Video není dostupné.
Omlouváme se.

Zanzibar culture:Cheo chako - Rukia Ramadhan

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024
  • #zanzibarorchestra #nyimbo za rukia ramadhan #cheo chako kwangu mimi

Komentáře • 21

  • @mohamedseif7350
    @mohamedseif7350 Před 7 měsíci +2

    Mwenyewe ni sihaba juma nyimbo hii akiimba utafurahi 1989

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 3 lety +3

    Wahoi,wataabani kukijua wanataka
    Wenda mbio sakafuni,ukingoni wamefika
    Yaasalaam BI mama wangu Rukia Ramadhan
    Old is gold taarab Zanzibar, Asili haipotei

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Před měsícem +1

    Home sweet home zanzibar i love you with my heart❤️

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 3 lety +2

    Asante Bi Rukia
    Maneno buli buli

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 3 lety +2

    Taji lililo kichwani,Kabisa halitonivuka
    Pingu zilizo Moyoni ni muhali kufunguka
    Na cheo chako mwandani,Hakiwezi kugeuka
    KWA hapa ulimwenguni,Mwinginewe hatozuka

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 3 lety +3

    Ni wengi walotamani,watu wa kuaminika
    Wauelewe undani kwanin waniteka
    Wenda mbio sakafuni ukingoni wamefika
    Hata wakifanya nin, Muhali nje kutoka

  • @abdulhamidkificho5768
    @abdulhamidkificho5768 Před 3 lety

    Tamtam za mwambao na Zanzibar Culture,Asili Haipotei
    Raha hizi wazipata hapa Zanzibar tu
    Nakumbuka wakati huo muda wa kwenda Madrassa
    Yaasalaam BI Rukia

  • @mamyhuuhuu7413
    @mamyhuuhuu7413 Před 3 lety

    Hiii ndio asili ya zanzib ...huipat popote

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 10 měsíci

    Niwengi walotamaaaniii ohh killed it❤

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před měsícem

    zanzibar yetu iyo,ila ishavamiwa na mayahudi

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 Před 2 lety +1

    Nakumbuka hii ilikua mwaka 1989 kama sijakosea

    • @aliyussuf9126
      @aliyussuf9126 Před 2 lety

      Dah una kumbukumbu mwaka huo nnamiaka 5 mm nnaanza kujua kwenye tisiini na 7

    • @aliyussuf9126
      @aliyussuf9126 Před 2 lety

      Na hapo nimziki tu sijui maana

    • @fatmas7338
      @fatmas7338 Před 2 lety

      @@aliyussuf9126 ww unazaliwa mm nipo darasa la pili Enzi hizo

  • @maryamomar3434
    @maryamomar3434 Před 3 lety

    yaaa salaaaam.

  • @aliyussuf9126
    @aliyussuf9126 Před 2 lety

    Hii nyimbo lazima nikumbe kule niliko ishi.na bb yangu shamba pande zq konde uko wakati huo tunakunywa chai ya viazi vitamu na redio pembeni salam za asubuhi njema au saa 8.mchana

  • @ZANZICTSOLUTIONS2
    @ZANZICTSOLUTIONS2 Před 3 lety

    Cheo

  • @ZanzibarOrchestra
    @ZanzibarOrchestra  Před 2 měsíci

    czcams.com/video/0HiAOzfd5zg/video.htmlsi=RapOwIjXkcaxTzsa