Video není dostupné.
Omlouváme se.
NANDY NA MUMEWE BILLNASS WATUA SONGEA, AFUNGUKA SAUTI INAYOSAMBAA AKIMSEMA ZUCHU “MALIPO DUNIANI”
Komentáře • 128
Další v pořadí
Automatické přehrávání
MWIJAKU AMKATAA HARMONIZE MBELE YA ALIKIBA, AMCHANA HAYAMillard Ayo
zhlédnutí 21K
UBAYA UBWELA YAMFIKIA MTOTO KUTOKA UJERUMANI MPAKA KWA MKAPA SIKIA AKITAMKA UBAYA UBWELASimba SC Tanzania
zhlédnutí 65K
Tohle už je vážně moc...Vidrail
zhlédnutí 162K
The way he played it off at the end 😂 (via colten1019/TT) #shortsSportsCenter NEXT
zhlédnutí 14M
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣DADDYSON SHOW
zhlédnutí 47M
JO PARIS 2024 - Céline Dion chante "L'hymne à l'amour" sur la Tour Eiffel à la cérémonie d'ouvertureEurosport France
zhlédnutí 6M
AZIZ KI AKIWA MFUNGAJI BORA MNIKATE KICHWA, NIMEMTUMIA HAMISSA NIMEWASHINDWA KIUCHAWIMillard Ayo
zhlédnutí 2,7K
urutonde rwabahanzi [5] bakunzwe cyane M'urwandaikijojo tv Rwanda
zhlédnutí 194
MZEE WA JAMBIA AICHANA UKWELI SIMBA MPYA YA MUTALE NA DEBORA BADO.....Msasa Media
zhlédnutí 7K
KUTOKA MWANZA NANDY NA MUMEWE BILLNASS WAMETUA WAFUNGUKA ISHU YA RAYVANNY KULIPISHWA FAINIMillard Ayo
zhlédnutí 34K
"NITAHAMIA CHADEMA KAMA CCM ITAENDELEA HIVI" MPINA AMTAJA KINANA KWA MARA YA KWANZA KWA HILIBaharia TV
zhlédnutí 2,7K
🔴#LIVE: ZUCHU NDANI YA MASHAMSHAM/PENZINI NA DIAMOND (02 FEB 2022)Wasafi Media
zhlédnutí 480K
Zuchu : "Nilipeleka Nyimbo Kama Tano, Diamond Alizikataa Zote" | SALAMA NA ZUCHUYahStoneTown
zhlédnutí 124K
HOTUBA YA KWANZA NZITO YA RAIS MWABUKUSI WA CHAMA CHA MAWAKILI WA TANGANYIKA | "HAKI NGORONGORO"Mwanzo TV Plus
zhlédnutí 11K
NANDY AINGIA LEBA KWA MARA YA KWANZA, AWAONA WAJAWAZITO AFUNGUKA HOFU ALIYOIPATAMillard Ayo
zhlédnutí 91K
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyleFLIP FLOP Hacks
zhlédnutí 10M
Šílenství, nebo geniální obchod: Voda z rybníku za tisíce😂 #shortsTOP veci do 2 minut
zhlédnutí 189K
Crossing the Most Dangerous CrosswalkZach King
zhlédnutí 15M
ZTRATIL JSEM SE NA OSTROVĚ…Attack
zhlédnutí 281K
REAKCE: Tiskovka Clash of the Stars 9 je extrém!FattyPillowTV
zhlédnutí 89K
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
zhlédnutí 17M
Proč si Fotbalisti STŘÍHAJÍ Díry do Kopaček?Horis PLUS
zhlédnutí 131K
She blended SPAGHETTI @anasofiafehnLionfield
zhlédnutí 10M
Nandy is glowing and growing. Kelele za chura hazizuii chochote
Karibu sana nyumbani kwetu songea,ila mwanangu nandi uwe unavaa nguo pana usivae viguo vya kubana tumbo hilo linaenda uķingoni au sio.
Tulia Nandy 😍 wetu,Nandy Achana na huyo kichaa mwijaku hajitambui wala asikusumbue kichwa kipenz,Furahia Ndoa yk na Muziki wako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MashaAllah mr and mrs William
Billnass mchunge mkeo apumzike maana ni mja mzito, asipate nuksi akizaa. Nandi ni mwanamke mwerevu sana na taajiri, kwa hivyo lazma awe na maadui wengi wa karibu. Mlinde na umuombee sana....
