Dkt. GeorDavie atoa Gari na zawadi za washindi wa Miss Tanzanite Manyara - GeorDavie TV
Vložit
- čas přidán 19. 11. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Aliesikia mchungaji anamsifia mdada ana meno like zangu😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kuna kupigana miti
Hakika mwenyezi Mungu anawaona mnacho kifanya.sijaona hata siku moja ukihubili.ila kutoa na kujionyesha.mlagowe
Nyie waumini wote,someni 1Korintho 10:31. Nyie watu mnachangamoto sana. Yaani mambo ya Dunia yameingizwa kanisani. Mnafurahia kupewa gari na vijipesa lakini mwisho wake ni kilio na kusaga meno.
Shida li wapi kuzaidia
Eehh shida i wapi wewe ukisaidiwa utakataaaa
Point and fact 🎉
Yesu anasema angalieni msifanye wemawenu machoni pawatu kusudi mtazamwe na watu .pili jiulize wapo waumini wangapi hapo hawajui hata Wana kulanini mbona asiwasaidie wapo watumishi wake wangapi hawana magari mbona asiwape.tatu fuatilia watuwote maarufu aliowasaidia kama Wana vuma tena mna ibiwa nyota fungukeni macho muda simrefu mta juwa Mungu hadhihakiwi
Mungu tusaidie ss tulio wadogo wa imani utupe iman iliyo timilifu kiroho utuongoze ututie nguvu uturinde na manabii hawa wauongo kama ulivyo tuahidi kuwa walio wako unawajua miongoni mwaoo na mm unijue bwana yesu wangu ntie nguvu ktk roho yangu Amina
Dunia inakalibia jioni kweli kweli
Acha ndg yang mm naogopa
Aiseee jmn ww acha tyu nataman kulia sijui kinini hiki😢😢😢😢😢
Hakuna uwepo wa Mungu labda km ana Mungu mwingine
YESU anarudi kumbukeni hilo
Twajua sana anarudi
Dah Acha niililie roho yangu, na roho za watu wangu!
Isaiah 9:16
Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
[16]For the leaders of this people cause them to err; and they that are led of them are destroyed.
Ushabiki utapoteza nafsi zenu ,bado mnayo nafasi ya kubadilisha njia zenu. Mungu awarehemu
Acha kuhukumu wewe vp wewe maisha yako ya rohoni
@@elishamwakapugi7751 sio KUHUKUMU Bblia ihv DHAMBI ZA WATU WENGNE NI DHAHIRI NAZO ZAWATANGULIA HUKUMUNI ILA WENGNE DHAMB ZAO ZA WAFUATA kwhy km n mmoja wao ,unayonafas ya KUJIPONYA roho yko na jehenam ukiwekwa mateka km ASEMavyo Yer42:22 bc tena
Watu wamepotea juu wamekosa ufahamu
Elisha sema huyu amehukumu nini?
kilicho cha MUNGU ni cha MUNGU. kama huyu jamaa ni kichekesho ni hivyo. hakuna Mungu hapa wewe. kama umetumwa nae ni wewe lakini ukweli ni kwamba huyu sio wa MUNGU. na kama huna akili ni huna akili hakuna kukupamba. ELISHA HAKIKISHA unakuwa na akili usiwe mpumbavu usieweza kujua mengi,,, ila hata huyu bado hujua sio wa kutoka kwa MUNGU?. ETI HUKUMU.. UNAJUA HUKUMU WEWE?@@elishamwakapugi7751
wachugaji apomnaonawivu rakini. watuwakiubirikweri. amtaki iyondosawa mwakipesire. arisema mkasema hanaeki mavipiapo
Chukizo la uharibifu limesimama patakatifu jamani
Kanisa limegeuzwa kuwa sehemu ya mamiss,andiko gani linaonesha?Yanatoka wap hayo?
Siku zamwisho tutasikiya Vingi na tutaona Vingi, Neno LA Mungu hamuna😭
Tengeneza mambo yako Acha kuhukumu
@@elishamwakapugi7751kwani weweni usher wa CZcams wakujibu watu??
,😭😭😭😭😭😭my God give us spiritual eyes we're perishing
@@elishamwakapugi7751Nobody has judged anyone bt the pple states
Yesu tusaidie na uturehemu kwa haya yanayo endelea
Imeandikwa nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala lakini nyinyi mmeifanya pango la wanyang,anyi
Wangejua kilicho nyuma yao ata hawawez shiriki .ila mungu awafungue macho y kiroho,
Hapa Yesu hayupo kabisa, kabisa, poleni mliopotea
Sasa hili ni kanisaa au vipi?
