Dkt. GeorDavie atoa Gari na zawadi za washindi wa Miss Tanzanite Manyara - GeorDavie TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 11. 2023
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Komentáře • 351

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 8 měsíci +13

    Aliesikia mchungaji anamsifia mdada ana meno like zangu😆😆

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 Před 6 měsíci

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo kuna kupigana miti

  • @AhaziAlexander
    @AhaziAlexander Před 8 měsíci +11

    Hakika mwenyezi Mungu anawaona mnacho kifanya.sijaona hata siku moja ukihubili.ila kutoa na kujionyesha.mlagowe

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před 8 měsíci +14

    Nyie waumini wote,someni 1Korintho 10:31. Nyie watu mnachangamoto sana. Yaani mambo ya Dunia yameingizwa kanisani. Mnafurahia kupewa gari na vijipesa lakini mwisho wake ni kilio na kusaga meno.

    • @elijahsandeh5324
      @elijahsandeh5324 Před 7 měsíci

      Shida li wapi kuzaidia

    • @jamesndirangu2425
      @jamesndirangu2425 Před 7 měsíci +1

      Eehh shida i wapi wewe ukisaidiwa utakataaaa

    • @DanielJackson-vd2jw
      @DanielJackson-vd2jw Před 7 měsíci

      Point and fact 🎉

    • @user-ph3pi1dm2n
      @user-ph3pi1dm2n Před 5 měsíci

      Yesu anasema angalieni msifanye wemawenu machoni pawatu kusudi mtazamwe na watu .pili jiulize wapo waumini wangapi hapo hawajui hata Wana kulanini mbona asiwasaidie wapo watumishi wake wangapi hawana magari mbona asiwape.tatu fuatilia watuwote maarufu aliowasaidia kama Wana vuma tena mna ibiwa nyota fungukeni macho muda simrefu mta juwa Mungu hadhihakiwi

  • @user-sk9zr4bn2k
    @user-sk9zr4bn2k Před 6 měsíci +1

    Mungu tusaidie ss tulio wadogo wa imani utupe iman iliyo timilifu kiroho utuongoze ututie nguvu uturinde na manabii hawa wauongo kama ulivyo tuahidi kuwa walio wako unawajua miongoni mwaoo na mm unijue bwana yesu wangu ntie nguvu ktk roho yangu Amina

  • @KushahaLaban-co1un
    @KushahaLaban-co1un Před 8 měsíci +16

    Dunia inakalibia jioni kweli kweli

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 Před 7 měsíci

      Acha ndg yang mm naogopa

    • @Sarahsaid2648
      @Sarahsaid2648 Před 6 měsíci

      Aiseee jmn ww acha tyu nataman kulia sijui kinini hiki😢😢😢😢😢

  • @MatildeBjelland
    @MatildeBjelland Před 6 měsíci +3

    Hakuna uwepo wa Mungu labda km ana Mungu mwingine

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 8 měsíci +10

    YESU anarudi kumbukeni hilo

  • @charlesmbunda6759
    @charlesmbunda6759 Před 8 měsíci +14

    Dah Acha niililie roho yangu, na roho za watu wangu!

  • @gideonelishadai100
    @gideonelishadai100 Před 6 měsíci +3

    Isaiah 9:16
    Kwa maana wawaongozao watu hawa ndio wawakoseshao, na hao walioongozwa na watu hao wameangamia.
    [16]For the leaders of this people cause them to err; and they that are led of them are destroyed.

  • @johnmnyawi5718
    @johnmnyawi5718 Před 8 měsíci +17

    Ushabiki utapoteza nafsi zenu ,bado mnayo nafasi ya kubadilisha njia zenu. Mungu awarehemu

    • @elishamwakapugi7751
      @elishamwakapugi7751 Před 8 měsíci

      Acha kuhukumu wewe vp wewe maisha yako ya rohoni

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 Před 8 měsíci

      @@elishamwakapugi7751 sio KUHUKUMU Bblia ihv DHAMBI ZA WATU WENGNE NI DHAHIRI NAZO ZAWATANGULIA HUKUMUNI ILA WENGNE DHAMB ZAO ZA WAFUATA kwhy km n mmoja wao ,unayonafas ya KUJIPONYA roho yko na jehenam ukiwekwa mateka km ASEMavyo Yer42:22 bc tena

