🔴
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2024
- 🔴#Live: WAZIRI MKUU MAJALIWA AMVAA MBUNGE ALIYESEMA ZITUMIKE PASIPOTI za KUINGIA ZANZIBAR...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Haya mmeyafuga wenyewe. Kwakua hakuna nchi mbili zinaungana, wakule wanaruhusiwa kumiliki aridhi kwenu na ninyi msiruhusiwe kumiliki aridhi kwao. Lakini pia wao waruhusiwe kugombea kwenu na kuchaguliwa lakini ninyi msiruhusiwe. Hapo kuna jambo ambalo linakua hariko sawa
Tunaitaka tanganyika yetu CCM pelekeni Zanzibar kule ndiyo kuna mapinduzi
Majaliwa alikuwa yule waagufuri sio huyu mdebwedo
Kwani waziri mkuu kuzunguumsa ukweli nishida Tanzania Haina Haki bwana
Sijui ilikuaje Zanzibar ikaungana na Tanganyika maana Zanzibar ina watu milioni 1 na laki 5 Tanganyika ina watu milioni 60 Zanzibar itafute kisiwa kiungane nacho na Tanganyika itafute nchi kama yao iungane nayo mfano kama congo, Zimbabwe, Cameron sio Zanzibar
Una umri gani hadi hujui kwanini tuliungana?
Hatuja pata raisi Wa awamu yasita tuko awamu yatano yasita itaanza mwakani 2025
Tanzania =Zanzibar+ Tanganyika (?)
Zanzibar
Ina utambulisho wake
Bunge
Bendera
Katiba......
TANGANYIKA (?)
iko wapi
Imemezwa na inayojulikana TANZANIA
Swali kwani wakati wa Muungano kulikuwepo na Tanzania Visiwani +Tanzania Bara hapa mnatuchanganya lipi ni sahihi