#ZaNdaaani
Vložit
- čas přidán 1. 08. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Sport
Huyu naye kashakua hivi Innalillah Wainna Ilaihi Rajiun halaf ajifanya kutoa hadithi na aya
Mungu akuongoze ndugu yangu ..
Usisuke nywele ndug kifua chako kina mambo meng ya kumjua mungu
Umeona ee 😂
Ten kun kauli alisema sik aliyomuwacha mke nikamkubal san ila now kazinguwa
Mungu/MUNGU sio mungu
@@Zaburi- haya subir mdomo haulipii chochot siku ikifika utakapotaka kunyanyua mdomo unywe maji unashindwa ndo utamjua mungu
Wallahi uko sahihi
Imesajili nyanda wa Brazili
Mazingira ya Ricardo momo si sawa kua na huu muonekano afanan nao maan anafanana na mtu mwenye busara si kujifnya kama msanii si saw
Khaaaaa Momo! Kulikoni tena.
Inallilah huyu sio Ricardo momo au macho yangu mabovu...?😢😢
Kila comment huko chini ni matusi kwa @ricardo momo😅😁
Umeboa sana. Mwanaume hawi hivo. Unamaanisha nn ww muislam jitambue.
Sheikh Momo, waharibikia ukubwani Kama "TIKITI MMA".😅😅😅😅😅.
😂huu ni msiba kumbe kweli mwanamke alikua ana ku-kontrol umeachana nae sasa unasuka momo
Mungu atakuokoa uko uendako
Achama mboya kikeee!!!!
Mmh sijui nan kamshawishi asokote manywele hayo
Kamwiga mayeleee !!!!zuzuuuu😢😴
Mohamedi Ally uko sahihi unajua utu, na wala usije kusuka waache wao wasiojielewa
Ushaanza kusuuzwa fala wewe shekh gani na misuko...ushamba hio.. Mbona King hanaambo hayo ya masenge...
Kusuka na kuweka dye tofauti iwapi hebu tuwe na uangalifu na matamshi 😢
sio kazi yako iyo mzee
Me nashangaa hzi Dred kwanza😂😂😂
Limekua bayaaa mbwa uyu jamani adi uluma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makolo bhana
Wewe dini unaijua lakini muonekano hauendani
MTIHANI kweli pata pesa tuone TABIA yako
Umekua Kama mayele kwa sisi watu wa yanga unatufuta machoz tukikuona tu tunaona kama tumemuona mayele good good baba
Wewe momo soma coment utaelewa ulichofanyq leo sio sawa na kqmq msikivu basi utarekebisha na hutarejeya
Kwa hyo wamemtoa mwamba Cameroon af wamekuja kumtelekeza hapa 😆😆😆
Duh
Hizo nywele na maadini hiviendani nyoa nywere
Wachambuz wa mchongo😂😂wanaendaga na upepo 😂😂
Wewe mwenyewe umeharibika
Momo nywele kichwani hazikupendezi
Achana na hayo mambo waachie wanawake,,, hiyo ni laana,
Fua nywele baba angalia kwa makini ulivyohifadhi kifuani kwako Yani tunakuzindua
Kaka hivi unajua maana ya kumjuwa Mungu ? Huyo hamjui Mungu ila anajuwa maneno yadini yake ndiomaa Leo wewe unafanya kumsaidia kwa kumshauri inamaana yeye hajuikama anakosea
Tatizo lipo kwa wachezaji wenyewe, hawajielewi. Shida inaanza mchezaji anakuja akiwa na mkataba huru, mwisho anaanza starehe wakat bado mkataba haujakamilika, waache ujinga
Dah Simba bna
One man down
Huyo ni Morison aneyezunguuka hapa mjini
Hata wizara iingilie kati kwa leta sifa ya nchi.
Toa hizo nywele
Ila huyo Dem aliye kushauri usuke achana naye.
Ss modo kk mbna unaharibikia ukubwani km mumunya shamban na ww umesoma dini unaijuwa kk, INALILAHI WAINAIRAHII RAJIUN🤦♂️🤦♂️🙆♂️🙆♂️🤔
huyu jamaa si kwa muonekano huu!....au naye katoka UTURUKI ?
