Magoli | Simba 1-5 Yanga SC | NBC Premier League - 05/11/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2023
  • Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
    Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
    Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...
  • Sport

Komentáře • 197

  • @anethmsaki4600
    @anethmsaki4600 Před 4 měsíci +8

    Aliyerudi leo like hapa

  • @fridahmasoi6693
    @fridahmasoi6693 Před 6 měsíci +41

    Nani amerudi kuangalia hii mechi leo kama mimi😂😂🖐🖐🖐

  • @user-eo5rv5mn3w
    @user-eo5rv5mn3w Před 7 měsíci +25

    Hata Kenya 🇰🇪 ushabiki wa Yanga unanoga , heko wananchi ❤❤ mapenzi ya dhati

  • @amrandee
    @amrandee Před 7 měsíci +7

    Dear my child this is the best Young Africans 💛🖤💚 we have ever seen
    This was 5th Nov of 2023
    My joy was unconditionally indeed in this day ,

  • @DianaDaniely-ux1uw
    @DianaDaniely-ux1uw Před 7 měsíci +8

    Nimerudi kuja kuangalia Tena jmn kumbe hawajasawazisha😂😂😂

  • @Ntabo393
    @Ntabo393 Před 7 měsíci +8

    HII NI HISTORIA NAKUWA MTU WA PILI KUCOMMENT NAOMBA LIKES ZANGU

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 Před 2 měsíci +3

    Baada ya kusikia trh 20/ 4 tunakipiga tena,,😂😂😂 nimekuja kutuma salaam kwa watani

  • @user-jv7qi1ff7c
    @user-jv7qi1ff7c Před 7 měsíci +6

    Naangalia leo tena labda simba wanaweza sawazisha😂😂😂😂😂😂😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 7 měsíci +13

    Yaan KIBU waajabu sana amefunga goli ameanza na nyodo ya kuwafunga midomo mashabiki wa Yanga badae ndo amekumbuka kusali matokeo yake wakamkanda yeye kwanza akatoka nje likafuata timu lake likadidimizwa kbs🤣🤣🤣🤣

    • @icmdc1464
      @icmdc1464 Před 7 měsíci +3

      kabisaaa, simba tatizo majigambo🤣

    • @amisamaurid1882
      @amisamaurid1882 Před 7 měsíci +1

      😂😂😂😂😂😂💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 Před 7 měsíci +5

    Mmetuheshimisha sana mashabiki wa yanga

  • @danotieno284
    @danotieno284 Před 7 měsíci +3

    I love how Yanga are doing this, kudos

  • @victoromingo3337
    @victoromingo3337 Před 7 měsíci +4

    Hii yanga inakuja na ubaya...ligi ya tz imetushinda...well organized... Hapa Kenya tu ni wababa tu wanapiga mechi...na watoto wao

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 Před 7 měsíci +2

    This is young Africa 💚💛

  • @dorismwaipembe
    @dorismwaipembe Před 7 měsíci +6

    Hii mechi cwez shindwa kurudia kuangalia kila mara😂💛💚

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 Před 7 měsíci +3

    Leo wa kwanza apa wanayanga wenzangu💚💚💛💛

  • @user-jx5om6jh4o
    @user-jx5om6jh4o Před měsícem +3

    22/04/2024🎉 baada ya kumfunga mtani

  • @duwemei2062
    @duwemei2062 Před 2 měsíci +2

    nimekuja kupitia hii kitu kabla ya mechi ya tar 20/04/2024

  • @pinyoxxl1670
    @pinyoxxl1670 Před 5 měsíci +2

    Mwanagu utakae kuja kuangalia hii video sisi tukiwa tumesha kufa jua tulipata fursa ya kumuona mnyama akitandikwa goli 5 mwaka 2023 daima mbele nyuma mwiko

  • @jayrwalihmussa8475
    @jayrwalihmussa8475 Před 7 měsíci +3

    Ilove yanga😂😂

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 7 měsíci +13

    Asante sana Eng Hersi kwa kutupa Raha binafsi Kwa upande was Raha umetimiza kiu yangu kulipa magoli walio tufungaga na sikudai Kwa hili Bado kimoja tu yaani uwanja na najua utakamilisha soon ahadi zako zoye zinatimizwa na ninawaomba wananchi was yanga uwe Raisi wa kudumu na inawezekana TU mbona Rwanda Raid wao ni WA kudumu?

