Bony Mwaitege - Hallelujah (Official Music Video) SMS TO SKIZA 9840972 TO 811
Vložit
- čas přidán 1. 12. 2021
- Hallelujah watu wa Mungu, Kwama ya kwanza kabisa mwaka huu wa 2021 nimeleta kwenu wimbo huu wa kumsifu Bwana wa majeshi,ninaimani wimbo huu utafanyika baraka kwako na kwa wengi utakao wafikia.nakutakia baraka zote kwa kuendelea kuwa pamoja nami.
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA. - Hudba
Finally it's out Kenya love weka hapa like to show him some support,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Utukufu ni wake bwana kweli kweli 💪💪💪🙏🙏
Groly to God...
Glory be to Jesus.
Watching from Kenya (Mombasa)
Ubarikiwe Sana mentor wangu nakukubali
Hallelujah hallelujah Glory be to Jesus 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mko wapi jameni utukufu kwa bwana
Nice work my Role model Bonny Mwaitege!🇰🇪🇹🇿🔥😁
Hallelujah 💞 God bless you sir Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 is with you.
Wuuu glory to Jesus what a song ,Bonny never disappoints God bless you
Nyimbo Nzur Sana Baba Nabalikiwa Sana
Utukuvu awe very nice welcome back God's servant
Mungu akubariki saana Bonny Kwa Huu wimbo mziri saana ,napenda Hinsi uliuimba Kwa ujasiri
Hallejuh all the way ...much love from Kenya bonny never disappoint gonga like za wakenya tukisonga🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗💖🤗🤗🤗🤗🤗
Be blessed man of God
@@sarahlongoli3439 tashi
🇰🇪
@@kaserekavasombolwa6364ñq0
Praise the Lord amen I'm blessed
Hallelujah utukufu kwa yesu my fellow gospel artists shalom
Kweli kabissa hamunaga Kama mungu,na apewe sifa,haleluyaaaaa.bony arsante Amen mpendwa
Hakika Mungu anajivunia mtumishi....barikiwa sana kazi yako n jema Sana hata Moyo ukiinama unainuka...Mungu akutunze🔥🔥
Hao vijana wako vizuri saana ,kweli mwaitege ngoma nzito
Wow wonderful one inanikuza sana I play it whole day
Ubarikiwe sana mwimbaji wa mungu
Nyimbo nzuri Sana asante saana Kwa nyimbo nzuri nilifungulia mwaka mpya 2022🙏🙏🙏😍😍💪
Amen Amen barikiwa sana kama vile unavyonibariki. sichoki kusikiza na kuona nyimbo zako
Mungu amekuinua juu kutokana na unyenyekevu wako naatakufanya kuwa wa thamani sana hongela sana
Big up papaa mwaitege ,penda Mimi nyimbo Yako hongera
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu nyimbo zako zaniunganisha na mbingu
Simba wa kabila la YUDA ,Amiri jeshi mkuu wa MUNGU oooh hallelujah
Amina..Bonny mwatege nililia sana waliposema umekufa..sasa nimeamini uko
Amen Amen 🙏 🙌 👏 ❤ Tunatenda sana iyi wimbo Mungu akubariki sana kaka yangu this is Jacqueline from Canada 🇨🇦 🙏 ❤ 💖
Wow congratulations man of God we love this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Barikiwa mtumishi wa mungu babaangu wa kiroho mungu azidi kukuunua zaidi na zaidi.namafunuo yaongezeke.
kaka inaniuma sana sana unapokuaga kimya kusema kweli unatoagavnyimbo za Mungu nzur mnoo barkiwa
Kwahiiii mzee wangu nimekukubali na YESU wako
Mungu awabariki muendelee na kazi ya nyimbo zakuinjilisha grol to God 🙏
Mungu mwema excited to win najifunza kutoka kwenu jaman Mungu mwema
My best song in the album...
Kwanini watu wako mtumishi hawafai vizuri nguo za heshima lakini wewe umevaa vizuri
Hii nyimbo du inanipeleka kwa yehova moja kwa moja
Nakubal san ndugu yngu nyimbo ni nzuri san bab
Evengelist Kennedy Rasugu from Kenya,kazi nzuri bro mungu akubariki, naomba one day tumeet tupige collapo
Amen sana ubarikiwe mchungaji na Mwimbaji mkongwe Mungu awe pamoja nawe
Hallelujah hallelujah hallelujauuuujah 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯 all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃💃
Hallelujah mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana Kwa kazi nzr
Haleluyaaa Haleluyaaa nabarikiwa sanaaa na wimbo huu hongera kwakaz nzuri
From TikTok to here .. I can't get enough of it
Much love fro🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪m Kenya
Ndie hapar Rwanda napenda nyimbo zako
Wow nimebarikiwa sana bro be blessed more Mungu apewe sifa siku zote uongezewe miaka uzidi kutubariki Amen
Nyimbo zako huwa unanibariki ,ni nyimbo ambazo umpa mtu mungu ya kuomba
Mungu akupanue zaidi na zaidi katika peo zako zote kwa kazi yake. Utukufu ni wake milele na milele Amina.
