Kusema kweli kicheche unafanya vzr sana akina clam vevo wote umewafunika. Ww unatuletea burudani yenye ucheshi na elimu. Like zote za kicheche naomba ziwekwe apa pumbavu zake mbwa yeye 😁😁😁😁😁🤗🤗
Yan kicheche akili yakoo jmn😂😂😂😂 Mr kisindanoo🙌,... Kwaiyo hapo Kwa akili za kicheche mapenzi yote yataamia Kwa berinda kwasababu yeye ndo madame boss mwenyewe 🙌
Kichecheeee, hahaha mbwa wewe, naona umeshaanza kuvamia msitu wa watu😂😂😂, umekata mti Aina ya LOST TWINS , jiandae , Subiri kichambo cha Mama wa Kihaya 😂😂😂
Arafu kicheche nakukubari kazi niza haki rakini sitaki muwe nabifu na vevo clam nyinyi muritoka mbari yani nyinyi ni wana ok mupendane sababu namungu akawapenda mumetobowa
MWANANGU MAN BONCENA GOT TALENT MAN SIKUPINGI MAN 👊🏾
Mlinzi kaua sana man
Amini man 😂
Dah nimeenjoy sana kipande cha YAAHMAN mamaaaeeee leo mwamba kapereka moto kwa mtoto wa mdosi
J'aime vraiment la vidéo ici je veux la suite😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂😂😂😂😂Yani Kicheche mwehu kweli😂😂😂
Love you kicheche from Congo 🇨🇩
Luta man❤️❤️❤️❤️❤️love from kenya.
Oyah we mih ndo wa kwanza hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi ❤️❤️❤️❤️❤️😢😢😢
Tumekupa mkuu
@@zeckie255 ahsante tuh mbwa mimi 🤣🤣 napendaga hio❣️❣️....
Dio maana nakupeda na ntakuoa
Munaboa na comment kama hizi kwani.. like zawasaidia nini nkt
@@Vodacombestdekin we kausha tuh 🤣🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana Ruta man na kicheche nimefurahi sana kumuona Mr clement kigoma moja
Never Dissapoint Kicheche Respect Kwako 🎉🎉🎉🎉 , Jamani Hat Kam Nimechelew Weken Likes Kam Unamkubal Kicheche Mbwa Wew🎉🎉🎉🎉
😂😂😂kinukta boy mr kasindano 😂😂kidole cha mtoto 😂😂kibamio😹😹😹Mbwa mimi😂😂😂
Kusema kweli kicheche unafanya vzr sana akina clam vevo wote umewafunika. Ww unatuletea burudani yenye ucheshi na elimu. Like zote za kicheche naomba ziwekwe apa pumbavu zake mbwa yeye 😁😁😁😁😁🤗🤗
Ww clam unamfaham
Ww nae muongo bana usifananishe clam na vitu za ovyo kama izi
Alafu clam usimfananishe na hawa vichaa wengine
Zingekuw ni vitu za ovyo msingekuw hapa kufwatilia coment zao. Semeni tu mnamkubali kicheche pumbavu zenuu😂😂😂
Clam ni kitu kingine
Yan kicheche akili yakoo jmn😂😂😂😂 Mr kisindanoo🙌,... Kwaiyo hapo Kwa akili za kicheche mapenzi yote yataamia Kwa berinda kwasababu yeye ndo madame boss mwenyewe 🙌
😂😂😂😂mbwa kicheche 😂😂😂 tuachane na jimama tuendelee na mwana pumbavu zetu 😂😂😂😂 mama kicheche hakutaki tenaaaa.....ushafilisika😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Love from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤ Rumonge
Love from GOGO LOVE OFFICIAL
P
Wakenya tupo😂😂😂usiku wa manane😂😂😂
😂😂😂😂😂 umeuwa kicheche Kawina biggap sana nawakubali pigen kazi ila msicheleweshe sana
wakwanza from kenya🇰🇪kazi nzuri naipenda naombeni likes zenu
Hakuna mtu nimetokea kumkubali kama LUTA MAN😂🙌
Hahah leo wamem-bless😂😂😂😂
Kaua sana man😅😅😅
Saf San unyama ni mwingi nimepanda luta man alivyo tunukiwa 😂😂😂 unyama sana
Nyieeee kicheche nusu niumbuke nilitetemek😅😅😅😅😅
Unaweza baba ....paga sana utamufikiya clam mimi nawafwatiliya sana
Kichecheeee, hahaha mbwa wewe, naona umeshaanza kuvamia msitu wa watu😂😂😂, umekata mti Aina ya LOST TWINS , jiandae , Subiri kichambo cha Mama wa Kihaya 😂😂😂
Latiffah kama ume kosa mume njo Kwangu basi,I like you from DR Congo 🇨🇩
Arafu kicheche nakukubari kazi niza haki rakini sitaki muwe nabifu na vevo clam nyinyi muritoka mbari yani nyinyi ni wana ok mupendane sababu namungu akawapenda mumetobowa
Kicheche kanogeshaaa movie 🔥🔥🔥
Kibenteni ni 🔥 boncena chukua 🎉🎉 yako kicheche kivuruge 😂😂😂
Love from burundi makamba🇧🇮💓
😂😂😂president of kipipi
Mlinzi man namkubali man 😅😅😅👑👑
iyo naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️
Oya man kafanya nianze kumfuatilia kicheche kwa kweli mzinzi ana nikoaha man hahahha❤❤❤❤❤
Hahahaha mlinzi ametunukiwa man
Kicheche yayayayaya 😅😅😅😅😅nakupenda sana na WA dada wako abo nabapenda sana kitambo💓💓💓💓💓🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💓💓🇹🇿🇹🇿🇹🇿💓💓
Upcoming artist from Kenya 🇰🇪 enjoying this
Kazi inaaendelea vizuri tunaomba part inoyofuata iweze kutoka mapema jaman
Luta man mama man 😢😢😢😂😂😂😂very fan
Hamna kitu huyo luta na kipande chake kahalibu
Katunukiwa
Courage kichech much love from BURUNDI 🇧🇮
Huyu kicheche Nimshenzi nyiee😂😂😂😂😂😂😂
Uhakika Sana Mwanangu "LUTA MAN"😂😂
😂😂😂😂😂kimeumana
Ngoma ikivuma sana ujue inakaribia kupasuka. Am wait next ep ftom my country🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Much love 😍 from Kenya 🇰🇪
Kicheche hakili zako unazijuwa mwenyewe😂😂😂
😂😅😊❤😊
J'attends la suite svp
😂😅😂😮 msitucheleweshe na next episode.