    • @amisamaurid1882
      @amisamaurid1882 Před 7 měsíci

      Point xana Mzee 💛💚💛💚💚💚💛💛

    • @EliberthElias
      @EliberthElias Před 7 měsíci

      Ira kochawasimba ana2umiza moyo namanula wake

  • @Fanfocusfootball
    @Fanfocusfootball Před 7 měsíci +6

    Gori la kwanza ni goli Kali kuliko yote.🤣🤣

  • @KingJaguar111
    @KingJaguar111 Před 7 měsíci +2

    Dah! Kam utani vle,sem n kujifunz kutokana na makosa hoping that next time tutafanya vema,#Simba nguvu moja!❤️

  • @eidmbelwa8104
    @eidmbelwa8104 Před 7 měsíci +5

    Nimekuja ku-review nione walio hujumu timu lakini sioni kitu.... Wanawaonea tuu

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Před 7 měsíci +3

    Leo Azm TV mmenifurahisha kweli 😂😂😂😂😂

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 Před 5 měsíci +2

    Napenda kuiangalia hii mechi ni zaidi ya mara 50 sasa 😅😅😅😅

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 Před 7 měsíci +5

    Dah mm sio shabiki wa mipira ya Tanzania sipo Simba wala Yanga ila hakiamungu Yanga mpira waloucheza unafanana san na Man City mpira wakumfanya mpinzani aonekane kama team ya daraja la 3 dah balaa

