Kujiunga na Jeshi la Marekani (Sehemu ya 2)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 15

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Před 2 lety +4

    Mr, Makulilo nakuita nakusema wewe ni baba mlezi wa vijana wa Tanzania mungu akulipe kwa huduma hii hakika unaelezea na kuwapa maelekezo kwa roho mweupe kabisa yaan unampa mtu ukweli kutoka moyon kwa kumsaidia ili afanikiwe

  • @enyanzuzempa5295
    @enyanzuzempa5295 Před 3 lety +2

    Tanzania nimechelewa sana...ajira za jeshi ni ngumu kupata

  • @emanuelrobert846
    @emanuelrobert846 Před 2 lety +2

    Vigezo gn wanazinfatia unavotaka kujiunga na jeshi la marekanmarekani

  • @hermanlupogo5485
    @hermanlupogo5485 Před 2 lety

    Ningejua mapema hii ilikuwa njia nzuri sana

  • @amirsalum663
    @amirsalum663 Před 2 lety

    Hbr kaka Pole na majukumu naomba hunitumie taratibu za kuapply.

    • @MelkioryDigha-ry8nu
      @MelkioryDigha-ry8nu Před 10 měsíci

      Mbona kam ha reply atusaidie tujiunge na sisi huko..nchini kwetu tabu kujiunga

  • @officialgakankara
    @officialgakankara Před 3 lety

    Huaga nataman sana vazi LA jeshi la markan

  • @MelkioryDigha-ry8nu
    @MelkioryDigha-ry8nu Před 10 měsíci

    Chief tunakupataje Ili nafasi huko ambae hatujafkisha 30yrs

  • @chriswashington7745
    @chriswashington7745 Před 2 lety +1

    Na nikiwa TZ naeza apply aje??

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Před 2 lety

    Vipi kaka kwamfano Mimi ni mtanzania na nipo Nairobi Kenya naweza kuaply vipi?

  • @ignatiussiama6666
    @ignatiussiama6666 Před 2 lety

    na ukiondoka jeshini nyumba yko itachukuliwa ama utabali nayo

  • @garruwsuntilibreaththislif3681

    Nahitaji kuwasiliana na wewe Kama itakupendeza tafadhari naweza kupata namba yako ya what's App

  • @fikirinijr6807
    @fikirinijr6807 Před 2 lety

    jamaa maswali yake anaulizia benefits tu bila PROCESS... YA KUFIKIA LENGO... He is Hell Dump C'mon, afu akisia amount ana kuwa excited sana Doh!