WAPEMBA WATAKA WAOMBWE RADHI,NADIR NA WENZAKE (SUBSCRIBE)

Sdílet
Vložit

Komentáře • 152

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 18 dny

    😮 SADAQTA SADAQTA SADAQTA . MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH.

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu Před měsícem +10

    Nacc pia wanachama wa ACT wazalendo tuliopo unguja tunajumuika nanyiyi

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm Před měsícem +6

    Allah atawahukumu hapahapa duniani

  • @imusalis5092
    @imusalis5092 Před měsícem +6

    Jamani umoja umoja umoja umoja wa kitaifa na kijamiii viongozi waishi na viapo vyao kwa kutenda haki bila upendeleo Unguja na Pemba yote ni moja Allah atujaalie tuwe kitu kimoja na viongozi wetu wafanye uadilifu kwa watu wote

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před měsícem +6

    Hayo Nikawaida Sio Geni Hata Waliopita Maraisi Tena Wamesoma Hata Dini Na Waliwaita Wapemba Vijibwa Vya Santori Leo Wapo Mbele Yaki...Walifikiri Wataishi Maisha Katika Uwongozi Hawatatoka Na Hawatakufa Leo Wapo Chini Ya Ardhi..

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 Před 22 dny

      Ni kweli kabisa brother ayo sio mambo ya Kuonesha km ume panic ni Sawa na kuoneshea weakness tu
      Kinachohitajika ni kumuomba Mungu tu kila kitu kiende kimpangilio na salama na Amani ipatikane kwa nusra ya Allah SubhannalLah WataalLah!

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před měsícem +8

    Huyu chotara nadir kama hatochukuliwa hatua na serikali basi Allah atamchukulia hatua biidhini llah,rab ampe la kumpa yy ndie muweza wa kila jambo

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před měsícem

      Vipi kuhusu Kumbaro Jussa na yeye vipi asichukuliwe hatua?hahaha Wambape bhana

    • @SabihaRajab
      @SabihaRajab Před 24 dny

      ​@@rajabmsinzia1715wambili wambili tu mutaharisha sana mutushukuru tumewaokoa sana tunawagaiya tulichobarikiwa na Allah

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 24 dny

      @@SabihaRajab Mnagawa nini sasa hahaha huo ubaguzi chuki na roho mbaya au hahaha poleni sana tukutane 2025 InshaAllah

    • @SabihaRajab
      @SabihaRajab Před 24 dny

      @@rajabmsinzia1715 ujinga tu ukutane na nani na sisi tunamtaka huyu mcha mungu sio wale watwana waliopita

  • @fatmamsallam437
    @fatmamsallam437 Před měsícem +7

    Allah atawashinda madhalim Hawa Hasbiyallahu waneemal wakiil

    • @AaAa-vm8bb
      @AaAa-vm8bb Před měsícem

      Dada yangu nimesha waambia viongoz wa Act wasipigishane kelele na majitu mabwege yanatamaa na dunia hayana tamaa na Akhera ni kusabiliwa kwa Allah Subhanahu Wataalah waarabu walisema Dun yaa masaalih ukitaka maslah ya duniani ukitukanwa utacheka kama hufahamu yanayosemwa hio ndio laana ya Mwenyezi Mungu

    • @feyxalbarry4595
      @feyxalbarry4595 Před měsícem

      Hahah

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem +9

    Pemba ni dhahabu ... hawa washenzi hawaijui thamani yake

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 Před měsícem +7

    Nadir ni Muuwaji Damu ya Juma wa Juma inamtafuna

    • @AaAa-vm8bb
      @AaAa-vm8bb Před měsícem +2

      Kaka yangu nchi yetu ikiwa hukua muuwaji huwezi kua kiongozi kwa hio ni sawa na mchawi huwezi kuchaguliwa kua mchawi ila utoe muhanga usishangae hilo ndio imeshakua ada kwao

  • @KhamisiSalimu
    @KhamisiSalimu Před měsícem +5

    Kwa ubaguz kma huu ilitupelekea wapemba tudai kisiwa Chetu tujitenge mbona hamukutupa mulitupiga vibaya mno sasa kma hamuwez kutukosa wachen ubaguz sisi hatuna shida kwenu ila nyinyi munajipendekeza ,

