I have worked with Kenya ferry for 3yrs and for sure it’s always a disaster awaiting every single second as there is no safety measure yet the big fish eat the money for taking their staffs for diving skill. For sure I will call this a negligence as the coxswain should have close the winch doors at least. Someone should take them to court and maybe they will learn a lesson for the safety measures
@@marykinuthia5780 Are you Kenyan by any chance? If so, this is a very naive statement. Did you read the bit that says "Big fish eat the money............."
Hii ni aibu kubwa yaani Kenya ferry shirika la serikali halina emagency responses hii ni dharau kubwa sana what is the responsibilities for the government for their people.
In Kenya development is only fever politicians enjoy Kenyans taxes, big allowance, increase of salary every year, driven big free cars free petrol free body guards and free security to their houses and they families all pay by the Kenyans taxes and the citizens straggling in every sector hospitals poor, transportation poor , enagy poor , roads poor, institutions poor and now they have started to campaign for 2022 elections.
INNAH LILAH WA INALILAH RAJIUN....ALLAH awalaze pahali pema peponi....na family iliyofikwa na msiba poleni ALLAH awape subra kwa yote yaliyotokea .....hii Kenya ama hii serikali ye2 sioni kama wanajali maisha ya wananchi..... Kwani hawa Kenya Navy wangoja kazi gani nyengine kama si yakuokoa maisha ya wananchi ......huu ni upuzi mtupu aky ...ferry zenyewe Kwanza ni mbovu milango haifungi hizi ajali zitaisha kwly....!!!!!!
Poleni ndugu zetu wakenya, Mungu awatie nguvu.. Huku kwetu upande wa uokoaji serekali yetu iko vizuri Sana uncle Magu hataki mchezo, Ikitokea ajali za majini serekali huacha kazi zote na kushuhulikia waliozama.. Poleni Sana RIP from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Daaa jamani nimeumia kweli! Poleni sana ndg zetu mliowapoteza ndg zenu ktk ajali hiyo Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Kenya navy wote niwakikuyu wanaojua kuogelea Kwa swimming pools lkn wenyeji wanaojua bahari kazi wanabaguliwa Yani MTU anatokauko kiambu anaajiriwa Kenya ferry lakini mzaliwa wa Mombasa kupatakazi Kwa k ferry sirahisi
Ndo apo...daily watu wakizama baharini ni wavuvi na watu wa coast ndo ujitosa kwa maji kuwasaidia...bahari io twaijua wenyewe...Wenda letwa wagerenge awana wajualo,kazi kula mishahara ya bure
There many jobless youths out there wt good life skills such as diving and many more, y shud the gvt consider our youths fr atleast b taken in fr further training and given such opportunities?plz kenyan gvt wake up don't wait fr disasters to strike.
@@saulwafula5178 ati what will the governor do?? Seriously ur reasoning is just lame 🙄🙄🙄what if it's the same governors daughter or family inside those Waters 🤔🤔am sure hawangelala apo,,,but coz it's an ordinary Kenyan no one cares 😪😪😪😯fuck this leaders 🖕🖕🖕fuck the Kenyan government 🖕🖕🖕🖕
Inalillah wayna illahi rajuun inasikitisha sana kenya ferry wamezembea sana iyo ajali ingezuilika na wangeokolewa utakuta watu wanalipwa mshahara mzur na akuna kaz anafanya ajali ikitokea mpka watu watafutane kenya navy awajulikani wako wapi masaa yote mpka gari limeingia ndani hakuna wakuwaokoa ni uzembe wa kaz na hakuna mpangilio mzuri.
Allah awasameh makosa yao lkn hii ilikua kun fayakuun lkn na serikali nayo ijipange sana khususan seriakli zetu za Africa zipo kiuzembe sana kabisaa masoud from zanzibar
I was just wondering If it was an influential person or dignitary who drowned The rescue operations which would be going on would be immeasurable... But because its a normal mwananchi with the daughter,nothing is going on😪😏
Siasa kando hawezi saidia mpk awe governor nkt akae na usaidizi wake hiyo ndio knya ubinafsi mumeweka mbele anatakiwa wazingatia uhai na km basis haikujaliwa hats family ya wafiwa ni uchungu mnaleta siasa Kenya hatuendelei nachukia kuzaliwa mkenya sijawahi ona nchi km hii nkt
Big big shame 001 shame on the kenya 🇰🇪 poor management you mean likoni ferry ⛴ we dont have security guards server 👀🤭⛴🤦🏽♀️🤷♀️🇰🇪 and the way we have good divers Mombasa man but no one ☝🏽 to notice them or give them that part of job likoni ferry it must be the most we’ll security those lives of people’s my god when Africa’s will wake up☝🏽🤦🏽♀️😭😭
Innalillah wainnaillah rajioun.....msiba mkubwa yaani 12 hrs hakujapatikana deiver niaibu sana Kwa viongozi ...hawa watu kama wangesaidiwa same time naamini wangekuwa hai japo kifo chake kulikuwa kimeshatimia siku yk
I story Ni painful sana sana, kwanza that car was floating for some time they would have been saved if the rescue team was alert, accidents do happen but something could have been done.
