UTEUZI MPYA USIKU HUU, RAIS SAMIA ATEUA 9 WAPYA IKULU, MKALIMANI NA WENGINE
Vložit
- čas přidán 15. 04. 2021
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Juma Selemani Mkomi kuwa Katibu wa Rais (KR).
Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Machi, 2021.
Wakati huo huo, Mhe. Rais Samia amefanya uteuzi wa Wasaidizi katika Ofisi Binafsi ya Rais (OBR) kama ifuatavyo;
Amemteua Bw. Said Ali Juma kuwa Mnikulu.
Amemteua Mhe. Balozi Dkt. Mussa Julius Lulandala kuwa Msaidizi wa Rais, Nyaraka na Ukalimani (PAP-TD).
Amemteua Mhe. Balozi Ali Bujiku Sakila kuwa Msaidizi wa Rais, Hotuba (PAP-SD).
Amemteua Bi. Maulidah Bwanaheri Hassan kuwa Msaidizi wa Rais, Diplomasia (PAP-DA).
Amemteua Bi. Felister Peter Mdemu kuwa Msaidizi wa Rais, Maendeleo ya Jamii.
Amemteua Bw. Nehemia Ernest Mandia kuwa Msaidizi wa Rais, Sheria (PAP-LA)
Amemteua Dkt. Blandina Kilama kuwa Msaidizi wa Rais, Uchumi (PAP-EA).
Amemteua Dkt. Salim Othman kuwa Msaidizi wa Rais, Siasa (PAP-PA).
Uteuzi wa Wasaidizi wa Rais unaanza leo tarehe 16 Aprili, 2021.
Hongara mama naomba upende sana kushauriwa.hakuna mkamilifu ispokua Allah .hv ndo diniyetu inavoongea .wala usiwadhulumu watu kwadini zao au kabila zao.kua muadilifu.uondoke .watu wakiwa salama wote nawenye kupata neema tl.Allah .atakwenda kukuliza uliongoza vp watu wako.hakika hii dunia nimchezo tuu.
Zahor salim maneno yako nimazima yapo kwenye msitari asiwadhum watu allah amsimamiye na ajitahidi maisha ni mafupi
Hongera muheshmiwa ila ni nakukumbusha Kuna mpambanaji anaitwa Paul Makonda 🙏
Asante kwa taarifa.
Hongera kwenu sote mtakaomfanya Rais wetu afanye kazi kwa weledi, furaha na ufanisi mkubwa katika kuirejesha nchi kwenye mstari sahihi.
mama fanya unacho fanya ila usije kuisaliti tanzania kwa kutoa bandari ile sisi ni watanzania tunajali mchango wako tafadhali bandari ile tutajenga wenyewe hatuna haraka hivo
Hapo kwenye Bandari Mambo siku hizi yako waziwazi hawawezi wakapitisha kitu kibaya Kwa nchi mama Samia kaweka wazi kabisa kuwa kuna ucheleweshwaji wa Malipo ya certificate ya mradi ilikusudi watu kadhaa wanapiga mpunga ktkti kwahiyo kitaeleweka tu
Kwakwelii WATANZANIA hatuna jema mama mwenyezi mungu akusimamie na akuongozee kwa kila Jambo Hilo tuu linatosha🙏🙏🙏
Asante sana Ayo
Nisiwe mnafiki kiukweli bado sijamuelewa huyu mama maana anapita njia ile ile ya kikwete huyu mama. Mmmmmhhh tutakuja kushuhudia usaliti mkubwa unafanyika siku zijazo
Ahsante Sana Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Mungu akutie nguvu sana usimame na Taifa la Tanzania
Hayati Jonh Pombe magufuli alikuwa na watumishi wachache na kazi zilienda kwa kasi, magufuli alipunguza watumishi ili kuokoa HELA zikasaidie sehemu nyingine muhimu.
RIP JOHN JOSEPH MAGUFULI
Congratulations mama,your Excellency my president,Samia s Hassan,we together,
Hongera Mh. Rais, hongera mlioteuliwa, KAZI IENDELEE.
