Historia ya sheikh waliid al hadi ki elimu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 10. 2021
  • Yaa salaam online tv

Komentáře • 85

  • @njamambwana3755
    @njamambwana3755 Před 2 lety +19

    Nilikuwa najiuliza huyu Sheikh kwanini amekuwa na utulivu wa hekima,Kumbe amepitia kwenye mikono salama ya wazee masheikh magwiji Masha Allah!

  • @mohamedimuhango4440
    @mohamedimuhango4440 Před rokem +4

    Mashaallah Sheikh Walid kumbe ulionekana zamani naona kabisa daraja yako ipo juu zaidi ya hapo, Allah azidi kukujaalia afya njema 🙏

  • @msarama5406
    @msarama5406 Před rokem +2

    Historia nzuri Mashaa Allah usiache kufundisha

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před rokem +4

    Shekh mtulivu sana anahekima mungu akuongoze

  • @massoahussein8132
    @massoahussein8132 Před 2 lety +8

    Mashallah..Mashallah..nilikuwa natamani sana kupata historia ya Shk Wangu nimpendae sana kwa ajili ya Allah...Shukran kwa Ya salaam TV.. mtuletee na masheikh wengine.

  • @heritientuba6339
    @heritientuba6339 Před rokem +1

    kila la kheri shekhe Mpya wa dar es salaam kumbuka watu ni wanaafiki sifa nyingi kumbe wanakungoja uteleze kidogo waanze fitna zao Allah akuifadhi na Shari zote.

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 Před 2 lety +11

    MashaaALLAH Tanga , Lamu , Mombasa na Zanjibar Pamejaaliwa Elmu kubwa Sana , Allah ailinde miji hii , Aaameen

    • @mosimba467
      @mosimba467 Před rokem

      Naushoga ndio umejaa huko iombeeni miji yenu jamani

    • @cheka480
      @cheka480 Před rokem

      @@mosimba467 Tunaomba usiku na mchana atuondoshee hilo tatizo ila Allah (s.w.t) anapokuletea mtihani anajua nini anachokifanya subra nayo ni ibadah. Na hivi vitu vinaumiza zaidi sehemu ambapo kuna deen au waumini wengi wa dini yetu. Tunamlingania Allah (s.w.t) kwa ndugu zetu huko walipo.

    • @allystar5406
      @allystar5406 Před 11 měsíci +1

      @@mosimba467 KITU USICHOJUA NI KWAMBA TANZANIA BARA NDIO INAONGOZA KWA IDADI YA MASHOGA KABISA KAFUATILIE TAKWIMU ZA MWAKIBE UTAELEWA ACHA CHUKI NA HIYO MIKOA YA ELIMU NA HATA ELIMU YA DUNIA MIKOA HIYO ILIKUWA YA KWANZA WATU WAKE KUSOMA

  • @akidawangara2323
    @akidawangara2323 Před 2 lety +17

    Kweli ardhi imechukua watu wema. Hekima ya hao masheikh na kazi waliyofanya...haki yanamtoa mtu machozi. Mwenyezi Mungu amrehemu Sheikh Muhammad bin Ayubu, Sheikh Suleiman Mbwana, Sheikh Muhammad Al Burhan na wengine wote waliotangulia mbele ya haki.

    • @salamajuma2931
      @salamajuma2931 Před rokem +3

      Hakika sheikh Walid ni wazi mioyo ya wengi imemkubali. Mm nafc yangu moyo wangu unakitu kizito juu ya mapenzi juu yk katika njia ya Haki ya Mola wetu mlezi. Allah azidi kumbarik kwa kazi ya Allah ya kutuelimisha.

    • @aishaabdullah837
      @aishaabdullah837 Před rokem

      Ameen

  • @sheikysaguti1265
    @sheikysaguti1265 Před 2 lety +4

    Maashaallah sheikh wald nimependa historia yako ama kila mmoja anahistoria yake

  • @twahamwela2158
    @twahamwela2158 Před 2 lety +3

    Dah!!! Allah ambariki sana sheikh Walid kwa kweli anafanya Kazi kubwa Sana

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 2 lety +7

    MashaAllah al habib ustadh Walid Mungu amuweke na amuhifadhi. Amesoma kwa wanazuoni wakubwa wacha Mungu masharifu wema. Nampenda sana yeye na elimu yake na darasa zake..
    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الحبيب الأستاذ وليد حفظك الله ورعاك. اللهم آمين يارب العالمين.

  • @muslmlushototv4802
    @muslmlushototv4802 Před 2 lety +2

    Shekh walid nakukubali sana Allah akupe umri mrfu

  • @mssfonlinetv
    @mssfonlinetv Před 2 lety +2

    Laa ilaaha illaallaah Allaah akupe umri mrefu tuzidi kunufaika AAMIIN na ampe kheri ktk kabri lake Babu yetu Shk Alhad,
    Nivosikia umemuombea umri mrefu nikashtuka nikatizama kumbe Mimi ndio nimechelew kuipata hii video,
    Mpk jana Babu yetu ndio anamwezi KABURINI.

