Mkasa wa Ferry Mombasa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 09. 2019
  • Gari lilitumbukia kwenye bahari kivuko cha Likoni. Watu watatu wanaaminika kufariki kwenye ajali hiyo ya jana
    #SemaNaCitizen

Komentáře • 657

  • @qassimmuhammad9634
    @qassimmuhammad9634 Před 4 lety +160

    Polen ndugu zetu wakenya, your brother from Tz

  • @kerontoursafarisandhotels
    @kerontoursafarisandhotels Před 4 lety +96

    I have worked with Kenya ferry for 3yrs and for sure it’s always a disaster awaiting every single second as there is no safety measure yet the big fish eat the money for taking their staffs for diving skill. For sure I will call this a negligence as the coxswain should have close the winch doors at least. Someone should take them to court and maybe they will learn a lesson for the safety measures

    • @debbiedebz5670
      @debbiedebz5670 Před 4 lety

      k

    • @marykinuthia5780
      @marykinuthia5780 Před 4 lety

      You should have informed the authorities!

    • @kerontoursafarisandhotels
      @kerontoursafarisandhotels Před 4 lety +3

      I no longer work with them. Sorry Kenyans

    • @jo-mp4kx
      @jo-mp4kx Před 4 lety +2

      @@marykinuthia5780 Are you Kenyan by any chance? If so, this is a very naive statement. Did you read the bit that says "Big fish eat the money............."

    • @marykinuthia5780
      @marykinuthia5780 Před 4 lety

      @@jo-mp4kx in such a society, you just watch and wonder!

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao Před 4 lety +41

    My condolences to all Kenyans.
    Allah gives you patience in this hard time.
    From Tz.

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 Před 4 lety +69

    HALAFU WANASEMA VIJANA HAWAFANYI KAZI NI MADAWA TU.
    WAKATI KAZI ZIKO HAWAPATII VIJANA HUO NI UJINGA SANA WA SERIKALI NA UPUUZI

  • @adilmohamed5208
    @adilmohamed5208 Před 4 lety +73

    Inna lillahi wa inna ileyhi rajiun,kifo haina kinga na Allah ameandika wafe hapo.Allah awape subra na imani kwa familia.

  • @faithmungai6107
    @faithmungai6107 Před 4 lety +28

    Peter Kenneth wanted to build a bridge across but, he didn't get the chance. 😢

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 Před 4 lety +1

    Poleni kweli Mungu wa Amani na awasaidie na kuwawesesha kwa kila jambo kwa jina la yesu kristo aliye Bwana na mwokozi wetu amen

  • @d.o.4226
    @d.o.4226 Před 4 lety +87

    Swimming should be made compulsory for Kenyans in schools, and an added bonus for some jobs. More lives can be saved.

  • @fatmakhalid4784
    @fatmakhalid4784 Před 4 lety +6

    Inalilah waina ilahi rajiuni.ntakukumbuka daima Mariam na mwanayo.kama nakuona tukiwa Tudor primary tunasoma, kazi ya mungu haina makosa

  • @jacklynebutichi1340
    @jacklynebutichi1340 Před 4 lety

    Pole saana Kwa waliopatwa na msiba,,Jibu NI OKOKA,MPE YESU MAISHA YAKO,HATA UKITUMBUKIA KWA BAHARI,,UTAISHI NA YESU MILELE ahera, Amen

  • @sir_felix.
    @sir_felix. Před 4 lety +4

    Wamelala kazini.wafutwe kazi,hawana maana.maisha yamepotea kwa sababu ya utepetevu wao kazini

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Před 4 lety +53

    Hii ni aibu kubwa yaani Kenya ferry shirika la serikali halina emagency responses hii ni dharau kubwa sana what is the responsibilities for the government for their people.