Extremely True and nobody diver,swimmer jumped, screams and cries of pain,Imagine the Ferry Has no safety....staff......yaani nothing cars plus humans in another disaster waiting to happen in December HOD FORBID
Polen sana 001 huo ni uzembe wa kikosi cha uwokoaji inamana basi abiria wanasafiri bila kuwa na kikosi maalumu cha dharura zitakazokea ndani ya feri.. 🤔🤔🤔 likitokea ndio munaunda kamati polen sana wafiwa
Joho pliz Angalia ferry hao bouncer Kulala tu divers wangekua apo Joho we love you na hatutakubali hao security waku late down kazi kuangalia nn hata kitambo tulikua twavuka without security Leo wamekua wengi umbea Tupu tu Joho angalia mombasa baba n yetu Leo wamekua wengi hao security apo wa kazi gani watolewe
Am ashamed of my country😥....12hrs and there is still no effort to find the people inside the drowned car 😥😥😥I am ashamed of my country.... Its not fair 😥😥😥
Wakielezwa kuwa watu watengeze bridge hawataki ilhali hawana hata wapiga mbizi, ukosefu wa uwajibikaji, nawatakia ukiwa kwa jamaa na marafiki waliopatwa na msiba, Allah awape subra wakati huu wa huzuni
Kenya ferry kabisa sana haswa GOVERNMENT OF KENYA mnaajiri wajaluo wakikuyu na hawajui kuogelea mwawacha wavulana wetu wa mombasa mkisema wanavuta bangi . 001 u have 2 au 3yr peana job kwa vijana na insuarance
mary kawira that’s what am saying,kawaida ferry abiria,na magari hio bamba/mlango inakua juu Coz incase of any problem that mlango would have helped..anyway RIP
Simple kenya ferry twawaomba wa hajiri wapiga mbizi kisha watenganishe ferry ya magari na watu ferry ya magari milango yke iwe ya kufungwa kabla kuondoka
Wanaojiita viongozi wakobizi kupiga siasa na sio kuangalia matatizo ya wananchi, siasi kuanzia January to December, Monday to Sunday, wakitoka kuapishwa tu wanaingia mjini kusaka kura za miaka mitano ijayo,ya Allah walaani viongozi hawa uwape adhabu inayo wastahili
Kila mmoja ambaye ni lazima asafiri Kwa ferry basi,anastahili kuwa na floater take maanake tukitegemea serikali au watu wa shirika la ferry tutaumia wenyewe.
Mr. President Uhuru Kenyatta we do want to see kenya Navy in Mashujaa day in Mombasa because their Useless kabisa they don't help us where we need help !!!! bure kabisa
Polen ndugu zetu wakenya, your brother from Tz
QASSIM MUHAMMAD thank you so much
Pole,kwa mkasa
Thank
Twashukuru kwa pole zenu ndugu zetu wa TZ
So sad government must do something.
I have worked with Kenya ferry for 3yrs and for sure it’s always a disaster awaiting every single second as there is no safety measure yet the big fish eat the money for taking their staffs for diving skill. For sure I will call this a negligence as the coxswain should have close the winch doors at least. Someone should take them to court and maybe they will learn a lesson for the safety measures
k
You should have informed the authorities!
I no longer work with them. Sorry Kenyans
@@marykinuthia5780 Are you Kenyan by any chance? If so, this is a very naive statement. Did you read the bit that says "Big fish eat the money............."
@@jo-mp4kx in such a society, you just watch and wonder!
My condolences to all Kenyans.
Allah gives you patience in this hard time.
From Tz.