  • @fatyymohammed1378
    @fatyymohammed1378 Před 2 lety +4

    Mashaa Allah Mungu azidi kukuongoza Shekhe wetu

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 Před 2 lety +6

    أحسنت يا دكتور شيخ وليد .. حفظك الله ورحم الله والديْك يا رجل صالح بن رجل صالح

  • @msarama5406
    @msarama5406 Před rokem +1

    Yupo tofauti sana na Muhammad Idd na wote zao la Sheikh mkubwa ila huyu anautulivi mno anapita mulemule kwa sheikh Muhaamda Ayoub Allah amrehemu

  • @alijuma80
    @alijuma80 Před rokem +2

    Maa shaa Allah 💖🌿🌿💖🌿💖🥀🥀🥀🥀

  • @fatmacheshyathman8684
    @fatmacheshyathman8684 Před rokem +1

    MaashaAllah sheikh Walid Allah akuhifadhi na afya njema.

  • @user-fx6uh6qz6p
    @user-fx6uh6qz6p Před rokem

    Allah amzidishiye ilmu ma sha Allah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před 2 lety +2

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH

  • @sheikysaguti1265
    @sheikysaguti1265 Před 2 lety +1

    Allah awaraham masheikh zetu wamefanya makubwa waliandaa viwanda na malghafi zilizo safi naghali mungu amfanyie wepesi mlezi wetu sheikh muhammad bin Ayyuub na msheikh wengine Allahumma Aamiin

  • @suleiman5257
    @suleiman5257 Před rokem

    MashaAllah
    Twaomba aendele kusoma Kwa masheikhe wakumbwa wanaotambulika hasa wasahi waliyotoka njee Kwakuwa zamani ilikuwa ukisoma kidogo umekuwa sheikh

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před rokem

    Kumtafuta kugumu Allah awafanyie wepesi mashekh zetu

  • @jihrezally1336
    @jihrezally1336 Před 2 lety +1

    vizuri sana akhy tunaomba tuwafuatilie na mashekhe wengine

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před rokem

    Kumbe.wotee. wametokea. TAMTA mungu alekhem Mukhamed Ayyubu Maan shaallah shekh

  • @ibrahimually1196
    @ibrahimually1196 Před 2 lety

    يالسلام سلنا والمسلمين

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před rokem

    MashaAllah mashaAllah

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 Před 2 lety

    Maa shaa allaah historia nzuri sana

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 Před 2 lety +2

    MashAllah

  • @abuuirtifaahaamid3310
    @abuuirtifaahaamid3310 Před 2 lety +1

    Maashaallah

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe5244 Před 2 lety

    Maaasha Allah

  • @mursalmrisho1538
    @mursalmrisho1538 Před 2 lety

    Ma sha Allah

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před rokem +1

    Mashaallah

  • @jumaally6277
    @jumaally6277 Před 2 lety +1

    yaa salaam

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Před 2 lety

    يا سلام

  • @saidiiddi9591
    @saidiiddi9591 Před 2 lety

    MashaAll MashaAll

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 Před 2 lety +2

    Sauti kwa mbali hvii!! Tunamuomba naye Shekh samir atupe historia yake

  • @mohamedabubakar9852
    @mohamedabubakar9852 Před 2 lety

    Mashallah Tabarakallah

  • @khalifaallyibnadam9983
    @khalifaallyibnadam9983 Před 2 lety +1

    ALHAMDULILLAAAH ALHAMDULILLAAH ALHAMDULILLAAH

  • @kanalyabdul4014
    @kanalyabdul4014 Před 2 lety

    Yaaa salaam

  • @wazirabbasy1652
    @wazirabbasy1652 Před 2 lety

    yaa ssalaaam

  • @sheikhabdulmajidabdallah9625

    Maashallah

  • @sadambakari9756
    @sadambakari9756 Před 2 lety

    Mashaallakh

  • @wazirimwanyoka7949
    @wazirimwanyoka7949 Před 2 lety

    YAA SALAAM

  • @jumaally6277
    @jumaally6277 Před 2 lety +1

    yaa saa laam

  • @Salimajeeb
    @Salimajeeb Před 2 lety +1

    Yaa salaam yaa salaam

  • @hassanheresiwambura8341

    Mashallah

  • @twahirmussa4421
    @twahirmussa4421 Před 2 lety

    Yaa salaam

  • @omaryally1482
    @omaryally1482 Před 2 lety

    Ya salaaam

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 2 lety

    mashallah

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před 2 lety +1

    Hizi ndizo elimu na hivi ndivyo zinavyopatikana bila shaka

  • @azizasana9313
    @azizasana9313 Před 2 lety

    Mashllaaleh

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před rokem

    I wish Mwaipopo angepata japo tone la hekima ya shekhe WALIID BIN SHEKHE ALHAJI OMARY