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 Před 6 měsíci

      Watu wamepotea juu wamekosa ufahamu

    • @mimimimi-pg5uk
      @mimimimi-pg5uk Před 6 měsíci

      Elisha sema huyu amehukumu nini?
      kilicho cha MUNGU ni cha MUNGU. kama huyu jamaa ni kichekesho ni hivyo. hakuna Mungu hapa wewe. kama umetumwa nae ni wewe lakini ukweli ni kwamba huyu sio wa MUNGU. na kama huna akili ni huna akili hakuna kukupamba. ELISHA HAKIKISHA unakuwa na akili usiwe mpumbavu usieweza kujua mengi,,, ila hata huyu bado hujua sio wa kutoka kwa MUNGU?. ETI HUKUMU.. UNAJUA HUKUMU WEWE?@@elishamwakapugi7751

    • @erasmobenardsangu-1854
      @erasmobenardsangu-1854 Před 6 měsíci

      wachugaji apomnaonawivu rakini. watuwakiubirikweri. amtaki iyondosawa mwakipesire. arisema mkasema hanaeki mavipiapo

  • @GgSaw-vi4mo
    @GgSaw-vi4mo Před 8 měsíci +9

    Chukizo la uharibifu limesimama patakatifu jamani

  • @mosesndimgwanko1079
    @mosesndimgwanko1079 Před 8 měsíci +4

    Kanisa limegeuzwa kuwa sehemu ya mamiss,andiko gani linaonesha?Yanatoka wap hayo?

  • @user-tj3wu4jw2p
    @user-tj3wu4jw2p Před 8 měsíci +10

    Siku zamwisho tutasikiya Vingi na tutaona Vingi, Neno LA Mungu hamuna😭

    • @elishamwakapugi7751
      @elishamwakapugi7751 Před 8 měsíci

      Tengeneza mambo yako Acha kuhukumu

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před 7 měsíci +1

      ​@@elishamwakapugi7751kwani weweni usher wa CZcams wakujibu watu??

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 Před 6 měsíci

      ,😭😭😭😭😭😭my God give us spiritual eyes we're perishing

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 Před 6 měsíci

      ​@@elishamwakapugi7751Nobody has judged anyone bt the pple states

  • @praiseludutu4053
    @praiseludutu4053 Před 6 měsíci +2

    Yesu tusaidie na uturehemu kwa haya yanayo endelea

  • @Apostlegmkumbwa
    @Apostlegmkumbwa Před 8 měsíci +8

    Imeandikwa nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala lakini nyinyi mmeifanya pango la wanyang,anyi

    • @JedidaNdutuu-ys3lx
      @JedidaNdutuu-ys3lx Před 3 měsíci

      Wangejua kilicho nyuma yao ata hawawez shiriki .ila mungu awafungue macho y kiroho,

  • @GodfridMbele-sb1ks
    @GodfridMbele-sb1ks Před 7 měsíci +3

    Hapa Yesu hayupo kabisa, kabisa, poleni mliopotea

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 8 měsíci +3

    Sasa hili ni kanisaa au vipi?

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před 8 měsíci +6

    Kanisa hili limejaza Yezebeli kibao

  • @samwelimollel
    @samwelimollel Před 8 měsíci +3

    Kweli mungu akae minguni maana ujumbe wake ikishaa kwa mtumishi wake kizimuu inamtumiaa poleni sana

  • @user-pe8vt4lo3g
    @user-pe8vt4lo3g Před 8 měsíci +5

    Maandi ili ya time lazima wawepo watimiza maandiko ninawahurumia maana jehamu nimahari pabaya

  • @Excel-Elevation-School
    @Excel-Elevation-School Před 6 měsíci +1

    8:09 Nabii Mkuu kaimba goma Kalii Sanaa
    Rudi Rich Mavoko ft Patoranking

  • @mariammbwaga8463
    @mariammbwaga8463 Před 8 měsíci +6

    Eeh!Mungu tusaidie

  • @raynawilliam4719
    @raynawilliam4719 Před 8 měsíci +9

    E Mungu tupe macho ya rohoni

  • @bettywambui5871
    @bettywambui5871 Před 7 měsíci +6

    Children of God perish due to lack of knowledge,I don blv in this at all,jihadhalini sana.

