Bodi ya Wadhamini sio wamiliki bali wasimamizi wa mali za Yanga. Halafu Yanga hawajawahi kuwa na katiba ya 2020😅. Halafu baada ya kuongea na magoma mara 3 ulitakiwa uende ukaongee na Yanga mara zozote ambazo ungeamua. jemedari unaonekanaga mpumbavu katika kila jambo
mbona yanga kama inaumiza weng mala uyu mzee uchwala sijui katokea wap mala usajl nao unawaumiza sasa shida yao nn? na uyu jemedar said na uyo mnzee kama kuna kitu upande wa pil jaamn waaiache yanga yetu
Huyu jemadari mkuda sna yani kila jambo la yanga kimbelembele tuuuh
Jemedali kweli ndiyo maaana unaferi mitihani ya TFF ya uwakala wa Wachezaji
Jemedali yaani wewe ni mbeyaaaa hujui kitu
Mim nnacho jua Yanga anaendlea kua bingwa kwa mara nyingine
Yaani jemedar kafurahiiiii na anafikiri Hersi anaondoka😅😅😅😅😅
Yy hajui kwa sasa coz hio kesi niyamda mrefu nahukumu imetoka mdamrefu
Kazumari na Lea wote ndo wale wale kwani hakimu ni nani hakimu anakufunga kisa Kuna jambo lingine acheni uwongo
Mpira hauingiliwi na mahakama tena nikosa kubwa rabda iwe kesi ya jinai tu kama walivyohukumiwa akina kaburu
Jemedali mbona unashindwa kujibu swali sasa iwapo hujui basi kaaa kimya ndiyo maaana una sura ngumu sana mmakonde
Jemedar kafulahii mpaka bas
Ivi nyinyi wachambuzi ivi hamjui kua magoma alilolifanya nikosa alitakiwa kupeleka tff na sio mahakama za hizo
Utopolo ulibwanji
Magoma kaja kizamani sana, 🤣🤣🤣, hawezi kitu
Jemedari ukosawaaa
Bodi ya Wadhamini sio wamiliki bali wasimamizi wa mali za Yanga. Halafu Yanga hawajawahi kuwa na katiba ya 2020😅. Halafu baada ya kuongea na magoma mara 3 ulitakiwa uende ukaongee na Yanga mara zozote ambazo ungeamua. jemedari unaonekanaga mpumbavu katika kila jambo
mbona yanga kama inaumiza weng mala uyu mzee uchwala sijui katokea wap mala usajl nao unawaumiza sasa shida yao nn? na uyu jemedar said na uyo mnzee kama kuna kitu upande wa pil jaamn waaiache yanga yetu
Wewe kazumali makalio sana machawi wewe ndo mana hufanikiiwi
Jeme kafurahi
UBAYA UBWELA