kitunguu saumu itanisaidia?
Yeah
Madam izo remains za kitunguu utameza ama
Please my dear sister naomba number yake
Naomba namba yako dada
+254740797748
@@najlaskitchen1572 thx
Assalam aleykum. Shukran sana Allah Akulipe kheri kwa mafunzo yako. Dadangu mm nina shida damu yangu yatoka kidogo kisha dark sana in colour. Haiflow vizuri kabisa. Jee nikitumia hii itanisaidia? Shukran
@@najlaskitchen1572madam
Period yangu imepotea plz 3months nlikuwa natumia family planning je naeza saidika?
Kama nina vidonda vya tumbo
Haina tatizo ❤
Wakutatuna
Kama unatafuna kuna tatizo
@@user-oi1zi1pg1b no problem 😊
No hyo ipo watsap my dad
Naomba namba yako ya wassap
❤❤❤