    • @DanielJackson-vd2jw
      @DanielJackson-vd2jw Před 7 měsíci

      Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu

  • @gozdannyisaya6641
    @gozdannyisaya6641 Před 7 měsíci +1

    Be blessed by gozdanny Daniel GOSPER WA INJILI

  • @luicensigabriel104
    @luicensigabriel104 Před 8 měsíci +1

    Duuuuuu tukeshe tukiomba no comment

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 7 měsíci +1

    Woh ❤Maisha marefu kwako Baba

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Před 8 měsíci +6

    Mboga hizo za mchungaji zimeletwa achague ile imenona

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x Před 7 měsíci +4

    Mke wa huyu jamaa anajisikiaje mumewe anavomsifia huyo msichana

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes8 Před 6 měsíci

    Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 6 měsíci +1

    MZEE GEODAV NAKUKUBALI
    KINOMA DUH UNATUMIA
    PESA SANA MZEE GEODAV

  • @QwaridaNadamassay
    @QwaridaNadamassay Před 7 měsíci

    Jamam Mungu mwema tupe macho ya kuona, kwa jina la Yesu aminaaa

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 Před 6 měsíci

      👏👏👏👏👏👏👏Kyande aliimba vizuri kuwa,kama ni kuimba na shetani anaimba wala kuimba sio njia ya wokovu

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx Před 8 měsíci +2

    Asante baba nabii wa kisasa

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Před 7 měsíci

    Baba mungu akuinue in naye akuongezee siku moja kwetu

  • @user-kh2bm4ug9t
    @user-kh2bm4ug9t Před 7 měsíci +3

    Mmmmh kwakweli kabisa ni aibu kwa nyumba ya ibaaada hiyo looooh

  • @lidyagadyaaminasana576
    @lidyagadyaaminasana576 Před 8 měsíci +13

    Huu ni uchafu mbele za mungu

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 8 měsíci +1

    Yaaa Mukuruuuuu Ngaii Salama Manat wa Manase Mudhambiii???Khaii my people are so good and trully mean it🙏Dear Jodave thank you my,,My small letter from Sultan Rasurul daughter am among you

    • @nicocoba1741
      @nicocoba1741 Před 7 měsíci

      E Mungu wangu e Kwa naamuna hii shetani yupo kazi it

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l Před 3 měsíci

    baba mungu akubariki nawomba namimi unisaidiye nitoke kwenye umasikini

  • @user-ke9bg1dm9c
    @user-ke9bg1dm9c Před měsícem

    Mungu akuongezee palipo pungua

  • @twahaismail9440
    @twahaismail9440 Před 8 měsíci +3

    Yani binadamu tumekua hatuna hofu ya mungu sasa dini gani inakubali ujinga huu

  • @MwanaNgurumo
    @MwanaNgurumo Před 8 měsíci +1

    Baba nabii nimekupenda sana mungu akubariki

  • @user-mw5om6tl1o
    @user-mw5om6tl1o Před 7 měsíci

    Muz nabimuku unanibariki sana mimi nimucongomani

  • @user-tk2rd7pe3v
    @user-tk2rd7pe3v Před 7 měsíci +1

    Mungu atusaidie

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 8 měsíci +4

    Yaani jamani Mungu atupe macho ya rohoni

  • @remigimtenga7608
    @remigimtenga7608 Před 8 měsíci +3

    Nabii mkuu una tabia mbaya!

  • @lidyagadyaaminasana576
    @lidyagadyaaminasana576 Před 8 měsíci +4

    Kweli nabii hii ni Ibada au kufuru

  • @amanikivuyo8141
    @amanikivuyo8141 Před 7 měsíci

    Mungu akubariki Nabii

  • @zimanigervas7281
    @zimanigervas7281 Před 8 měsíci +1

    Woooow

  • @AngelRupia-od2gu
    @AngelRupia-od2gu Před 7 měsíci

    Yaani mtumishi wa MUNGU wahitaji tupi wengi mno ubarikiwe sana ❤❤❤

    • @DanielJackson-vd2jw
      @DanielJackson-vd2jw Před 7 měsíci

      Muombe MUNGU akupe macho uone yaliyo nje ya fahamu na uono wa macho ya kibinadamu

    • @mimimimi-pg5uk
      @mimimimi-pg5uk Před 6 měsíci

      aMINA dANIEL mungu ATUFUNGUE MACHO@@DanielJackson-vd2jw

  • @praiseludutu4053
    @praiseludutu4053 Před 6 měsíci +1

    Majira sasa yapo jioni na ndege wote kwenye viota vyao Mwokozi yupo karibu na ujira wake

  • @mwesi527
    @mwesi527 Před 8 měsíci +3

    End of the time,aminini kwamba

  • @PeterMgani-v7c
    @PeterMgani-v7c Před 18 dny

    Izo pesa anazitoa wapi?.

