RC CHALAMILA afoka MBELE YA WAMACHINGA WA SIMU 2000 "MNANIJARIBU, NITAWAVURUGA, NYIE VIPI?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 13

  • @user-sy5lx7el4z
    @user-sy5lx7el4z Před měsícem

    Yani bado wanamsikiliza tu,mi sipo mda huo watanzania tupoje mtu anawafokea na yupo kivulini nyie jua Lina wapiga

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Před 2 měsíci

    Unajua wananchi ndio wanaopelekea baadhi ya viongozi kusema hovyo, kwa sababu tunataka wakisema wanachotaka basi kifanyike saa ileile hawakubali kusubiri, hatutambui kuwa kila kitu kina sheria na taratibu zake, tuwe watulivu kwa kiasi fulani.

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před 2 měsíci

    Mkuu wa mkoa mjinga sana hajui analipwa na Kodi zetu anaongea ujinga hapo eti unawatisha watu wazima

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Před 2 měsíci

    Ipo siku tu itafika

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l Před 2 měsíci

    Acha kuwatisha wananchi nao ni watanzania

  • @DeoSulle
    @DeoSulle Před měsícem

    Watanzanimkoje

  • @saidkindojo2494
    @saidkindojo2494 Před 2 měsíci

    Kwan ukiwaelewesha kistaarabu hawakuelew mpaka uwagombeze na mikwara juu wakati hao ndiyo walimpigia kura raisi wako aliyekuteua

  • @obeidmpombwe9951
    @obeidmpombwe9951 Před 2 měsíci

    Viongozi wa ccm Ila nahuyu ni mjinga balaa

  • @saidkindojo2494
    @saidkindojo2494 Před 2 měsíci

    Tumia kauli nzuri mkuu wa mkoa unazid kujivunjia heshima watu waliyokupa kwa kauli zako mbovu za dharau, ulshaanza kulewa madaraka sasa

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 Před 2 měsíci

    Huyu hajapwi wala ndo maana anafokea watu wazima kama watoto

  • @mvullamanase
    @mvullamanase Před 2 měsíci

    Wa Tz kunawakati tuelewe, sio mambo ya kusema analipwa kodi zetu. Sasa ulitaka afanye kazi Bure.
    Mkuu wa Mkoa yupo sahihi. Hawa wamachinga Hawalipi Kodi katika Hilo Eneo. Walitakiwa waende kwa Nidhamu.

  • @luckiiinuswe1725
    @luckiiinuswe1725 Před 2 měsíci

    Uyu hajuh kama mshahara wake ni kodi zetu anamfokea nan sasa

    • @LeoniaLyimo
      @LeoniaLyimo Před měsícem

      Anajua hatuwezi kumfanya lolote jeshi lake. Ila ipo siku watu tutachoka na matokeo yake watayaona.