Ameen ya rabb
Allahuma Ameen thx
Amen
Inshallah
HALAFU WANASEMA VIJANA HAWAFANYI KAZI NI MADAWA TU.
WAKATI KAZI ZIKO HAWAPATII VIJANA HUO NI UJINGA SANA WA SERIKALI NA UPUUZI
Vtu vngi hvihta elimu niu wezo wkunya ktu
kibao pipa kweli kabisa kaka
Inna lillahi wa inna ileyhi rajiun,kifo haina kinga na Allah ameandika wafe hapo.Allah awape subra na imani kwa familia.
Wpumzike pema twawatilia dua
Inshaallah
AMEEN..
Pole sana kwa family
I disagree with you
Peter Kenneth wanted to build a bridge across but, he didn't get the chance. 😢
Poleni kweli Mungu wa Amani na awasaidie na kuwawesesha kwa kila jambo kwa jina la yesu kristo aliye Bwana na mwokozi wetu amen
Swimming should be made compulsory for Kenyans in schools, and an added bonus for some jobs. More lives can be saved.
Not for jobs but for self defence in tragedies like these ones
That true coz now is just someone choice so sad😥
wawe pole
Here in Doha swimming is compulsory for every kid
Inalilah waina ilahi rajiuni.ntakukumbuka daima Mariam na mwanayo.kama nakuona tukiwa Tudor primary tunasoma, kazi ya mungu haina makosa
Pole saana Kwa waliopatwa na msiba,,Jibu NI OKOKA,MPE YESU MAISHA YAKO,HATA UKITUMBUKIA KWA BAHARI,,UTAISHI NA YESU MILELE ahera, Amen
Wamelala kazini.wafutwe kazi,hawana maana.maisha yamepotea kwa sababu ya utepetevu wao kazini
Hii ni aibu kubwa yaani Kenya ferry shirika la serikali halina emagency responses hii ni dharau kubwa sana what is the responsibilities for the government for their people.
Aki wat a shame.cant believe kenya ferry haina emergency responce 4 sure.yani wat the....oh My oh my oh my
In Kenya development is only fever politicians enjoy Kenyans taxes, big allowance, increase of salary every year, driven big free cars free petrol free body guards and free security to their houses and they families all pay by the Kenyans taxes and the citizens straggling in every sector hospitals poor, transportation poor , enagy poor , roads poor, institutions poor and now they have started to campaign for 2022 elections.
Wondering Too
Kazi ya mungu
Maze poleni Sana watu wa kaunti 001 kwa huo msiba,MAKIWA na Maulana alaza roho zao mahalo palipo na wema❤️
INNAH LILAH WA INALILAH RAJIUN....ALLAH awalaze pahali pema peponi....na family iliyofikwa na msiba poleni ALLAH awape subra kwa yote yaliyotokea .....hii Kenya ama hii serikali ye2 sioni kama wanajali maisha ya wananchi..... Kwani hawa Kenya Navy wangoja kazi gani nyengine kama si yakuokoa maisha ya wananchi ......huu ni upuzi mtupu aky ...ferry zenyewe Kwanza ni mbovu milango haifungi hizi ajali zitaisha kwly....!!!!!!
Mungu wangu jameni tuokoe hatuna mwingine wa kutuokoa😭😭😭😭
Amen
Amen
Poleni ndugu zetu wakenya, Mungu awatie nguvu.. Huku kwetu upande wa uokoaji serekali yetu iko vizuri Sana uncle Magu hataki mchezo, Ikitokea ajali za majini serekali huacha kazi zote na kushuhulikia waliozama.. Poleni Sana RIP from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Poleni sana wakenya wetu watching from Riyadh
Daaa jamani nimeumia kweli! Poleni sana ndg zetu mliowapoteza ndg zenu ktk ajali hiyo Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Kama ningekwa hiyo area nione kuweli gari inazama ningefanya kitendo Hata Kama nitaokoa moja ukuweli hii imeniauma Sana... Poleni Sana familia
Kenya navy wote niwakikuyu wanaojua kuogelea Kwa swimming pools lkn wenyeji wanaojua bahari kazi wanabaguliwa Yani MTU anatokauko kiambu anaajiriwa Kenya ferry lakini mzaliwa wa Mombasa kupatakazi Kwa k ferry sirahisi
Ndo apo...daily watu wakizama baharini ni wavuvi na watu wa coast ndo ujitosa kwa maji kuwasaidia...bahari io twaijua wenyewe...Wenda letwa wagerenge awana wajualo,kazi kula mishahara ya bure
Poleni sana nduguzetu wakenya inauma sana Mwenyezimungu awarehemu Mama na watoto wake
polen sana wakenya,kaz mungu haina makosa
The Kenyan government is a real joke,wah
Sad and Annoying
Inauma kwa sana. Tunawaombea familia. Subscribe my channel kwa support
tuta subscribe😂
Stivo
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Ajali haina kinga, Kweli Waeke Wanamaji sijui Wapiga Mbizi.Cha Kuokoleka kitaokolewa,Mungu Tuuuu
MWANAHALIMA MWACHILI nikweli
Habari yasikitisha Sana, hiyo hakika
@@adamzdamz6592 😭😭😭😭😭😭😭😭.