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 8 měsíci +5

    Yani bado kuna watu wanamuhita huyu NI mtumishi wa Mungu?? Huyu NI muabudu shetani mkubwa Sana Yani huyu wakala wa kuzimu aslimia miamoja kabisa

    • @goldenvibeztz8579
      @goldenvibeztz8579 Před 8 měsíci +1

      Anakusanya nafsi tu kuzipeleka kuzimu maskini

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 Před 8 měsíci

      Tokeni huko na umaskiñi wenu mawazo dumavu hayo

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 8 měsíci +1

      Machache hunaakili Nani masikini MTU aliye na Mungu wa kweli huwa anakuaga masikini ??? Lazma tukemee ushetani wa hadhalani wa geodev

    • @nicebatare2737
      @nicebatare2737 Před 8 měsíci

      Umaskini unakusumbua na makasiriko

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 Před 7 měsíci +1

    Watu wote Mungu anawapenda,tusijihesabie haki nakuwa zarau wengine,minakuambia hao wadada watatoka hapo wamehesabiwa haki,

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 Před 7 měsíci

      Hakuna ajuaye.

    • @HappyMubiligi-hq9uv
      @HappyMubiligi-hq9uv Před 7 měsíci

      Nisaidie na mm gali nalitaka au hata bajaji2 nitakushukuru

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 6 měsíci

      Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 6 měsíci

      Hujielewi unajua kanuni ya kuhesabiwa haki!? Ni kutubu na kuacha dhambi na si vinginevyo sasa hapo wametubu nini? Watu hawahukumu mtu kama kupinga uchafu ni kuhukumu basi hata kushuhudia mpagani habari za Yesu ni kuhukumu?

  • @user-gs8zo4dy1l
    @user-gs8zo4dy1l Před 8 měsíci +2

    Daaah kweli tumefikia huku?

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Před 7 měsíci +2

    Kcheko cha geordevie duh

  • @user-gz7ds4mb6x
    @user-gz7ds4mb6x Před 8 měsíci

    Tunaenda na wanao kwenda🎉

  • @user-qz4bk5zc8z
    @user-qz4bk5zc8z Před 8 měsíci

    Bwana Yesu hakuwa na upendeleo hata sasa bado anatupenda jinsi tulivyo. TUOMBEANE TUCHUKULIANE MIZIGO. NI HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA. MUNGU AWABARIKI WATUMISHI WOTE WAAMINIFU WANAOWAKUMBUKA WAHITAJI.

  • @FiveFunny
    @FiveFunny Před 8 měsíci

    Amina nabii

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 8 měsíci +1

    👏👏👏

  • @alfaksadibehuta7960
    @alfaksadibehuta7960 Před 8 měsíci +4

    Uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafu uchafuuuuuuuuuuu!!!!!!!!

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Před 7 měsíci +2

    Ndo mana makanisa yamekua mengi ni nyumba za biashara

  • @BisimwaMusagalusa
    @BisimwaMusagalusa Před 5 měsíci

    Voici l'homme qu'il faut tuonane Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-kh2bm4ug9t
    @user-kh2bm4ug9t Před 7 měsíci +2

    Mmmmh injili imevamiwa

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m Před 7 měsíci +2

    Inalilah waina lilah lajuuni

  • @mwesi527
    @mwesi527 Před 8 měsíci +2

    Kusali inachosha duh hii mpya

  • @cosmassisa5256
    @cosmassisa5256 Před 8 měsíci +7

    Unahitajika ukumbozi wa kifkra aisee. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

    • @mwesi527
      @mwesi527 Před 8 měsíci

      Kabisaaa

    • @agnessima5032
      @agnessima5032 Před 7 měsíci

      Ukombozi wa kifikra ni moja ya utajiri mkubwa sana.❤

  • @mamakhadijah2352
    @mamakhadijah2352 Před 8 měsíci +5

    Hii ndo inaitwa mtawatambua kwa matunda yao yaani mkono mmja unakemea uovu mkono mwingine unauunga mkono Mungu atusaidie tujue kwamba shetani huja kwa njia nyingi

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Před 6 měsíci

    Yaani mimi nawashangaa watu wa coment kila mtu amepewa eneo lake

  • @daviddavid-gq8zp
    @daviddavid-gq8zp Před 7 měsíci

    Hili kanisa la aina gani?