Asante kwa uteuzi mzuri Mh Rais🙏
Walioteuliwa, Hongereni sana na majukumu mema,lkn LAZIMA mtetee nafas zetu kwa kuwajibika ipasavyo maana hata sisi tunazitamani nafas hizo Lakini hatuwezi kuupinga usemi wa wahenga kuwa, " aliyepewa kapewa "
Aliyepewa kapewa apete tuuu
Sio kwa kuja kuliibia taifa , huko sio kipewa ni wizi , na nani wasiwasi yule itaiba sana maana umeshA muingiza mume wa bimti kwenye unaibu waziri , hicho kinanipa ishara mbaya dhidi ya yule bibi , kamuondoa mpaka Mungu kwenye maisha ya kiserekali , kaja na kusalimia kwa ajabu , ajabu , kusalimia kiaina ya shetani, kama tunaiabudu nchi .au tunajiabudu wenyewe 🤔🤔🤔
@@whatisthetruth.8793 Vyovyote iwavyo zimwi likujualo ..... Kwani kuna ubaya gani kumteuwa mtu wa karibu mwenye sifa zinazotakiwa? Hizo nafasi ni zetu sote, sio sahihi kwamba usipewe nafasi kwa kuwa anaeteuwa mnajuwana. Kigezo kikuu cha kuteuliwa ni kujulikana. Kuhusu wizi huo ubinafsi wa mtu inawezekana sisi ni wezi kuliko wao lakini hatujapata nafasi. Muhimu waombee wakafanye kazi.
@@hajihassan5433 👍
safi saaaana weka unaowaamini na wanaokuheshimu
Asante mama
Mwenyezi Mungu amuangamize yeyote ane kuwazia kukufanyia mabaya mama yetu. Manake sio kila binadam anapenda mema ya mwingine
Ni Mimi Amina mtika,please mama naomba niangalie Kwa jicho la tatu kuna watu tupo huku nyuma ya pazia hatuonekani wala kujulikana lakini uongozi upo kwenye damu.
Jamani Ngoja Nikupambanie
Mkuu Kwa Kukuombe dua
Ili na Wewe
Katika Teuzi Zifuatazo Uwepo
Inshaallah
🤔🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaaa 🤣yajayo yanachekesha only 4 years
Safi sana mama
Waislam ndo wengi. Kwanza ni mchezo mchafu tu unaochezwa huko ikulu. Hatuna rais term him Mungu tuongoze mwenyewe . RIP JPM
Ubongo wako umegandisbwa endelea kuganda
Mkuu Hapo Kuna na Wa Visiwani
Ndio Maana Umeona Na Majina
HAYO ULIYOYALALAMIKIA
Hii Kwa Kweli Hatukuzoea Maana teuzi
Za Watangulizi Wake
Ilikuwa tofauti kidogo
Ilikuwa kwa Upande wa Znz Ni Aghrabu
Kufikiwa na Uteuzi Tena WakTi Mwingine Uteuzi
Unaanza na Kuishia Kanda moja tu
Hii ilizua Minong'Ono ya Chini chini
Huko nyuma
# WACHA KAZI NA IENDELEEE
Jaman DINI haifanyi KAZI ...ACHENI Kutajataja mambo yasio na maana achawatu wale MAISHA na Uteuzi wa mama nao ndio wakati wap jaman kikubwa wapige KAZI tu mambo mengine huko makanisani na misikikitini huku ni kazini na Serekalini utawala ni sheria SIO ...na...🤣😎😎
Wakiteuliwa waislamu udini utasikia mbona takwimu zinaonyesha serikalini wakristo ni wengi zaidi? Acheni uchochezi
Wewe ndie mdini!!
Yetu masikio ! Hongera Mama !!
Awamu hii atateuliwa mpaka msafisha choo,Kikwete style on return.
Kabsa huyu ni kikwete kaja kivngne
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama kuna kweli hivii...🤣
😊😊😊😊😊😊😚😊😊
Naona kuna particles za udini,upande fulani ndiyo wengi zaidi,hili liangaliwe.Jamii inaona na hukumu itakuja 2025
Acha ujinga serikali haina dini
Kwahivyo ulitaka wote wasiwe waislamu ndio kunakuwa hakuna udini au vipi? Na je hayo majina uliyoyasikia wote ni waislam?
Kwani dini ndio inafanya KAZI? Dini zetu ni huko makanusani na misikikitini hapa ni kazini.Watu kama nyie mtatakiwa m.........💣💣kabla mawazo yenu yakijinga hayajasambaa
kinachoangaliwa ni utendaji na sifa Zao tu, hata kama wote ni wapagani!!! dini na kabila lao ni huko majumbani kwao! hii ni TZ. KAZI ISONGE MBELE.
