HATIMAYE LISSU AMJIBU MSIGWA ''WALIMSHAMBULIA NA KUMTUKANA SANA/NIMEJISIKIA VIBAYA SANA/KAACHA PENGO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 133

  • @msebukwatv1
    @msebukwatv1 Před 25 dny +10

    Uko vizuri brother wangu tundu lisu kiukweli unaijua siasa mungu akutunze usizeeke haraka

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Hongera sana Kamanda Lisu❤❤❤❤

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 Před 13 dny +2

    Odemba unapewa majibu Kisha unazunguka sikuelewi

  • @KimimbiHerbal-yx5ce
    @KimimbiHerbal-yx5ce Před 24 dny +3

    Mtangazaji unakiherehere kikali sana,
    Unauliza swali humpi mtu nafac ya kujibu vzr na kuelezea nakuchanganua,

  • @JumaLilama
    @JumaLilama Před 23 dny +2

    Mwandishi mjinga sana, anataka kufanya interview kama Salim kikeke, huwezi kumfikia kikeke Yani wewe na kikeke Salim mko mbali sana Yani kama mbingu na aridhi, unapomhoji mtu yoyote usihoji kama mgambo wa Jiji

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 24 dny +2

    Hongera Lisu kuna kiongozi mmoja alishindwa kumjibu Odemba

  • @mvunge7108
    @mvunge7108 Před 25 dny +4

    Msigwa nia yake siyo kutumikia wananchi, haja yake nikupata pesa ndiyo maana anahangaika kuitafuta pesa ccm..Chadema hakuna pesa..😂😂

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 25 dny +13

    HUYU Mwandishi ni puuzi MNO Ana Mambo yake.chawa Huyo achana naye.mpuuzi sana

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 24 dny +2

    Bro odemba anafanyaga makusudi ili kuchokoza mambo 😂

  • @JumaLilama
    @JumaLilama Před 23 dny +2

    Sijawahi kuona mwandishi mjinga bwege Tena wa hovyo sana kama huyu anauliza swali kabla hajajibiwa anauliza swali jingine mtu lofa sana huyu mwandishi,hii interview Haina Haina radha

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před 24 dny +2

    Waandishi wa bongo ni wachonganishi sana

  • @erikokawanga7068
    @erikokawanga7068 Před 24 dny +1

    Mwandishi yuko vizuri ila Lisu anatolewa kwenye hoja naye anakubali inabidi yeye amalize hoja ya kwanza kabla ya kujibu ya pili.Safi sana mwandishi kama wakimataifa wanavyofanya

  • @Zivago12
    @Zivago12 Před 2 dny

    Chawa mpekuzi huyo. Lissu bora ungeacha kuongea nae. Maana hatoi nafasi

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki Před dnem

    Odemba lisu unamjua na sisi tunamjua muhoji vizuri sio mihemko utaharibu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 24 dny +1

    Iki Kipindi Nakipenda Sana Lakini Ilibidi Niache Kutokana Na Mwana Habari Ameita Asiemuweza

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před 25 dny +1

    Msigwa ana relax CCM ❤❤❤

  • @francisraphael3816
    @francisraphael3816 Před dnem

    mtangazaje unakabia juu sana hata haumpi muda wa kujibu

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 25 dny +5

    Mimi Huyu Mwandishi Nampenda Sana, Ana Akili na Anaona Kuna Jambo.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 24 dny

    Siasa sio ugomvi. Hata mkitengana vyama kuzungumza na kushirikiana ktk maisha mengine. Kuna maisha baada ya siasa. Kuna watoto wenu kuoana nk. Kwani watoto wenu wana chuki gani? Wanasiasa wetu fanyeni siasa kama michezo mshindi na mshindwa hurudi pamoja mara baada ya mechi inayoamuliwa kwa sheria za michezo husika
    ( fair play).

  • @zaramunir8238
    @zaramunir8238 Před 24 dny +2

    Msigwa hata zile nguo za ccm hazi mpendezi au naona peke yangu jamani??