    • @ririmungai2110
      @ririmungai2110 Před 4 lety +1

      Aki wat a shame.cant believe kenya ferry haina emergency responce 4 sure.yani wat the....oh My oh my oh my

    • @jumajay8496
      @jumajay8496 Před 4 lety +1

      In Kenya development is only fever politicians enjoy Kenyans taxes, big allowance, increase of salary every year, driven big free cars free petrol free body guards and free security to their houses and they families all pay by the Kenyans taxes and the citizens straggling in every sector hospitals poor, transportation poor , enagy poor , roads poor, institutions poor and now they have started to campaign for 2022 elections.

    • @monicamagoslo8957
      @monicamagoslo8957 Před 4 lety

      Wondering Too

    • @saidajongoshangaazisaidcho9692
      @saidajongoshangaazisaidcho9692 Před 4 lety

      Kazi ya mungu

  • @josephwanjala1932
    @josephwanjala1932 Před 4 lety +1

    Maze poleni Sana watu wa kaunti 001 kwa huo msiba,MAKIWA na Maulana alaza roho zao mahalo palipo na wema❤️

  • @rashidbilal1150
    @rashidbilal1150 Před 4 lety +3

    INNAH LILAH WA INALILAH RAJIUN....ALLAH awalaze pahali pema peponi....na family iliyofikwa na msiba poleni ALLAH awape subra kwa yote yaliyotokea .....hii Kenya ama hii serikali ye2 sioni kama wanajali maisha ya wananchi..... Kwani hawa Kenya Navy wangoja kazi gani nyengine kama si yakuokoa maisha ya wananchi ......huu ni upuzi mtupu aky ...ferry zenyewe Kwanza ni mbovu milango haifungi hizi ajali zitaisha kwly....!!!!!!

  • @nancywangui6186
    @nancywangui6186 Před 4 lety +34

    Mungu wangu jameni tuokoe hatuna mwingine wa kutuokoa😭😭😭😭

  • @salmamatola4255
    @salmamatola4255 Před 4 lety

    Poleni ndugu zetu wakenya, Mungu awatie nguvu.. Huku kwetu upande wa uokoaji serekali yetu iko vizuri Sana uncle Magu hataki mchezo, Ikitokea ajali za majini serekali huacha kazi zote na kushuhulikia waliozama.. Poleni Sana RIP from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @monikaxenia5629
    @monikaxenia5629 Před 4 lety

    Poleni sana wakenya wetu watching from Riyadh

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 4 lety

    Daaa jamani nimeumia kweli! Poleni sana ndg zetu mliowapoteza ndg zenu ktk ajali hiyo Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

  • @dhahirmaxammad2644
    @dhahirmaxammad2644 Před 4 lety +1

    Kama ningekwa hiyo area nione kuweli gari inazama ningefanya kitendo Hata Kama nitaokoa moja ukuweli hii imeniauma Sana... Poleni Sana familia

  • @omarkomwa5718
    @omarkomwa5718 Před 4 lety +14

    Kenya navy wote niwakikuyu wanaojua kuogelea Kwa swimming pools lkn wenyeji wanaojua bahari kazi wanabaguliwa Yani MTU anatokauko kiambu anaajiriwa Kenya ferry lakini mzaliwa wa Mombasa kupatakazi Kwa k ferry sirahisi

    • @amourbundrez3731
      @amourbundrez3731 Před 4 lety

      Ndo apo...daily watu wakizama baharini ni wavuvi na watu wa coast ndo ujitosa kwa maji kuwasaidia...bahari io twaijua wenyewe...Wenda letwa wagerenge awana wajualo,kazi kula mishahara ya bure

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 4 lety

    Poleni sana nduguzetu wakenya inauma sana Mwenyezimungu awarehemu Mama na watoto wake

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 Před 4 lety

    polen sana wakenya,kaz mungu haina makosa

  • @florahangel1718
    @florahangel1718 Před 4 lety +71

    The Kenyan government is a real joke,wah

  • @RadicalKenya
    @RadicalKenya Před 4 lety +8

    Inauma kwa sana. Tunawaombea familia. Subscribe my channel kwa support

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +22

    Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Ajali haina kinga, Kweli Waeke Wanamaji sijui Wapiga Mbizi.Cha Kuokoleka kitaokolewa,Mungu Tuuuu

    • @khadijanjama9016
      @khadijanjama9016 Před 4 lety +1

      MWANAHALIMA MWACHILI nikweli

    • @adamzdamz6592
      @adamzdamz6592 Před 4 lety +1

      Habari yasikitisha Sana, hiyo hakika

    • @mwanahalimamwachili9679
      @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +1

      @@adamzdamz6592 😭😭😭😭😭😭😭😭.

