Nice, movie. naitazama nikiwa uganda na marafiki zangu japo hawaelewi kiswahili. mngeweka tafsiri ya kizungu ingekuwa ya kimataifa. ikifaa hiyo season 2 itafsiriwe.
Hakika imeanza vizuri ikaisha vizuri Kila mmoja ametendea haki nafasi yake Ila wa nimewakuli sana> °°Ruta man°° Amina mijudo°° kicheche°° mama yake Ruta man nimewakbali sana
Katisha vibaya na kanivutia sana kwa hii style yake, pia ukisoma neno kibeniten bila ya kuitizama movie, unaweza ni vichekesho kama tulivyomzoea kikofia, kumbe ni bonge la movie, kiukweli hapa ndio kuna style tuzo sasa
Kicheche we fundi sana mi shabiki wako ila izi clipu zako au bongo movie hauzipi majna mazur yan jna la movie halivutii mfano hii movie ina mambo meng san na inaelmu nying san lakn umeipa jna kbenten yan imeuxixha jambo dogo xan na mafunzo ya hiii movie
This very is masterpiece ,very educative and interesting I enjoyed every bit especially VP man and kicheche so funny guy😂😂😂😂 more love from Kenya to you all actors and actresses
kicheche na ruta man big love from Kenya
Kicheche noma sana nakubali👍🇰🇪
Movie nzuri aisee, nimecheka na ina mafunzo mazuri ya maisha👍🏾👍🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Luta man na mkewe ameua sio kwa uvumilivu huo upendo wa dhati upo moyoni 🎉🎉🎉🙏🙏🙏✋✋
One of the best bongo movie I've ever watched bu so sad....
Turabakunda cyaneeeeeee hano iwacu mu Rwanda ❤️❤️🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Kibenten noma sana really liked the movie🔥🔥🔥🔥🔥 live nikiwa ushelisheli
Kibenteni ni 💥💥💥💥.. leteni nyingine kama io io.. kicheche ❤❤
Nipe mauwa 🎉 yang kicheche makoti
Kicheche man... movie Iko best man.... hongera man... uko juu man... Season ya pili man tunangoja man.... Tuko Mombasani man... Kenya man....
Kibenten ni nima sana Kaka kicheche songa mbele ❤
😂😂Kicheche the 30 second man 😂😂. Hii nayo Kicheche ni🔥🔥🔥🔥
Wakwaza Léo nipeni like hâta 50 jamani nawapenda boss ❤❤
Kicheche baada ya hii, kwasabu imesha isha , bora uka endeley Na "Lamba Lamba*
From Congo we follow you
Tuna taka tu mwisho wa Lamba lamba Bro
Wow nimeipenda saaaana mkovizuri
Nice, movie. naitazama nikiwa uganda na marafiki zangu japo hawaelewi kiswahili. mngeweka tafsiri ya kizungu ingekuwa ya kimataifa. ikifaa hiyo season 2 itafsiriwe.
Napenda kazi zenu kicheche❤
Peter kutoka Kenya noma sana napenda mumefanya kazi mzuri sana
Kutoka baba mwenye nyumba mpk mlinzi waooh inamafunzo kedekede❤❤❤❤
LUTA ndie Alie Uwa Sana Kwenye Movie 👑👌🏾👌🏾👌🏾
Kicheche😂😂😂😂❤❤more love
Hakika imeanza vizuri ikaisha vizuri
Kila mmoja ametendea haki nafasi yake
Ila wa nimewakuli sana> °°Ruta man°° Amina mijudo°° kicheche°° mama yake Ruta man nimewakbali sana
Jaman mimi kiana kutoka burundi making nipo zambia kwasas kiukweli hoi movie nimeipenda xana ruta man ongeza nidiiii kaka usiwaze maisha mzunguko
Much love Kwa staring Makoti....nilisuniri sana hii full movie 🎉🎉🎉
Imeisha vizur man Ila cjapenda man melina kufa man hakua na noma KBS man
Wueh kali hii.....mafunzo ni mengi jamani....hongera Kicheche😂😂😂❤❤❤...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Me ni kamanda man ila kwako nimekua mdebwedo man😂😂😂 kaliiiiiiii
Love from Tanzania 🇹🇿
Wapi likes from kenya 🙏🙏💥💥💥
Ruta man big up maskini mwenzangu
Iko powa sana, Mimi nimekuwa nikiangaria vipande vipande tyu. Nainjoitu.😂
Bado Niko ebisoni ya 17.
Umbwa wewe big love from Kenya 🇰🇪😅
representing 254, the movie is fire🔥🔥🔥🔥
Duuuu kicheche ni noma from ujiji
nakukubali sana kibenten 😅😅😅❤❤ pumbavu zako tuko pamoja ❤❤❤❤
duuh yaani nimemaliza kuiangalia hii movie nimempigia mama..mwandishi amejitahidi sanaaa.
Napenda kazi zenu❤
Luta naomba unitumie namba lakini pia hongera kwa kazi nzuri
Mimi wakwanza jaman kutoka Burundi 🇧🇮
mungu wabariki nyinyi wote muliyo cheza filamu hii, hii filamu is very educative. Big up to kicheche and the team.
Hii movie ni kubwa sana imeniliza, imenifurahisha, na imenielimisha, nimeipenda sana hii story, hasahasa kwa mlinzi na mtoto wa boss was nice
Kikofiaaaaa😂😂😂😂😂😂❤🇰🇪
Movie nturi ya kuburudisha na kuelimisha! Hongera
Wakwanza mie mwaga ❤❤❤
This movie is not only entertaining but also educative with so creative actors, au vipi MAN🤣🤣, much love from Kenya
Kabisa man 😂
Dah huyu Rutha man katisha kinoma 🔥 Kicheche best comedian ever in Tz❤️🔥
Luthaman!