Kanisa hili limejaza Yezebeli kibao
Kweli mungu akae minguni maana ujumbe wake ikishaa kwa mtumishi wake kizimuu inamtumiaa poleni sana
Maandi ili ya time lazima wawepo watimiza maandiko ninawahurumia maana jehamu nimahari pabaya
8:09 Nabii Mkuu kaimba goma Kalii Sanaa
Rudi Rich Mavoko ft Patoranking
Eeh!Mungu tusaidie
E Mungu tupe macho ya rohoni
Omba upewe
Children of God perish due to lack of knowledge,I don blv in this at all,jihadhalini sana.
Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu
Be blessed by gozdanny Daniel GOSPER WA INJILI
Duuuuuu tukeshe tukiomba no comment
Woh ❤Maisha marefu kwako Baba
Mboga hizo za mchungaji zimeletwa achague ile imenona
Mke wa huyu jamaa anajisikiaje mumewe anavomsifia huyo msichana
Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai
MZEE GEODAV NAKUKUBALI
KINOMA DUH UNATUMIA
PESA SANA MZEE GEODAV
Jamam Mungu mwema tupe macho ya kuona, kwa jina la Yesu aminaaa
👏👏👏👏👏👏👏Kyande aliimba vizuri kuwa,kama ni kuimba na shetani anaimba wala kuimba sio njia ya wokovu
Asante baba nabii wa kisasa
Baba mungu akuinue in naye akuongezee siku moja kwetu
Mmmmh kwakweli kabisa ni aibu kwa nyumba ya ibaaada hiyo looooh
Huu ni uchafu mbele za mungu
Kivipisasa explain wewe msafi
Huo ni uchafuuuuu...ambaye hujaelewa basiiiii
Mungu asipoingilia Kati mmmmmh
Yaaa Mukuruuuuu Ngaii Salama Manat wa Manase Mudhambiii???Khaii my people are so good and trully mean it🙏Dear Jodave thank you my,,My small letter from Sultan Rasurul daughter am among you
E Mungu wangu e Kwa naamuna hii shetani yupo kazi it
baba mungu akubariki nawomba namimi unisaidiye nitoke kwenye umasikini
Mungu akuongezee palipo pungua
Yani binadamu tumekua hatuna hofu ya mungu sasa dini gani inakubali ujinga huu
Baba nabii nimekupenda sana mungu akubariki
Nawe mwanangurumo upon ee
kwa huo uchafu
Muz nabimuku unanibariki sana mimi nimucongomani
Mungu atusaidie
Yaani jamani Mungu atupe macho ya rohoni
Asha tupa
Nabii mkuu una tabia mbaya!
Kweli nabii hii ni Ibada au kufuru
Mungu akubariki Nabii
Woooow
Yaani mtumishi wa MUNGU wahitaji tupi wengi mno ubarikiwe sana ❤❤❤
Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu
aMINA dANIEL mungu ATUFUNGUE MACHO@@DanielJackson-vd2jw
Majira sasa yapo jioni na ndege wote kwenye viota vyao Mwokozi yupo karibu na ujira wake
End of the time,aminini kwamba
Izo pesa anazitoa wapi?.
Yani bado kuna watu wanamuhita huyu NI mtumishi wa Mungu?? Huyu NI muabudu shetani mkubwa Sana Yani huyu wakala wa kuzimu aslimia miamoja kabisa
Anakusanya nafsi tu kuzipeleka kuzimu maskini
Tokeni huko na umaskiñi wenu mawazo dumavu hayo
Machache hunaakili Nani masikini MTU aliye na Mungu wa kweli huwa anakuaga masikini ??? Lazma tukemee ushetani wa hadhalani wa geodev
Umaskini unakusumbua na makasiriko
Watu wote Mungu anawapenda,tusijihesabie haki nakuwa zarau wengine,minakuambia hao wadada watatoka hapo wamehesabiwa haki,
Hakuna ajuaye.
Nisaidie na mm gali nalitaka au hata bajaji2 nitakushukuru
Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?
Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?
Daaah kweli tumefikia huku?
Kcheko cha geordevie duh
Tunaenda na wanao kwenda🎉
Bwana Yesu hakuwa na upendeleo hata sasa bado anatupenda jinsi tulivyo. TUOMBEANE TUCHUKULIANE MIZIGO. NI HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA. MUNGU AWABARIKI WATUMISHI WOTE WAAMINIFU WANAOWAKUMBUKA WAHITAJI.
