SOMO LA KUMSAMBARATISHA YUSUF DIWANI MKUFURISHAJI HAPA HATOKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Komentáře • 41

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hx Před 2 měsíci +1

    Maansha Allah darsa lako limeeleweka,twamuomba Allah akuhifazi

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 2 měsíci +1

    Ma sufi nipeni maji ni kisema برب الناس na ملك الناس na اله الناس hapo nimetaja mungu watatu?

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Před 2 měsíci +4

    Msomeshe huyo ajili amefuatilia sheikh Abdurahman wa burundi tena huyu sheikh amesoma vyuo vikuu misri na saidia lakini tunamuona diwani haja soma chuo kikuu chochote kukosa adabu tu

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Před 2 měsíci

      Huyu anasema kajisomesha mwenyewe huyu

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu Před 2 měsíci +2

    Msomeshe uyo shekhe yani %kubwa ya awa makhurafi hawajiekewi .kama uyu Yusuf diwani hajulikani hata aliposomea,kasoma vichochoroni na ao nduguzake, ndomana waborongatuu,nauongo mwingi

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    haki inang'aasiku zote kwa dalili bali batwil ukiitiloa nia kuwa utaendelea kubaki nayo shetan atakupendezesheeni mpaone pazuri katika batil Allah atuongoze tusifuate matamanio ya nafsi tukapotea

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k Před 2 měsíci

    Uyo mnganga wa kienyeji mpinga vipande Yusuf diwani msomeshe
    Uyo mushikina mpinga vipande Yusuf diwani
    Ni mkiya wa mashia
    Yusuf diwani kukata tauhidi uluhiya na rububiya na asmau wasifati ni fika za Kishia kukata hizo tauhidi tabu
    Mashia ndiyo waliyo kataa vigawanyo vya tauhidi

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci

    Musema. Ndimu kama sio ndimu na wakristo wanasema yesu ni mungu lakini sio kama mungu baba

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci +2

    Mashehe wote wanaotetea maulidi kuyafanya kuwa ni dini tunawaomba watutafsirie vitabu ya maulidi ili watu wajuwe kilichomo ndani mbona hawa wanaopinga wantamba sana na wanaonesha ubovu uliomo ktk vitabu hivo

    • @SaidMadai
      @SaidMadai Před 2 měsíci

      Hhhh ww upo kwenye serra wkt hp inazungumzwa ukatoliki w kitauhid mlio nao nyinyi mawahabi mkajinasibu n tauhid 3 ambazo hazina mapokezi yoyote kutoka kw mtume zaid y uzushi kumpwekesha Mungu n km kiumbe

    • @MBAROUKSAADHUSSEIN
      @MBAROUKSAADHUSSEIN Před 2 měsíci

      Je Maulid yanamapokezi Kwa Mtume mbona haukubali ukiambiwa ni uzush au ambao sio sahahih ni bidaa ni hili tu Kwa kua haulitaki?
      Msikilize SHEKHE tu utelewa

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 2 měsíci

    Sikio la kufa halisikii dawa, Yusuf Diwan sioni akitubu, atakufa msufi mpiga ramli

  • @adamcity9441
    @adamcity9441 Před 2 měsíci

    Itikadi ya Mawahabi
    Sheikh Alislaami Ibnu Taimia Alharaani:
    كما في الحديث الصحيح المرفوع عن قتادة عن عكرمة عن ابن عباس قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: رأيت ربي في صورة شاب أمردُ له وفرة جعد قطط في روضة خضراء
    Kama ilivyo katika *hadithi sahihi almarfuu* kutoka kwa Qataadah kutoka kwa Iqrimah kutoka kwa Ibnu Abbaaas amesema: amesema Mtume wa Allah s.a.w.: “nilimuona Mola wangu akiwa katika sura ya kijana barobaro nywele timtimu nyingi chooko akiwa katika bustani kijani.” [Rf. Bayanu Talbiis Aljahmia 7/290]

    • @BilaliIloko
      @BilaliIloko Před 2 měsíci

      Kaka kakae usome kaka usisikilize hao mashia rafidhwa utapoteza dini yako,

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hx Před 2 měsíci

    Katika watuwajinga huyu diwani kwakweli ni jinga kwelikweli!

