KISUGU LEO APASUKA NA UCHAWI WA YANGA KWAO/TUMECHOKA/ LA AZIZI NI PROPAGANDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Sport

Komentáře • 15

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 Před 16 dny

    Nakukubali sana kisugu ukweli ndo huo wanaturogea wachezaji

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 18 dny +2

    kweli kabisa anekuroga niyule anae kufaamu

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f Před 16 dny

    Na mwaka huu tunafanya lolote kombe like msimbaz

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před 12 dny

    Huyu KISUGU bado hajapona ule ugonjwa🤣🤣🤣🤗🤗

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Před 18 dny +1

    Duu unasema ukweli kabisa,,,ila viongozi wetu wawe makini watulindie wachezaji wetu,,,,hao zoazoa wanakuja sana huku kusini mkunya,,wanakunya kutufanyia maovu,,,haiwezekani wachezaji wetu hawafanyi vizuri kwetu,,wakienda Nssf wanafanya vizuri aisee TUJIULIZE

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n Před 17 dny

    Uko sahihi kisugu ako karaisi kanatafuta kiki na hakapati ng'o

  • @hamadiomari9257
    @hamadiomari9257 Před 17 dny

    Mi nilisema hayo zamani na wakati mwingine viongozi wasaliti wanashiriki kuihujumu simba

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q Před 13 dny

    Huyu jamaa nipumbavu sana itakua hili ni lichaw utajiloga mwenyewe kiaz ww

  • @user-ny7mi1ui4w
    @user-ny7mi1ui4w Před 16 dny

    Nyie nenden ila mkilidi tu, 5,zinawahisu

  • @user-ge1cu4bx3n
    @user-ge1cu4bx3n Před 16 dny

    Mnaogeaga ivyo ivyo tu wenzenu wanafanya umafia

  • @isackshinda2597
    @isackshinda2597 Před 18 dny

    Biblia inatuambia tusimuache mchawi aishi

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před 18 dny

    PALE REAL MADRID KUNA...LUKA MODRIC MIAKA 38 ANTONIO R..MIAKA31 THIBAUT MIAKA 32 DAN CALVANJA 32 LUCAS V..ANA MIAKA 32 KISUGU NA HAO SIMBA MNAWAWEZA ?

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd Před 13 dny

    Huyu anatumwa na mangungu huyu ni chawa ili wachezaji wa mafungu waki feli waseme wamerogwa,,wewe umchukua babakar sarri aliekua hachezi miezi 6 alafu uje uwake kweli!!!jobe

  • @JohnTendwa-gn1nl
    @JohnTendwa-gn1nl Před 18 dny

    Kisuguuuuu, mbona humuombei mooo, we unakuwa alpioto wa mama na matisheti alafu unadai mnalogwa kumbe ni laana ya kutumika.

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před 18 dny

    SIMBA KILA MTU NA LAKE ... AWAWEZI KUWA KAMA YANGA AMBAO WANAKUNYWA SUPU PAMOJA