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 Před 22 dny

      Wala haina haja ku panic ndugu yangu iko Siku na usimuoneshee adui yako km alikupiga jiwe likakupata kisawasawa na ukaumia kisawa sawa ukiwepo ktk uwanja wa Vita kua makini Sana nnalolisema ndugu yangu 🙏😊

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 Před 22 dny

      Wala usifikie kusema ayo na ikiwezekana na ww waambie wenzio wasifikie uko

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p Před měsícem +3

    Anahadaliwa na punzi allah atamuangamiza km alivomuangamiza na kumzalilisha firauna hawa mapakunya wanashida sana

  • @utamadunitv8070
    @utamadunitv8070 Před měsícem +3

    Km sikosei na nyinyi mnamtukana Mh rais na mnacheka au sie nyinyi mbona haiko sawa hii

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i Před měsícem

      Walisha wahi kumtuna mh raisi matusi ya nguoni?

  • @hamadjumakombo9793
    @hamadjumakombo9793 Před 29 dny +1

    Ni vizuri baadhi ya viongozi kupimwa ajili kabla ya uteuzi

  • @fatmamsallam437
    @fatmamsallam437 Před měsícem +5

    Na huyo mhindi ana husda na wapemba

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Před měsícem

      kweli kabisa,ana chuki za wazi wazi

  • @AbubakarAli-io7ke
    @AbubakarAli-io7ke Před měsícem +5

    TATIZO KUBWA ACT NI KUTOWAJUWA WATU WA UNGUJA.WOTE WANOTUKANA WANATOKANA NA KILE KIZAZI CHA WAZEE WAO WALIOKUJA HAPA UNGUJA KUJA KUUA WATU KIPINDI CHA MAPINDUZI .KWAHIYO ILE CHUKI BADO INAENDELEYA WAKO WENGI HAO.WATU WENYE ASILI YA UNGUJA HAWAWEZI KUWATUKANA WAPEMBA KATU.KUWENI MAKINI HAO NI WAGENI TU HAPA.

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff Před měsícem +1

      Wafanyao hvy c waunguja hao ni wabara. Shirika ni njia c nchi Allah mwenyewe katuweka tofauti ila tupendane tusaidiane na tuheshimiane. Wanaliwa na chuki za kuona wapemba wapo kila mahali nacfa ni njema kabisa. CHOYO JUU YETU. IPO CKU TUTASHINDA!

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff Před měsícem +1

      Ni hakika wafanyao hvy c watu wa Unguja.

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 28 dny

      Hamza yeye mwenyewe aliwahi kusema kwao ni bara/tanganyika.

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157 Před měsícem +2

    Mungu atuunganishe lakin kwa viongozi hawa waliokuweko sioni mimi umoja wa kitaifa isipokuwa maslahi yao na vizazi vyao mtihani huu mungu atusaidie

  • @KhamisBakar-ge4sp
    @KhamisBakar-ge4sp Před měsícem +7

    Kweli wapemba tunabaguliwa, mpaka ajira hatupewi wanatuletea watu wengine mbali , Sasa hawa viongoz wakuu wa Nchi wanatufanyia ubanguzi eti kwa sababu ya Upemba na Unguja.
    Mimi nawashauri wapemba wenzangu wote tuhamasishane ili tudai Kisiwa chetu. 😩😩😩!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem +1

      Hivi mnabaguliwa vipi jamani Makamo wote 2 ni Wapemba, Mawaziri kadhaa ni Wapemba, Makatibu Wakuu kadhaa ni Wapemba, Wakurugenzi kadhaa ni Wapemba, Ma DC, Ma RC ni Wapemba. 55% ya Wafanyakazi wa SMZ wapo Wizara ya Elimu, viongozi wote wa ngazi za juu za Wizara hiyo ni Wapemba, Walimu walioko Pemba 99% ni Wapemba lakini waliopo Unguja 30% ni Wapemba.
      Kinachoendelea kinahitaji kupuuzwa ni kwa sababu ni siasa, hivi hamjamuona wala kuwasikia Jussa na Othman Masoud wakimbagua na kumtukana Rais matusi sio tu ya kisiasa bali ni ya nguoni.
      Suluhisho ni kugawana visiwa miafaka yote tumeshaimaliza. Tukumbuke Mapinduzi 1964 ndio yaliyoifanya Wapemba na Waunguja kuwa wamoja, kabla ya hapo Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja hata vyama vya siasa havikutambua kuwa Pemba ni Zanzibar mfano ZPPP, Zanzibar and Pemba People's Party. Hakuna Mpemba mwenye miaka 45 ambae Wazee wake ni Unguja na Pemba.
      Tugawane visiwa!
      Tuacheni siasa.

