Jitahidi MAMA upo vizuri jitahidi ,,daima ni mbele kurudi nyuma ni mwiko ,,,,YESU ainuliwe Juuu ,,,, injiri ieneeeee dunianibkote ,,,, watspigsna vita kamwe hawatakuweza ,,,, YESU NI JIBU LA MAISHA
Hakika ubarikiwe sana Mamaa mchungaji Hivi unaweza kunisaidia na Mimi ni weze kuhubiri kwa nafasi ya uibaji hapa kipaji kipo cha kutosha, mungu akuinue katika kinywa chako amen
Napenda sana kusikiliza nyimbo zako, maana hua zinanibariki na kunifariji, na mi pia nataka kwenda nyuma ya mlima nikachukue baraka zangu, Mwenyezi-Mungu akubariki sana na akutie nguv katik kaz hii
hakika siku moja nami nitafika nyuma ya Mlima nakuchukua baraka zangu japo bado nipo katika mabonde maporomoko lakini kinipacho matumaini ni kuwa karibu nakaribia nyuma ya mlima wangu na kuyapa kisogo masimango manyanyaso kukatishwa tamaa namaporomoko mengi yanayonifanya nizidi kukaza mwendo kuifikia baraka na matumaini mapya Barikiwa sana Sister Jenifa kwawimbo wa matumaini kwangu
GOD S children Inc is bless to everyone and GOD 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏
Penda sana Dada gennifer tangu utoto nakumbuka nyimbo kama vile lini nitafika#nini kitanitenganisha na upendo was MUNGU dah nakukubali sana Dada MUNGU aendelee kukusimamia
Wow nice song❤ wakenya🇰🇪🇰🇪 like ziko wapi
Nakupenda sana mama Jennifer mgendi❤najifunza mengi cn kupitia ww❤
Sauti saafi mno asante Jen mungu akuinue zaidi
Aminaaaaaaaaaaààä
Nafarijika xanaaaaaaaaaaaàaaaa dahhh mungu akuzdixhe xanaaaaaaaaaaaa
Ubarikiweeeeeee
jambo maman, nina ombi kidogo kwenu, ni tumia nyimbo zote za mu TEKELA mam
Vraiment cette chason me fait dut bien que Dieu te benise toujour signe par lukisa Nathan Bruno
Amina sana ubalikiwa jen❤❤❤❤
Hongera Dada jenifa napenda sauti yako tu
Emen asante sana ubarikiwe sana 🙏I love you so much my mother
Barikiwa sana,nyumbo zako zinanijenga sana
Ubarikiwe dada.mlima umengoka mbele yangu.
barikiwa sana Mama huduma yako ni njema
Hongera Mmtumishi kwa huduma nzuri
Nabarikiwa sn na nyimbo zako dad ang
Uyu mama mungu akusaidie kwa ujumbe huuu
Wow nakusapot mama sana tena
Barikiwa sana kwa kazi nzuri
Ubarikiwe na bwana Dadangu .
Nice balikiwa mama angu ❤
Jitahidi MAMA upo vizuri jitahidi ,,daima ni mbele kurudi nyuma ni mwiko ,,,,YESU ainuliwe Juuu ,,,, injiri ieneeeee dunianibkote ,,,, watspigsna vita kamwe hawatakuweza ,,,, YESU NI JIBU LA MAISHA
Amina Dada yangu mungu no mwema
mungu aendelee kukuinua Dada angu
Nazipenda nyimbo zako sana dada yangu
Ameen barikiwa sana dada
Hakika ubarikiwe sana Mamaa mchungaji Hivi unaweza kunisaidia na Mimi ni weze kuhubiri kwa nafasi ya uibaji hapa kipaji kipo cha kutosha, mungu akuinue katika kinywa chako amen
Missikiyako..nimzuli
Barikiwa sana jennifer
Nice song my sister.
hakika uwepo wako katk dunia hii ni mkubwa hata mungu unajua j nakuelewa Sana💖💖 balikiwa sana
Naomba munisaidie nyimbo za fenifer Mgendi
Barikiwa sana mpendwa
Mungu bariki kazi za mtumishi wako kwa kweli nyimbo zako zinanipa nguvu sana.
Huyu ndie mwimbaji halisi wa kike mavaz mazur
Napenda nyimbo zako dada Jenifer mungu akubariki sana kwa kazi zako nzuri
ubarikiwe sana Dada yetu
Nyimbo hii huniburudisha na kunizidishiya imani . hongera kwaku tuhubiri kupitiya nyimbo . Adolphe
huwa unanigusa sana Jennifer
Kweli wimbo wako umenibariki nataka ningoe milima iliyoko mbele ya maisha yangu barikiwa mno Dada Jane
Amina be blessed
Barikiwa sana mtumishi.kwamahubiri.kupitia nyimbo.namimi.napokea baraka zangu .
Ubarikiwe dada.....
Penda sana wimbo huu
Barikiwa mum
Mungu akubariki Dada ang
mtoto nakupendaga sana jisi ulivyo nahio sauti yako unanichanganya. sana moyoni mwangu hata yesu anarijua hilo nakupenda sana mtoto mzuri
Nataka kwenda nyuma ya mlima mimi nikalione jambo jipya na nikachukuwe baraka zangu pia ❤💖 be blessed sis
penda sana wewe barikiwa mpenzi.