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před 24 dny +1

    Mtangazaji yuko sahihi kabisa,acheni ushabiki,hamtaki amuhoji Lisu basi nendeni awahoji nyinyi,Lisu yupo Smart ipo siku atawashangaza na mtakuja na mengine,kusoma hujui hata picha hamuoni😂😂

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 24 dny +1

    Kwa nini unamjibia Lisu mwache amalize

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 24 dny +1

    Kwa nini Odemba huwezi kuwa mvumilivu akujibu unamwingilia kabla hajatoa majibu

  • @HamisMdamu-en5fe
    @HamisMdamu-en5fe Před 25 dny +1

    Mwadishi uliza swali usikilize ukidakia xana hata sisi hatutaelewa tunataka kuelewa

  • @Zivago12
    @Zivago12 Před 2 dny

    Yaani hasubiri majibu anauliza mengine

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před 25 dny +1

    Mwandishi acha papara hujajibuwa unarukia mada ingingine unatafuta kiki huyo nimwanasheria msomi humuwwzi kwa papara papara

  • @emmanuellaston5446
    @emmanuellaston5446 Před 12 dny

    Taabu yako Odemba umekuwa skiing ukiingilia sana kuingilia watu unaowahoji jitahidi sana kuona kuwa mtu anatakiwa kumaliza hoja zake.sasa wewe unataka kuonekana wewe ndie unaejua kila kitu

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 Před 25 dny +1

    Huyu mwandishi n hovyo unamwekea mtu maneno mdomoni mwake, yeye aseme nn ?

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 Před 8 dny

      ndio maana wanamsusia interview zake anaanza kulia lia hadharani

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    ❤❤❤❤❤

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 Před 25 dny +1

    Huyu mwandishi sijui ana nini😂

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Před 25 dny +4

    Msigwa hana tofauti na tapeli au fisadi kabisa '

  • @AmosNhandi
    @AmosNhandi Před 18 dny

    Odemba mda mwingine unaboa Sana mpe nafasi tupate kusikiliza

  • @user-vy5kn6nz4l
    @user-vy5kn6nz4l Před 25 dny +2

    Msigwa wivu unamsumbu amlaumu baba. Yake kwanini alizaliwa kwenye familia maskini,Mbowe ni sayari kiroho kimwili na kisiasa,Jitihada za kumfilisi zimegonga mwamba.Mungu mlinde Mbowe na makafili wote na maadui wa Mungu.

  • @salimsaid4304
    @salimsaid4304 Před 25 dny +2

    Huyu si mwandishi. Hafanyi interview bali amejigeuza askari polisi anafanya interrogation

  • @salumnassor3857
    @salumnassor3857 Před 25 dny +3

    Hyu mwandishi sio proffessional mbna,husubiri unayemhoji amalize kwnza aiseeee wacha tu niondoke,hapanifai kabisa

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 25 dny

      Hajui kuhoji na anapenda sana kuongea zaidi ya anayemhoji

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 Před 13 dny

    ILIKUWA MJADALA ....TUHAKIKISHIE WEWE HUTOONDOKA ???ALINUKUU IWAPO SABABU YA KUWA NDANI .......

  • @DoreenThomas-w2g
    @DoreenThomas-w2g Před 24 dny +1

    Huyu mwandishi anajielewi

  • @Aksa-yk1dp
    @Aksa-yk1dp Před 25 dny +6

    Mtangazaj haujatulia uliza kisomi zaidi

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 Před 25 dny

      Anawashwawashwa utadhani amekalia msumari wa moto anahoji kwa kebehi na dharau, mi mwenyewe sijampenda kwakweli, inawezekana ametunwa na watawala...🙄🙄🙄

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 Před 13 dny

    Odemba Lisu alisema kama CHADEMA IKITOKA KWENYE MISINGI YAKE???ELEWA ACHA UJINGA

  • @alfredmarti3131
    @alfredmarti3131 Před 17 dny

    Mtangazaji yupo below standards

  • @davidnchiman9339
    @davidnchiman9339 Před dnem

    Odemba uwe unamsikiliza mtu kwanza maswali mfululizo mpka unaboa

  • @athumanmbaraka5192
    @athumanmbaraka5192 Před 23 dny

    Mjomba lissu nimtusahii namuelewasana ilasasa uko aliko CHADEMA hawampi heshimayake naa wanamfanya kama kilakat ila wanaonufaika wapo ktk ichochama m ushauliwang mzee LISSU eb angalia mambomengune yakimsing, ata m/mung hakikuitaji bas upate heshima yanch nakuwejmka regas