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Před 6 měsíci +1

    l love yanga africans 💚💛🖤

  • @aloycemassawe900
    @aloycemassawe900 Před 7 měsíci +3

    Aseeh hii kwangu nikama dozi ya ukimwi Kila siku lazma niangalie

  • @charleskapaya4248
    @charleskapaya4248 Před 7 měsíci +3

    Asante chama rangu

  • @stephanofyulla8448
    @stephanofyulla8448 Před 5 měsíci +2

    Nani anaangalia hii mechi mpaka leo 2024😂😂😂 Tabulele laa👋

    • @ummimyelle6561
      @ummimyelle6561 Před 5 měsíci

      Kumbe tupo wengi tunaofatilia mpaka hii leo

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 Před 7 měsíci +2

    ❤❤❤❤❤❤❤ Yanga unatoa burudani sana

  • @nduwimanaradjabu6574
    @nduwimanaradjabu6574 Před 7 měsíci +3

    Sisi Sio Milima hatimae tumekutana, Huyu Pacome Zouzzoua Kiboko ya Makolo 😂😂😂

  • @jozidasuperior7257
    @jozidasuperior7257 Před 7 měsíci +5

    Wameyatimba😂😂

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr Před 5 měsíci +2

    Leo tena nmerudi kumwangalia shoga ake KMC😅😅

  • @AnnaJoseph-ng2ei
    @AnnaJoseph-ng2ei Před 4 měsíci +2

    Nani anaangalia marudio kama mimi😂😂😂😂😂😂

  • @user-qx8ez6pw9p
    @user-qx8ez6pw9p Před 7 měsíci +4

    Mie ndo naangalia Mda huu

  • @raynaeafrica9464
    @raynaeafrica9464 Před 5 měsíci +1

    January 2024 Tujuane hapa😅😅❤

  • @alexmosha-mk5ku
    @alexmosha-mk5ku Před 7 měsíci +3

    Yaani hata Kwenye Marudio wamepigwa tena

  • @FrancisMaina-tq8wy
    @FrancisMaina-tq8wy Před 20 hodinami +1

    Nimeikumbuka

  • @user-cs6vc6ff5y
    @user-cs6vc6ff5y Před 5 měsíci +1

    Wananchiiiiiiiiiiiiiii this is young africa

  • @shabanimbululo
    @shabanimbululo Před 7 měsíci +4

    Mmevumiliaaaa mwisho mkaona mpost😁

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 Před 7 měsíci

      Wamepata pakutolea maumivu😂😂😂😂

  • @maniqakebbe8323
    @maniqakebbe8323 Před 5 měsíci +1

    tulio irudia kuiangalia tujuane 2024 😂😂😂

  • @MussaRashid-dm3nv
    @MussaRashid-dm3nv Před dnem +1

    Lomalisa noma

  • @ummimyelle6561
    @ummimyelle6561 Před 5 měsíci

    Cjui kwann naipenda yanga kuas iki yaan icpocheza naumwa mwenzenu😢 aki tena 💚💛🖤

  • @anithaboniface229
    @anithaboniface229 Před 7 měsíci +2

    Nasikia raha sana jamaniiiiiiiiiii mm

  • @omarmatata-dc3mv
    @omarmatata-dc3mv Před 7 měsíci +3

    TABULELE LAAAH😂😂YAAANI MPAAKA WASEEME NI MATESOO NA WATATESEKA MPAKA USIKU WA MANANEE😂😂😂😂💚💛👋👋👋👋👋

  • @thecafcl8409
    @thecafcl8409 Před 7 měsíci +3

    Simba ni team ndogo sana sana

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 7 měsíci +4

    Maji yamezid unga polen Simba sasa muwe na adabu

  • @kyandoalpha9005
    @kyandoalpha9005 Před 7 měsíci +2

    Hii ndo Yanga sasa🙏🙏🙏

  • @newtonoskar1566
    @newtonoskar1566 Před 7 měsíci +3

    Nilizan atakua mpenja😢 atatangaza

  • @allekaddo
    @allekaddo Před 7 měsíci +5

    5 ngapi?

  • @DenisDaniel-rc2xm
    @DenisDaniel-rc2xm Před 3 měsíci +2

    Naangalia leo tena

  • @user-eg5zp8wx4g
    @user-eg5zp8wx4g Před 4 měsíci

    Nmemis Yanga yangu Leo nmeirudia hii gemu kuiyangalia💛💚💪

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 Před 7 měsíci +3

    Kibu alikimbia mapemaaaa kasingizia zake kuumia ili aside delete na mchezo ili lawama zisimdondokee 😂😂😂😂

  • @user-ue2cn6qo2m
    @user-ue2cn6qo2m Před 5 měsíci +1

    Mechi tamu sana hii sichoki kuiludia kutazama..😂😂😂

  • @issa_Tz
    @issa_Tz Před 5 měsíci +1

    Baada ya kufungwa taifa stars nimeona niirudie video hii ili nijifariji

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu Před 7 měsíci +3

    Bado naangalia mechi y jan ilvyokuw bad siamin🤔

  • @ramxomtum2babu414
    @ramxomtum2babu414 Před 2 měsíci +1

    Nimerudia leo mwezi mtukufu😂

  • @HamidaMponda-be3oo
    @HamidaMponda-be3oo Před 7 měsíci +3

    Kila xiku naangalia hii crip

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 Před 3 měsíci +1

    Nmeamua niirudie leo kabla hatujaenda robo fainal ya CAF

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před 7 měsíci +3

    Gharibu mzinga hujawahig tangaza mechi tukafeli wananchi

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 7 měsíci +2

    💚💚💚💚💛💛

  • @greenparktv6926
    @greenparktv6926 Před 7 měsíci +2

    Simba wacoment wapi😂😂😂

  • @TINAMOLLELY
    @TINAMOLLELY Před 2 měsíci

    Tar 2 /4 nimerudi hapaaaa

  • @kenya560
    @kenya560 Před 7 měsíci +1

    Mbona sio HD

  • @MwajumaaDooh
    @MwajumaaDooh Před 2 měsíci +1

    Me kila siku narudia hii mechii😂😂

  • @icmdc1464
    @icmdc1464 Před 7 měsíci

    yanga asantee, mmemfanya kitu kizuri mmeweka heshima🤗

  • @user-yx4xk3ti4t
    @user-yx4xk3ti4t Před 7 měsíci +3

    oyaaaaa ni atari

  • @user-di2sz5rx4x
    @user-di2sz5rx4x Před 5 měsíci +1

    Kila siku napenda kuangalia

  • @user-lf7ms4ud2y
    @user-lf7ms4ud2y Před 7 měsíci +3

    Ni lini mpira ya kenya itakuwa hivi

    • @mwanahamisijuma7270
      @mwanahamisijuma7270 Před 7 měsíci

      Ata cjui kwakwli

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Před 7 měsíci +2

      😂 nyie c mnajivunia English😂

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo Před 7 měsíci +2

      Mpira wa Kenya zamani ulikuwa juu...Ila inabidi mjipange Sana na pia siasa zipungue FKF.