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Před měsícem

      maoni yako ni mazuri sana, ila kama huujui ubaguzi ulofanywa hapo nikua;
      huyu nadir kazungumza akiwa ni wazir na tena yumo ndani ya baraza la wawakilishi hii ina maana alikua anaisemea serikali,jussa na mh makamo wanapozungumza wapo kwenye chama wao hawaiwakilishi serikali bali ni chama,na mh othman anapokua serikalini hazungumzi maneno kama anayoyazungumza kwenye chama.si unamuona mazurui na omar said shaban wanapompongeza rais wakiwa ni mawazir.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před měsícem

      ​@@hajihassan5433Wapeni kisiwa chao tu, wapumzike kupigwa nyakati za uchaguzi. Huo uchambuzi wa viongozi unaowataja hauna manufaa na wao ikiwa kuna siku watauawa ama kupata vilema wakati wa chaguzi, si faida. Hata Nelson Mandela aliwaambia makaburu, minyororo ya utumwa si mizuri hata kama imetengezwa kwa dhahabu.
      Mimi ni mtu wa Unguja, babu yangu wa 6 amezikwa Unguja, nafurahia wapemba wakipewa kisiwa chao wapumzike madhila ya watanganyika na kupigwa na kuuwa, kisa madaraka. Mtaenda kuchomwa nyie siku ikifika.

    • @bakarsuleiman3989
      @bakarsuleiman3989 Před měsícem

      Ww mpumbavu sana jinga ww hii nchi asilimia kubwa wapemba ndio wameijenga pamoja na kutubagua kenge ww hukusoma sawa na huyo nadir

    • @MahmoudDouchi
      @MahmoudDouchi Před měsícem

      ​@@hajihassan5433ndo umezungumza nini naona pumba tu waongea na ujinga wako uo mkisha kagawa visiwa faida yake nini. Kwn uongo wapemba hawajatengwa ilo mbn lipo wazi punguza uhafidhina wa kipuuzi uo.

  • @jumaswaleh-kh8oz
    @jumaswaleh-kh8oz Před měsícem +4

    Watu wasome dua kumshitakia m.mungu

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Před měsícem +4

    Wazee wangu na ndugu zangu hawa hatuwezi kuwafanya kitu isipokua tuwasalimie Allah حسبي الله ونعم الوكيل

  • @hashimalihamad3477
    @hashimalihamad3477 Před měsícem

    Wanaubaguzi wa wazi wazi kwakweli lkn mungu atawahukum yuko wapi borafyaa kafika wapi baraka shante

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem +1

    Nadir nakuonea huruma, inaonekana huwajui wapemba, sasa Nadir kumbuka waliwatukana na kuwadhalilisha wapemba sasa wapo wapi, Nadir kama hajui uliza waliopita waliotukana wapemba sasa wanadhalilika

  • @fatmamsallam437
    @fatmamsallam437 Před měsícem +4

    Pesa za wananchi zawalewesha hao golo

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před měsícem +1

    Huyu jamaa anatutukana sana😊

  • @nassirnassirtoby
    @nassirnassirtoby Před 25 dny

    munajidanganya 2 kwan ata awo viongz wenu pia ni ccm mtafte m1 2 kma upo nae alokua c o ccm ikiwa ata uyo malim seif alikua ccm tena awo wengne wanao zid kuwadanganya kwan nyinyi muna chama au muna kikundi cha kulma mua kma morogoro mtibwa

  • @w4058
    @w4058 Před měsícem +1

    Matusi na maneno ya kebehi ya Huyo Hamza Husaan na Nadir mkae mjuwe na kila anaowatetea hao wajuwa MMungu anawaona udhalim wenu na viburi vyenu Alysa Llah biahkamulihakimin