    • @adamzdamz6592
      @adamzdamz6592 Před 4 lety +1

      @@mwanahalimamwachili9679 mbn wafurai Sana. Nipe na mimi mazuri basi za mombasani... 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄

    • @mwanahalimamwachili9679
      @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +1

      @@adamzdamz6592 Sijafurahi Mimi nina Huzuni,Ajali haina kinga,

  • @richardsitienei7251
    @richardsitienei7251 Před 4 lety

    Watching from Kenya. Good work.

  • @al-habibtwahir4779
    @al-habibtwahir4779 Před 4 lety +11

    Wnataka Magufuli hao watu wa ferry

  • @winniemacharia8069
    @winniemacharia8069 Před 4 lety +24

    There many jobless youths out there wt good life skills such as diving and many more, y shud the gvt consider our youths fr atleast b taken in fr further training and given such opportunities?plz kenyan gvt wake up don't wait fr disasters to strike.

  • @mohammedrajab6514
    @mohammedrajab6514 Před 4 lety +73

    The governor has to go big mouth for nothing very useless county leader.

    • @saulwafula5178
      @saulwafula5178 Před 4 lety +4

      Mohammed Rajab , Kenya Ferry services is a national government function

    • @user-tb4lj6zv5p
      @user-tb4lj6zv5p Před 4 lety +7

      kesho akitoka kwenye kiti utalaumu nani?

    • @saulwafula5178
      @saulwafula5178 Před 4 lety +7

      What will the governor do on a National function? Acha sababu zisokua na msingi

    • @mohammedrajab6514
      @mohammedrajab6514 Před 4 lety +6

      I will keep on blaming the next one till we get the Wright person for the job

    • @annahephy
      @annahephy Před 4 lety +11

      @@saulwafula5178 ati what will the governor do?? Seriously ur reasoning is just lame 🙄🙄🙄what if it's the same governors daughter or family inside those Waters 🤔🤔am sure hawangelala apo,,,but coz it's an ordinary Kenyan no one cares 😪😪😪😯fuck this leaders 🖕🖕🖕fuck the Kenyan government 🖕🖕🖕🖕

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 4 lety +3

    Inalillah wayna illahi rajuun inasikitisha sana kenya ferry wamezembea sana iyo ajali ingezuilika na wangeokolewa utakuta watu wanalipwa mshahara mzur na akuna kaz anafanya ajali ikitokea mpka watu watafutane kenya navy awajulikani wako wapi masaa yote mpka gari limeingia ndani hakuna wakuwaokoa ni uzembe wa kaz na hakuna mpangilio mzuri.

  • @ayubngure5112
    @ayubngure5112 Před 4 lety

    Inauma sana mombasa mambo ni polepole ilikuwa rahisi kuokoa hao watu....viongozi wetu wako kibra ni matusi tu

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 Před 4 lety +3

    Allah awasameh makosa yao lkn hii ilikua kun fayakuun lkn na serikali nayo ijipange sana khususan seriakli zetu za Africa zipo kiuzembe sana kabisaa masoud from zanzibar

  • @user-tb4lj6zv5p
    @user-tb4lj6zv5p Před 4 lety +30

    wokozi vitambi fisadi kupindukia..musioandika kazi wenye ujuzi munapatia kazi ndugu zenu wasojua kuogelea

    • @ioveyourself6913
      @ioveyourself6913 Před 4 lety +1

      Alafu wanaajiri kwa kujuana hata kama wewe ni professional na haujui mtu utaoza nayo nyumbani

  • @tabithalydia3980
    @tabithalydia3980 Před 4 lety +33

    Ile mambo iko kenya aki inasubua..very disturbing things and poor management everywhere

    • @chaisemuringe7143
      @chaisemuringe7143 Před 4 lety +1

      Very true @Eunice wambui we need to pray more than ever..