Amina nabii
👏👏👏
Uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafuuuuuuuuuuu!!!!!!!!
😢
Mtupuuuuu
Ndo mana makanisa yamekua mengi ni nyumba za biashara
Voici l'homme qu'il faut tuonane Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mmmmh injili imevamiwa
Kwanini wasema hivi
Inalilah waina lilah lajuuni
Kusali inachosha duh hii mpya
Unahitajika ukumbozi wa kifkra aisee. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kabisaaa
Ukombozi wa kifikra ni moja ya utajiri mkubwa sana.❤
Hii ndo inaitwa mtawatambua kwa matunda yao yaani mkono mmja unakemea uovu mkono mwingine unauunga mkono Mungu atusaidie tujue kwamba shetani huja kwa njia nyingi
Halima
Mama kadija umeamsha kweri kwer uko vizur
Yaani mimi nawashangaa watu wa coment kila mtu amepewa eneo lake
Hili kanisa la aina gani?
Mchungaji geordavie is the best.hongera Santa geordavie
Vitu za dunia hizo apeane neno na kuelekeza watu kwa njia ya ukweli
Kuna wagonjwa, mayatima, wanaotaka Karo ya shule who's need's are very urgent than this, is God really in this, help me choose
Baba uinuliwe sana❤
Sku mungu akilud Dunian atashangaa kwan aliiacha ikiwa nzuri sana ila sasa imechafuka chafuka sana kana nichakula hakistahih kabsa kuluwa mungu atuhulumie jaman moto unatusubili
Embu shindweni kwajina la YESU
The Today Christian they love commedian prichers
👉🥱
Huyu ni mfanyabiashara sio nabii kajificha kwenye neno la Mungu
Kabisa😢😢
Ubarikiwe sana baba, iendelee kuwa na moyo huo huo wakuwasaidia wanyonge kama sisi
Kanisa la kishetani hili
Roho ya mtu ikifungiwa kwenye madhabahu basi hawezi kabisa kugundua BAYA Bali atakokotwa Hadi ....
Nafurahi sana
Nabiiiiii bantu ba maxobeta balileee,,,ngaii SALAMA taina bantuuuu????khaaaiiiii Ngaiii azambeeee,,,,Zambe nangaiii Rasurullwah to SARA ya Semiramis Rasuri Manat Peacemaker,,,thank you
Huyu si mtu wa mungu pepo
Anachaguliwa walembo wakula vichocholoni😢😢😢😢
Sina mamlaka ya kuhukumu ila sijaelewa!. Labda anawasaidia TU kutimiza malengo yao
Ee mungu jaman tusamehee
Maisha mazuri ,mama na ya Baraka
Ninyi Uchafu wenu wa gizani hamuusemi Karibuni Msaidiwe pia Kutoa pesa au vitu vya Thamani ni Ibada ngumu mno jaribuni kidogo kama mtaweza nipo hapa
Hao ndo manabii wenu watu wa ulimwengu huu polen
Yaani ni mtihani watu wanaangamiza roho zao maskin kwa ajili ya pesa
Naona aibuu😅
Kuweni makini huko ni wakala wa shetani
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Wow! Great
Mungu yupo wap
Wakati wengine wanakuponda wengine wanalia kwa miyoyo ya kushukuru
Oo Glory to God!!!
Huyu baba nampataje jaman na mimi nipewe hata miliooo moja ya mtaji😣
Choral picha yake kwenye bega lako uone kama hujapewa
Hyu madamu abarikiwe na Mungu
Basi huna haja kusema Nabii !! Kumbe wala hujui maana ya Nabii wala Malikia
Mungu tuhulumiee sana
What the heck?
Zawadi ya kujitangaza na kujipamba namna hiyo inakubalika kwa Mungu?
Mhh inaonekana kama iko kibiashara zaidi.
Kikrosto haiko hivyo hata Yesu mwenyewe hakufanya hivyo. Jamani tuwe makini tujue namna ya kutambua biblia inasema nini na inakataza nini. Hata kusali tu tunaambiwa mtu mwingine asijue kuwa unafunga na kusali bali ni siri yako na Mungu wako.
Unaambiwa kutoa hats mkono mwingine usijue kuwa umetoa nini au ngapi. Hiyo ni biblia inasema siyo maneno yangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bible says watu wangu wamepotea kwa kukosa ufahamu
Mathayo 6:2