  • @user-jj1uj3my7b
    @user-jj1uj3my7b Před měsícem +3

    Pamoja sana viongozi wetu

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před 28 dny

    Kwa kuongea Sasa matabaka mkubwa yapo Zanzibar kwa jumla. Na hayasemeki lkn KUNA MATABAKA MAKUBWA TENA YA WAZI WAZI KABISA. UBAGUZI UPO NDANI KWA NDANI YA VISIWA KTK JAMII.
    HII NI HATARI KILA TUKISONGA MBELR

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Před měsícem +1

    Shida kubwa kuna vijikundi vya wapemba wanafurahia hilo kubaguliwa na wao kuona nimaendeleo

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před 27 dny

    Kuna watu c wa kujibiwa coz hawana hoja Za kujjibiwa ni kuwapuuza tu sehhem km baraza la wawakilishi sio sehem ya kuongea mipasho ni pahhala kuongea. Massala ya wananchi na nchi

  • @user-fn8on5lf8m
    @user-fn8on5lf8m Před měsícem +3

    Huyo muhindi ni mkundu

  • @KhamisiSalimu
    @KhamisiSalimu Před měsícem +1

    Nadir ahamishwe apelekwe kwao hopa zanzibar sipao hatumtak analeta ubaguz

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 Před měsícem

    In shaa Allah sisi tutamuachia mungu tu

  • @user-ks6rn1ir1j
    @user-ks6rn1ir1j Před měsícem

    Kwan yule nadir yupo Jimbo Gani man pia ni waziri ila hata sisi waunguja katuudhi saanaaa..anajikuta elimu tukutane 2025,.

  • @johnabdillah9531
    @johnabdillah9531 Před 26 dny

    Wacheni siasa za huruma huruma jamani tufanyeni kazi, hakuna mtu alitukanwa

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 29 dny

    Kunawatu sio fani yao siasa mnawachukua watu kutukanana ndani ya baraza mnaona nchiyenyewe inatoka katika migogoro ilifika wakati watu walikua hawazikani leo imetokea salama mnaanza tena chokochoko zanu tena komesheni fitina

  • @hamidamussa593
    @hamidamussa593 Před měsícem +2

    Nadiri anasema nini muhindi yule na yeye aende kwao india akakate viuno km sharuk khan

    • @abuubakarjuma3230
      @abuubakarjuma3230 Před měsícem

      😂

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před 26 dny

      Kasema wapemba wote wapo unguja pemba wanarud wakat wa kura tu so huwezi unguja kufanya maendeleo sawa na pemba unguja watu ni wengi

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k Před měsícem +1

    Apo umetaja vichwa vitupu na aooo wote ni watu waliokua na uzalendo ndani ya nafsi zao ukifuatilia hassa historia yao na maisha yao

  • @HajiYussuf-bv5eb
    @HajiYussuf-bv5eb Před 27 dny

    Huyu naadir ni mjinga tu

  • @omarbaabad2706
    @omarbaabad2706 Před měsícem

    Poleni Sana wapemba kwa kutokujua wapi msimame,mlikuwa cuf,Leo mko act kesho hatutoshangaa mkiwa ccm, wapemba mumepoteza msimamo na hii kujiunga na suk ilikuwa hakuna budi Maalimu ilibidi ameze matapishi yake na ilikuwa ajabu na uwendawazinu wa marehemu Maalimu useful kuingia katika suk huku akijua hakukua na uchaguzi alifanya vile kuibeba act nani asiyejua Maalimu alikataa suk akiwa nawabunge wa kutosha na wawakilishi wakutosha kwa hiyo hayo yanayowafika nimakosa yenu

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i Před měsícem +1

      Unavyo viongea wala haviusiani na huu ubaguzi malumbano na kutoelewana kisiasa kupo lakini sio ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n Před měsícem +1

    Tatizo makunduchi akiitws ivyo kawaida,mtumbatu aakiitwa ivyo hana shida,ttizo wapemba hamjikubali ndo mana kidogo tuu mada,hiini duniaa tuu,mnasahau mna haribu vitu vya jamii,mnadhulumu ila hamuoni kosa ,kosa kuambiwa hamtaki kukaa kwenu kufanya kazi?!

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 28 dny

      Kwani kilitokea nini?
      Sisi wengine hayo aliyoyasema Nadir hatukuyasikia.