  • @mercymusyoki7380
    @mercymusyoki7380 Před 4 lety +21

    I was just wondering
    If it was an influential person or dignitary who drowned
    The rescue operations which would be going on would be immeasurable... But because its a normal mwananchi with the daughter,nothing is going on😪😏

    • @ririmungai2110
      @ririmungai2110 Před 4 lety

      Am with you .thts true kabisa

    • @octavian3636
      @octavian3636 Před 4 lety

      Nice thought but ferry falls under national govt jurisdiction county and kenya maritime county has no say

  • @joabowiti999
    @joabowiti999 Před 4 lety

    I truly appreciate your services,due to lack of energy we can watch and have to know on what we never knew thank you very much.

  • @sheryskay5536
    @sheryskay5536 Před 4 lety +35

    If only @Mikesonko was the governor of mombasa. This family would have been removed under water ASAP

    • @JoyJoy-xs1vx
      @JoyJoy-xs1vx Před 4 lety

      I thought soo too

    • @Mr.Stingy
      @Mr.Stingy Před 4 lety

      How? Explain in few words please.

    • @sheryskay5536
      @sheryskay5536 Před 4 lety +3

      He's quicker in helping others in times of need than others.

    • @rizmarahmed1196
      @rizmarahmed1196 Před 4 lety

      Nkt

    • @rizmarahmed1196
      @rizmarahmed1196 Před 4 lety +3

      Siasa kando hawezi saidia mpk awe governor nkt akae na usaidizi wake hiyo ndio knya ubinafsi mumeweka mbele anatakiwa wazingatia uhai na km basis haikujaliwa hats family ya wafiwa ni uchungu mnaleta siasa Kenya hatuendelei nachukia kuzaliwa mkenya sijawahi ona nchi km hii nkt

  • @batulmuhammd8603
    @batulmuhammd8603 Před 4 lety +7

    Waweke tu waokowaji agali imepwangwa na mungu hakuna anae weza kuzuwia

  • @ulimacoxwagichohi
    @ulimacoxwagichohi Před 4 lety +32

    Yani navy Mombasa hawawezi kuokoa hizo mili, aki kenya yetu mungu tusaidie

  • @ahmedmohammed5312
    @ahmedmohammed5312 Před 4 lety +1

    Poleni ndugu inasikitisha sana wanaookowa hawasaidiwi wala hawandikwi kazi wanandika jamaa zao ukabila serkalini imezidi

  • @fabiowrebornmkenya9251
    @fabiowrebornmkenya9251 Před 4 lety +1

    Mungu awalaze mahali pema peponi na family 👪 zao azipe ujasiri kwa wakati huu mgumu.

  • @sayrahussein9024
    @sayrahussein9024 Před 4 lety

    Poleni Sanaa wafiwa kweli inaumaa sana,,Magufuli wetu haya mambo yauzembe ndo hayataki kabisa.

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97

    Innalillahi waina ileyhi rajiun,. Mungu atunusuru, na maafa, cause Nyumbani ni nyumbani,...

  • @calowamaye4009
    @calowamaye4009 Před 4 lety +28

    Big big shame 001 shame on the kenya 🇰🇪 poor management you mean likoni ferry ⛴ we dont have security guards server 👀🤭⛴🤦🏽‍♀️🤷‍♀️🇰🇪 and the way we have good divers Mombasa man but no one ☝🏽 to notice them or give them that part of job likoni ferry it must be the most we’ll security those lives of people’s my god when Africa’s will wake up☝🏽🤦🏽‍♀️😭😭