Yaani mmmh nimesikiliza hiyo list nimechoka hoi
Mh Rais samia naomba tusikie unafanya ziara zakikazi ktk maeneo mbalimbali ktk tanzania kuangalia miradi yakitaifa inaendaje siyo kukazana kuteua teua watu. Ushauri mambo mazuri aliyofanya Magufuli yafuate. Kuiga mazuri siyo dhambi. Pitia miradi yote siyo kuagiza .binaadam hawahaminiki Mama.
Ndo namshangaa wingi wa viongozi bila utendaji haizaidi kula mishahara watu hawana maji, Magufuli tutakulilia Sana 🙏❤️
Huyu Mama sijui Ni mdudu gani amemwingia kichwani amekaa kutua tu Magufuli alikuwa na wasaidizi wachache na kazi ilikuwa kubwa Sana tutamkumbuka Daima ❤️🙏
Blesses
Pendeza sana , mungu akulinde mama yetu na mahasidi pamoja na mataga. Atakayekukusudia kwa ubaya afe yeye(aamin)
Ufe mwenyewe !
Ameen
@@geraldleger5793 wewe ni mataga nn? Mbn umeiogopa dua
Twa kuombea Dua Allah akulinde akuzidishe hekima
Dah magu tutakumbuka kweli ila hatuna hofu yupo shujaa anatengenezwa na Bwana atakuja sampuli kama yako.
AMINA
Naona hizi ndo ajira 6000 ulizotangaza.Tembelea wananchi achana na Mambo ya kutengua tengua..
Magufuli alikuwa anapunguza watu ikulu wewe unajaza tu watu ikulu hii haipendez kila siku kuteua tu Kaz utafanya lini wanachi wanakusubir uwatembelee utatue shida zao
Hii ni awamu ingine msimpangie mwacheni nae apange tim yake ..
🤔
Magufuli saahii anakula marungu yake tu maskini
Kuna viongozi katika ngazi za chini za madaraka. Wanaweza tatua kero za Wananchi. Sio lazima Rais kufanya kila kitu,,,
19 March 2021 yaani kumbe wameteuliwa tokea mwezi uliopita? Sio April
Waislamu wote
Ndio ujinga wenu ulipo hapo, mnaona nyie tu wakristo ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!!
Tunaanza kuleta lishe ya Rais,
Well done madam president
Jongela mama
Me to
Niwe muwazi tu huyu mama binafsi naona kabsa hii nafasi haiwezi sema tu ndo katiba tutafanyaje lakn kiukweli huyu bimdashi Kama wamemuoverdoz ok lets wait....
Anayoiweza ni mama yoko ?
Kamuweke baba ako naukoo wako mzima wataiweza
Kama unataka Mtu asiwe utakavyo wewe kuwa yeye....🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaa ngoja tuone
Unaiweza nafasi hiyo ni wewe!!
🤔🤔
Yaani mnachaguana huko juu. Halafu mwajifanya wema kwetu. Ipo siku mtalia
Uchaguliwe wewe nan? Network yenye huna weweeeeee...hapanaaaa😎😎😎
Mama wote mbona rika moja, hii nchi ili iende vizuri changanya iga mfano wa magu.
🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi ipo
Mmmh tunarundi awamu nne maana si Kwa uteunzi huo...Mbona hawakutangazwa waliotoka
Sio lazima,,, Tunataka kazi tu, mengine sio suala,,, Tayari tumechelewa,,,
Atakutangazia kigogo
Yaaani ni shida
Ulitakaje?
NA WAISILAM TUNA KHAKI VILEVILE YA KUONGOZA MMEANZA ULALAMISHI ULIKUA UKABILA HAPA MLIKAA KIMYA.DU ZILIKUA NYINGIIII
Mama na wakikuzingua tumbua kabla ya masaa 24 kuisha
Awali nilikuwa na matumaini lkn kwa sasa yanaanza kuondoka sielewi kinachoendelea ni kazi au uteuzi eee Mungu tusaidie
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kwaninii
Amejaza tu nafasi ya uraisi isibaki wazi. Ushari Wangu naona kunadalili hipo za udini
Udini kwa waislam ila kwa wengine udini hakuna..acha roho mbaya Tanzania ni nchi yetu sote .
