SHEKH KIPOZEO ampa onyo kali HARMONIZE kuvaa kipini mtoto wakiume unaleta mashaka DIAMOND nilimnyosh

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 03. 2024

Komentáře • 55

  • @saidikomba3120
    @saidikomba3120 Před 4 měsíci +7

    Mungu akupe maisha marefu shekhe wangu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 4 měsíci +5

    Masha'allah Masha'allah sheikh wetu

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před 4 měsíci +1

    Masha Allah, shekhe Mungu akupe maisha Marefu yenye baraka na elimu yenye manufaa Zaidi, napenda Sana mawaida yako 👏👏👏

  • @yusufmarjan8881
    @yusufmarjan8881 Před 4 měsíci +1

    Jazakallahul sheikh kipozea Allah akujaalie afya nzuri na umri mrefu wenye baraka na amali njema In Sha Allah Kwa kutuelimisha.

  • @othmanally3161
    @othmanally3161 Před 4 měsíci +3

    Mashaallah fatwa mzuri sana

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 Před 4 měsíci +4

    Apo kwenye viato amemecha kidogo bcs kusali unavaa viatu inajuzu pia from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @musayosia4081
      @musayosia4081 Před 4 měsíci +2

      Kasema haifai kusoma quran ukiwa umevaa viatu basi hata ukiswali hutakiwi kuvaa viatu kwasababu kusoma quran na kuswali zote ni ibada katika sheria ya kiislam.
      Allaahu warasuulu aalam🙏

  • @amiriidi5721
    @amiriidi5721 Před 4 měsíci

    Alllaukupe. Umrimrefu. Kipozeo

  • @ZideZaidy
    @ZideZaidy Před 4 měsíci +3

    Sheikh wang huyo

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 Před 4 měsíci +1

    Anaweza kuvaa au kutoboa vitu vingi mwilini ikawa ni kumkosea mungu ni dhambi kubwa sana,lakini hili la kusema anafanya nyuma ni suala ambalo linataka ushahidi na haupo au huna ushahidi huo ni wewe ndio unabeba dhima kwa kumsingizia jambo ambalo huna ushahidi nalo

  • @KankuliNsumbu
    @KankuliNsumbu Před 4 měsíci +1

    Uyu mutangazaji yuko vizuri kwa maswali endelea br utafika mbali

  • @user-ns3hd1cp2l
    @user-ns3hd1cp2l Před 4 měsíci +2

    Kwa hakika dini ni nasaha

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Před 4 měsíci +2

    😊shekh, unaogopa nini kumwambia wamelaan na Allah waliojifananisha n wana wake na pia waliojifananisha n wanaumee, wanaumee vidan, Pete Vipin vp? Na uislam wa ramadhan tu au unafunga ila unalala n mwanamke au mwanamke ambae hujamuoa ,hapon kukaa na njaa

  • @MwombekiMartini-ny6sl
    @MwombekiMartini-ny6sl Před 4 měsíci +3

    Uyu mzeee namkubali sana ajawai kukosea jamani 🙌

  • @issaiyinga-cp4ff
    @issaiyinga-cp4ff Před 4 měsíci +1

    Nilistaajabu kwenye interview moja shekh anaulizwa kati ya diamond na alikiba nani zaidi akatoa jibu lake halafu akarudi kwa mboso akamsifia sana eti anajua kuimba. Mashekh waepuke mitego mwingine ni haji manara anaijua dini vizuri tu tena kishawahi kuwa ustadh lakini kwenye media ni mtihani kwa kweli tena msiba hasa.

  • @HajiAllyMwambashi-dt1ki
    @HajiAllyMwambashi-dt1ki Před 3 měsíci

    Hawa wasanii wanajifanya ktk mwezi mtukufu wa ramadhani niwatakatifu hamna shetani kafungwa nyororo na wa pia wamefungwa nyororo bila wao kujua hayo ndio maaja u na muujiza ya Allah.

  • @user-zz3ek5ny6k
    @user-zz3ek5ny6k Před 4 měsíci +2

    mashekhe walinganieni wasanii wennaojua waislaaam sio kuwaongelea mambo mengine tuu

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Před 4 měsíci +2

    Zidii kuwapaa mawaidhah ipoo siku waweza kurudi nyumaa hedaya ipooo kwa mwenyezimngu…

  • @user-hb6sg1sh1z
    @user-hb6sg1sh1z Před 4 měsíci

    Mashallah best shekhe

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 Před 4 měsíci +7

    Sheikh kipozeo mawaidha yako yawalenge wote ila mara nyingi unakuaga unaogopa kumwambia ukweli tajiri yako diamond

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 Před 4 měsíci +1

      Ukweli upi na ndoo keshasema wasanii wote wawe kama Suma lee

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 Před 4 měsíci +1

    Twaonba darsa la watoto wa nje ya ndoa je hao baba wanaitwa baba ni baba zao au la

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Před 4 měsíci +1

    Sheikh kipozeo na mondi nae vipi anava msalaba na mattoo mwili mzima safari bado haja kualika futari

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 4 měsíci +2

    HUYO ANAYE SOMA QURAAN NA KISHAUFU PUANI NI HANITH ANAINGIIWA KWA NYUMA TAFSIRI YAKE . WEWE KIPOZEO USISUE SUE SEMA ANAYEVAA KIPINI NI HANISI SHOGA .USANII SIO LAZIMA UVAE VISHAUFU NI DALILI ZA KUDHARAU DINI NA KUONYESHA WAZI KWAMBA WANAFIRWA /HANITH LIAMARI

