HUZUNI MCHUNGAJI MITIMINGI AFARIKI DUNIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #RIP

Komentáře • 393

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 Před 4 lety +12

    😭😭😭😭 rip duh jamanii mi sio mkristo lkn nilikua napenda kusikiliza sanaaa

  • @elibarikkiakyoo
    @elibarikkiakyoo Před 4 lety

    Naamin kazi umeimaliza hakika unastahili kwenda kupumzika kwa BABA ,hata Baba mungu ana jivunia wewe.💪👋
    Tumshukuru mungu hata kwa hili
    * Asante Baba *
    Nami naomba nijalie mwisho mwema nifikie kusudi lako la kunileta Hapa Dunian,
    Naomba utusamehe tulipokosea ma utuongoze kataka haki yako.

  • @joycekulinda6621
    @joycekulinda6621 Před 3 lety

    Til dis time i can't believe BT RIP pastor! A servant of God!!

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 Před 4 lety +1

    Mungu akampe kauli thabit,na amsamehe makosa yake na akampe pumziko jema la milele.Amiin.

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před 4 lety +1

    Daaaah! Mtu muhimu sana kwa Tanzania, I can't believe, ooooh! My God. Aaaah! hamna namna pumzika kwa amani mwl. Nitamc mno mafundisho yako. RIP mwl Peter Mitimingi

  • @mpokijackson1421
    @mpokijackson1421 Před 4 lety +15

    Umeacha alama pastor, Voice of Hope ministry and WCC church. If you have fulfilled the purpose why abusing time in this destructive world Just rest.

  • @veeJesus
    @veeJesus Před 4 lety +6

    Its beautiful thin when man of God goes home ...rest in paradise mwl

  • @janethjackson374
    @janethjackson374 Před 4 lety +1

    Jamani Peter! Pumzika kwa Amani Mwl. Nilifaidika sana na mafundisho yako. Mungu akupokee kwenye raha ya milele

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 4 lety

    Aiseeeee!! Duuuuu!!! Jaman!!! Mafundisho yk yameniimarisha,,Mungu ushukuriwe kwa hili.

  • @hamuyohana6480
    @hamuyohana6480 Před 4 lety

    Kuishi ni kristo,kufa ni faida.
    *kweli,ulimuishi kristo kwa mafundisho yako ya neno la mungu,na imekuwa faida kwako pia kwani Nina imani na wewe kuwa,umekaa mbele ya mkono wa kuume wa YESU kristo,aliyekutuma kazi uliyoifanya imeonekana ndani na nje ya mipaka ya Tanzania*
    Pumzika kwa amani commander wa Injili,tutakukumbuka daima.Tulikupenda sana lakini mungu ameamua kukupumzisha,mwenye sikio na asikie Yale Roho aliyokutumia kuliambia kanisa.
    Amen.

  • @janethcharles5917
    @janethcharles5917 Před 4 lety +1

    Uwii RIP pastor Mitimingi Vita ya imani umeipga,kazi umeifanya,,mwendo umeumaliza

  • @mariesewakalunga4314
    @mariesewakalunga4314 Před 4 lety

    Pumuzika kwa Amani baba mushungaji.Mungu akupokeye umefanya Kazi kubwa duniani.

  • @ikupamwaisoba4118
    @ikupamwaisoba4118 Před 4 lety +9

    Mungu tusaidie tuwe tayari mda unaofaa na usiofaa hakika shoka liko shinani kukata,Nenda kamanda wa Yesu tutaonana baadaye,haya yote yatokeayo yatufundishe kuwa na mahusiano mazuri na Mungu.

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S Před 4 lety +5

    R.i.p Poster.....mikonon mwake MUNGU akupumzishe kwa aman ....mazuri yko yatadumu mtumishi siku zote.😭😭😭😭😭😭😭

  • @rosetanimurere6027
    @rosetanimurere6027 Před 4 lety +3

    I can’t believe this man gone Rest In Peace my father in heaven be with you God accept him in name of Jesus 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @najatmngazija1547
    @najatmngazija1547 Před 4 lety +5

    Innalillah wainnaillah raajiun 😭😭😭😭😭😭daah inaumaa JMN

  • @shigulaart1198
    @shigulaart1198 Před 4 lety +10

    R.I.P MCHUNGAJI NA MWALIMU KATIKA WATU NILIOKUWA NAWAKUBALI SANA KUHUSU MAISHA YANGU NAMBA MOJA NI WEWE UMENIACHIA KITU MANINJA ZANGU WA Zanzibar GONGA LIKE