Mashallah mashallah hidaya boli kanenepa mashallah umeolewa saii
Katisha vibaya na kanivutia sana kwa hii style yake, pia ukisoma neno kibeniten bila ya kuitizama movie, unaweza ni vichekesho kama tulivyomzoea kikofia, kumbe ni bonge la movie, kiukweli hapa ndio kuna style tuzo sasa
@@albertkatuga2434 dah hii ni bonge movie afu uzuri wote wametumia vzr uhusika wao
😂😂😂😂😂mpo vizuri mbwa nyie mnacheza na fursa sisi tunasubir mpya au malizia Simon na LAMBALAMBA
from kenya big up Tz one of the best African movie (VP MAN)
Frexh man karibu Tz
Jinga hili kicheche pumbavu zako ww😊😂😂😂
Gate man na huyo Dem wake wanajua kazi😊 movie iko liit....so educative and entertaining🎉
From Germany hii movie amefanya vzur sana kicheche na ruta man
kicheche nime kukubali sana 🎉🎉❤❤ najisikia vibaya nilitamani isiishe hii kibenteni ila ndoivyo yani 🎉🎉🎉😂❤❤❤
Wakwanza mimi Leo nipeni likes tukisonga....kibenten ni 🔥🔥🔥 twangoja ingine kicheche
Uhogkxlglhurfjgkvmvimcml CV lgclhl😅😊🎉❤
Hii movie ni tamu sana,kaka Kicheche fanya hima utuangushie bonge lingine la filamu
Naipenda sana kasi yako
Mwanzo mzuri mwisho mzuri
Good ma Ongereni sana
Vai Belinda nawapenda Sana kwaku mtetea ruta❤❤❤
Nmempenda Sana Mlinzi Lutta
Kicheche I love all your acts brakamwshe pumbavuzako
Latifa nakutafuta mama love you
Man anajua jmnii
Nifanya mini man
Kwa kua wa Kwanza nipeni likes zangu basi hata tano tuh 😂😂❤❤❤😢😢😢😢😢😢😅😅
Tifa ni mrembo sana.na mi ningepiga vitu
Kijana yule ni Kanumba was pili, kaka wa Binti wawili
Mamaa Man nakupenda man 😅😅
Kacheza vzr nmependa sana mama ruta
Huyo dada aliyeact kwenye wimbo wa Tuliza Boli hatari sana. Twamshabikia sana huku Kenya
First viewer nipeni like zangu
Umepigaje apo???
Umepigaje apo
😂😂😂😂kicheche uyu kanivunja mbavu
Number one nipewe mauwa
Min nimeipenda sana
Tifa unagusa maisha yangu hakuna filam nilio tokea kukupenda tifa Ila hyi move daah umenivuta
❤❤❤❤ i like it
From Kenya 😢😢😢
Courge❤🔥🔥🇸🇦🇧🇮 😂😂 munaturudisha nyuma😂
Yaani kicheche kaenda kijijini hatari abadan😂😂😂👏👏😍
Kqwina
Wish we get one more like this it was the best best ❤❤❤❤ kicheche salute man❤
Ingekuwa vizuri sana kama wangeiendeleza kwa season 2, Tafadhari iendelezeni kwan itakuwa vizuri sana,, Asanteni sana!!!
Kicheche we fundi sana mi shabiki wako ila izi clipu zako au bongo movie hauzipi majna mazur yan jna la movie halivutii mfano hii movie ina mambo meng san na inaelmu nying san lakn umeipa jna kbenten yan imeuxixha jambo dogo xan na mafunzo ya hiii movie
Kamtu kadogo mifupa mitulu Mimi na kula Nini Sasa part Kali sana 😂😂😂😂
The best educative movie ever from kicheche👍👍👍
I love this movie!
The gateman’s amazing the turns and twists are despicable
I think I have crush on him
olala ! uuyu Kicheche noma😂🤣🤣🤣😂😁 Big up brow ,ila tunaomba utupe igizo lamziki niite kicheche kibenteni .
Kazi ya ulinzi ni nzuri boss😂
Hii naye imekubali I like it keep going guyz❤
This movie is so educative. That's why every actor played his role perfectly.
Love u more
Leo wa kumi naombeni hata like kumi basi
yoooh babas
Nawapenda sana ❤❤❤ 😂😂😂
Nimekula ada yako😂😂😂
Clam vevo yuko vizuri na snake boy
Vipi man niko
Aisee kweli movie iko poa sn nimeipenda kiukwel mmefanya kazi mzuri sn hongera yenu sn
nimependa sna hii movie but kicheche naomba kufanya kazi na wewe plz
Tff alizingua kidogo
Kwani mnangojea nini jamani leteni Mara moja iyo season 2..... It's a very professional and educative movie ongeleni jamani
This very is masterpiece ,very educative and interesting I enjoyed every bit especially VP man and kicheche so funny guy😂😂😂😂 more love from Kenya to you all actors and actresses
The best movie ever in history 🎉🎉🎉
Best movie ever we need season 2 ❤❤
Oya sio powa damu zangu mmeacha bonge la Movi yan bongo Hamna tena tulien iyo series ya pili msijemkaiharibu
Mbwaaaa 😂 umevunja record movie lako Lina masaa matatu hata wahind awakugusi 😂😂
Hii ni season imeungañishwa epsode sio single movie nd maana ndefu
aaa w kicheche utaniua n mambo yako yakiajabu naikubali KAZI yako❤❤❤❤n big up sna tuko pamoja
Napeenda😂😂😊
Kicheche baadae amekua mlinzi😂😂😂😂
Kicheche unaaambiaje madhe hapo hospitali baada ya kusamehewa laana😂😂😂