  • @Zivago12
    @Zivago12 Před 2 dny

    Huyu si muandishi ila ni mbeya tu.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před 14 dny

    Hapo Tundulisu anajikanyaga kanyaga hii inaonyesha chadema kunashida kubwa ya uongozi hala ndio mpewe Inchi nyie hata hawo wanaowaunga mkono chadema akili hawana nitazidi kuongea upinzani TZ ni shida ivi unakuwa na kiongozi kama Lema hanafu unampigia makofi si uchizi na urofa mkubwa

  • @user-uo2ld3hl5g
    @user-uo2ld3hl5g Před 25 dny

    Ata ww mwandishi unahitajika kuingia chadema maana wakeleletwa tuta enjoy majukwaani!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 25 dny +1

    Kwanini analazimisha awe Mwenyekiti yeye kila siku amechokwa jamani

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai Před 25 dny

      Msigwa mamuluki mbowe ana msimamo mkali ndio mana wanagombana naye

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 24 dny

      @@JosefuSwai Hana hata msimamo mbona alilamba asali subirini kama mtapata dola mtaishia na hixho chama chenu cha Saccoss toka lini mchaga akakataa pesa wezi wakubwa

  • @DannySanga-gh1oj
    @DannySanga-gh1oj Před 25 dny

    Tundu amesha jibu kuwa tuhuma kwa mwenyekiti ni za uongo,pale alipo sema yeye si mdhamini wa chama,wala si mtia sahihi wa chama kumbe hata mwenyekiti anaye tuhumiwa na msigwa hahusiki,wanao husika ni wadhamini na na watia sahihi ba

  • @SuzanaLufuta
    @SuzanaLufuta Před 11 dny

    Mwachini ahangaike lissu ni mwamba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 25 dny +1

    kumbe chadema kuna Tatizo la ubadhirifu kiasi hicho?

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 25 dny

    Hawezi Kujibu Uwongo Wa Msigwa Lakini Anaweza Kutumia 5 Minutes Kumpamba Wow😡

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu Před 24 dny

    Tundu lisu akihama chadema sitakaa nisikilize wala kuangalia picha yake popote kwa resisa zile dah nitamdharau sana

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 15 dny

    Sasa wewe mwandishi unauliza maswali au unaanzisha malumbano? Kwa sababu unailiza swali kabla halijajibiwa unauliza jengine, sasa wewe mwandishi au comedian

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 25 dny

    Mbona Yeye Hataki Kumjibu Msigwa??? Anapenda tu Kumpamba Msigwa.

    • @kadilamore802
      @kadilamore802 Před 25 dny

      Ni rafiki yake hauwezi mjibu vibaya vibaya rafiki yako kisa ugomvi..bora kunyamaza

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 Před 25 dny +1

    Mwenyekiti jamani ana mengi ya kufanya . Msigwa si hoja tena keshaondoka. Na wewe mwandishi fedha za Chadema zimetumikaje muulize mkaguzi mkuu acha kumsumbua Lisu kwani unachokichimba tunakijua. Kawaambie waliokutuma kuwa Chadema ni namba nyingine na umeshindwa.