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 Před 7 měsíci

      ​@@ikouwasi7644😂😂😂😂😂😂😂

  • @RicardoMomo-vh6qu
    @RicardoMomo-vh6qu Před 7 měsíci +3

    Hii wamelowa 😂duuh

  • @moviekaa
    @moviekaa Před 7 měsíci +1

    Yaan hii mechi kila nikirudia kuitazama simba anafungwa goli tano alafu wafungaji walewale akina pacome , sijui mimi tu peke yangu au nyinyi wadau munaonaje?😂😂

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před 7 měsíci +1

    Azam muwe mnatulea highlight mapema, tunakosa quality wengne ni mbovu kwel

  • @AllyMaganga-cd8qm
    @AllyMaganga-cd8qm Před 2 měsíci +1

    Nairudia hii game kila mda yaani

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc Před 7 měsíci +2

    Musonda goli la kikatili

  • @bihasnashehondo
    @bihasnashehondo Před 7 měsíci +1

    Ila Azam hamjawaonesha mashabiki wa Yanga kwa ukubwa wake kwenye majukwaa wakishangilia .mlionesha sehemu chache tu za mashabiki wa Yanga

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p Před 7 měsíci +1

    Azam.mpo dunia.h mn maludio ya yqnga na azam.adi leo kenge nyny 😂😂😂💚💚💚🖐🏻🤸🏻‍♂️

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Před 7 měsíci +1

    kwaleo mmeona Aaka!! Yanini kususa, mlimwachia UTV 😂😂😂😂😂😂😂 imekaa powa kweli

  • @ernestfred6813
    @ernestfred6813 Před 7 měsíci +2

    Naangalia muda huu

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 2 měsíci +1

    Tarehe 20/04/2024😂😂😂😂

  • @user-ei1bu4gv4u
    @user-ei1bu4gv4u Před 5 měsíci

    Kweli mashujaa yanga hata kenya wanashabikia yanga aaaaaaaaah duuuu mungu wangu

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc Před 7 měsíci +2

    Magoli matam sana

  • @MwendaKizota
    @MwendaKizota Před 3 měsíci +1

    Mmmh

  • @abdullynasry2205
    @abdullynasry2205 Před 7 měsíci +2

    Angalia goli la 4 utajua kuwa Inonga kaachia makusud angalia kwa makin 😢

  • @anethmsaki4600
    @anethmsaki4600 Před 6 měsíci +1

    Wa leo tujuane

  • @joshualukas2123
    @joshualukas2123 Před 4 měsíci +1

    Umeludia sangap

  • @user-re8gg7bm9h
    @user-re8gg7bm9h Před 2 měsíci +1

    hata mm nimeangalia

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 Před 7 měsíci +1

    Tabulele laaaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @billionaire__kheed
    @billionaire__kheed Před 7 měsíci

    💚💚💛💛💛

  • @hafidhomar2268
    @hafidhomar2268 Před 7 měsíci +3

    Kwanza Mpira kharamu🙄

  • @Ramadhan-rd5kf
    @Ramadhan-rd5kf Před 5 měsíci

    Jaman hii mechi kunashabiki wa simba anayeludiaga kuiangalia kwel

  • @user-nm7yq6bp4u
    @user-nm7yq6bp4u Před 4 měsíci +1

    himechi niyakufungamwaka haitakujakutoke hiinihistoriyakubwa sn

  • @user-gq4hz6cn8l
    @user-gq4hz6cn8l Před 5 měsíci

    mm nimeludi 🤚👐👐👐👐🖐️🖐️🖐️

  • @rashidrajab2534
    @rashidrajab2534 Před 5 měsíci +1

    Tupo baba

  • @user-vl1yv2rg8s
    @user-vl1yv2rg8s Před 14 dny

    Kapombe kazi kulala tu

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7y Před 15 dny

    Mimerudi tena kuangalia hii mechi

  • @user-xd4vh9eo7d
    @user-xd4vh9eo7d Před 7 měsíci +1

    Gharib mzingaaaaaaaaaa kilwa finest

  • @shabanimbululo
    @shabanimbululo Před 7 měsíci +1

    Hatujamalizaaaaa😅😅

  • @NayceMoshi
    @NayceMoshi Před 7 měsíci +1

    Inauma sana ila tutazoea tu😢

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 Před 7 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole....angalia usijeshindwa kuwahudumia vizuri wateja wa Tilisho sababu ya maumivu😂😂😂

  • @user-eg2wy6rh8s
    @user-eg2wy6rh8s Před 5 měsíci

    Hahahaha 😂😂😂😂 yanga tamu all the time huchoki kuangalia