Burudani, Yanga wakikabidhiwa milioni 39 za 'Goli la Mama' kwa kuipiga Vital'o 6-0 CAF CL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #CAFCL Msigwa amwaga mayenu, rais na makamu wake Yanga wazungumza, Mudathir agusia ahadi yake kwa Dody, Ally Mayay achambua kiwango cha Yanga…..
    Ni Shangwe la mkwanja wa ‘Goli la Mama’, Yanga wakikabidhiwa shilingi milioni 30 kutoka kwa Rais wa Samia…..
    FT: Yanga 6-0 Vital’O (Agg: 10-0)

Komentáře • 41

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Před 19 dny +8

    Hongereni sana yanga. Mnatufurahisha sana kwa juhudi zenu 💚💚💛💛🇹🇿🇹🇿🌻🌻

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před 19 dny +4

    Safi sana Raisi tupelekee Zanzibar mchezo wa pili

  • @emmanuelodiembo
    @emmanuelodiembo Před 19 dny +1

    Honestly hii plan ya kwenda Zanzibar nimeipenda

  • @giliyadigambi
    @giliyadigambi Před 19 dny +5

    Nipen link zangu nimekuwa wakwanz 😂

  • @isamony58
    @isamony58 Před 19 dny +3

    Hapo makolo wanaumiajeeeeee😅😅😅😅😅

    • @shanmlawa
      @shanmlawa Před 16 dny

      Kwa lip juz simba 6 galax 0 million ngap yq mama

  • @Extraordinary-s9k
    @Extraordinary-s9k Před 18 dny +1

    Tunapaswa kufikiria kisomi na kwa upana, kufanya hivi ni kama motisha kwa timu, Timu yetu ikifika mbali kimataifa tunatangaza taifa letu na kuwavutia wawekezaji kutoka nje, wakija nchini wanatoa ajira kwa raia na kuongeza mapato kupitia kodi wanazolipa kama corporate na Paye pia kuongeza Per - Capita income base, pia wawekezaji wengi watavutiwa kuwekeza kwenye league ya Tanzania

  • @giliyadigambi
    @giliyadigambi Před 19 dny +3

    Ila azam

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 19 dny +4

    Matumizi mabaya ya fedha za serikali.

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV Před 19 dny

      Kwhy ni bora waweke mafuta kwenye V8:zao au unasemaje!?? Hii nchi ina hela ww acha kelele

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 18 dny

      ​@@EREVUKATV Kolo hilo wala usisumbuke nalo, timu lao bovu wameshindwa kuzichukua ndiyo maana anasema hivyo 😂😂😂

    • @Brown-hs1gv
      @Brown-hs1gv Před 18 dny

      jaman me nimwananchi lkn uo ndoukweli srkal inatumia vbaya pesa zake yan wananchi wanapumbazwa na goli la mama , lkin mkumbuke ss tunaoshangilia hi timu mbili hatupew hata mia zinazo faidika ni timu lkn ww kabwela ukitoka hapo unaenda kushindia mohogo.Embunaomba tujitathmini jaman😢😢😢

    • @Extraordinary-s9k
      @Extraordinary-s9k Před 18 dny

      ​@@Brown-hs1gvunapaswa kufikirisha ubongo wako, kufanya hivi ni kama motisha kwa timu, Timu yetu ikifika mbali kimataifa tunatangaza taifa letu na kuwavutia wawekezaji kutoka nje, wakija nchini wanatoa ajira kwa raia na kuongeza mapato kupitia kodi wanazolipa kama corporate na Paye pia kuongeza Per - Capita income base, pia wawekezaji wengi watavutiwa kuwekeza kwenye league ya Tanzania

    • @allyabdallah4641
      @allyabdallah4641 Před 18 dny

      Bado ujasema

  • @headoffice3221
    @headoffice3221 Před 19 dny +1

    Please change the headline it should be 30ML not 39ML thanks!

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 Před 18 dny

    Yanga mnafilisi serikali ya mama🙆💚

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 18 dny

    DAH MASHULENI HAKUNA WALIMU WA KUTOSHA SHEM ON YOU

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Před 19 dny

    Hongereni

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 Před 18 dny

    Zanzibar mnapaamini au nanyi mtakuwa wageni?

  • @RaheemaOmn
    @RaheemaOmn Před 19 dny +1

    Kama goli 1 ni milion 5 mara kumi inakuaje 30 au ndio utapeli hadi kwa wan anchi?

    • @ernestthomas9689
      @ernestthomas9689 Před 19 dny

      Goli 10 ni aggregate 4game ya kwanza+6

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV Před 19 dny

      Tulishachukia milo 20 game ya kwnza wee ni mshangiliaj nin!????

  • @SelemaniHamis-z2b
    @SelemaniHamis-z2b Před 19 dny +1

    Aliekwambia tunadawa nan

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter Před 18 dny

    yanga mtaniua kwa raha jamani

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 Před 19 dny

    Mama Samia jiandae kuongeza pesa mzunguko wa pili. Yanga anashinda ugenini na nyumbani goli 10. Tena milioni 50. Tena. Na simba nae anashinda ugenini na nyumbani 7. Milioni 35. Jumla milioni 85. Ziandae.

  • @barakasija5716
    @barakasija5716 Před 18 dny

    39???

  • @SunnymussaMussa
    @SunnymussaMussa Před 19 dny +1

    Nan kaona Ali mayai tembel aliztak El awek kweny mfuk IL kabak na mfuko hel zkababwa mkononi

  • @cngeze
    @cngeze Před 19 dny

    Mkalipe madeni sasa 😂😂😂

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 Před 19 dny +1

    Yebaaaa🎉🟢🟢😁🤸

  • @bodymsomali3321
    @bodymsomali3321 Před 18 dny

    Utajua wewe kama matumizi mabaya

  • @RamadhanRajabu-hi6op
    @RamadhanRajabu-hi6op Před 19 dny

    Tanzania hakuna mpira siasa tuu za C cm

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV Před 19 dny

      Chuki binafsi acha

    • @Brown-hs1gv
      @Brown-hs1gv Před 18 dny

      🤔🤔🤔🤔🤔🤔una point apo kaka

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter Před 18 dny

    yanga mtaniua kwa raha jamani