Kaa kwa Mungu Siku zote juu anakupenda cna mutumishi
Groly to God fro from Kenya
Ubarikiwe mtumishi wa mungu yuo look nice bieatful God bless you
Nyimbo zako zinanisongeza karibu na mungu ubarikiwe Sana mchungaji.
Good song mungu akupariki xna kwa kazi njema my brother kaza mwendo
Yesu pekee amefanya ya ajabu Maishani mwangu,💕💕💕🙏
This is more fire haaaaaa love you bonny for free
Nakupenda sana mtumishi mwenzangu
Hii wimbo iko kiwango kingine
🇰🇪
🙏🙏🙏🙏 what amazing song kidogo nipitwe nayo keep going mtumishi wa mungu much love from 254 be black
Mungu akuzidiahie maisha marefu yenye amani yasiyo na majuto
Much love from Kenya ndugu Bonny mwaitage,.....gorly be to Jesus my protector
Rwanda Kigali tunakupenda sana mutumishi wamungu🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼⛪
Utukufu Apewe Jehovah
Wow!!!,,,wonder God we praise you imeshika mbayaaaa,,,,
Hallelujah shalom shalom ni yeye tu be blessed born welcome Kenya huu wimbo me hucheza mpaka nasahau shida zangu
Benard feeling blessed with this song. ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ubalikiwe sana mtumishi wa Mungu bonny kaz nzur sana
Nakupenda mkuu
Wimbo mtaamu Sana... Wacha Mungu akizindi kukuinua
Wimbo mzuri sana hongera sana mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa mungu,may God continue to lift you hayer❤
Hongera nimebarikiwa Sana 🙏💪💪 Mungu akutie nguvu zaidi ktk kazi zako. Angalia Mungu anasema Nini na sio mwanadamu anasema nin juu ya kazi zako za utumishi. UBARIKIWE SANAAA
Glory to the King of Kings from Haiti❤😊
welcome back man of God nabarikiwa sana na nyimbo zako
Bony mwaiteg nina penda jins unavo imba lakn niseme kituu
Mimi ni msaanii kutoka kenye unatubariki Sana.
Hallelujah good songs yenye upako be blessed broo bony
Amen kazi nzuri iko viwango vingne barikiwa sana
Sifa kwake Rabana baba yetu kwa yote alotenda anayotenda na ATAKAYOTENDA AMINA🙏🙏🙏🙏.
Mwaitege napenda nyimbo zako sana
Thanks from bonimwaitege umenibariki sana. Mungu akupatie maisha marefu mungu akutie nguvu. Akulinde namadui.happiness from Kenya.
Bony God bless you.wonderful song powerful words.i can't get enough of this
Mungu akubariki mjomba usizeheke mpaka mwisho....
Amina 💯💕💕💕💕🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mbingu zinene mema kwako mtumishi wa MUNGU
May God bless you bonny likes from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hallelujah bungoma we are with you huu wimbo umenijenga sana
Kweli kabisa utukufu ni wa Bwana milele na milele
Hongera Sana Rafiki Pastor Wangu Kiongozi wetu Pamoja
Bony mwaitege ni yuke aliye imba Injili inaubiriwa unaikataha. Izi zingine ni nyimbo azileti tafakari ila misisimuko tu
Unaakili mbovu sometimes' kumbe☝️
Shetani toka apa bonny all the best kaa chini tafakari hii wimbo guok
Wonderful song sifa apewe Bwana Yesu Kristo
Kaka bony barikiwa sana,Mungu akuinue zaidi,.
Hongera sana mtumishi kwa wimbo mzuri
Wow,, this song is on another level.. glory be to Jesusu Hallelujah,, all the way from Kenya🔥🇰🇪
MogGOD, Here over seas.
TUMETAMANI tuu TUPAA TUKUFKIE KULE ULIKO TUKWAMBIE TUU VOTE OF THANKS LIFE IN UR EYES NDIO TUAMINI KWELI UMEPOKEA .
WE R SO GREATFUL FOR HAVING U IN OUR MIDST MAN OF GOD .
THIS IS ANOTHER HOT WIRE .
WONDERFUL SONG TAT IS STILL TOUCHING OUR SOULS WHEREVER E R DAY IN DAY OUT.
I,M.PLAYING IT NOW AD THEN DAILY.
U R BLESSED MOG .
LES TOGETHER PRESS ON PROCLAIMING GODS WORD TO ALL ENDS OF TE WORLD .AMEN
Sifa UTUKUFU Heshima Kwa YESU KRISTO
changamsha mioyo yetu sana kaka God bless you
Oooh yes ,,,Glory be to JESUS my DEFENDER ,,am watching yu in 973 be blessed my brother 🙏 🙌 ❤
My wedding song❤
Barikiwa saana My Brother Tulikumisi saana
much luv 💞💞 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen Amen brother Bonny
Glory be to Jesus hallelujah 🙌🙌🙌 God bless you mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
Amen ubalikiwe Mutumishi WAMUNGU