Unajua wananchi ndio wanaopelekea baadhi ya viongozi kusema hovyo, kwa sababu tunataka wakisema wanachotaka basi kifanyike saa ileile hawakubali kusubiri, hatutambui kuwa kila kitu kina sheria na taratibu zake, tuwe watulivu kwa kiasi fulani.
Wa Tz kunawakati tuelewe, sio mambo ya kusema analipwa kodi zetu. Sasa ulitaka afanye kazi Bure. Mkuu wa Mkoa yupo sahihi. Hawa wamachinga Hawalipi Kodi katika Hilo Eneo. Walitakiwa waende kwa Nidhamu.
Yani bado wanamsikiliza tu,mi sipo mda huo watanzania tupoje mtu anawafokea na yupo kivulini nyie jua Lina wapiga
Unajua wananchi ndio wanaopelekea baadhi ya viongozi kusema hovyo, kwa sababu tunataka wakisema wanachotaka basi kifanyike saa ileile hawakubali kusubiri, hatutambui kuwa kila kitu kina sheria na taratibu zake, tuwe watulivu kwa kiasi fulani.
Mkuu wa mkoa mjinga sana hajui analipwa na Kodi zetu anaongea ujinga hapo eti unawatisha watu wazima
Ipo siku tu itafika
Acha kuwatisha wananchi nao ni watanzania
Watanzanimkoje
Kwan ukiwaelewesha kistaarabu hawakuelew mpaka uwagombeze na mikwara juu wakati hao ndiyo walimpigia kura raisi wako aliyekuteua
Viongozi wa ccm Ila nahuyu ni mjinga balaa
Tumia kauli nzuri mkuu wa mkoa unazid kujivunjia heshima watu waliyokupa kwa kauli zako mbovu za dharau, ulshaanza kulewa madaraka sasa
Huyu hajapwi wala ndo maana anafokea watu wazima kama watoto
Wa Tz kunawakati tuelewe, sio mambo ya kusema analipwa kodi zetu. Sasa ulitaka afanye kazi Bure.
Mkuu wa Mkoa yupo sahihi. Hawa wamachinga Hawalipi Kodi katika Hilo Eneo. Walitakiwa waende kwa Nidhamu.
Uyu hajuh kama mshahara wake ni kodi zetu anamfokea nan sasa
Anajua hatuwezi kumfanya lolote jeshi lake. Ila ipo siku watu tutachoka na matokeo yake watayaona.