Kwanka waislamu wangapi hapo?mbona nyie wizara zote wakristo hamjasema haya ?
Ujinga wenu ndio ulipo hapo, mnaona nyie tu wakristo ndio mna hati miliki ya kutawala nchi hii!!
Kwani watafanya nini jamani
Jaman mbona mimi siteuliwi...wanateuliwa wengine tu 😲😲
CV tafadhali tumsogezee mama.
Una ilimu ngani ww mdangaji
Itafika zamu yako inshaallah
Mh,Andika kitabu chako,Tuna Iman na wewe
leo sio trh 16 bana
Wapishi wa ikulu wanaludi kwa kasi yaani naona kuna ukungu mzito mbeleni
Na mimi nasubiri yangu kumsaidia mama kwenye eneo la elimu
Mhhh,,,,,mtafakariiiii kz iendeleee
Kudadeki hizo department zote znatoka wapi???🤔🙏🏾🙏🏾
mbona wengi waislammmm..nchi naomba tusiingize udini hata kama unaoamini ni dini
Mbona magufuli alivowajaza wakrsto wa kisukuma hukulalamika. Hahaha
Sasa nitaendelea kuchunguza tena ni Nani a anampa Siri za IKULU @kigogo2014
Nasubiri matokeo ya uteuzi huu
Magu aliwajua aliona hawatamfanya kitu ana yesu,matokeo ikawa eloi eloi la masabakitani huruma imemponza ningekuwa mm nilivoipata tepu tu ningewaosha timu nzima nisingebakiza hata chawa bata na watoto wake wote ningewamaliza
Daah
Huyu Anaejiita Kigogo @ 2014
Nyoko Zake Kweli
Simpendi Mbaya
@@jumamnumbwa9483 ni kweli kaka , ule mtandao maadhali mzee alikuwa na ushahidi wa kuweka hadharani alikuwa uwaanike tuu wote , halafu mahakaman peleka ,wakajibu mashtaki , waarabu wanasema fitna haimalizi kwa kupeana mikono kwao fitina ikumalize au uimalize , maoni yangu waitwe waatalamu laboratories kutoka Russia na Ireland, zichukuliwe simple, wachunguze kama marehemu aliuliwa kwa sumu,au hapana , unajua trace za sumu zinaka mwilimi wa maiti kwa mamia ya miaka , ufanywe tuu uchunguzi kama ulivyofanyaa kwa Arafat , majibu kutoka laboratories za nchi mbili yaanikwe hadharani na watafiti wenyewe , kama ilivyokuwa kwa Arafat , no toxic substance killed Arafat. Sasa tunasubiri uchunguzi wa aliyekuwa camanda wetu sisi.. tulipigania hili kila kosa ndugu zangu. Kila siku bila hivyo tabia kama hizi zitakuja kujirejea
@@whatisthetruth.8793 wewe ndie utakaewalipa?Huko Urusi Puttin Nae Anatawala Kwa Mkono Wa Chuma,,,we jiongeze,,,kufa kupo tu uwekewe sumu usiwekewe ulitaka wafe nani....?wasio na vyeo?
@@whatisthetruth.8793 Kaka magufuli hata huyu lisu hakumgusa yeye ni vile lisu mvivu wa kufikiri huwenda kuna mtu aliingia kati kuwachonganisha na kuipaka matope serikali ya magufuli,kwa kumtandika lisu na wengine kitendo cha kuwaacha hawa makanali na watoto zao inadhihiri magu hakuwa mkatili kabisa na ndio maana aliwaacha hata wafungwa wa kunyongwa ,tumepata hasara kubwa kwa uzembe wetu na uvivu wa kufikiri kwa kuahindwa kumlinda huyu kiumbe ni comrade wa ukweli hakuwa mnafiki hata kidogo na ndio maana bashe alilia ,ukiona mtu anapendwa na bashe angalia sana bashe alikuwa na mapenzi makubwa na magu
Hongora mama kwa kupunguza idadi ya waskuma sirikalini bado wapungeze wamezanga Kila pembe ulichanguwana kiukabila sana
Mhhhhh!!
Pointless
Naona mama kakazana na kuunda team sijui mechi inaanza lini............