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Před 4 měsíci +1

    Yaonesha kuna msani anamlipa huyu mzee kipozeo

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 4 měsíci

    MNAWAOGOPA SANA HAO MASHOGA MASHEKHE WENGINE NDIO KWANZA WANAWACHUKUA WATOTO WALIOZALIWA NJE WA NAO JIDAI HAO MASHOGA ATI NI WATOTO WAO .HUOUNAFIKI KAMA UMEZAAA NJE KAMA NGURUWE MTOTO SI WAKO TUSIDANGANYANE . UNAFIKI JIHESABU HUNA WATOTO NA WEWE KIPOZEO UNAOGOPA KUWAAMBIA HAO MASHOGA WASENGE WAKUBWA HAO

  • @AbaskoNhuckjr
    @AbaskoNhuckjr Před 4 měsíci +2

    Asante sana mzze baba

  • @titobernard383
    @titobernard383 Před 4 měsíci

    Shekh , umeblichi ndevu !?

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 4 měsíci +1

    Kuna kipindi mie nahisi uislam wa tzn ni tofauti na uislam wa nchi zingine maana haswa hayo makundi Ya wasani ndio Innalillah wa ina ileh rajiun skendo hazipoi hadi mfungo. Kuna video Ya huyo Konde eti anasoma Surat al fatha kama vile yuko anaimba kwangwaru na kipini puani na kilemba kichwani.
    Mnawaagopa sijuwi kwa nini hamuwalinginiye ?
    Ila Mazinge yeye uwa anawapa vidonge vyao.

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 Před 4 měsíci

    Niaridadi.tu

  • @ndogoro
    @ndogoro Před 4 měsíci

    Naam

  • @namajanjamarende
    @namajanjamarende Před 3 měsíci

    Yan kweli mtandao Yan mi huwa nakaa nkijua huyu sheikh hayupo tena ,alitangulia mbele za Haki ,sa hii namsikiza ,ogopa mtandao

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 4 měsíci

    Tatizo TV ni za family huyu kaka hajui kuoji kabisaaaa what do you mean right ukisema kidogo right sijapenda

  • @AishaNayimana-pp2pu
    @AishaNayimana-pp2pu Před 4 měsíci

    Biyato anaruhusiwa kuvaa katika swala

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Před 4 měsíci

    Hii intavyuu namashakanayo kwapwent zifuatazo namashaka nawewe haunakatazo avue asome akimaliza! Alaf huntha kaingiaje kwenye mada hilosiosomofupi linahitaji upana sio kupitia ubavu wamashoga wakiletapwent sisi tumeegemea kwwnye maumbile fulan ! Hii mada iwwkesawa

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 4 měsíci

    Yer cos your God . Relax

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt Před 4 měsíci +1

    Huyu kipzeo ni jitu la dhihaka dhihaka Sanaa Diamond alikua manakula pamoja mpaka imani yako okawa na dhaifu ukajiondoa lakini mbona hujamsema kuhusu mapuli chain zake na Tatoo zake ? Wewe shekh una mushkil kwangu.

    • @HajiAllyMwambashi-dt1ki
      @HajiAllyMwambashi-dt1ki Před 3 měsíci

      Acha kumshusha kipozeo wewe mwanawazuoni huyu yupo vizuri

    • @ExcitedChefHat-ef5jt
      @ExcitedChefHat-ef5jt Před 3 měsíci

      @HajiAllyMwambashi-dt1ki wewe ndio mwanachuoni kwako lakino mimi namuona jitu la kupenda mizigo tuu , na dhihaka dhihaka .
      Si yeye alikua na diamond kipindi fulani mpaka watu wakamshuku akajishtukia kaondoka . Kama wewe umemkubali ni sawa tuu.

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 Před 4 měsíci

    Kila kitu “Right?”acha hizo presenter

  • @ismailissa3996
    @ismailissa3996 Před 4 měsíci

    Mkuu hapo kwenye suala viatu niache umeongopa

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 4 měsíci

    HAO DIAMOND NA HUYO SHOGA MWENZIE SIJUI KONDE BOY KWA HESABU ZA KIISLAM NI MASHOGA NA MAKAHABA TUU HAWANA HESABU NYINGINE YOYOTE KWA MUNGU . UTAPINDA PINDA MPAKA UTACHOKA KIPOZEO HAO MARAFIKI ZAKO MASHOGA TUU

  • @mohamedsemboja
    @mohamedsemboja Před 4 měsíci

    Hivi nyie waandishi hamwezi kuzungumza Kiswahili bila kuingiza Kiingereza? Mnachomeka Kiingereza ili iweje? Hamna misamiati ya kutosha mpaka mchomeke Kiingereza?

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 Před 4 měsíci

    Islam dini la kishetani

  • @saidirakozi1809
    @saidirakozi1809 Před 4 měsíci

    Harmonize amelaniwa

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 4 měsíci

    MBONA MZEE YUSSUF UNAMUANDAMA HAO MASHOGA UNAWAOGOPA KIPOZEO ??? MZEE YUSSUFU JUU YA MAMBO YAKE ANAVAA KISHOGA KAMA HAO WASENGE WAKO??? UWE FAIR BWANA

  • @phchouse
    @phchouse Před 4 měsíci

    MBONA NA WEWE UMEPAKA RANGI NDEVU

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 Před 4 měsíci +1

      kwani kuweka hina ndevu ni haram??

    • @_MuniraAli
      @_MuniraAli Před 4 měsíci +1

      Nenda ukasome mwanzo kabla hujajiabisha. Ipo kwenye Hadith.