Munipe nyimbo za Jenifer Mgendi
dati, nice song
Jennifer Mungu akubarki
Nyimbo zako zinanibariki sana,zinanikumbusha mengi katika safari ya maisha yangu,ubarikiwe kwa viwango vingine
Barikiwa Sana MAMA yangu hakika ninakupenda Sana nyimbo zako hakika ni tam Sana😘😘😘😘😘
ubarikiwe dada jenifer
Mama we ni wa baraka
Dada Jennifer mgendi nimekupenda tuu bure hongera mungu akupiganie
Amina nataka kwenda nyuma ya mlima mimi nikachukue baraka zangu..very touching...be blessed Jennifer mgendi
❤ this song
E bwana bariki uyu Dada kwa kazi take Dada mungu hakubariki san
Napenda sana kusikiliza nyimbo zako, maana hua zinanibariki na kunifariji, na mi pia nataka kwenda nyuma ya mlima nikachukue baraka zangu, Mwenyezi-Mungu akubariki sana na akutie nguv katik kaz hii
Ahsante sana mama
Amina nataka kwenda nyuma mlima mimi nikachukie baraka zangu. .very touching be blessed Jennifer mgendi
ubarikiwe dada wimbo mzr
ongera mama ubarikiwe
Barikiwa Jennifer mungu azidi kukuinua uimbaji wako unaoenda pamoja na uigizaji nabarikiwa sana
waoo nyuma yamlima ndikozipo baraka zangu balikiwasana dada jenifa mgend kwa kazi nzur MUNGU azidi kukuimarisha mala dufu
Napenda sana nyimbo zako
napenda sana nyimbo zako zote dada,ubalikiwe mungu azidi kukutumia ili tubalikiwe amen aman.
Barikiwa sana dada wimbo umenifariji sana na kunitia nguvu
very nice song DATI
barikiwa sana dada yangu mungu akutie nguvu naupeo tuzidi kubarikiwa zaidi...
Barikiwa sana dada kwa mahubiri kupia nyimbo na barikiwa sana kupitia nyimbo zako
hakika siku moja nami nitafika nyuma ya Mlima nakuchukua baraka zangu japo bado nipo katika mabonde maporomoko lakini kinipacho matumaini ni kuwa karibu nakaribia nyuma ya mlima wangu na kuyapa kisogo masimango manyanyaso kukatishwa tamaa namaporomoko mengi yanayonifanya nizidi kukaza mwendo kuifikia baraka na matumaini mapya Barikiwa sana Sister Jenifa kwawimbo wa matumaini kwangu
Kazi zako ni mafunzo yanayogusa nafsi yangu. Barikiwa sana kwa Kazi nzuri Dada
Wimbo huu umekuwa faraja yangu napopita kwenye majaribu barikiwa mtu wa mungu
Amina mtumishi wa Bwana
Amina, ubarikiwe saana Jennifer mlima lazima ungoke kwenye maisha yangu
GOD S children Inc is bless to everyone and GOD 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏
Barikiwaa sana Dada Mungu akuinue Kwa viwango vya juu
Leo nataka nikachukue Barak zangu ubarikiwe sana mamy wangu kwa ujumbe mzuri umenugusa sanaa
Jeniffer, ngoma zako zinanibariki sana, ata ziwe za mwaka gani, kwangu in za Leo.mungu akubariki.
Penda sana Dada gennifer tangu utoto nakumbuka nyimbo kama vile lini nitafika#nini kitanitenganisha na upendo was MUNGU dah nakukubali sana Dada MUNGU aendelee kukusimamia
Barikiwa sana mama ujumbe mwafaka Wa kuliwaza mioyo iliyopondeka...
Hyo nor dadaangu ubalikiwe
Amina nabarikiwa Sana na nyimbo zako mungu akubariki Sana katika huduma yako dada..
your gift is one out of a million
Hongera sana Dada Jennifer, kibao kimesimama barabara, zaidi zaidi picha iko safi sana HD!
Binti huyu ana sauti kama ya ndege,God bless you sister Jenifer
nymbo zako zanikosha sana nakunibariki hakika mungu nimwema akutangulie katika utumishi wako
Amena mungu akubaliki
Asante Dada Jennifer kwa mafunzo yako mazuri japo siyo mkiristo nimeipenda ujumbe wako unatufundisha mambo mazuri 👏
Ubarikiwe.cn.napenda..sauti.yko.zr.kweli.pia.wimbo.ni.mzr.asante
From Lini, Nini, Nakuimbia wewe tu. Dada Jeni your the best and u always be
ahsante kwa ujumbe mzur wenye faraja dada mungu azidi kukubariki na kazi yako
sister,I like your song,may God bls u as u cntnuo with ur work,thank u so much siz.
Kazi nzuri
Safiiiii
Amen ubarikiwe mama nakupenda sana tena sana mama usijali tuko pamoja sana
Good song nimeipenda sana sister hongera kwa wimbo mzuri
I m so blessed by yr song God bless you
Napendaga Sana nyimbo za huyo mdada jaman MUNGU akubariki sana
ujumbe mzuri wa kutia moyo, katika maisha usiogopeshwe na vikwazo katika kutafuta mafanikio ukiwa na imani kwa Yesu Kristo.
hongera sana
Ubarikiwe dada Mungu akuhinuwe zaidinazaidi mimi ni mkongo kutoka canada 🇨🇦