  • @mukalayvindicien4167
    @mukalayvindicien4167 Před 4 lety

    Mimi niko Congo nahuzunika sana ju ya kifo cha mchungaji, mungu amlaze mahali pema

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 Před 4 lety +1

    Pole kwa family na kabisa Kuna baadhui ya Crip zake nilikua naziona istagram

  • @ibrahimjumanne678
    @ibrahimjumanne678 Před 4 lety +1

    Mungy akulipe sawa na kazi yako umenipa muongozo wa maisha yangu kwa huduma yako

  • @eddyboi8476
    @eddyboi8476 Před 4 lety

    najua inauma lakini inafaa uzoee R.I.P baba mwenye busara zako akika mengi nimejifunza kupia wewe ulipotoka umeacha pengo kubwa sana ila nakuhaidi kuyafanyia kazi nilijifunza kutoka kwako na bado uliyo yaacha nitaendelea kuyasikiliza na nitayafanyia kazi bwana alitoa na bwana ametwaa .Amen

  • @butugaeve3300
    @butugaeve3300 Před 4 lety

    Dah inauma kweli pumzika kwa amani Pastor utakumbukwa daima.

  • @rachelkavugho4371
    @rachelkavugho4371 Před 4 lety

    Ohoo my god pasta pumuzika kwa amani matendo yako ya fatane nawe tutakukumbuka daima tuna zoezi laku sikiya mafundisho yako ingawa tuko drc

  • @ombenkallenge1924
    @ombenkallenge1924 Před 4 lety

    Dah!! Kifo akina HURUMA.
    Nilikuwa namkubali sana pastor mitimingi RIP papa!.😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @baranmohamedmbashir5299

    Inalila wainalilahi rajiun pole sana sana ndungu zetu mungu amuake pema penye wema peponi inshallah

  • @everlynespaete3074
    @everlynespaete3074 Před 4 lety

    Oh no...RIP Sir...thank you for the great teachings.

  • @davidwilliams9800
    @davidwilliams9800 Před 4 lety

    May your soul rest in peace Doctor Mitimingi, I still can't believe this. I just remember your last whatsapp message to me.

  • @godotaru7088
    @godotaru7088 Před 4 lety +10

    😭😭soo sad nlikua namkubali sanaaa daaa

  • @angonzamujunangoma8775

    Nenda baba,kazi uliyotumwa umemaliza.Mbele yako nyuma yetu

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 4 lety

    Najiuliza sana hivi hawa viongozi wote walipangiwa kufa mfufulizo kipindi hiki, tukiiweka kando coronavirus?wachukue samlpe kuhakikisha ninini maana na yeye kakutana na wengi wasichukulie kirahisi rahisi hasa makanisani maana watu bado wanakutana coronavirus wanaweza kumpata yeyote.
    RIP mchungaji Mitimingi

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 4 lety

    Kila nafsi itaonja umauti siku yake imefika tumshukuru mungu kazi yake Haina makosa

  • @kedmochilewa761
    @kedmochilewa761 Před 4 lety +4

    Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe R.I.P Mch. Peter mitimingi...Amen

  • @brigitamakoha9941
    @brigitamakoha9941 Před 4 lety

    Mwili mkubwa na kisukari ni shida niko na jirani yangu hapa ni mwembamba sana ameugua kisukari mwaka wa 5 nayuko sawa... Rip mzee mchungaji

  • @tsongokauta5911
    @tsongokauta5911 Před 4 lety

    Poleni sana... taarifa hiyo imetufikia kama msituko
    Pole sana kwa jamaa na kwa kanisa lote. 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @zawadigongo9495
    @zawadigongo9495 Před 4 lety

    R.I.P mungu ametoa na bwana ametwaa jina la bwana yesu libarikiwe

  • @stevenlameck7044
    @stevenlameck7044 Před 4 lety

    Daima nitayasoma mafundisho yako,daima tutakukumbuka mwalimu wetu sisi tulikupenda lakin mungu amekupeda zaid

  • @restypeter1141
    @restypeter1141 Před 4 lety +3

    Jmn hii korona imetumwaaa au nakumbuka Mara ya mwisho alipiga picha akiwa karantini😭😭😭😭😭

  • @lindajeremiah35
    @lindajeremiah35 Před 4 lety

    Mungu ampokea mahali pema peponi mana mioho yawengi imepata majeraha sana Rest In Peace 💔💔

  • @hawakameta685
    @hawakameta685 Před 4 lety

    RIP kipenzi chetu mwalim pastor....Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema pepon

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy3976 Před 4 lety +2

    Pole sana tena sana MUNGU akulaze mahali pema peponi

  • @erickdavid5829
    @erickdavid5829 Před 4 lety

    Daaaah kwel mzee umeenda jaman😭😭😭😭😭pumzika kwa aman japo mahubir yako yamenitoa mbali sana camin kama ctackia mahubir mengine kutoka kwako😥😭😭😭...ulale pema mwlm.

