🔴
Vložit
- čas přidán 1. 02. 2022
- 🔴#LIVE: ZUCHU NDANI YA MASHAMSHAM/PENZINI NA DIAMOND (02 FEB 2022)
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Km unampend zuchu km nvyompend mim dondosha like yko hapa
ZUCHU NI MREMBO SANA, SANA MREMBO NA HOT KAMA MOTO..... Diamond platnumz ubarikiwe na Zuchu, umebarikiwa.
Hongeraa zuchu umeimba vizur nyimbo ya Kaka yako jaman Mungu amrehem uko aliko
Hii Nipepee alivyoiimba Zuchu ni zaidi hata ya mwenye nayo!
Such a lovely girl!❤️❤️
Coz ni nyimbo ya kaka yake
Nampenda zuchu sana🥰
Zuchu mjanja mno amemtumia diamond message akamwambia nikikupigia cm usipokee nipo na kina juma lokole wameniambia nikupigie cm, wanamashamsham bana kwa umbea hawajambo 😀😀 wanamuweka mtu kati mpaka anajikuta ameingia mkenge, mara ya kwanza zuchu alikomaa cm amepigiwa na mama yake 😀😀 wamemtega mara ya pili amejisahau amejikuta akisema ni kweli diamond ndio alipiga anataka ahakikishe kuwa alifika salama kwenye interview 😀😀💪, juma lokole, dida na idris kitaa ni wambea kisha wambea tena khaaa!
Ushauri wangu kwa wale wanaosema zuchu sijui mbaya sijui sio mzuri munakosea sana…Mimi kama mwanamume naangalia tabia kwa mwanamke sio uzuri wake!!!Wanawake wengi wazuri ni vichechee hawana maana!!!Kama ni kweli all the best Simba na Zuchu!!👍🏻
Chicharito Ronaldo well done u said it that's true
Kwelii
Hao wazuri walikuwa ni makombo. Hapa diamond ame pata KITU KIBICHI NA CHAKIPEKEE...TENA MSTAARABU. LOVE YOU MY DAUGHTER..ILA NAOMBA MUNGU ! HIYO SIKU ITANGULIZWE NA (NIKHA ) NDOWA.KWANZA..NAWA TAKIYA KULA LA KHEIR
..AMEEEEEEN !!!!!!💕💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwani uzuri ndio waeka mume?wangapi noorul aini hawana waume.....wajue tu roho iridhikapo ...hatua hufunguka
Hiyo ni kweli tena kwa asilimia 100, mbona dalili zote zinaonyesha diamond ndio mpenzi wake ingawa hataki kukubali
I just love Zuchu.....shabiki kutoka Kenya💯❤💛💚
I love you ZUCHU.
Interview yakueleweka hii nmeipenda. Congratulations zuchu
Naona zuchu mshamsham mashaa allh iwe kher hata bwana simba ache kuchebuka umutulize. Nimekupeda bure zuchu bwana simba kakuchagua love so mach💞💞
Love you zuh❤️
Aliyemuona didah ana kijisauti cha umbea tujuane,
Penda cn didah,😘😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😁
Am a big fan from Oman for Diamond just to say this Am happy to see this guy goin to marry a beautiful Tanzania women is good to have our cultures always Zuch is right choice....to my best singer star....of East Africa
Thanks for loving Africa dear ❤️❤️
Aallah awasimamiye mtoto wetu uolewe much love from kenya
You look Lovely Zuchu
Nataman iwe kwel Mana naona wanaendana Kabisa 😍😍😍😍
Yan huyu mwanamke ukimuon anaimba mwengin kbs anamiujiza acha bana....wish u all the best
Sina ushabiki upande wowite, lkn Diamond atafanya mazuri sana kama atamuoa Zuchu, ana vitu vingi sana ambavyo wanashahabiana, na wakiwa pamoja its a very great future
Napenda zuchu anavyocheka jmniiiiii kanacheka vizur sana
Nimepigia jibu mstari jamani Dai anapendwa💚❤️🙌mistari tuu unadata daah♥️🙌📌📌📌📌nipin jamani Marshall ah
Zari alimwacha Diamond siku ya Valentine, na akapata kipusa yaani true LOVE siku ya Valentine! Jamani Mungu si Athumani!!