Sophia ckia Nandy wala billnas awawezi pata nukc,balaa Wala mkoc ivi unajua nguvu za MUNGU walizokua nazo?!unamjua MUNGU wanaemtumikia awezi ruhusu mazingaumbwe yyte yawasogelee maana Ayo sisi tunaitaga mazingaumbwe fake power,Apo hao wako na nguvu origional hakuna anaewasogelea weee
@@nahanakadiri3969 yaani katika wapumbavu inawezekana ukawa namba 1 wanamtumikia Mungu shetani
@@adamfundikira4556 tulia ww
Beyoncé and Jay-Z
mungu awasimamie maana hakuna anaependa maisha yenu
Hongera Mandy mungu akutie nguvu zaidi katika Yale unayoyafanya
Hongera mno na karibu sana nyumbani kwetu twawapenda mno. Ila nandi mdogo wangu ungepumzika kwani jmn naumia cz najuaga inavyochosha hyo hali.
Watu wanatofautiana
Hayo ni mazoezi yatampa uharaka wa kupata mtoto kwa njia rahisi bila shida,. SS wanawake tupo happy hajajilekeza
@@Ann-Strong 🔥🔥🔥
@@Ann-Strong pole
Ndio ya kwanza bado ana nguvu
Kiki hizo hamna ugomvi mwijaku na Nandy
Achananao nandy wangu wachawaseme piga kazi.
Big up kipenz Keep it I love you Nandy🥰😍
Wooow karibu songea kwetuuuuuuuuuuu
Safi sana momyy Nandy! Majibu nimeyapenda
Big up African Princess ❤️❤️❤️💚💃💃💃💃. . .piga kazi 🙏🙏
Jibuu lakoo nimelipendaaaa ....
Yan mmpendza Canada u know I like it
Mashallah ALLAH barik
Nandy bado naangalianga harusi yenu CZcams ilikuwa noma sana 🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣🤣
@@sophiaabdallah7821 hahahaha
Allah azid kuwarinda na madui na wanajionesha bayana kbsaaa km uyo mwijaku sio mtu mzr kwenu kueni makin nae km iyo m moja mpeni akafie mbere na njaa zake
Karibuni kwetu
Mashallah mumependeza sana
Yeah hasa hizo sun glasses 😠😠
Mependeza mungu awabaliki mkae ssalama nimewapemda
Karibun kwetu bombi nyumbi
Yaani ningefurahi siku moja tajiri ampe hela mwijaku alafu ajirekodi anamfira kumamake amekaa kishoga shoga sana
Kweli pesa issue ingine 😁 sisi masikini baada ya ndoa mke anatakiwa kukaa ndani kwanza siku kadhaa, hawa wenyewe wamechukulia kawaida tu
Mm nimpenda sana siyo tunamaliza shughuli na kukaa ndani .
Ndio vizuri hawajaridhika na walichonacho bado wanatafuta
Ata akikaa ndani hakuna jipya kati yao hahahha watu wanakaa ndan watafute mtoto sasa teyar washampata kuna kipya kip
@@nunuodo3401 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Weee usinambie kumbe lengo la kukaa saba ni kwaajili ya kutafuta mtoto? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@@swaumdodoma7591 😂😂😂
Ao wa chaga na wapare ela wanaitafuta hakikaa soon from wedding
Hongera nandy
Mwijaku ni mdhalilishaji sana anazidi kutukumbusha ya Menina. Mtu mbadi sana huyo jamaa
Sauti niyake lakini 😂😂😂😂😂
mungu ailinde ndoa yenu
Kabisa ❤❤❤❤❤🙏
Sema saiv nandy ananenepa
Kibongee
duuu nandy ananguvu mm nikifika hivyo sijiwezi jmn
ok karibuni kwamapenzi ndukuu ilaa bado
Hilo li-Billnass lina akili sana
Umependeza nand
Mapenz ya kijionyesha haya yana mhmh wasanii sijui hua hamji funzi kupitia kwa 🤴 KIBA
Kweli Mungu analipga hapa hapa sema mwijku limekaa ki Uongo uongo sana cjui msimbe fulani hivi....
ok
Kumbe ndiyo maanaa mwijaku Alianguka siku ile
Kila laher uko mliko,mlilokusudia mwenyezi mungu awafanikishie kwa ukubwa ili mtimize malengo yenu nawapenda bureeeeee
Karibu songea ndio kwetu
Atazaria njiani uyu Nandi kunaulazima gani utulie nyumbani sasa
Ni masifa tu ya kuonekana.