  • @kitosio
    @kitosio Před měsícem

    Inategemea huyo muombaji msamaha kama ana tabia za wema. Kama alilelewa ktk khulka zile msipoteze Muda hatatibika. Anayoyaficha ktk nafsi yake ni makubwa zaidi. Tumshukuru sana Raisi Mwinyi pamoja na kuwa watu aina hiyo bila shaka wanamsumbua ama watamsumbua sana. Raisi kadri anavyopambana na chuki bado uchafu wa Mahasidi haumalizi. Ndio watu wanasema Kiongozi wa juu hana tatizo lolote, shida walio chini ni majanga matupu. Solution kwa vile zanzibar ni Nchi Ndogo basi ni afadhali mambo muhimu yote ayafanyie kazi yeye mwanzo_mwisho, Hapo maendeleo hayatarudishwa nyuma.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před měsícem +4

    Tutakwenda kuziuza kenya karafuuu. Na wenye kuziuza karafuu (ZSTC) tusikubali hata gunia moja la karafuu kusafirishwa Unguja, njia pekee ni kuchoma motooo (🔥🔥🔥) maghala yote ya kuhifadhia karafuuu yote Pemba .

  • @KhamisiSalimu
    @KhamisiSalimu Před měsícem +1

    Nadiri anyongwe, hafai

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu Před měsícem +1

    Niuhayawani kabisaa hawajielewi kabisaa haohatawakilishwa mavi watakula ilimradi kuvhunga viti vyao

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před měsícem

    Mimi nawashauri wapemba wakate hiyo mikarafuu yote na wapande migomba halafu wawatukane washenzi wasio na dini

  • @AbuubakariKhamisi-mt4cz

    ww siompemba umpemba twakashifiwa ww hata hujui kwa ujinga kukutawala hujui hata maana yakutukanwa hamaku mkubwa we

  • @abdalakombo1595
    @abdalakombo1595 Před měsícem +3

    Mlisahau mlivyomuita Mzee Idrissa Abdu wakil Ngombe.mmepata mwezenu

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i Před měsícem

      Huyo mzee idirisa unae msema hata hao waunguja walimkataa na ndio mana akaamua kujiuzulu

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx Před měsícem

    Ni wasenge hao

  • @alimohd5564
    @alimohd5564 Před měsícem

    Wapemba tusimameni na ALLAH kwani o
    Peke yake Allah ndie mwenye nguvu sisi wapemba ni waja wadhaifu

  • @mohamedsalimmsabah5691
    @mohamedsalimmsabah5691 Před měsícem

    Yupo mchangiaji mmoja amefananisha wananchi na rais kwamba viongozì wa ACT wanamtumkana rais na kwa nini wapemba wasitukanwe. Kwanza akumbuke kwamba wananchi hawawezi kupanda majukwaani na kujibizana na kiongozi yoyote, lakini viongozi wanapowatukana wananchi wanawakosea sana. Hivyo tuwaache viongozi watukanane wenyewe kwa wenyewe, lakini si vyema kuwatukana wananchi kwani mwisho wa siku wanarudi kwetu kuja kuomba kura. Aidha kiongozi anapowatukana wananchi anamaanisha nini wakati hapo walipo kama si wananchi kuwapigia kura asingeweza kufika hapo alipo. Kwa maana nyengine wakumbuke katika suala la biashara mteja anakuwa mfalme na kwa hapa mwananchi anafananishwa mteja ambae ndie anaeitwa mfalme. Cha msingi hapa viongozi wetu waache dhana ya ubaguzi wa aina yoyote ile kwani hausaidii isipokuwa unaikandamiza nchi husika. Usishangae wale wote wanaowatukana wapemba wakawa wamekuja hapa zanzibar kwa mshindo wa beni na sio wazanzibari halisi wa baba na mama, sasa wanapata wapi nguvu ya kuwabagua wazanzibari tena walio kindakindaki

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem +1

    Huyu nadir kila akifungua mdomo aulizwe yuko wapi Juma wa Juma? Ataweka akili yake kama kasahau

  • @user-oj8bk5xn8n
    @user-oj8bk5xn8n Před měsícem

    SioAllah atahukumu huyu inatakiwa achukuliwe hatua natunasubiri tu ajepemba tutakulanae sahanimoja uyonishoga tu nashoga kuongea ujinga ndio kaziyake ikosiku tutakutananae