Mashamsham yaleo nmeipenda htr 😂😂😂🤗😍mi nataman zuchu aolewe kwer
Nimefurahi Sana Kwa zuchu na diamond naomba Mwenyenzi awajalie jmn.
I am really happy for you zuhura darling and i can't wait for 14/02/2022
Mashaallah unajua kusheza taarabu mtt wa kizanzibar hongera
Nakupenda Sana didaa zuchu Leo amefunguka vzuri tumekuelewa chomboo cha simbaaa😘😘❤️❤️❤️❤️😍😍
Jamani hii station ikuje Kenya I like it
Sana
Umeona ee
Oyaaah mondi anakanyaga huyu demu akiyamungu wallahih mtoto confidence anayo ya kutosha yaaanih
Kabisa yani mtu hata kama hujui kusoma picha lazima ujue kuangalia, diamond anamlala kabisa zuchu sio utani ni kweli kabisa 💪
Congrats my favorite ❤️❤️❤️❤️
Nakupenda zuchu
I love you so much zuchu
Zuchu unapendeza sana
Waoooo!!! Jmn mimi hiyo Dagaa kwangu ndo mmenimaliza
♡♡♡mashamsham tick tick ✔✔✔✔
Cydinho salio ngoma kali Sana ya mazaramo wa malui...
Nmeinjoi sana hongera dj 👏👏👏🤣🤣🤣
Hata mimi vilevile namuunga Juma Lokole mkono, Diamond amuoe huyu binti wa Zanzibar. Tumemkubali Zuhura.
Hyo ndoa idumu tu maana...
Sio wewe yan mimi napenda mno kuona diamond platnams anamuoa zuchu wanaendana mno kiukweli tena kwa kila kitu, kaz,i dini, umri na juhudi za kufanya kazi, diamond platnams ni mswahili na zuchu ni mswahili pia nyota zao ni kali mno , zuchu ni mwanamke wa kawaida sana sio beautiful kiivyo na mondi ni mwanaume wa kawaida sana sio handsome kiivyo 👌yan ukisikia utampata wa kufanana nae ndio hii sasa mondi na zuchu wanaendana mno 💪
As long as Diamond is not going to hurt her ,juu all other women in his life they had it all just like ZUCHU..and it's a pitty if this happens dua Mungu awalete pamoja na wa dumu milele. ❤️
I feel that way too.But they are both Muslims and they are aloud to marry more than one woman so I think diamond is not after uaminifu and he is so successful yani wacha tuone coz to me zuchu is soo enoccent bora huu jamaa asimcheze.🇰🇪
Representing from kenya 🇰🇪
Djuma wangu nakupend bure form Burundi 😘😘😘😘
Kazuri sana ka zuchuuu
😏🙄😏
Da dida eti mond ana mapenzi ya pipi pipi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nakupenda sana
The interview was so mature👌👌👌👌👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zuhura 🔥❤️❤️❤️
Sjawahi kucoment mambo kama haya ila ntafrahi zuchu ukiolewa na diamond
Jamani nampenda sana mm zuchu kwanza sauti mashaallh dada angu m znz mwanangu
Interview kali sana 🤪🤣
Jamani nampenda zuchu,akiolewa na Chibu D ntakuwa na mahaba ndi ndi ndi na couple yao
sema hawa wcb hawana mpinzani kwa kazi ya kupromote concert
Ewaaaah hapo umenena
Sio kwel
Juma aongezewe mshahara jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
big up zuchu may allah blesse u all
Kenya Moore love ♥️
Nampenda sana Da Dida
Tunamtaka Rayvanny kwenye Interview jamani
I support you
Nawapenda wote wawili .Allah awajaalie kila la kheri in shaa Allah ,,nawafurahia for real
Zuchu is not really open but we are happy for her 😊 ☺ 💗 ❤ and we know it's diamond platnumz
Zn
Respect to Zuchi!
Mjaja sana.