Huyu jamaa kaanza kusuka nywele hii ni shida sikutegemea kabisa jamani sisi wanaume hili wimbi la kusuka limekuwa kubwa sana dada zetu nao wasuke sasa tutafanana kifatacho ITV ni halafu anajiita mzee wa passwad hicho ilichofanya ni nini
Daaaah! Dog kimemkuta Nini Tena kufikia kusukwa!!??
momo umezingua bhana style yako yanywele siyo kabisa
Wachambuzi wakibongo mafalani wazushi watupuuuuu😢😢😢
Kinachoniuma ni kutumia aka ya maallim Zingzi kwa sisi tunaomfahamu marhuum alikuwa mpenz wa mtumi hassaaa na kaacha athari nyingi nzuuri bc momo hili la maallim Zingzi uliwache tu kk
Huyu huwa anaongea pumba ila ndo vile tena mambo ya undugu na Mondi ndo vina mbeba
Hao yanga na mkameroun
Umezngua
Makolo mungu anawaona aiseeeee
Mhhh kwan ni Makolo mdau?mchezaji gan kwani wameniacha njia panda kbs😂😂
@@rogersiddy mchezaji ni mghana kutoka assec mimosah midfielder walimpromise kumsajiri makolo
@@eddsonjeremiah6669 Aaaaah kumbe na wao matapeli aisee🤣🤣🤣🤣
Hivi wakudere kalogwa au akili yake dah kidadeki mimi cjapenda kwakweli alivyosuka
Toa hizo mibuyu kichwani shekhe
Mbona Kaa punga sese
Rudi kama zamani umri hauukuruhusu
Kabisa angeacha tu kusuka
Sasa huo ujinga uliweka kichwani umekua mwanamziki?
Kwahiyo una maanisha mayele ni mwanamziki🤷
Huyo nae kaweka nini kichwa dah
Unamuiga James tulupatu tulupatu Kwa ustaa Gani sasa Hadi usuke jmn cjapenda
Simba hao
Molson huyo
Yanga hao
Yanga wamesajili kipa juzi juzi ???
Unaiwaza Yanga
Khe huyu kashakuwa hivi Astaghafilullah jaman Malaika apewe maua yake tu kumbe mume alikuwa anamuongopea Mungu tu kupitia kivuli cha dini
Mbonakama bigilimanauyo?
Ukwel upo hivii kila ktk taasisi zote kubwa lazima awe shoga hapo fuatilien mtanielewa kwahiyo na huyu anahamasisha usenge hapa nchin
Unajua unachokiongea lakini ? Taasisi kubwa unazifahamu Vizuri? Na kwanini umuseme mtu kwa mwonekano tu wa nje? Hii si vizuri tuwe na kiasi Cha maneno binafsi sijapenda mwonekano wake wa Sasa hasa kitendo Cha kusuka ila siwezi mwita majina ya ovyo
Nani manzoki au
Momo Kama mayele
Morison
TFF wapo wapi. Kwanini hawaei wakali katika mambo haya.
Nani uyu?😂😂
Mchezaji gani huyo??? Na club gani hiyo jamani???
Makusu
Toa Rasta nyoa nywele zako kama mwanzo.siyo kila kitu ni kinaigwa
Mcameron huyo wa yanga
Bm3 huyo
Waliosajili nyanda ni simba Hao
Tabora United
Mnamtukana kwa nini hayo ni maisha yake na hapo yupo kweny Sanaa acheni ushamba wakutukana hvyo co vzr
Sanaa iliyo machukizo kwa Mungu hiyo siyo sanaa bali laana, usijiungamanishe nayo hujui kiini chake
Emmanuel mahop huyo kapigwa chini alitaka mpunga mwingi wakamshitukia
Kama mahop ni Yanga ila code zinasema hiyo team imesajili kipa juzi juzi tu si hatuna usajili wa kipa mpya juzi juzi so sio mahop
@@josephmphela8270Wanajitekenya wenyewe😅
Dogo kaanza kuharibika
Morison na singida
Morison mgana
Soma comments za watu utaelew kuwa hapo kweny fuvu hapo, umezingua mkuu
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mbona shehe umeanza kua kama punga vile achana na mambo ya kuiga brother muonekano wako wa asili ndio hadhi yako usiige itakugharimu sana
KUMBE MAYELE kabaki
Punga
Ukisuka nywele unakuwa na maneno mengi kama mwanamke. Stupid
Nimetoka huko 👇👇wote wanatoa negative comments kuhusu momo kusuka ni vyema sasa momo ukanyoa tu kistaarabu make kuna watu walikuchukulia kama role model wao sasa usi wadisapoint wafuasi wako. Au na wewe umemuiga trupa trupa wa cloudsfm?
Cjui Nani aliyekwambia kamma unapendeza ukiweka HIVYO hizo nywele
Acha kusuka mkuu haziyako itashuka waachie wavuta bangi hiyo stayli