  • @ezraplubwaza1538
    @ezraplubwaza1538 Před 4 lety +2

    Its painful Rest in Peace Pastor!

  • @willywilly5433
    @willywilly5433 Před 4 lety

    Mungu akupumzishe kwa aman katika nyumba yamilele

  • @wycliffeojijo3560
    @wycliffeojijo3560 Před 4 lety +1

    GOD why? oh kifo,am from Kenya I still can't believe this please

  • @gracepeter3200
    @gracepeter3200 Před 4 lety

    Duniani tunapita tu jamani Mungu atupe mwisho mwema

  • @doreenkanje9839
    @doreenkanje9839 Před 4 lety

    Nimeumia hadi miguu haina nguvu kwann jamn wachungaj walimu wa vijana wanatuacha uwiiii😭😭😭😭juz mama rwakatire leo mito mingi kweli hii dunia sio yetu daah.

  • @vickyjoseph6164
    @vickyjoseph6164 Před 4 lety

    Duh ! Inauma sana

  • @ericafrank2627
    @ericafrank2627 Před 4 lety +1

    Eee Mungu naomba ushuke ututetee naomba utetee wachungaji wetu nibalaa gani hili nimelia sana sana sana

  • @emmanuelsaligwekibanda9952

    Poleni sana MUNGU awatie nguvu

  • @henrymushi8340
    @henrymushi8340 Před 4 lety

    Mungu ailaze roho yake mahali pema

  • @catherinegumbo1450
    @catherinegumbo1450 Před 4 lety

    RIP Mwalimu, tutayakosa mafundisho yako

  • @charitykikoka6468
    @charitykikoka6468 Před 4 lety +1

    Dah jmn Mungu amlaze mahali pema peponi nlikuwa nakukubali sana baba tutakukumbuka daima 🙏🙏😭😭😭😭

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +1

    R. I. P

  • @abelbaraka263
    @abelbaraka263 Před 4 lety +1

    Kama siamini Ee Mungu
    ila wewe ni Mungu unayo toa na kutwaa jina lako libalikiwe

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 Před 4 lety +7

    Poleni sana Rest In Peace Peter Mitti Mingi

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 Před 4 lety

    Mungu wetu akurehemu mtumishi

  • @benedictojanuary5222
    @benedictojanuary5222 Před 4 lety +1

    Dah Mchungaji Mungu akupokee kwake

  • @dominianmpombe3640
    @dominianmpombe3640 Před 4 lety

    Maskini Pastor! Kweli wazuri hawadumu! Pumzika kwa amani Mchungaji.

  • @asiamwarabu7510
    @asiamwarabu7510 Před 4 lety +2

    Jmn jmn tunatembea na kifo mkononi Pumzika kwa amani mch. Vijana wazee wanakupenda daima

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 4 lety

    RIP pastor. Nilkua napenda mafundsho yke

    • @anifermhando4847
      @anifermhando4847 Před 4 lety +1

      Bwana ametoa n bwana ametwaa jina lak lihmidie kikbw tujangalie na sisi itatkut tukiw wap

    • @azzamahamdu7039
      @azzamahamdu7039 Před 4 lety

      Kbsaaa njia ya kila mmoja

  • @tulizolazaro7928
    @tulizolazaro7928 Před 4 lety

    So sad mafundisho yako yalikuwa yananipa faraja nenda salama pastor😧

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma8168 Před 4 lety +9

    Dah! Umetangulia mzee baba "Mwenyez Mungu akueke pahala ambapo unastahl kukaa".

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety +1

      Waislam acheni utani, wakati dini yetu hairuhusu kumuombea vyema asiyekuwa Muislam akifa naomba tukae kimya!

    • @abdallahjuma8168
      @abdallahjuma8168 Před 4 lety

      @@hajihassan5433 sw mkuu nimekuelewa lkn some mitandao inatia mihemko

    • @youmemeyou2976
      @youmemeyou2976 Před 4 lety +2

      @@hajihassan5433 . Kaongea hivi Mungu amueke panapostahiki. Hili sio kosa kusema hivyo Angesema amueke pema peponi hapo ni kosa.

