Habari ya mchana Dada Mimi ni billionaire mimi ni tajiri mukubwa hapa duniyani mimi ni mushindi Mimi ni tajiri mukubwa hapa duniyani mimi Nina hakili kubwa, mimi ni mzalishaji mukubwa hapa duniyani, mimi ni n'a Hakima n'a nguvu za ulumwengu Amen amen amen thank you God ❤
Nimekuwa nafanya maditation mara Kwa mara ila jana nimeona jicho kubwa linazunguka katikati nikaona ua jekundu zuri sana sijawai kuona baadae nikaona km huko juu mbinguni kweupe sana Kuna mtu akukaa lkn nimeona mgongo sikuona sura yake nn jicho sijajua maana yake
Mwili wa mwanadamu una energy ambayo energy hio ukiweza kuichannel inatoa nguvu za mtetemo ama vibrations kuwasiliana na universe. Usijali your doing good endelea kumanifest inaonyesha una nguvu kubwa ndani yako. Naamini utafanikiwa. On God. Amen 💞🌹❣️
Habari ya mchana Dada Mimi ni billionaire mimi ni tajiri mukubwa hapa duniyani mimi ni mushindi Mimi ni tajiri mukubwa hapa duniyani mimi Nina hakili kubwa, mimi ni mzalishaji mukubwa hapa duniyani, mimi ni n'a Hakima n'a nguvu za ulumwengu Amen amen amen thank you God ❤
Nashida na pesa halafu leo ndio nakufollow dada angu
Mimi ni tajiri mkubwa sana hapa duniani
Asante
Mimi'Ni Tajiri mkubwa apa Dunian Mimi na Pesa Ni Marafiki Pesa zinanifuata naniamini katika nguvu za Ulimwengu
Mimi ni asmako wa pesa,
Nina pesa nyingi mnoo
Mimi ni tajiri mkubwa hapa duniani
Mimi naamini nguvu za universe
Asante dada kwa somo
Mm ni tajiri ninaamini ktk imani
Mimi ninapesa Sana❤
Thanks
Nimekuwa nafanya maditation mara Kwa mara ila jana nimeona jicho kubwa linazunguka katikati nikaona ua jekundu zuri sana sijawai kuona baadae nikaona km huko juu mbinguni kweupe sana Kuna mtu akukaa lkn nimeona mgongo sikuona sura yake nn jicho sijajua maana yake
Sasa dada kama ni fanya manifestation Nina tetemeka Sasa ni Nini ?❤❤❤❤❤🎉
Mwili wa mwanadamu una energy ambayo energy hio ukiweza kuichannel inatoa nguvu za mtetemo ama vibrations kuwasiliana na universe. Usijali your doing good endelea kumanifest inaonyesha una nguvu kubwa ndani yako. Naamini utafanikiwa. On God. Amen 💞🌹❣️
Asante
Mimi nitajiri mkubwa sana hapa duniyani
Mimi ni tajiri mkubwa sana hapa duniani