  • @user-jf7is4fk2v
    @user-jf7is4fk2v Před měsícem +1

    ni kujitenga tu

  • @MohamedKassimIdrisa-gg1oe
    @MohamedKassimIdrisa-gg1oe Před měsícem +1

    Kwani alichokiongoa uongo hamkai kwenu kweli mmejaa miji ya watu hata mkasema kwenye vyombo vya habari lkn ukweli umeshasemwa hamkai kwenu Pemba rudini Pemba mkajenge Pemba yenu ukweli unauma

    • @RajabQassm
      @RajabQassm Před měsícem

      Hatuondoki na hamuna uwezo wa kutuondoa mtaishia kusema tu, ikiwa viongozi wetu wapo Unguja sisi tuende pemba tukafanye nini

    • @hamidamussa593
      @hamidamussa593 Před měsícem +1

      Ww unakujua kwenu? Pia yawezekana ukawa kharamu la uko Pemba unakokuchukia

    • @RajabQassm
      @RajabQassm Před měsícem

      Hatujakuchukia mkataa kwao mtumwa mimi wazazi wangu wote wako pemba na ndugu zangu wote Unguja tumekuja kutafuta mtu hachumi kwao mpuuzi we

    • @RajabQassm
      @RajabQassm Před měsícem +1

      Ndo maana Mungu, wapemba kawatajirisha we utabaki ivoivo me kwetu ndijani nitatoa machungwa ndijani nipeleke sokoni, we safiri mtu hachumi kwao.

    • @user-jj7nl2xo5j
      @user-jj7nl2xo5j Před měsícem

      Kweli kabisa

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm Před měsícem +1

    Maccm yote mabaguzi

  • @AbdallahSeif-cp3ul
    @AbdallahSeif-cp3ul Před 26 dny

    Alla ampe lakumpa

  • @user-sf3mm9xe3p
    @user-sf3mm9xe3p Před měsícem

    Lakini ninauhakika sikuhile mh SULEIMAN wa jimbo la ziwani hakuepo pale kama anglikuepo pamoja na kua yeye ni CCM lakini upuuzi hule aisngali ikubali hata siku moja

  • @Pemba680
    @Pemba680 Před měsícem

    Alaaniwe Nadiri

  • @nassirnassirtoby
    @nassirnassirtoby Před 25 dny

    wewe ulokua c mshenzi je unaijua pemba au unasma 2

  • @w4058
    @w4058 Před měsícem

    Kuna watu hupenda kujitia hamnazo CCM hawatukanwi CCM ila wanatolewa makosa yao khasa katika ubadhirifu wa fedha na hilo linjulikana tusichanganye maji na tope

  • @feyxalbarry4595
    @feyxalbarry4595 Před měsícem

    Mtume ameingiaje kwenye chama na siasa acheni kuinasibisha dini na Chama

  • @suleimanmalik8878
    @suleimanmalik8878 Před měsícem

    Allah Atawalipatu Hao mathwalimu wakubwa wameshazoea kula Mali za umma hususan Hao wanao tubaguwa wa pemba besa zetu zinawatia kiburi ila Maisha mafupi punzi zisiwahadae

  • @rashidally1149
    @rashidally1149 Před měsícem

    Kwani makamo wa pili sio mpemba? Mbona kashindwa kukemea ? Hakika hao kina nadir niwakufukuzwa lakin wakuu wanapenda wapemba kutukunwa

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před měsícem

    Tusomen Dua kubwa pemba

  • @jumajuma4337
    @jumajuma4337 Před měsícem +1

    Yusuf huna mpya ww nyi nyi ndowabaguzi

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před měsícem

    Yule ni mwanaharamu wa Kihindi!na la kushangaza ni kwamba ndani majumba yao wanao ndani ya majumba yao!kwa mfano huyo mwanaharamu Nadir ni hivi karibuni tu alimtafutia mke(Mpemba)na tujiulize mbona hakumtafutia mke Makunduchi au Matemwe?na shahidi ni huyo Spika kwani na yeye alihudhuria ktk tokeo hilo lililofanyika Mskiti wa Kiembesamaki!