    • @sarahirakoze9932
      @sarahirakoze9932 Před 4 lety

      Dini yaki christ haikatazi kuombeya mutu apumuzike Salam asante Abdullah juma kwakumutakiya heri

    • @abdallahjuma8168
      @abdallahjuma8168 Před 4 lety

      @@hajihassan5433 lkn nahc kw uombez huu cjakosea kw mujbu wa muongozo wa dn ye2

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 4 lety

    Innah lillah wainnah illah rajiuna, CORONA 🙌🙌🙌🙌🙌🙌mkiambiwa stay home hamsikii mambo kama hiv unaacha mke na watt unasepa zako kama hivyo sijui hata wanafamilia wako salama, Jmn eeeh kaeni nyumban mtulie mikusanyiko ni majanga, niwasihi masheikh jmn fungen misikiti mbak home kuepuka mikusanyiko waaachen hao wasio sikia maneno waandika R.I.P. tupo hatuchok .huyo ndio maarufu sababu tumejua kafa unajiuliza je wafuas alikuwa nao huko kuendesha shughuli zake wako salama na hata kama wakifa hakuna atakae jua sababu si maarufu viongoz wadin wahurumien waumin wenu nyinyi mkifa mwafa vzr mshajijenga mko vzr ndinga majumba mapesa kama yote na mirad pia so mnaziacha familia vzr, sasa kaz ipo kinamwayangu na mim, tusubir CORONA ipite muaze kuomba misaada kwenye media mbali×2

  • @lucyisrael6121
    @lucyisrael6121 Před 4 lety

    Ni taarifa nzito kuzpokea na bado siamin jamani,kweli kafa? Mmmh dunia ni njia ya kupita tu,R.I.P Dr Mitimingi

  • @adelinaadoloph5311
    @adelinaadoloph5311 Před 4 lety

    Daaaaah tutakukumbuka daima jamn pastor me siamin 😓😓

  • @magrethkisamo594
    @magrethkisamo594 Před 4 lety +1

    Ee Mungu utusamehe utuondolee uchunguu huu 😭😭😭Kama naota jmn 😭😭iwe Ni ndoto tu jmn

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 4 lety

    Ngumu kuamini lkn inatubidi tuamini 😢😢😢

  • @janeobure1859
    @janeobure1859 Před 4 lety +1

    Polen Sana Familia. Corona inaua Tena haraka Sana. Tuchukue tahadhari zote. Hali si shwari. Ugonjwa huu ni hatari .jilinde Linda watu wengine.

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa1811 Před 4 lety

    Mungu akulaze pema peponi, nilikuwa nafuatilia mafundisho yako sana kwenye CZcams.

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Před 4 lety

    Dahhh mungu akupokee

  • @doreensimon993
    @doreensimon993 Před 4 lety +1

    Duh!!!

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 Před 4 lety +1

    Duniani mapito lamsingi tengeneza na YESU mapema kwa TOBA NA KUOKOKA

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 4 lety

      Hakuna awazae kuokoka huku akiwa anaishi duniani.. Soma biblia uelewe nini maana ya kuokoka

    • @desderymakoi6595
      @desderymakoi6595 Před 4 lety

      Juma Jaffary Huwezi Kumjibu MUNGU,Hujaielewa Biblia Tafuta wachungaji wa kipentekoste waliookoka watakusaidia.Na Waalimu kama mchungaji MitiMingi

  • @farajapeter9707
    @farajapeter9707 Před 4 lety +1

    Mmh! Mungu wewe wachungaji mbona wanaondoka hivi jamani

  • @ameenasur656
    @ameenasur656 Před 4 lety +1

    Jmn huyu mchungaji hua napenda sana mafundisho yake sasa nimebak na mchungaji Daniel mgogo pumzika kwa aman peter

  • @shfiv2399
    @shfiv2399 Před 4 lety

    R.I.P MCHUNGAJI

  • @jamesrasugu1849
    @jamesrasugu1849 Před 4 lety

    Tuchikue hatua wenzangu miti mingi ni pastor was maana. Corona ....