    • @hawamussah2370
      @hawamussah2370 Před 4 lety

      Wenye wako ni baunsa wajinga tu wenye wanajaza ferry for NOTHING

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 Před 4 lety

      Calo Wamaye my dear Kenyans their always after money without loving their work

    • @emmanuelmgosimgosi3598
      @emmanuelmgosimgosi3598 Před 4 lety +2

      Divers wako bt wenye kuandikwa hiyo kazi hata hawajui ku dive shem to the national government

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Před 4 lety +2

    Innalillah wainnaillah rajioun.....msiba mkubwa yaani 12 hrs hakujapatikana deiver niaibu sana Kwa viongozi ...hawa watu kama wangesaidiwa same time naamini wangekuwa hai japo kifo chake kulikuwa kimeshatimia siku yk

  • @Africanvillagetee
    @Africanvillagetee Před 4 lety +5

    I story Ni painful sana sana, kwanza that car was floating for some time they would have been saved if the rescue team was alert, accidents do happen but something could have been done.

    • @nazasha5584
      @nazasha5584 Před 4 lety +1

      Extremely True and nobody diver,swimmer jumped, screams and cries of pain,Imagine the Ferry
      Has no safety....staff......yaani nothing cars plus humans in another disaster waiting to happen in December HOD FORBID

  • @husseinshahibu1388
    @husseinshahibu1388 Před 4 lety +4

    the solution is only brige wajenge daraja kuepuka hio drama za kila mwaka ferry ni old system jamani

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Před 4 lety +1

    Polen sana 001 huo ni uzembe wa kikosi cha uwokoaji inamana basi abiria wanasafiri bila kuwa na kikosi maalumu cha dharura zitakazokea ndani ya feri.. 🤔🤔🤔 likitokea ndio munaunda kamati polen sana wafiwa

  • @kibajr9767
    @kibajr9767 Před 4 lety

    Poleni saana ndugu zetu wa Kenya,ila fanyeni kama TZ watu walioko kwa gari wanashuka anabaki dereva pekee

  • @tracywaithesh5642
    @tracywaithesh5642 Před 4 lety +2

    Negligence of the highest level nkt

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 Před 4 lety

    Maskiin nyii gari inaelea juu hakuna msaada... Subhanallah...

  • @Awadhvlogs
    @Awadhvlogs Před 4 lety +2

    No one can escape death all we can say is alhamdillilah .

  • @mwanakendra
    @mwanakendra Před 4 lety

    Poleni sana kwa familia zilizopatwa na msiba.Dha!

  • @inahazan9339
    @inahazan9339 Před 4 lety +1

    Kitu moja nataka ku uliza mbona hiyo mlango haikufungwa

  • @mashauzclassic7504
    @mashauzclassic7504 Před 4 lety

    Ajali haina kinga mungu kashapanga lake mungu awalaze pema popeni wao mbele sisi nyuma

  • @joelnandukule9964
    @joelnandukule9964 Před 4 lety

    Poleni sana mungu mbele

  • @nusurati5810
    @nusurati5810 Před 4 lety +1

    Dooh Inaskitisha Sana

  • @leonsthesavage6428
    @leonsthesavage6428 Před 4 lety +2

    Joho pliz Angalia ferry hao bouncer Kulala tu divers wangekua apo Joho we love you na hatutakubali hao security waku late down kazi kuangalia nn hata kitambo tulikua twavuka without security Leo wamekua wengi umbea Tupu tu Joho angalia mombasa baba n yetu Leo wamekua wengi hao security apo wa kazi gani watolewe

  • @mulinzinga9981
    @mulinzinga9981 Před 4 lety +2

    I cannot believe after 50 yrs of independence we cannot have abridge at likoni.

  • @michaelblumer69
    @michaelblumer69 Před 4 lety +4

    That's why sipandi ferry Tena🤔

  • @kanayanandwa3153
    @kanayanandwa3153 Před 4 lety +1

    Innallilhi wainnallilah rajioon...