Luta man we ni moto man 🔥🔥🔥🔥🔥 Kicheche Raisi wa Vipipi😂😂😂😂😂
Kicheche unabaki wapo kwa mtoto kwa mama.😂😂😂
Mi Nina roho mbaya meni kwenye mambo hayo meni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂kicheche www
Tupa tiye comedy❤❤❤❤ baba 😢😢😢😢😢😢😮😮😮😮😮😮❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
tupo pamoja na kibenteni nipeni like jamn
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤
Oya wanangu man 😊ninaomba like zangu man❤😂
Mapenzi yanaumiza 💔💔💔... kicheche is back wapi likes
Kicheche nawe ni mtoto Wa nne😂😂
😂😂😂😂 kicheche never disappoint 😂😂😂😂😂
True
Oohh my god you too black
try
This series is the top one.
Kichech wap kwelli hawufai kwakwelli😂😂😂😂❤❤❤🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮
Kicheche ukiwa na hasiraa unawezaa kupiga ukaua jamni
Much love from 🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲❤🔥
Never disappoints
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kweli hii movie, ina nipa mafunzo makubwa sana
KICHECHE VS CLAM KITAELEWEKA MWAKA HUU😂😂😂
Clam yuko ju sana
@@nikylian4658 kweli clam miziki mingine ile kwa tasnia ya sasa ukimtoa tinwhite na mkojani anafata yeye
Clam ni next level kashatoka kwenye comedy sasa hv akikaza anaweza akaanza kufuata nyayo za Kanumba.
@@nikylian4658I guess they're on par
Kicheche's plot twist is more complex than Clam's
But Clam takes quality in his production
Oya we hujui kushindanisha em tulia CLAM NI TOP MNOO YUPO JUU SANA CLAM,HUYU KICHECHE BDO SANA KWA CLAM
😂😂😂kicheche to the next level
Mama huyo atafukuzwa kibenten amesha lipa kori popote🤣🤣 we kicheche pumbavu zako take love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 lakini usitukawize leta part 4
Kichwa ya kufaa😂
haya na me nkisema love kicheche from 🇹🇿🇹🇿 ntakosa like kweliii
Team kicheche tujuane kwa like🔥🔥
Mr:kasindano Mr kidole cha mtoto president of vipipi😂😂🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥
😂😂😂😂 we madam Lutaman naweza nikakuperekea moto ukalala maxima mana na upwiru duuuuuuu!!!😢😢
Naogopa jela man😂😂😂Hehe alafu hii tabia ya episode bana si mlete io 4 arraka
Kicheche kapipi😂😂😂😂😂😂
Ruta man kajibebea mzigo wa kishua 😂😂😂
Je t'aime fort 💪 kicheche👉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Rita man umetishaa 🔥
Kicheche kula mzigo mpya huo ndo unahati zote 😂😂😂😂
Love from Tanzania 🎉🎉🎉
pasta Simon mwendelezo tuna utaka aisee
Watching from 🇨🇩❤
Hapo sasa kibenten utamfata Bibi ao binti wake
Hakuna wakulaumiwa mke wakicheche nakicheche mwenyew😊😊
Asant san bwan kichech mahabub 😂😂😂
Kicheche big up bro
,😂😂😂😂eti alizidisha Sana udongi kwenye kigunia
Kicheche weto papa 😂
Ruta mam😂😂😂
Kicheche😂😂😂😂 love from France 💔 💔
wengine tunaanza usiku, usiku wa manane 😂😂😂
Hard werken meneer kicheche ! Groetjes jibril uit Nederland
WOW...nGAPENDA HIO...NIPITIENI GUYS PIA AKY
Love from burundi 🇧🇮
😂😂😂😂😂 moto man
Mahabuba😂😂😂😂
Kaa unamini kicheche Kwa kazi yake nzuri gonga like tukisonga
Hapo mwishoni mwishoni patamu😅❤❤
Love from burundi
LUTA MAN😂🎉
We kicheche mbwa 🐕😀😀🙌
Kicheche unaweza sana kufikiria big up.broo.kazi nzuri
Président of bipipi duniyani😂😂😂😂
🔥 wakwanza leo tena