😘😘😘😘😘😘
Jamaniii,uvae nguo Pana bwana usim bane mtt,hizo nguo utavaa baada ya kujifungua lkn kwasasa mjali mwañao
Ni maendeleo tu huoni teddy bear linatembea
Zingebana asingevaa huwezi kubana ujauzito, ukiona kaivaa inamtosha kwa hali aliyonayo.
Mwijaku mwanamke achana nae
Na kama ni ukweli ulikuwa na huo mpango wa kumharibia kiboko yako Zuchu umesema mwenyewe malipo ni hapa hapa duniani...
Nandy ungetulia tu jamani
Hio.njaaaa.inasumbua.tu.mymetumia.pesa.nyingi.sana.sahivi.lazimaa.musikawe.mukambuzika.sanaa
Nandy.umekosea.sana.tu
Nikwelidada..megine...niyakupita
Wakazi wa Shongea😂😂.. . ... Tumeisikia io Nenga
😂😂😂🤭🤭🤭
Jinga sana ww 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄
Mtoto atazaliwa amechokaa
Mh! Zuchu asisemwe kawa nani?
Mimi sijui kwanini English na kiswahili vinachanganyika.
Achaneni na Mwijaku hana fadhila
Nchi hii matamasha kila leo
Ehh
Wanawake wote wanastahili pongezi na shukrani za dhati 🙏 czcams.com/video/iYjijfV-YRw/video.html
Umeona ee una vitu vingi vya kufanya bhn achana nae piga kazi
Nilifikiri baada ya doa takatifu watakuwa wahubiri wa injiri
Mwijaku mnafiki
Zuchu.nandy.umekosea.sana.tu
Ulichonifurahisha Pete ya ndoa hujavua
Kaone kalivyonenepa mashavu yake😂
Wasanii wengi wakifunga ndoa nyota ya mziki kwisha
Unataka wazini
Milard kuwa makini na lugha yako ya kiswahili, umeelewa hyo caption ulioiandika hapo?
Waandishi wa habari wa siku hizi hovyo sana .. huyo ni mfanyakaz wa millard ,sio millard mwenyew
Mimba haijawahi acha pua salama
Mi nilijua nimeona peke yangu kumbe nawew umeona
Ndo kitambulisho Cha mimba
Isha komaa
Kama mnjua siku zimeisha kwann mrande simkae ajifunge Kisha kazi zitaendelea ATI ana doctor wake, nazii imepata wakunaji
😂😂😂😂
Weee na tumbo lako kama mwehu hizo hela sasa zinaenda kukutoa roho sasa na wewe mwanaume kama huyo mwanamke ndio anakuongoza kwa hela zake atakunyanyasa saana
Acha makasiriko tafuta pesa..
Na wapenda bure
Ndoa juzi Leo mimba mtoto karibu kuzaliwa. Jamaa mwendo kasi kweli
😂😂😂
🏃🏃🏃🤣😂😅
Wabariki walishaowana siku nyingi hao
🙏❣️🤣
Shongea🤣
Nice one brother angu billy vs nandy ote gonga like hapa 👇👇👇czcams.com/video/Pla6c5WGotA/video.html
Utazalia jiani
Vido honey moon ni kwa watu ambao hawajajuana uchi aisee dont be like uneducated plz
Yaan mara nyingi hawa wasanii hawana chuki za kijingajinga shida machawa wanapenda wagombane ili wapate mahali pakulia ugali na familia zao, hata Mond na Kiba kama si uhasama unaochochewa na wanafiki machawa wala wasingekuwa hasama mpaka leo
Una true love kwa wasanii wote wakati unamlipa mtu amchafue mwezio pumbavu🤯😂😂
Unauhakika Gani adi umtusi mtu
Hahaha binadam hatuja kamilika mwachen atafute pesa
Wivu tu na mara zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawee
Lipa deni mashavu ya paka wa wodi
Nina wasiwasi na uanaume wako! Nilifikiri ni binti 🙄
@@rehemamkalawa3801 kua na wasiwasi na unaempa kuma yako chafu iyo wala sio mm kunguru ww
@@rehemamkalawa3801 Thought the same
Siwez kukosa