Ni lazima uondoe @kigogo2014 influence ili kusonga mbele ,kwani hawana wema hata kidogo....na akiwaacha yy na waziri mkuu wataondoka kwa mtindo ule ule
Mbona moyo wako m baya hivi
Ha ha haaaaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Utaelewa tu!!
Paul Makonda 😭😭😭😭
Hogereni mlio teuliwa ila fanyani kama mlivyo kula kiapo fahamu nafasi ulio ipata ametoka mwe nzako kutokana na kosa alilo lifanya au tumikia wananchi Mungu atakulipa katika kaz
Mninkulu ndo nn jamani sijaelewa hapo
Kumbe bado mamboyanaendelea kupamba moto xaxa
Mam njoo mkulanga kuna majipu mengi viongozi wako wamela sana
Mama piga kazi kuteua teua kila siku utakuta mwaka unaishia kwA kuteua tu
Mh
Sisi wanaharakati ndo tunaumia na tunaoipenda Tanazania kwa dhat,, naipenda nchi hii ila hatutoboi,, Yale madudu yote yatarudi mama kakalia kiti bila vision yoyote yupo tu, ila wanachi watakacho mfanyie baada ya kucho hata weza kuilusha
Hayo ni mawazo yako peke yako pole aseee
@@taxconsultant5050 sio mawazo yake kila MTU anaona Sisi tunaka kuona kazi na sio kuteuateua TU viongozi wengi kazi Hakuna haionekani wananchi wanateseka
Bado hatujampata_joshua_wetu
Hahaaaaa ko tuendelee kusubiri
Ndio ishakua hiyo!!
Kabisaaaaa! Tuedelee kuomba ILA tunaomba miradi Magufuli ibaki salama Hatumwelewi badala kutembelea miradi amengangania kuteu tu wapishi wengi wataharibu mchuzi
Hujamuna joshua kisa hajateua wagalatia wenzio au. Hahaha
Mimi bado ajanishawishi. Ntabaki kuwa wa Magufuli2,
Ninyinyi tu mpende mgane hela zote kwenye mabenki
Ulitaka zimwage Barabaran ebu fanya kaz ndug
Mbona hatuambiwi walio tenguliwa ? Au ni nafasi mpya tu kaziazisha yeye? Tuambie wametenguliwa akina nani na kwa nini na kuteuliwa akina nani.
Nafas mpya
Mmh tushaanza Kupigwa hapa! . R.I.P JPM
Atakuja watangazia akiingia kiwanjani kuwa apisha
Very true si wanataka uwazi?
Mninkulu ndo mnini?
Nafasi mpya za ajira...
Kumbe hizi nafasi zipo,jamani mama na Mimi nifikirie kwenye ukuu wa wilaya naimudu nafasi hiyo.nione Kwa jicho la tatu mama kwani wewe ni mama na ninaamini wanawake tunaweza,japo elimu yangu ni ndogo.
Asante
Unaelimu gani Madam?
@@sylivanussyliacus5064 ndogo sana diploma in clinical medicine
@@sylivanussyliacus5064 lakini ninajijua kabisa kuwa Nina karama ya uongozi na ninaamini kabisa siku nikipewa nafasi /dhamana nitafanya vema kabisa ktk nafasi hiyo.
Hahahaahahah
Unafanya kazi mkoa gani??Fuatilia
Mh ngoja tuangalie tyu
Kila ck ni uteuzi tuu hivi nyazifaa zipo kwl au ndiokupigwa huku hapana kwa kwl.
Tuna taka kaz hayo mengine sio ishu sana kwetu kupeana ulaji tu njoon na vision ya taiga for 30 years to come with strategy and goals hapo tutajua kua tuna raid lkn sasa bado
sana kaka nimekusoma
Mtaona kazi imeisha ile
Yule bibi form IV , atawezeje kuja na projection blue prints, bottom up for the nation inahitaji mathematics , , na hili ndilo tatizo linalo tudhuru nchi zote za Africa, wazungu wanatucheka , kutudharau , kutubeza , wanasema siku zote viongozi wa Africa, hawana uwezo , wala sifa kuongoza nchi . They can't think out their boxes , they can't think for themselves, we just tell them anything and they believe and do it .they fall and they come agsin and fool theme again, Magufuli alikuwa yeye ni mathematician utAmdanganya nini , na ndio maana alikuwa anawapenda , professors na PHD , washindane kwa mawazo ya kulipeisha taifa , uchumu wa Tanzania ulikuwa ukuwa kila nyAnja , utalii , madini , viwanda , kilimo palipoliwa negative - amegeuza kuwa positive +.