  • @abdulrahmanmohamed8789
    @abdulrahmanmohamed8789 Před 2 lety +2

    Kazi nzuri maa shaa Allah. Ingependeza kama suala la kusoma lingepewa muda mkubwa. K.m angeulizwa jumatano ya mwanzo alianza muda gani? Nani alimuanzisha? Alisomeshwa nini na akaendelea kwa utaratibu upi? Uzito gani aliupata wakati anasoma? Marafiki zake walikuwa wepi? Walifanya murajaa' vipi? Mikasa aikumbukayo wakati wa kusoma; mambo ya kufurahisha; mambo asiyoweza kuyasahau wakati yuko chuoni. Walimu wake na mwalimu yupi kamsomesha nini? Kwa sasa anaendelea kusoma kwa nani na kwa utaratibu gani n.k Cha muhimu mpate simulizi iliyo kamili na itakayomchukuwa mtoto au mwanafunzi katika 'Safari ya kutafuta elimu'.

  • @Salimajeeb
    @Salimajeeb Před 2 lety +1

    Umeuwa mzee💯✍️

    • @SHECK177
      @SHECK177 Před 2 lety

      Ufwate njia hizo alhabiib

  • @slamecktz
    @slamecktz Před 2 lety +1

    Asalaam aleiku Ustadh Abdulhaliim naomba kufahamu kabla Mwalimu Imamu Sheikh Walid hajaenda Lamu kusoma alipitia Kwa Sheikh yupi na yupi jijini Dar Es Salaam akisoma dini.

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Před 2 lety +3

    Hakuna_Alie_soma_kwa_shekh_MUHHAMMAD_AYOOB_akatoka_patupu_wote_sasa_wanakula_RAHA

  • @zulfasaid8783
    @zulfasaid8783 Před rokem +1

    Historia za kiilimu zina athari.

  • @sheikhramiaisanga3035
    @sheikhramiaisanga3035 Před 2 lety

    Hakika miongoni mwa sirri za kuyafikia mafaanikio pia ni zile fat'ha za wale masheikh. Na karama za sheikh Muhammad Ayoub mapema ulizishuudia

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 Před 2 lety

    Mufti Kabi wa Znz

  • @user-vl1yt4nb9o
    @user-vl1yt4nb9o Před 2 měsíci

    Kama mmeenda nyumbani kwake basi sio mgeni wenu ni mwenyeji wenu

  • @assayyidaydaruus181
    @assayyidaydaruus181 Před 2 lety

    Mama

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 lety +1

    JITAHIDI UTULETEE MASHEIKH WOTE...
    KIPOZEO, KOMBO FUNDI.. NK

  • @amiriushanga1128
    @amiriushanga1128 Před rokem +1

    Nawaona mawahabi mnavyo payuka kwa chuki mulizonazo mnateseka mkiwa wapi kwani?

  • @khelefomary4486
    @khelefomary4486 Před rokem

    Raha ya historia alikuwa awepo MTU pembeni yeye awe hayupo ndio inapendeza sana

  • @athumanimakorongo246
    @athumanimakorongo246 Před 2 lety

    Tunaomba na mashekh wengine lkn pia tunaomba na qaswiida

  • @yasiniselemani3917
    @yasiniselemani3917 Před 2 lety

    hivi mbona natafuta kuona historia ya shekhe muhamadi ayubu na shekhe sulaymani mbwana

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 Před 2 lety

    Wachieni ndevu mnanyoa O suna ya nani?

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před rokem

    Madhehebu ya Kitwariqa ni Madhehebu
    ya Bidaa na Madhara yake yanaonekana
    Masheikh wengi wa
    Kitwariqa wameshindwa kutofautisha
    baina ya Sunna na Mambo ya
    Uzushi ktk Dini
    ila Allah atuhurumie
    na atusamehe tuu

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Před rokem

      Madhehebu Ya Kitwariqa Ndio Yapi Mwalimu?
      Na Madhehebu Yasio Ya Bidaa Ni Nini?

    • @allystar5406
      @allystar5406 Před 11 měsíci

      SHEKHE WAKO WA SUNNA FUATILIA HISTORIA YAKO AMESOMA KWA SHEKHE MOHAMAD BIN AYOUB

  • @barackmalitne6870
    @barackmalitne6870 Před 2 lety

    Huyu kasoma elimu yakizushi bidaa hana ilim yakisheriya niwazushi wala haifai kusoma kwahawa niwatu wa bidaa.

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Před rokem +1

      Elimu Ya Kizushi Ndio Elimu Gani?
      Au Fanni Gani Hio Mwalimu? 👂
      Lete Naswi Inayokataza Kusoma Kwake?
      Na Nani Ambaye Naswi Iseme Tukasome Kwake ?

    • @yussuphidrissamwalugoya1606
      @yussuphidrissamwalugoya1606 Před rokem

      Katika wajinga wewe namba moja

  • @salimually2388
    @salimually2388 Před 2 lety

    Ya salaaam

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 Před 2 lety

    maashaallah