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo Před 4 lety +7

    Poleni sana kwa family mungu akutafutie nguvu

  • @pablojnr339
    @pablojnr339 Před 4 lety +1

    Kenyans we need to change our system lets stop ethnic politicking and lets save our lives

  • @flinchclassic1726
    @flinchclassic1726 Před 4 lety +1

    Yan kenya ferry hakuna waokozi noma sana kuleni pesa tu

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 Před 4 lety

    Poleni ndugu tz guy

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 Před 4 lety

    Mengine hufanyika kama nguvu za kishweitani. Ukitoka kwa nyumba swali ambia mungu akufunike na damu yake

  • @manbanshaban9253
    @manbanshaban9253 Před 4 lety +3

    Jamani mi naona mwacomplain bure, ukweli uliopo ni mombasa haichukuliwi kama part of kenya yani tupo tupo tu..

  • @danieljefwa2071
    @danieljefwa2071 Před 4 lety +1

    Ohh my God the GOD's compassion be upon us Kenyan, merciful to the victims.

  • @abdirahmanfarah6794
    @abdirahmanfarah6794 Před 4 lety +2

    May Allah Rest Their Soul In Paradise.AMEEN

  • @liliangathiru340
    @liliangathiru340 Před 4 lety +2

    Am ashamed of my country😥....12hrs and there is still no effort to find the people inside the drowned car 😥😥😥I am ashamed of my country.... Its not fair 😥😥😥

  • @haifatymohar
    @haifatymohar Před 4 lety

    Wakielezwa kuwa watu watengeze bridge hawataki ilhali hawana hata wapiga mbizi, ukosefu wa uwajibikaji, nawatakia ukiwa kwa jamaa na marafiki waliopatwa na msiba, Allah awape subra wakati huu wa huzuni

  • @Kqueen_bellla
    @Kqueen_bellla Před 4 lety +2

    may Allah protect us from such incident. R.I.P

  • @rashidimpigachai7987
    @rashidimpigachai7987 Před 4 lety

    Inasikitisha Sana kwa hali hii.wabeneni wote wahusika wa meli,ili watoe majibu yanayoridhisha.

  • @sashalauren302
    @sashalauren302 Před 4 lety +10

    Rescue team wawe on board na boats pia wapewe zao patral kila time, ramp ramp ziwekwe juuu

  • @amilahally2438
    @amilahally2438 Před 4 lety +1

    Kenya ferry kabisa sana haswa GOVERNMENT OF KENYA mnaajiri wajaluo wakikuyu na hawajui kuogelea mwawacha wavulana wetu wa mombasa mkisema wanavuta bangi . 001 u have 2 au 3yr peana job kwa vijana na insuarance

  • @rehemamwakio7377
    @rehemamwakio7377 Před 4 lety +1

    Sai wanaweza sema lolote juu ule mama tayari ashaenda mungu tu ndio anajua kwakweli 😭😭😭😭inauma juu leo ni mmi kesho ni mwengine😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @naomipallangyo6701
    @naomipallangyo6701 Před 4 lety +2

    People are blaming the government! What about all the people who were there? Watching!

    • @stacywanjiru4757
      @stacywanjiru4757 Před 4 lety

      Exactly hao watu walikuwa wanarecord wangesaidia bana

  • @janemburu231
    @janemburu231 Před 4 lety

    God bless Kenya and guide us all.....

  • @danielwachiori820
    @danielwachiori820 Před 4 lety +9

    Its unfortunate Kenya nevy is just a mile away but so far no effort have been made avert that situation

  • @vincentgitiva8849
    @vincentgitiva8849 Před 4 lety

    Aibu kwa serekali na zaidi county government ambayo hadi sasa hawana ata nia ya kuokoa. Viongozi wa mombasa mungu anawaona.

  • @patrickopisa1717
    @patrickopisa1717 Před 4 lety +6

    Sometimes one wonders whether we have a government.