Nalia nalia peke yangu lika siku , yule bibi hawa uwezo wala maarifa ya kiongkzi , atole 2025 , Majaliwa aongoze taifa
@@whatisthetruth.8793 Utaomboleza mpaka lini, ndugu yangu ?! JPM alikuwa kipenzi chetu sote. Tumemlilia sisi sote Watanzania, na hatutamsahau. Lakini sasa, tusonge mbele. Lazima nchi iendelee. JPM ameondoka. Je, tuondoke na ye? Tumuache Mama atuongoze, tusiwe na mashaka bila sababu. Ni mapema sana kumjudge!!!
Wasaidiz hoyee duh hii katiba ibadiliShwe tu
Kwnn
Ili nini
*MH I DON'T FIND PEACE WITH THIS CURRENT GOVERNMENT LORD HAVE MERCY* 😭🇹🇿😓 *MAGUFULI WHY DID YOU GET AWAY SO SOON?!*
Huyu me simuelewi kabisa
@@danielmathias160 kwnn
😭😭😭😭😭😭
Acheni kukufuru jamani
Kila chenye mwanzo kina mwisho.
@@viousa 🙏🇹🇿♥️
Tunajua mama Samia hawezi kuvaa viatu vya JPM. Tumpe nafasi tuone huenda anahitaji wasaidizi ili afanikishe kazi zake. Lakini akitaka kufanikiwa lazima JPM awe kichwani mwake akiwasikiliza kina nape atafeli. Mama huwezi kufanikiwa bila kuwa mkali na kuendeleza maono ya magufuri. Nape amesema CCM ndio kinaaminika kuongoza nchi bila maono ya magufuri. Mama kuhusu lasilimali mikataba mibovu tutaingia barabarani wananchi sio wanasiasa na ndio utakuwa mwisho CCM japo tunawapenda. Mali mlizotuibia mtazikimbia. Mmeiba vya kutosha JPM alisema wizi tushaibiwa sana. Sasa mkituibia historia ya Tanzania itakwisha.
.....uvae viatu vya Mtu kwani huna vyakako. .? Kila Mtu anaakili yake kama hamjui jueni leo mnayo waza hayapo na itafika kipindi mtayasahau kwani hayaishi..mama usutusahau PIGA KAZI tupo nyuma yako
@@kakorejrboyz6447 atapata upinzani mkubwa kama hato fuata nyayo za JPM. Arab spring itakuwa Tanzania spring anaruhusiwa kufanya zaidi ya JPM na si vinginevyo. JPM ndio alie irudisha CCM na ndio atakae iuwa CCM kama CCM watarudi kwenye chukua chako mapema. Ili CCM iendelee kutawala lazima Samia ajaribu kuvaa viatu vya JPM bila hivyo CCM haiwezi kuendelea kutawala kama huamini utakuja kuona. Tumechoka kuibiwa. JPM ni taasisi na haifi leo. CCM hawafiki milioni 15 Watanzania tupo milioni 60. Na katika milioni 15 nusu au zaidi kwa sasa wamekuwa wapenzi wa JPM na watampigia kura mtu ambaye wanaamini atafuata uongozi wa JPM.
@@kakorejrboyz6447 vyake havitoshi kuwa rais ndo Mana alikua makamo .akagombee aone
Huyo magi mwenyewe mwizi tu
@@husseinmkanga7794 iendelee kutawala kwani ccm 2020 ilishinda kwa kura za haki au jeshi ?
Mnikulu ndo Cheo gani Jamani!???😅😂😂
😂😂😂
Nauliza pia!!! 😀😀
Hicho cheo hukijui? Mbona kipo siku nyingi TU,labda Kama kiliondolewa kipindi fulani
Wana pachikana tuu wakaibe 🤔🤔 🤔
🤣🤣🤣🤣
Mama kuwa makini
Anateuwa waislamu tu
We ulitaka amteue nani
Umeonaa udini unatawala
Waislamu wanne wakristo wanne imekuwaje waislamu tu au mmezoea nyie kuwa wengi
🤔🤔🤔
Ndio ujinga wenu ulipo, mnaona nyie wakristo tu ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!