  • @MohammedKifrago
    @MohammedKifrago Před 10 dny

    Wamedata hao

  • @user-dp7hp4zr4z
    @user-dp7hp4zr4z Před 25 dny

    Kila kitu kina utaratibu hivyo huwezi ukabana mtu mmoja tu ajibu mambo yanayohusu uongozi wote

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Před 25 dny

    Mwandishi wa Habari Ni Mavi mno t3na Kichwanj Amejaza mavie

  • @ambakisyemwanjemba5787

    muandishi huyu fala sana unauliza swali juu ya swali ndio nini sasa mjinga sana wewe

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 Před 25 dny +1

    Lisu ni ccm jamani tayari asli keshalamba

  • @Montego900
    @Montego900 Před 10 hodinami

    mwandishi unatumia vibaya taaluma yako.... jifunze tena namna ya kuongoza mahojiano na hasa ukipata watu mashuhuri kama Tundulisu nawengine ... umemiss taarifa nyingi sana.... na kwa upande wangu naiblock hii channel maana hainipi madini ya ubongo

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 Před 25 dny

    Odemba acha haraka mpe nafasi ya kujibu

  • @jeremiahmwambalaswa570

    Catherine ruge alimjibu kitambo

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 25 dny +1

    Hivi msigwa angepewa uemyekiti wa Chadema angeweza kutupeleka wapi? nahisi Msigwa alikuwa mroho tu.

  • @suzanestomihikiwelu8043

    Mwandishi mwachie mjibu hoja,ajibu na usimdakie kabla hajajibu

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 24 dny +1

    Kweli lisu mtu wa haki na katumia akili ya kuzaliwa.kumsufu jamaa

  • @paritsaruni5019
    @paritsaruni5019 Před 24 dny

    Waulize wenye mamlaka

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 Před 25 dny

    Mtangazaj ana boa maana anaingialia sana mazungumzo

  • @ambakisyemwanjemba5787

    waandishi wa namna hii wanasababisha tv zao zisifuatiliwe anaonyesha hajui kabisa mahojiano maswali mengi kuliko majibu na swali linaulizwa ktkt ya majibu unatuboa hadi tunao sikiliza hatupati radha ya mahojiano acha ujinga ww.

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 Před 25 dny

    Akuna cha Uchungaji hapo

  • @sf2tv
    @sf2tv Před 24 dny

    Nini faida yayote

  • @MumeBwege
    @MumeBwege Před 25 dny

    Mtangazaji Rudi shule hii kazi huiwezi au ona mifano ya watangazaji wenzako wanaojua

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 Před 25 dny

    Msigwa katuonyesha alivyo na uroho wa madaraka yeye altaka aongoze Kanda ya Nyasa miaka mia

  • @user-dp7hp4zr4z
    @user-dp7hp4zr4z Před 25 dny

    Huyu mwandishi ni kama katumwa

  • @rashidsaid6660
    @rashidsaid6660 Před 25 dny

    Mwandishi hafai kabsa kuhoji maswali jifunze bro iyo ni tasnia ya hbr uliza tulia ujibiwe🤐🤐

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 25 dny

      Halafu anajaribu kutumia sauti ya Sam Mahela aliyekuwa ITV.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 25 dny

    Mwandishi ni mpumbavu sana. Sijawahi kuona mpuuzi kama huyu na shangaa Startv kua na mjinga kama huyu.

  • @abuchangawa3959
    @abuchangawa3959 Před 25 dny +1

    Sijawai kuona mwandishi wa hovyo kama huyu star TV toweni huyo mwandishi mahojiano yanabowa

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 25 dny

    Anatumika fala Huyo

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 24 dny

    Tundu Lisu amezungumza uhalisia dhidi ya adui. Japokuwa amekuumiza lakini unaamini umepoteza❤

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 24 dny

    Mwana Habari Mnaita Watu Wakubwa Kuwahoji Wakifika Apo Mnatetemeka Mnabaki Kuuliza Bila Mpangilio Kama Unaimba Singeli Mwana Habari Angalia Watu Wa Kuwaita Na Kuwahoji Akili Yako Bado Fupi Sana Sana Mtu Anapojibu Muache Ajibu Anapokosea Mpe Swali Mwana Habari Ayuko Sumati Usipende Kuwaita Wakubwa Kama Hao

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 Před 25 dny

    Msigwa kamsariti rafiki yake😢 so sad!

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Před 25 dny +1

    Huyu mwandishi mimi simuelewi, hivi anaweza akamhoji mhemiwa rais Samia kama anavyo mhoji mheshimiwa Tundu Lisu. Nashangaa anahoji bila kusikiliza majibu.