  • @lilyngowi3483
    @lilyngowi3483 Před 4 lety

    Tumebaki na mafundisho yako mchungaji.Rest In Piece

  • @aginessjemsi3271
    @aginessjemsi3271 Před 4 lety

    Duh mbona its pain

  • @neemakaonga1680
    @neemakaonga1680 Před 4 lety

    Mhh! Duniani tunapita , R.I.P pastor

  • @herbertbavuma3058
    @herbertbavuma3058 Před 4 lety

    Eeee mungu huu mwaka unanini lkn mbona tanzia hazikomi juu ya waja wako let the mercy of u be with us please#RIP my best PASTOR jmn#

  • @lindajohn2156
    @lindajohn2156 Před 4 lety +6

    R I P JAMAN MCHUNGAJI INAUMA JAMANI MUNGU AKULAZE PEMA NA AIFARIJI FAMILIA YAKO

    • @kulwasanyiwa6901
      @kulwasanyiwa6901 Před 4 lety +1

      Kweli inauma Sana linda

    • @lindajohn2156
      @lindajohn2156 Před 4 lety +1

      @@kulwasanyiwa6901 nimejifunza mengi kupitia huyu mtumishi na nitayafanyia kazi nisipo msikiliza na ugua ndio hivyo Mungu kampenda zaidi Mchungaji wangu Mungu amwekepema

  • @emelykinsindi9439
    @emelykinsindi9439 Před 4 lety +2

    Daaaa jamani nimeumiaje mweee sielewi nifanyeje naumia nilikuwa napenda sana mafundisho yake kweli kifo huna huruma mungu ampumzishe kwa amani

  • @aldachale3624
    @aldachale3624 Před 4 lety +1

    Mungu umpokee mtumishi wako

  • @delphinebahati9973
    @delphinebahati9973 Před 4 lety

    Poleni sana tena sana

  • @christinewomanoffaith5479

    Roho inaniuma mno!
    Mungu mpe nguvu mke wake!

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog Před 4 lety +9

    _mbona watu malufu ndio wanafaliki tu bas ndio nyakati za mwisho izi ombeni kwa sala na kufunga bila kukoma_

    • @nicolasreuben9623
      @nicolasreuben9623 Před 4 lety

      Sio maarufu tu ndio wanaokufa,hata makapuku tunakufa sana sema hatutangazwi kwenye vyombo vya habari

    • @esthermgonja4475
      @esthermgonja4475 Před 4 lety +1

      Wote wanakufa tu ila kwa kweli wakubwa wamefululiza sana tuu

    • @kingfocustzog
      @kingfocustzog Před 4 lety

      @@nicolasreuben9623 _ndio wakati wa kuomba na kusali bila kuchoka_

    • @kingfocustzog
      @kingfocustzog Před 4 lety

      @@esthermgonja4475 _ndio nyakati za kuomba bila kukata tamaa kesheni mkiomba ili kulisi ufalume wa mungu tumeiacha njia iliyo sahihi na kufata njia abayo sio sahihi_

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani3076 Před 4 lety

    R I P

  • @catherineNyakanga
    @catherineNyakanga Před 4 lety

    Very sad story ghaiii 🤔🤔🤔

  • @sofiajosefu5224
    @sofiajosefu5224 Před 4 lety

    Daaa siamini kwa kweli

  • @marrymbwiga3590
    @marrymbwiga3590 Před 4 lety

    R.I.P dady

  • @mwamlimaprisca3115
    @mwamlimaprisca3115 Před 4 lety

    speech zako zitadumu daima r.i.p pastor 💔🙏

  • @hasinarashid2768
    @hasinarashid2768 Před 4 lety

    Ya allah mwaka huu ni mkali jaman.Allah tuvushe salamaa.rip mwenyez mungu alifanye kaburi lako kua moja ya pepo

  • @ignasclemens1763
    @ignasclemens1763 Před 4 lety +1

    Daaaah aiseee Mungu wangu..

  • @dasonmwakalila2616
    @dasonmwakalila2616 Před 4 lety

    Poreni Sana watumishi

  • @raghadmubarak553
    @raghadmubarak553 Před 4 lety

    Poleni sana watanzania

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    💔🕊️

  • @latefalatefa5594
    @latefalatefa5594 Před 4 lety

    Duh polen saana wafiwa nenda salama past nitakukumbuka binafsi

  • @leahchungu4862
    @leahchungu4862 Před 4 lety

    Rest in peace Baba

  • @jaffarymkunga9300
    @jaffarymkunga9300 Před 4 lety

    2020 vp kifo unazidi kututenganisha kwann usisubili 2021

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +3

    Ooh jaman Innaillah wainaillah rajuun😧😭💔