Burudani, Yanga wakikabidhiwa milioni 39 za 'Goli la Mama' kwa kuipiga Vital'o 6-0 CAF CL
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- #CAFCL Msigwa amwaga mayenu, rais na makamu wake Yanga wazungumza, Mudathir agusia ahadi yake kwa Dody, Ally Mayay achambua kiwango cha Yanga…..
Ni Shangwe la mkwanja wa ‘Goli la Mama’, Yanga wakikabidhiwa shilingi milioni 30 kutoka kwa Rais wa Samia…..
FT: Yanga 6-0 Vital’O (Agg: 10-0)
Hongereni sana yanga. Mnatufurahisha sana kwa juhudi zenu 💚💚💛💛🇹🇿🇹🇿🌻🌻
Safi sana Raisi tupelekee Zanzibar mchezo wa pili
Honestly hii plan ya kwenda Zanzibar nimeipenda
Nipen link zangu nimekuwa wakwanz 😂
Aya chukua link zko sas😅
Hapo makolo wanaumiajeeeeee😅😅😅😅😅
Kwa lip juz simba 6 galax 0 million ngap yq mama
Tunapaswa kufikiria kisomi na kwa upana, kufanya hivi ni kama motisha kwa timu, Timu yetu ikifika mbali kimataifa tunatangaza taifa letu na kuwavutia wawekezaji kutoka nje, wakija nchini wanatoa ajira kwa raia na kuongeza mapato kupitia kodi wanazolipa kama corporate na Paye pia kuongeza Per - Capita income base, pia wawekezaji wengi watavutiwa kuwekeza kwenye league ya Tanzania
Ila azam
Matumizi mabaya ya fedha za serikali.
Kwhy ni bora waweke mafuta kwenye V8:zao au unasemaje!?? Hii nchi ina hela ww acha kelele
@@EREVUKATV Kolo hilo wala usisumbuke nalo, timu lao bovu wameshindwa kuzichukua ndiyo maana anasema hivyo 😂😂😂
jaman me nimwananchi lkn uo ndoukweli srkal inatumia vbaya pesa zake yan wananchi wanapumbazwa na goli la mama , lkin mkumbuke ss tunaoshangilia hi timu mbili hatupew hata mia zinazo faidika ni timu lkn ww kabwela ukitoka hapo unaenda kushindia mohogo.Embunaomba tujitathmini jaman😢😢😢
@@Brown-hs1gvunapaswa kufikirisha ubongo wako, kufanya hivi ni kama motisha kwa timu, Timu yetu ikifika mbali kimataifa tunatangaza taifa letu na kuwavutia wawekezaji kutoka nje, wakija nchini wanatoa ajira kwa raia na kuongeza mapato kupitia kodi wanazolipa kama corporate na Paye pia kuongeza Per - Capita income base, pia wawekezaji wengi watavutiwa kuwekeza kwenye league ya Tanzania
Bado ujasema
Please change the headline it should be 30ML not 39ML thanks!
Kuna bonus wamepewa na boss wa PBZ Jumla zilikuwa 36ML
Yanga mnafilisi serikali ya mama🙆💚
DAH MASHULENI HAKUNA WALIMU WA KUTOSHA SHEM ON YOU
Hongereni
Zanzibar mnapaamini au nanyi mtakuwa wageni?
Kama goli 1 ni milion 5 mara kumi inakuaje 30 au ndio utapeli hadi kwa wan anchi?
Goli 10 ni aggregate 4game ya kwanza+6
Tulishachukia milo 20 game ya kwnza wee ni mshangiliaj nin!????
Aliekwambia tunadawa nan
yanga mtaniua kwa raha jamani
Mama Samia jiandae kuongeza pesa mzunguko wa pili. Yanga anashinda ugenini na nyumbani goli 10. Tena milioni 50. Tena. Na simba nae anashinda ugenini na nyumbani 7. Milioni 35. Jumla milioni 85. Ziandae.
39???
Nan kaona Ali mayai tembel aliztak El awek kweny mfuk IL kabak na mfuko hel zkababwa mkononi
😂😂😂😂
Mkalipe madeni sasa 😂😂😂
Unateseka ukiw wap kolo😀😀😀😀
Sio shida zetu hizo kolo 😂😂😂
Yebaaaa🎉🟢🟢😁🤸
Utajua wewe kama matumizi mabaya
Tanzania hakuna mpira siasa tuu za C cm
Chuki binafsi acha
🤔🤔🤔🤔🤔🤔una point apo kaka
yanga mtaniua kwa raha jamani