Mkalimani kaharibu kazi
🤣🤣🤣"darasa la 7"?!!! 🤣🤣🤣
Na mkalimani😂
Sasa akienda asikoelewa inakuwaje??Lazima mkalimani Awe naye
@@trophywilson7211 duh asiwe yule aliyechapia lakini 😂😂😂
Hii ukalimani inabidi iwe kitengo kizima, nasi tujuao lugha sita tu...
Ukalimani ni sayansi na muhimu mno. Fikiria lau si watu hawa, leo hii elimu, kama ya tiba, ingekuwa kwenye mataifa mawili au matatu pekee duniani! Labda kusingekywepo na Mkristo au Mwislamu Mwafrika!
Just think about it!
Leo wanapewa wababaishaji!
Tunakukukumbuk kipenzi chetu Magufuli 😭😭😭😭Mungu akulaze Mahal pema pepon
We naye...tupishe sie
Watu kama ninyi ndio mnaosumbuliwa na roho za mizimu hadi mapepo yanawasumbua na kuanza kumtafuta mchawi na wakati umejiroga mwenyewe kwa kutamani kuishi na matehemu. Tuachane na wafu. Tujitahidi kutembee na uhalisia uliopo. Mama yuko kazini na kazi iendelee
".......Asiye kuwepo na lake halipo..." Maneno ya wahengal
Hili pengo halizibiki tusijifariji
@@franksofa1670 hakuna pengo lisilo zibika mkuu! Hata meno ya dhahabu yapo tena yenye muonekano mzuri kuliko hata jino la awali.
Kwani yule mkarimani mwingine hakufaa jamani?
Wewe una shida na rais
Mchague unayemwamuni bye...🤣🤣🤣🤣
ntaongea mbelen kwa ss ngoja niendelee kusoma mchezo unavyotaka kuchezeshwa
Kazi za wizi wa Mali ya uma zime anza
Haiwezekani! Mama ukimzingua, mtazinguana !
Kabisaa
Kivipi imeanza?
Mnazi Wa kitabu Cha Nabii yuleee
Katila Ubora wake
Tuliaminishwa Kama Si yy
TZ haiwezi kutoboa
Kumbe Hii Nchi inajengwa Kwa
Michango na Kijitoa Kwao Wanachi
Wote kwa Ujumla.
Yeye Ana Mchongo wake Mkubwa
Na Wengine pia vivyo hivyo
Acha mawazo mgando kesho na wewe ukipata nafasi ya uma tukisema maneno kama hayo utafurahi ? Acha kabisa KAZI za Serikali ni dhamana tu yeyote anaweza akawa
Waenga walisema kuku ikifa na mayayi yanaoza. Vyeo vyote hivi Jembe alikuwa imevibana kwa maslayi yakujenga inchi. Kuaribu pesa bure
Mlisema amebana Ajira acha awape Ajira noti ziliwe kwa mtindo huo
Alivikataa ILI afiche siri zake sisijulikane ni siri zipi yeye ajua hii ni KAZI ya uma na sheria ndio inasema
Vyeo vipya mkiskia ndo wizi huo hayo ndio mambo Magufuli alikua akiyapiga vita. Wanapeana Vyeo ambayo havina maendeleo yoyote kusukuma kurdumu la maendeleo bali kula hela za bure huu ni upetevu mkubwa wa pesa za serekali ni wizi wa aina mpya. Wacha kuteua Vyeo hewa tuna taka kazi zindelee sio kulata mijitu ambayo haita Leta manufaa. Nishanza kuhisi huyu raisi mpya atairudisha Tanzania nyuma miaka 30.
Tanzania haitarudi nyuma,,, Mama ni mchapakazi, muadilifu, na mzalendo. Vinginevyo, asingekuwa Makamu wa Magufuli,,,
Ulizoea vibaya raisi sio malaika mama anapenda washauri. Nchi haiendi kwa matamko. Urais ni taasisi. Acha ushabiki wa kipumbavu. Umezoea kutawaliwa mama ni kiongozi sio mtawala
@@azizawadh5973
Sahihi
Kila Kiongozi ana Namna ya
Kutimiza Majukumu yake
Kamfate baba yako huko kaburini
@@mustaphahassan589 Usipomtukana mtu, ungeeleweka vizuri,,, Jiheshimu mwenyewe!!!