@@mwanahalimamwachili9679 mbn wafurai Sana. Nipe na mimi mazuri basi za mombasani... 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄
@@adamzdamz6592 Sijafurahi Mimi nina Huzuni,Ajali haina kinga,
Watching from Kenya. Good work.
Wnataka Magufuli hao watu wa ferry
There many jobless youths out there wt good life skills such as diving and many more, y shud the gvt consider our youths fr atleast b taken in fr further training and given such opportunities?plz kenyan gvt wake up don't wait fr disasters to strike.
Kweli aki
winnie macharia I couldn't agree more. If only the government could think this way 😔
Woie wakule wapi
The governor has to go big mouth for nothing very useless county leader.
Mohammed Rajab , Kenya Ferry services is a national government function
kesho akitoka kwenye kiti utalaumu nani?
What will the governor do on a National function? Acha sababu zisokua na msingi
I will keep on blaming the next one till we get the Wright person for the job
@@saulwafula5178 ati what will the governor do?? Seriously ur reasoning is just lame 🙄🙄🙄what if it's the same governors daughter or family inside those Waters 🤔🤔am sure hawangelala apo,,,but coz it's an ordinary Kenyan no one cares 😪😪😪😯fuck this leaders 🖕🖕🖕fuck the Kenyan government 🖕🖕🖕🖕
Inalillah wayna illahi rajuun inasikitisha sana kenya ferry wamezembea sana iyo ajali ingezuilika na wangeokolewa utakuta watu wanalipwa mshahara mzur na akuna kaz anafanya ajali ikitokea mpka watu watafutane kenya navy awajulikani wako wapi masaa yote mpka gari limeingia ndani hakuna wakuwaokoa ni uzembe wa kaz na hakuna mpangilio mzuri.
Inauma sana mombasa mambo ni polepole ilikuwa rahisi kuokoa hao watu....viongozi wetu wako kibra ni matusi tu
Allah awasameh makosa yao lkn hii ilikua kun fayakuun lkn na serikali nayo ijipange sana khususan seriakli zetu za Africa zipo kiuzembe sana kabisaa masoud from zanzibar
wokozi vitambi fisadi kupindukia..musioandika kazi wenye ujuzi munapatia kazi ndugu zenu wasojua kuogelea
Alafu wanaajiri kwa kujuana hata kama wewe ni professional na haujui mtu utaoza nayo nyumbani
Ile mambo iko kenya aki inasubua..very disturbing things and poor management everywhere
Very true @Eunice wambui we need to pray more than ever..
I was just wondering
If it was an influential person or dignitary who drowned
The rescue operations which would be going on would be immeasurable... But because its a normal mwananchi with the daughter,nothing is going on😪😏
Am with you .thts true kabisa
Nice thought but ferry falls under national govt jurisdiction county and kenya maritime county has no say
I truly appreciate your services,due to lack of energy we can watch and have to know on what we never knew thank you very much.
If only @Mikesonko was the governor of mombasa. This family would have been removed under water ASAP
I thought soo too
How? Explain in few words please.
He's quicker in helping others in times of need than others.
