🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 05. 2024
  • 🔴#Live: WAZIRI MKUU MAJALIWA AMVAA MBUNGE ALIYESEMA ZITUMIKE PASIPOTI za KUINGIA ZANZIBAR...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 9

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 24 dny

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 24 dny +1

    Haya mmeyafuga wenyewe. Kwakua hakuna nchi mbili zinaungana, wakule wanaruhusiwa kumiliki aridhi kwenu na ninyi msiruhusiwe kumiliki aridhi kwao. Lakini pia wao waruhusiwe kugombea kwenu na kuchaguliwa lakini ninyi msiruhusiwe. Hapo kuna jambo ambalo linakua hariko sawa

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Před 24 dny +1

    Tunaitaka tanganyika yetu CCM pelekeni Zanzibar kule ndiyo kuna mapinduzi

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před 24 dny +1

    Majaliwa alikuwa yule waagufuri sio huyu mdebwedo

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e Před 24 dny

    Kwani waziri mkuu kuzunguumsa ukweli nishida Tanzania Haina Haki bwana

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i Před 24 dny +1

    Sijui ilikuaje Zanzibar ikaungana na Tanganyika maana Zanzibar ina watu milioni 1 na laki 5 Tanganyika ina watu milioni 60 Zanzibar itafute kisiwa kiungane nacho na Tanganyika itafute nchi kama yao iungane nayo mfano kama congo, Zimbabwe, Cameron sio Zanzibar

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Před 24 dny

    Hatuja pata raisi Wa awamu yasita tuko awamu yatano yasita itaanza mwakani 2025

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Před 24 dny +1

    Tanzania =Zanzibar+ Tanganyika (?)
    Zanzibar
    Ina utambulisho wake
    Bunge
    Bendera
    Katiba......
    TANGANYIKA (?)
    iko wapi
    Imemezwa na inayojulikana TANZANIA
    Swali kwani wakati wa Muungano kulikuwepo na Tanzania Visiwani +Tanzania Bara hapa mnatuchanganya lipi ni sahihi