  • @marykawira9266
    @marykawira9266 Před 4 lety +33

    Makosa Niya dereva wa ferry angekua ameinua mlango juu hio gari haingetumbukia,☹️☹️☹️

    • @QueenPlays
      @QueenPlays Před 4 lety +3

      mary kawira that’s what am saying,kawaida ferry abiria,na magari hio bamba/mlango inakua juu Coz incase of any problem that mlango would have helped..anyway RIP

    • @amilahally2438
      @amilahally2438 Před 4 lety +1

      Ni kweli kabisa

    • @rahmasuweyd1914
      @rahmasuweyd1914 Před 4 lety +1

      True kabisa na pia sasa hivi bamba LA ferry liko vilevile he ikitokea ajali nyingine nani alaumiewe

    • @peterkiwagoh6329
      @peterkiwagoh6329 Před 4 lety

      Exactly Infact he should be arrested

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Před 4 lety

      Dereva wa ferry pia hana makosa bado ni management iko na makosa cos hilo bamba la ferry halifanyi ni bovu wangekua wali repair

  • @blackisgold1200
    @blackisgold1200 Před 4 lety +2

    So sad 😭 they should pay them people we can not just lose people unnecessarily 😭😭😭😭

  • @kenkim460
    @kenkim460 Před 4 lety +2

    kenya ferry. mpaka saa hii hawajafanya kitu. ee mungu tuhurumie.

  • @saadkhamis6894
    @saadkhamis6894 Před 4 lety

    Yote ilikua ni mola ameandika kila MTU at asema yake just tushukuru mungu na pia wakazi wa ferry kiweni makini na kazi yenu

  • @hemedigonga7139
    @hemedigonga7139 Před 4 lety

    Simple kenya ferry twawaomba wa hajiri wapiga mbizi kisha watenganishe ferry ya magari na watu ferry ya magari milango yke iwe ya kufungwa kabla kuondoka

  • @carlnkipnusu1465
    @carlnkipnusu1465 Před 4 lety

    Mungu awalaze mahali pema peponi

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 Před 4 lety

    Inna ilah waina ilehi rajiuni, mungu awape subra na imani katika Jambo hili,

  • @khadijamatanoali69
    @khadijamatanoali69 Před 4 lety

    Poleni sana Khadija kutoka Kenya nimeona news nikiwa Qatar

  • @aminalibondo7507
    @aminalibondo7507 Před 4 lety

    Inalilai waina ilaiih rajuun.Allaha awape Nuru waliopoteza watu wao inshaallah

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 Před 4 lety +1

    Wanaojiita viongozi wakobizi kupiga siasa na sio kuangalia matatizo ya wananchi, siasi kuanzia January to December, Monday to Sunday, wakitoka kuapishwa tu wanaingia mjini kusaka kura za miaka mitano ijayo,ya Allah walaani viongozi hawa uwape adhabu inayo wastahili

  • @evalynkemumamagoma9795
    @evalynkemumamagoma9795 Před 3 lety +1

    Kila mmoja ambaye ni lazima asafiri Kwa ferry basi,anastahili kuwa na floater take maanake tukitegemea serikali au watu wa shirika la ferry tutaumia wenyewe.

  • @knightwamalwa7587
    @knightwamalwa7587 Před 4 lety +1

    Lord jesus please protect us all AMEN

  • @mombasanews3024
    @mombasanews3024 Před 4 lety +1

    Mr. President Uhuru Kenyatta we do want to see kenya Navy in Mashujaa day in Mombasa because their Useless kabisa they don't help us where we need help !!!! bure kabisa

  • @teresiahkiarie8440
    @teresiahkiarie8440 Před 4 lety +3

    It's soo sad 😭😭yaani hakuna rescue wa ferry likono hii niaibu Kenya government where are u

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 4 lety

    Hatar sana,

  • @erickymajali2691
    @erickymajali2691 Před 4 lety +3

    Wewe mtalaki waripotije baba!!!! Kigugumizi kingi tu...

  • @petergichua1715
    @petergichua1715 Před 4 lety

    This is normal Kenya kujikokota ikifika ni kuokoa maisha ,.......

  • @shakailesiamon6905
    @shakailesiamon6905 Před 4 lety

    Please our leaders save the life's of our people

  • @harunakayuc266
    @harunakayuc266 Před 4 lety

    Polen sana