Nkt
Siasa kando hawezi saidia mpk awe governor nkt akae na usaidizi wake hiyo ndio knya ubinafsi mumeweka mbele anatakiwa wazingatia uhai na km basis haikujaliwa hats family ya wafiwa ni uchungu mnaleta siasa Kenya hatuendelei nachukia kuzaliwa mkenya sijawahi ona nchi km hii nkt
Waweke tu waokowaji agali imepwangwa na mungu hakuna anae weza kuzuwia
Yani navy Mombasa hawawezi kuokoa hizo mili, aki kenya yetu mungu tusaidie
Labda wemelala
My dear hawawezi sababu wote waliopewa hajira ni watu hawana ujuzi wowote na maji
Let us wait tuone watafanya nn, madam you look so btfl to me
Dcox Action bure kabisa
@@cleophasisoe7469 😁😁thax
Poleni ndugu inasikitisha sana wanaookowa hawasaidiwi wala hawandikwi kazi wanandika jamaa zao ukabila serkalini imezidi
Mungu awalaze mahali pema peponi na family 👪 zao azipe ujasiri kwa wakati huu mgumu.
Poleni Sanaa wafiwa kweli inaumaa sana,,Magufuli wetu haya mambo yauzembe ndo hayataki kabisa.
Innalillahi waina ileyhi rajiun,. Mungu atunusuru, na maafa, cause Nyumbani ni nyumbani,...
Big big shame 001 shame on the kenya 🇰🇪 poor management you mean likoni ferry ⛴ we dont have security guards server 👀🤭⛴🤦🏽♀️🤷♀️🇰🇪 and the way we have good divers Mombasa man but no one ☝🏽 to notice them or give them that part of job likoni ferry it must be the most we’ll security those lives of people’s my god when Africa’s will wake up☝🏽🤦🏽♀️😭😭
Wenye wako ni baunsa wajinga tu wenye wanajaza ferry for NOTHING
Calo Wamaye my dear Kenyans their always after money without loving their work
Divers wako bt wenye kuandikwa hiyo kazi hata hawajui ku dive shem to the national government
Innalillah wainnaillah rajioun.....msiba mkubwa yaani 12 hrs hakujapatikana deiver niaibu sana Kwa viongozi ...hawa watu kama wangesaidiwa same time naamini wangekuwa hai japo kifo chake kulikuwa kimeshatimia siku yk
I story Ni painful sana sana, kwanza that car was floating for some time they would have been saved if the rescue team was alert, accidents do happen but something could have been done.
Extremely True and nobody diver,swimmer jumped, screams and cries of pain,Imagine the Ferry
Has no safety....staff......yaani nothing cars plus humans in another disaster waiting to happen in December HOD FORBID
the solution is only brige wajenge daraja kuepuka hio drama za kila mwaka ferry ni old system jamani
Polen sana 001 huo ni uzembe wa kikosi cha uwokoaji inamana basi abiria wanasafiri bila kuwa na kikosi maalumu cha dharura zitakazokea ndani ya feri.. 🤔🤔🤔 likitokea ndio munaunda kamati polen sana wafiwa
Poleni saana ndugu zetu wa Kenya,ila fanyeni kama TZ watu walioko kwa gari wanashuka anabaki dereva pekee
Negligence of the highest level nkt
Maskiin nyii gari inaelea juu hakuna msaada... Subhanallah...
No one can escape death all we can say is alhamdillilah .
Poleni sana kwa familia zilizopatwa na msiba.Dha!
Kitu moja nataka ku uliza mbona hiyo mlango haikufungwa
Ajali haina kinga mungu kashapanga lake mungu awalaze pema popeni wao mbele sisi nyuma
Poleni sana mungu mbele
Dooh Inaskitisha Sana
Joho pliz Angalia ferry hao bouncer Kulala tu divers wangekua apo Joho we love you na hatutakubali hao security waku late down kazi kuangalia nn hata kitambo tulikua twavuka without security Leo wamekua wengi umbea Tupu tu Joho angalia mombasa baba n yetu Leo wamekua wengi hao security apo wa kazi gani watolewe
I cannot believe after 50 yrs of independence we cannot have abridge at likoni.
So sad😪
That's why sipandi ferry Tena🤔
Innallilhi wainnallilah rajioon...
Poleni sana kwa family mungu akutafutie nguvu
Ngai nabak kushangaa mie my God
@@shadrackkithome685 hiyo ndo hali
@@shadrackkithome685 usishangae hiyo ndo hali
Kenyans we need to change our system lets stop ethnic politicking and lets save our lives
Yan kenya ferry hakuna waokozi noma sana kuleni pesa tu
Poleni ndugu tz guy
Mengine hufanyika kama nguvu za kishweitani. Ukitoka kwa nyumba swali ambia mungu akufunike na damu yake
Jamani mi naona mwacomplain bure, ukweli uliopo ni mombasa haichukuliwi kama part of kenya yani tupo tupo tu..