Wasaidiz wa ikulu tu watu kumi? Bado wakuonja mboga nao watateuliwa tusubilie tu.
yani balaa kaka yetu macho
ile ndio presidency haswaa
Hahaaaa
Mambo ameanza tutaona Mengi aliyakataa Jpm matumizi fedha vibaya jamani tulitegemea watu kupungua
SASA pesa inatafutwa Iliifanye KAZI kama wewe hupati iba 🤣🤣🤣🤣Asiye kuwepo na lake halipo
Tutakumic magufuli wetu haki kabsa hapa hizi nafac hivi zipogo kweli au kutiana hasara tu.
Acha ujinga
Hatuna rais saiv. RIP JPM
Acha unafkiiiii huyooooooo nan sasaaaa
Mama Rais wetu wa leo na kesho TEUA WATU UNAOWAAMINI...ILI KAZI IENDE SIUNAJUA NI MIAKA✊✊✊SASA WAFANYAKAZ WASEREKALI HAWAJA INGEZEWA CHOCHOTE tunakuamini utuvushe hapa
Uteuzi kila Mara wa nn? Sisi tunataka kuona kazi ikifanywa kama vile Dr jpm alivyo kua akifaya
Kila hatua soma dua ayatu kursiyu ni kinga kubwa jitahidi kumuelekea allah
Magufuli tumekukumbka baba yetu
Ila unge mtengua mkuu wa TCRA
Nchi ya wapigaji hii
Mungu ibariki Tanzania,,,
Hama
Washarudi kama mwanzo, itaSikia vyeo wavipo dunia wapachikwa watu wakapige dili tuu, mimi nilosema mapema yule bibi hana uongozi , kuikongoza sio kuti saiti , na kuongea maneno matamu , ni kujua nini unachokita, na vipi ukipata cha maendeleo ya waifa na watu wako .
Wapiga hela hawachukuliwi hatua daaaah!!!!
@@jamiidigitalonline2644 mliowacbukulia hatua enzi zenu mlishawafunga?
Naona waislam tu Hapo wameng'raa jamani twendeni tuuuu
Ushaanza udini?
Ukiwa na akili za hivyo ni shida sana kwako, baraza la mawaziri la aliyepita kabla ya huyu ulisema neno gani?
Balaza la mawaziri na matibu hatukuwahi hata kuhoji.hii nchi ni yetu sote
Ndio ujinga wenu ulipo, mnaona nyie tu wakristo ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!!
Uteuzi mwingine fanyakimyakimya .kama huo wa mwiyimkuu yaani anayeangalia masuala yote ya familia ya rais chakula mavazi na mambo yote ya jikoni. Kwakweli siyo lazima yatangazwe.
Waisilamu Tupo Juu sasa
@MUHAMMAD RASHAAD BAKASHMAR nikweli raisi ,waziri, katibu mkuu, jaji mkuu n.k
Acha unafki. N nyie mlvokuwa juu zamn mbn hukusema. Hahaha
Sina maana mbàya jamani nataka muone hili kama funzo tu, kwamba nchi yetu haina dini yaan rais atakavyo penda anafanya maamuzi, maana kipindi cha JPM wengi walisema sasa basi sisi ni ndugu tusiwe na chuki bana yetu 😇
Onyo langu chukua hadhara yusinywe maji ppt wala siombe kaa n'a gilasi Yako nachupa Yako mfukoni popote yunavokwenda mama ubarikiwe epukana namadui popote walipo wandani na wanje yutaimarisha TZ usalama na maendeleo ishallah
NAJITAHIDI NINYAMAZE NIWE MSOMA COMMENT TUU NASHINDWA JMN MAANA NAONA SAFARI YETU KUELEKEA NCHI YA AHADI INAZIDI KUWA NGUMU KILA KUKICHA. ANYWAY ACHA NIENDELEE KUANGALIA NA KUIOMBEA TANZANIA YANGU.
🙄🙄
Haswaaa tupo wengi 💘👌👌🤔🤔🤔
Kwakwel
Kama anaanza kuzingua hivi ila tusinyamaze..
@@estermathias8354 usitoe macho dada ester tuiombee tuu nchi ukweli nchi ya ahadi safari inakuwa ngumu.