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 2 měsíci +1

    MAWAHABI OYEEEE......!! ASLIMIA 99% YA MASHEKHE WA ZAMANI WA ZANZIBAR HAWAJASOMA SOODIA VYUO VIKUU.

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 Před 2 měsíci +1

    Kama Yusuf Diwani hajafahamu somo la Leo basi atakuwa mbumbu

  • @hassanrangambo8007
    @hassanrangambo8007 Před 2 měsíci

    Yooooote sijaona sehemu kafundisha mtume swahaba tabii na tabii tabiina bali ni jitihada tu za wanazuoni hujamwelewa na huto mwelewa nilitegemea upite kwa nahw swaraf kama yeye tupate elimu inshaalla

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 2 měsíci

    Kumbe hapo ulipo unamakaratasi mwenzako anatuonyesha wapi tufat e ushaid ibn taymia nimshirikina

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 měsíci +1

    Diwan nakushaur ukaw kimya huyu shekh sıo saşz yako
    Ukıangalia huyu shekh Muhammda İs'haka mdıo shekh peke yake aliyepigilia msumar kark Kırab cga maulıd kukıtafsr na kasqsıda fekı na mpka leo hakuna altmpinga
    Maaana ni elimu kubwa anayooo mzee huyu !!!!

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9y Před 2 měsíci

    Inaonekana hawajiamin haya wazee wasifa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 2 měsíci

    Wale hawafai kwenye jami

  • @BakariBinuri
    @BakariBinuri Před 2 měsíci

    Masufi tauhidi yao no moja tu

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 2 měsíci +1

    Sheikh utwambie hivi imegawanyika tauhidi kwakitabu hiki kisicho cha mawahabi wewe. Ni ndacha ujui usemalo akili yako ni mgando

  • @darajanida
    @darajanida Před 2 měsíci

    kama ashaaira si ahulusuna ahlusunna nimawahabi au milango ya tauhid hujui mzee wang bora unyamaze tu utafedheheka

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9y Před 2 měsíci

    Halafu kwann kina diwan wakitoa clip zao wanafunga sehemu ya coment.

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Před 2 měsíci +1

      Makafiri wasiingie na kubadisha maana

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 2 měsíci

    MAWAHABIIII TUKISEMA NDIMU HII KAMA SI NDIMU HIYO BADO ITABAKI KUWA NDIMU ILA INASIFA ZA ZIADAAAAA

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 2 měsíci +1

      Sheikh Muhammad Abdul bi wahab
      Ni Sheikh mkubwa
      Wew endeleya kulishwa matango pori na masufi

    • @darajanida
      @darajanida Před 2 měsíci

      ni shekh mkubwa kwko wewe

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 Před 2 měsíci

      @@darajanida na kwako pia

    • @darajanida
      @darajanida Před 2 měsíci

      laa mim najuwa vizuri historiya ya shekh muhammad ibn adulwahab mimi nlko mbali na daawa yake usinlsingizie nduguyangu

    • @warshysaid8564
      @warshysaid8564 Před 2 měsíci

      ​@@darajanidatupe hiyo history yke kma kwel unamjuwa

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před 2 měsíci

    Huyu bwana n muongo kweli kweli

  • @AlhajiShabani-rq9vm
    @AlhajiShabani-rq9vm Před 2 měsíci

    umekosa radhi ya shekhe hakusema diwani ni vitabu vyenu sio diwani mbona wajichanganya

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 2 měsíci +1

    Diwani elimu hana hata maulama wao hajui kuwa wamegawanya tauhidi 3 na aseme sasa kuwa na hawa ni wakatoliki
    Kweli kumsomesha mganga tauhidi ni kazi ngumu ....kwa sababu tauhidi inakataza shirki na Diwani na wenzake hawako tayafi kuacha shirki