    • @joscamwoshezi2986
      @joscamwoshezi2986 Před 24 dny

      Haaaa.Unamlinganisha Lisu na rais wa nchi.

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 Před 24 dny

      @@joscamwoshezi2986 kwa hiyo ndiyo mana anamhoji kama anakemea mapepo..!!?

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 Před 24 dny

    Mwandishi anaharibu interview, ni much know sana. Kazi yake ni kiinterrupt. Speaking skill ya mwandishi ni zero. Hana nidhamu ya mazingumzo.

  • @sagandamalechampullo659

    Ondemba umeshaambiwa Bado wanayazungumzia ktk Kikao, sasa mbona unamlazimisha MH. asema Yeye binafsi?

  • @safi6133
    @safi6133 Před 24 dny

    Pumbavu Msigwa hana heshima wala stahiki za kujibiwa. Ni jiñga tu kama malofa wengine. Akafie mbele.

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Před 25 dny

    This is unprofessional,mtangazi anapapara worst interview ever seen

  • @GeraldMsagara-r5f
    @GeraldMsagara-r5f Před 24 dny

    Mwadishi wa habar utafkil ujasom shul kazi yako nikuingilia maongez ya mwenzio jifunze atakamaww nimwandish kuwanastaa

  • @RajabuSeify
    @RajabuSeify Před 25 dny

    Tuñdu lisu una kiburi Cha kutukana viongozi wa ccm inauma watannzania sana jua Kila mtu anakuona unamapungufu makubwa jirekebishe acha uhuni tangaza sera tunacho hitaji ni maendeleo sio porojo😊

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 25 dny

      Na wewe tangaza Sera zako uachane na kukariri waliyokwisema machawa wenzio hapo awali

    • @kulwastima3993
      @kulwastima3993 Před 25 dny

      Alichofanyiwa Lissu ataanzaje ksahau acha ujinga Magufuli alpokfa mlilia ka wapumbavu Fulani Sasa Lissu ypo mlitaka afe bdo anapeta inawauma nn.

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 Před 24 dny

      ​@@kulwastima3993ndio hapo sasa

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 24 dny

      Mapungufu unayaona ya Lisu tu, ya upande wetu hutaki?? Mbona ya kwenu ni mengi sana

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 25 dny

    UNGEMUULIZA KWANINI YEYE HAJIBU YALE ANAYEYAJUA... HALAFU MAKAMU MWENYEKITI ANASEMA KAWAULIZE... LISSU HATAKI KUMMUDHI RAFIKI YAKE.

  • @user-md4sv6bv5z
    @user-md4sv6bv5z Před 24 dny

    Mwandushi ana taka kuhoji kama kikenke ilq yeye ana washwq tofauti na pro kikenke anatulia na hoja

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 Před 24 dny

    Mwandishi uwe mtulivu na kusikiliza hoja za unayemhoji! Usiingilie maelezo ya unayemhoji ili uonekane shujaa wa kuuliza maswali wakati unaharibu mahojiano!

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 25 dny

    Uongo mkubwa tunfu lisu mbowe ndo habari ya mjini hatudanganyiki ng,o wanataka waachie hizo nafasi za mak na mwenyekiti ili watuhujumu hawaondoki milele

  • @user-uv1pb6lc5v
    @user-uv1pb6lc5v Před 25 dny

    Lisu ana akili sana. Anaona kuna ukweli wa hoja za Msigwa.

  • @alphaexaud5279
    @alphaexaud5279 Před 24 dny

    Odemba Wewe rudi ukasome upya au jifunze kwa waandishi wengine, unaharibu kipindi

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 24 dny

    Leo sijaelewa mwandishi

  • @bedabenson6576
    @bedabenson6576 Před 25 dny

    Huyu mtangazaji hamuachi mtu akaongea anadandiadandia kila mtu anachosema adi anakera

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Před 22 dny

    Mwandishi akil nyingi

  • @SuzanaLufuta
    @SuzanaLufuta Před 11 dny

    Mwachini ahangaike lissu ni mwamba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 25 dny

    kumbe chadema kuna Tatizo la ubadhirifu kiasi hicho?