KWANINI TUNAINGIZANA MOTONI NA IMEANDIKWA WAISLAMU WOTE WATAENDA PEPONI | SHEIKH WALID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 6

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před rokem

    YARABI anisamehe thambi zangu na anifanyie wepesi wa kuunga koo. Amin amin YARABI amin 🤲🤲🤲🤲

  • @abuutamiimattanzaaniy8676

    NASIKITIKA KWAMBA WATU WA SUNNA TUNATUHUMIWA HIVYO KWAMBA "WANAWATIA WAISLAMU MOTONI" MCHENI ALLAH NA MNAYOSEMA, WALLAHI HATUSEMI HIVYO, SISI TUNATAHADHARISHA WATU WAEPUKANE NA UZUSHI KATIKA DINI MAANA MTUME KAKATAZA KUZUSHA NA KAKEMEA KWAMBA TUSIFUATE UZUSHI DINI IMEJITOSHELEZA, TUSIJE TUKAINGIA MOTONI, Maana adhabu ya uzushi ni moto, hilo limesemwa na mtume Swallallahu alaihi wasallam

    • @omaryhunte
      @omaryhunte Před rokem +1

      Tatizo uo uzushi unaongelea wewe huna elimu nao ungesoma ukajua ndo uangalie uo uzushi upo wapi

    • @Far797
      @Far797 Před rokem

      Tatizo la mawahabi wanajiona wao ndo wamesoma kuliko watu wengine na wanajiona hawakosei matokeo yakewanaangukia kwenye kibri

    • @ibra.mstudingfile8584
      @ibra.mstudingfile8584 Před rokem

      Mbn waanz kujishuku