🚨Sakata la Yanga,Viongozi kutakiwa kuondoka madarakani,Inshu nzima ilivyo kisheria

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #football #alikamwe #simba #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simbaislive

Komentáře • 21

  • @peteralex6408
    @peteralex6408 Před měsícem +2

    Huyu jemadari mkuda sna yani kila jambo la yanga kimbelembele tuuuh

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před měsícem +2

    Jemedali kweli ndiyo maaana unaferi mitihani ya TFF ya uwakala wa Wachezaji

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Před měsícem

      Jemedali yaani wewe ni mbeyaaaa hujui kitu

  • @johnmanase2874
    @johnmanase2874 Před měsícem

    Mim nnacho jua Yanga anaendlea kua bingwa kwa mara nyingine

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před měsícem

    Yaani jemedar kafurahiiiii na anafikiri Hersi anaondoka😅😅😅😅😅

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 Před měsícem

    Yy hajui kwa sasa coz hio kesi niyamda mrefu nahukumu imetoka mdamrefu

  • @maxmia100
    @maxmia100 Před měsícem

    Kazumari na Lea wote ndo wale wale kwani hakimu ni nani hakimu anakufunga kisa Kuna jambo lingine acheni uwongo

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 Před měsícem

    Mpira hauingiliwi na mahakama tena nikosa kubwa rabda iwe kesi ya jinai tu kama walivyohukumiwa akina kaburu

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před měsícem +1

    Jemedali mbona unashindwa kujibu swali sasa iwapo hujui basi kaaa kimya ndiyo maaana una sura ngumu sana mmakonde

  • @edwardsolomon169
    @edwardsolomon169 Před měsícem

    Jemedar kafulahii mpaka bas

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 Před měsícem

    Ivi nyinyi wachambuzi ivi hamjui kua magoma alilolifanya nikosa alitakiwa kupeleka tff na sio mahakama za hizo

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před měsícem

    Utopolo ulibwanji

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +1

    Magoma kaja kizamani sana, 🤣🤣🤣, hawezi kitu

  • @johnntabagi9726
    @johnntabagi9726 Před měsícem

    Jemedari ukosawaaa

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před měsícem

    Bodi ya Wadhamini sio wamiliki bali wasimamizi wa mali za Yanga. Halafu Yanga hawajawahi kuwa na katiba ya 2020😅. Halafu baada ya kuongea na magoma mara 3 ulitakiwa uende ukaongee na Yanga mara zozote ambazo ungeamua. jemedari unaonekanaga mpumbavu katika kila jambo

  • @SeifAbdallah-y2e
    @SeifAbdallah-y2e Před měsícem +1

    mbona yanga kama inaumiza weng mala uyu mzee uchwala sijui katokea wap mala usajl nao unawaumiza sasa shida yao nn? na uyu jemedar said na uyo mnzee kama kuna kitu upande wa pil jaamn waaiache yanga yetu

  • @maxmia100
    @maxmia100 Před měsícem

    Wewe kazumali makalio sana machawi wewe ndo mana hufanikiiwi

  • @barakambeyale7207
    @barakambeyale7207 Před měsícem

    Jeme kafurahi

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před měsícem

    UBAYA UBWELA