  • @klauskilamla1957
    @klauskilamla1957 Před 6 měsíci

    Mchungaji geordavie is the best.hongera Santa geordavie

    • @isaacomayio7768
      @isaacomayio7768 Před 6 měsíci

      Vitu za dunia hizo apeane neno na kuelekeza watu kwa njia ya ukweli

  • @user-yw5gc4dk4h
    @user-yw5gc4dk4h Před 4 měsíci

    Kuna wagonjwa, mayatima, wanaotaka Karo ya shule who's need's are very urgent than this, is God really in this, help me choose

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Před 5 měsíci

    Baba uinuliwe sana❤

  • @user-vs9pg9kg7q
    @user-vs9pg9kg7q Před 6 měsíci

    Sku mungu akilud Dunian atashangaa kwan aliiacha ikiwa nzuri sana ila sasa imechafuka chafuka sana kana nichakula hakistahih kabsa kuluwa mungu atuhulumie jaman moto unatusubili

  • @sashalemmoh3264
    @sashalemmoh3264 Před 6 měsíci

    Embu shindweni kwajina la YESU

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 8 měsíci +3

    The Today Christian they love commedian prichers

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 7 měsíci +5

    Huyu ni mfanyabiashara sio nabii kajificha kwenye neno la Mungu

  • @DianaShayo-io1pz
    @DianaShayo-io1pz Před 8 měsíci

    Ubarikiwe sana baba, iendelee kuwa na moyo huo huo wakuwasaidia wanyonge kama sisi

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 Před 8 měsíci +2

    Kanisa la kishetani hili

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe Před 6 měsíci +1

    Roho ya mtu ikifungiwa kwenye madhabahu basi hawezi kabisa kugundua BAYA Bali atakokotwa Hadi ....

  • @signolinenikiza3710
    @signolinenikiza3710 Před 8 měsíci

    Nafurahi sana

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 Před 8 měsíci

    Nabiiiiii bantu ba maxobeta balileee,,,ngaii SALAMA taina bantuuuu????khaaaiiiii Ngaiii azambeeee,,,,Zambe nangaiii Rasurullwah to SARA ya Semiramis Rasuri Manat Peacemaker,,,thank you

  • @mpesastatements2265
    @mpesastatements2265 Před 7 měsíci

    Huyu si mtu wa mungu pepo

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před 7 měsíci +1

      Anachaguliwa walembo wakula vichocholoni😢😢😢😢

  • @japhetbukuru5300
    @japhetbukuru5300 Před 8 měsíci +1

    Sina mamlaka ya kuhukumu ila sijaelewa!. Labda anawasaidia TU kutimiza malengo yao

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 Před 8 měsíci

    Ee mungu jaman tusamehee

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Před 7 měsíci

    Maisha mazuri ,mama na ya Baraka

  • @NathasEntertainment-cz6jk
    @NathasEntertainment-cz6jk Před 7 měsíci

    Ninyi Uchafu wenu wa gizani hamuusemi Karibuni Msaidiwe pia Kutoa pesa au vitu vya Thamani ni Ibada ngumu mno jaribuni kidogo kama mtaweza nipo hapa

  • @mwesi527
    @mwesi527 Před 8 měsíci +2

    Hao ndo manabii wenu watu wa ulimwengu huu polen

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 Před 7 měsíci

      Yaani ni mtihani watu wanaangamiza roho zao maskin kwa ajili ya pesa

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před 8 měsíci +3

    Naona aibuu😅

  • @LucasKaik-vl3yk
    @LucasKaik-vl3yk Před 8 měsíci +2

    Kuweni makini huko ni wakala wa shetani

  • @francislekula-fs1cj
    @francislekula-fs1cj Před 8 měsíci +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @akutiboysolomon9418
    @akutiboysolomon9418 Před 8 měsíci +1

    Wow! Great

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 Před 8 měsíci

    Mungu yupo wap

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 8 měsíci +1

    Wakati wengine wanakuponda wengine wanalia kwa miyoyo ya kushukuru

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 8 měsíci +1

    Oo Glory to God!!!

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Před 8 měsíci +1

    Huyu baba nampataje jaman na mimi nipewe hata miliooo moja ya mtaji😣

  • @user-vj7lo7tl6l
    @user-vj7lo7tl6l Před 7 měsíci

    Hyu madamu abarikiwe na Mungu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 8 měsíci

    Basi huna haja kusema Nabii !! Kumbe wala hujui maana ya Nabii wala Malikia

  • @Rapezo
    @Rapezo Před 7 měsíci +1

    Mungu tuhulumiee sana

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 7 měsíci +2

    What the heck?
    Zawadi ya kujitangaza na kujipamba namna hiyo inakubalika kwa Mungu?
    Mhh inaonekana kama iko kibiashara zaidi.
    Kikrosto haiko hivyo hata Yesu mwenyewe hakufanya hivyo. Jamani tuwe makini tujue namna ya kutambua biblia inasema nini na inakataza nini. Hata kusali tu tunaambiwa mtu mwingine asijue kuwa unafunga na kusali bali ni siri yako na Mungu wako.
    Unaambiwa kutoa hats mkono mwingine usijue kuwa umetoa nini au ngapi. Hiyo ni biblia inasema siyo maneno yangu