Ohh my God the GOD's compassion be upon us Kenyan, merciful to the victims.
May Allah Rest Their Soul In Paradise.AMEEN
Am ashamed of my country😥....12hrs and there is still no effort to find the people inside the drowned car 😥😥😥I am ashamed of my country.... Its not fair 😥😥😥
Wakielezwa kuwa watu watengeze bridge hawataki ilhali hawana hata wapiga mbizi, ukosefu wa uwajibikaji, nawatakia ukiwa kwa jamaa na marafiki waliopatwa na msiba, Allah awape subra wakati huu wa huzuni
may Allah protect us from such incident. R.I.P
Inasikitisha Sana kwa hali hii.wabeneni wote wahusika wa meli,ili watoe majibu yanayoridhisha.
Rescue team wawe on board na boats pia wapewe zao patral kila time, ramp ramp ziwekwe juuu
Kenya ferry kabisa sana haswa GOVERNMENT OF KENYA mnaajiri wajaluo wakikuyu na hawajui kuogelea mwawacha wavulana wetu wa mombasa mkisema wanavuta bangi . 001 u have 2 au 3yr peana job kwa vijana na insuarance
Exactly 😥
Sai wanaweza sema lolote juu ule mama tayari ashaenda mungu tu ndio anajua kwakweli 😭😭😭😭inauma juu leo ni mmi kesho ni mwengine😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ali kiba
People are blaming the government! What about all the people who were there? Watching!
Exactly hao watu walikuwa wanarecord wangesaidia bana
God bless Kenya and guide us all.....
Its unfortunate Kenya nevy is just a mile away but so far no effort have been made avert that situation
Aibu kwa serekali na zaidi county government ambayo hadi sasa hawana ata nia ya kuokoa. Viongozi wa mombasa mungu anawaona.
Sometimes one wonders whether we have a government.
Makosa Niya dereva wa ferry angekua ameinua mlango juu hio gari haingetumbukia,☹️☹️☹️
mary kawira that’s what am saying,kawaida ferry abiria,na magari hio bamba/mlango inakua juu Coz incase of any problem that mlango would have helped..anyway RIP
Ni kweli kabisa
True kabisa na pia sasa hivi bamba LA ferry liko vilevile he ikitokea ajali nyingine nani alaumiewe
Exactly Infact he should be arrested
Dereva wa ferry pia hana makosa bado ni management iko na makosa cos hilo bamba la ferry halifanyi ni bovu wangekua wali repair
So sad 😭 they should pay them people we can not just lose people unnecessarily 😭😭😭😭
kenya ferry. mpaka saa hii hawajafanya kitu. ee mungu tuhurumie.
Yote ilikua ni mola ameandika kila MTU at asema yake just tushukuru mungu na pia wakazi wa ferry kiweni makini na kazi yenu
Simple kenya ferry twawaomba wa hajiri wapiga mbizi kisha watenganishe ferry ya magari na watu ferry ya magari milango yke iwe ya kufungwa kabla kuondoka
Mungu awalaze mahali pema peponi
Inna ilah waina ilehi rajiuni, mungu awape subra na imani katika Jambo hili,
Poleni sana Khadija kutoka Kenya nimeona news nikiwa Qatar
Inalilai waina ilaiih rajuun.Allaha awape Nuru waliopoteza watu wao inshaallah
Wanaojiita viongozi wakobizi kupiga siasa na sio kuangalia matatizo ya wananchi, siasi kuanzia January to December, Monday to Sunday, wakitoka kuapishwa tu wanaingia mjini kusaka kura za miaka mitano ijayo,ya Allah walaani viongozi hawa uwape adhabu inayo wastahili
Kila mmoja ambaye ni lazima asafiri Kwa ferry basi,anastahili kuwa na floater take maanake tukitegemea serikali au watu wa shirika la ferry tutaumia wenyewe.
Lord jesus please protect us all AMEN
Mr. President Uhuru Kenyatta we do want to see kenya Navy in Mashujaa day in Mombasa because their Useless kabisa they don't help us where we need help !!!! bure kabisa
It's soo sad 😭😭yaani hakuna rescue wa ferry likono hii niaibu Kenya government where are u
Hatar sana,
Wewe mtalaki waripotije baba!!!! Kigugumizi kingi tu...
This is normal Kenya kujikokota ikifika ni kuokoa maisha ,.......
Please our leaders save the life's of our people
Polen sana