  • @user-fj5hk5kp7p
    @user-fj5hk5kp7p Před měsícem +1

    Kube ukweli unauma cn stahamilini kidogo

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 28 dny

      Ukweli upi huo?
      Halafu wewe tukujue asili yako?

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k Před měsícem

    Sasa jamani sisi tumesema kua wao wanakauli mbaya kwetu, mbona tena na sisi tunaasema kua yeye ni mbwa vp teeenaa sisi tueke hoja t wananchi watatuelewa

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Před měsícem

    Asie kua na damu ya Africa hawezi kuacha tabia yake Muhindi ametok kwao akapata tonge ya bure si lazima atawatukana wapemba hana maumivu nao ingekua wapemba ni mabohora asingeli toa mneno machafu kama hayo na wapemba baadhi yao wakafurahia hilo jee hao ni wazima kiafia?

  • @user-sf3mm9xe3p
    @user-sf3mm9xe3p Před měsícem

    Nadir mjinga yule

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před měsícem +1

    Matusi Mmeanza nynyi Marehemu Dr.omar Juma mlmwita kidonge cha Lami

  • @w4058
    @w4058 Před měsícem

    Haha Binadam asojuwa tafauti na matusi na kukosolewa basi hana haja ya kuishi ila MMungu hamuondowi mja muovu haraka anakuwekeni hai labda mtatanabahi mutake maghfira lakini wapi madahli wanaongwa na Christian church movement CCM huwa ukweli wenye ucha MMungu hawautaki Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah inatosha

  • @MohamedKassimIdrisa-gg1oe
    @MohamedKassimIdrisa-gg1oe Před měsícem

    Msituletee nyinyi kwenye mikutano yenu ya ACT muda wote mnamsema Rais Mwinyi leo amesema mtu mmoja wa CCM mikutano na Waandishi wa Habari kwa hiyo kumbe nyinyi mkiambiwa ukweli mnanuna basi nuneni na mtazidi kununa wala bado

  • @salmahaji5198
    @salmahaji5198 Před měsícem

    Mmmmh

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Před měsícem

    Tukiuliza wzhusika hizi siasa za Europe zinakua na matusi na kejeli kama hizi zetu ?

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před měsícem

    Huyu karagosi wa kibaniani katumwa

  • @MohdRashid-qk6hd
    @MohdRashid-qk6hd Před měsícem +5

    Jibuni hoja, Mh. Nadir hajawatukana wapemba ila kaeleza ukweli kua musiseme uongo kama pemba hapafanywi maendeleo, mm mwenyewe mpemba na maendeleo nayaona, pemba ya leo sio ya jana, jibuni hoja msilete midahalo, pia unguja watu ni wengi na magari ni mengi mara 50 zaid ya pemba, hivyo miundombinu haiwez kua sawa!.

    • @user-gk3wz8wb3t
      @user-gk3wz8wb3t Před měsícem +2

      Ww huna akili na nahisi sio mzaliwa wa Pemba nadhani labda umekuja tu kulelewa kwa iyo usiitetee serikali ya Ccm mzee tumia akili

    • @KhamisBakar-ge4sp
      @KhamisBakar-ge4sp Před měsícem +2

      Sisi hatutaki Hoja, tunataka Kisiwa chetu cha Pemba tupewe wenyewe tushachoka na ubanguzi 😢😢😢

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před měsícem

      We msenge pemba hakuna msenge kama wewe na akili zako mavi

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Naona kama kunzaliwa tu .. huna asili ya upemba

    • @lusakaone7782
      @lusakaone7782 Před měsícem

      Ukome

  • @Kokhaako
    @Kokhaako Před měsícem +2

    Hapa mumefanya la maana na tunawaunga mkono kwa asilimia mia moja.
    Lakini waulizeni je!!
    Wapemba tukiomba kujitenga kutokana na wanayotufanyia tutakuwa na kosa gani?
    Laiti hatuheshimu ndugu zetu wa Unguja ambao wanatuunga mkono basi maamuzi yetu yangalikuwa mwengine.
    Tafadhali waliopewa madaraka wakijuwa kuwa wao ni sehemu ya wageni Zanzibar waheshimu ugeni wao.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před měsícem

      Na tukimdadisi Sana Nadir sidhani kama babu yake Tu ni Mzaliwa wa Zanzibar!sasa anajifanya ana maumivu sanaaa Kwa Zanzibar!mwehu yule