Dahhh diamond platnumz kuswali hapo na ibada apo sasa zuchu ukimpinda huyo jamaa pepo yako sio simba hahaha 😀😀😀 mashamsham on trending #5 🇺🇸 kenya 🇰🇪#1
❤️❤️❤️❤️❤️❤️zuchu
Our basic mamá zuchu
Wawooo!!!Zuchu ongela
Nimefurahi sana wangu. Zuchu hongera saaaaana wangu
Didah is so beautiful 😍
Ukorofi Lokole
Huo mwili alivyo ongeza ni wazi ana mimba Zuchu msiri
Zuchu am happy for you
Jumaa lokolee ✨🔥🔥
@wasafi TV... @Zuchu ...its time for you to make a debut on International stage...We need to see you selling tickets at the O2 arena...you are East Africans most talented female artist.Time to believe in yourself and take that step...Let's get to serious work.Do some collaborations with famous Nigerian artists,just get out there please.❤❤❤🙏🏼🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
#zuchu
Leo mambo yalikua pambe 🔥🔥🇰🇪🇰🇪
1:10:49 Talent running in her Veins!!!!
Mashaallah
Nyinyi munajua kazi kweri waswahili 😳🤗
No one like zuchu
Kipindi hichi nakipenda sana
Nimetoka ludewa ila zuchu namfaham toka alivozaliwa
Toutes mes félicitations 😘
Zhuchu nimwanamke hana uzuri wazaidi ina kajaliwa kipaji awowote walizana na mondi hawana
Kumuowa mwanamke sio uzuri bali tabia na mwenendo wake ndio bilimfanya mondi anaswe nahakuna camitishamba zhuchu anasifa zote zakuwa mke anafaa kbs sema mondi ashukuru Allah kupata jiko kama hilo lenye manuufa
Jaman ihi intavyuuh naipenda
Mashallah
Dada zuchu❤️
Body ya ricadomomo Kama ya chibu kweli Ni Nyange family, ka zuchu kametuliaa bi Harusi na vimeno vyake vizuriiii
Very mature interview and intertaining.
Wow that's awesome
I am Kenyan and Zuchu rules the airwaves here in Kenya. In my view, Zuchu is a perfect fit for Diamond. As Kenyans we got disappointed when Tanasha was dropped by Diamond but if Zuchu is his choice, we support. Zuchu is GENUINE, LARGELY UNSPOILT, BEAUTIFUL ENOUGH FOR A WIFE.
apana..unadanganya buanaa!!
What is beauty in a woman? Character, respect to Allah our Lord by doing according to his will. Is Zuchu beautiful than Hamisa, Zari? Amongst all Tanasha is the most beautiful amongst the ladies Diamond has dated. Zuchu omba Allah akupe mme ambaye sio common figure over the social media. Mark my words Zuchu you are a good soloist. But is Allah the king of kings in your life? If yes he will give you the best without blemish. But if not , tafakari ya Babu , regrets will follow. Learn from others. You are not a star in marriage to beat Zari. Am just concerned. Jipange kabla ujapangwa.
Acha uongo ww
Wenye wanampenda zuchu wanyoshe mukono ✋🖐️🖐️✋✋👌👌👌
We Kenyans are not happy after what diamond did to tanasha,,,Kenya lady rules
Zuchu plz tell us the truth and nothing but the truth...
Nakupenda sana ZU Mungu akulinde popole ulipo
I love you all but this looks like drama🌚
If this is true, it will still end in tears and a new motivational speaker will be born.
Zuchuu cant wait 4 date 14/2/22
Wow! Tutasubiria kwa hamu
Nampenda zuchu
Mambo ni 💥💥💥💥💥
🔥🔥🔥🔥🔥
Jamani WEMA SEPETU hatajiskia aje harusi ipo kwa kweli daaah tutabaki midomo wazi 😊😊😊😊😁
Zari jamani atajikojolea haswa 🤣🤣🤣🤣🤣 pressure mbaka 400
Bado sana
Kwani zari hakojowagi????kwa zuchu jo ataaza jikojoleya😂😂😂😂
@@rayanndizeyes3161 ebu ulienda shule jamani hujui hata kuandika jamani naskia raha sana zuchu kawashinda wote 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@@smallvaldez6576 izi nikiki tu hawa wanatuchuza tu😆
This looks like some planned promo for the 14th show to me, but I would love it to be true though, I would so much love the the couple. Love from Uganda 🇺🇬
Me and you both
Good interview
You can tell they know the story with their signals in the studio
Aa
@@rehemambaruku832 ll
Diamond platnumz sema ukwelii babyyyy. Ha
Interesting interview. Wished there was less of leading questions.
Yaani hawa sio kwa umbea huu. Zuchu umekamatika. Ila nawapenda woote hapo
Mashamsham mko juu....
Zuchu amezama kweli kwenye mahaba it's all over her eyes
Mama kija wa 2022