  • @user-fn8on5lf8m
    @user-fn8on5lf8m Před měsícem

    Huyo mkundu ni muhindi ajana nae

  • @HAMADHAMAD-lk3ms
    @HAMADHAMAD-lk3ms Před měsícem

    Nabiri hana lolote yule

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu Před 29 dny

    Yule ni mkundu ulio funikwa😅 hajielewi na hafai kuepo Zanzibar mungu ampe laana mbwa yule

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i Před měsícem

    Wana mtukana mpaka mufti wa zanzibar maana nae ni mpemba

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před měsícem +1

    Nadir kajisahau kama yy ni chotara aliepinduliwa na kizazi chake kusambaratishwa anakunya Kwa mdomoni na kuongea Kwa mkunduni Kila anaposimama majukwaani

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem +2

    Mbona nyie pia mnawatukana CCM na Rais wao?

    • @MahmoudDouchi
      @MahmoudDouchi Před měsícem

      Nilijua tu lzm utakueopo kwenye Mada km hizi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 29 dny

      @@MahmoudDouchi nashukuru sana kama ulijua hilo

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k Před měsícem +2

    Namkumbuka maalim seif alikua akituambia kua kuchokozwa, tutachokozwa laaakini laakini tusichokozekeee wakatutoa kwenyw mstari maana safari yetu ya MAMLAKA KAMILI inatia nanga hivi karibuni, Aliyasema hayo akiwa katika kongamano lake maalim nakufungua koongamano lake

  • @SalehSonda-bz3hl
    @SalehSonda-bz3hl Před 26 dny

    Itabidi wapemba tubaki na Pemba yetu maana watu hawatupendi,tumekua kama wapalestina du,AllahuAkbar,one day.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před měsícem +3

    Mkuki kwa Nguruwe nyinyi mnavyomtukana Raisi kwenye majukwaa huwa hamuoni na mbona hamkemei?ila mkiambiwa ukweli ndio kama hivyo mnaleta siasa

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 Před měsícem

      Kweli ukamtukane rais hadharani nchi hii ? Loo...... uliza yaliyomkuta Bakar Shamte.

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před měsícem +1

      @@jumaseifjuma4185 Kwa hivyo pale majukwaani Kina Jusa wakimtukana matusi Raisi Yale hayaitwi matusi au ,mnaachiwa tu msije mkaleta fyokofyoko maana hamkawii nyinyi ndio kama hapo kidogo tu mshaanza kuleta maneno maneno hahahha tukutane 2025 InshaAllah

    • @moa4122
      @moa4122 Před měsícem

      @@rajabmsinzia1715 Raisi ni mtu anayeongoza nchi na pia anapofanya kosa ni wajinu wa wananchi kumkosowa lakini hakuna mtu yoyote aliyesema waunguja au wamkulanga. Bahati mbaya Nadir kataja wapemba na nadhani hakuwa na nia mbaya lakini ulimi hauna mfupa na bora kujikwaa dole kuliko ulimi. Mbona Nadir ana marafiki wengi wapemba

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před měsícem

      @@Sheba4651 Au xio

    • @saidyussuf2291
      @saidyussuf2291 Před 29 dny

      ​@@moa4122 umezungumza jambo la kuunganisha sio kila anasema anakusudia ubaguzi , wote wa Zanzibar asijite mtu mpemba wala muunguja

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem +3

    Nadir ni mbwa tu .Tena rais mwinyi watakao muharibia ni mbwa km Hawa, Tokea apo CCM hatuipendi ndo itazid kutuchukiza

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před měsícem

    nyie wapemba ccm hawaingii mawaidha msijihangaishe bure subirini 2025 tuwang,oe kwa kura wakileta janja tutawaondoa wanavyotaka kuondoka lkn mara hii ni final ujingaujinga wa malalamiko sasa bass

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i Před měsícem

      Hapo ulipo unanuka njaa unawashinfikiza viongozi wa ccm maisha tu usijitie upofu apa

  • @SabihaRajab
    @SabihaRajab Před 24 dny

    Yule ni mbaguzi tu hapendi watu weusi anajifichia kutukana wapemba lakini anawaona nyani wote humo barazani ila hawataji waunguja analinda cheo