UTEUZI MPYA USIKU HUU, RAIS SAMIA ATEUA 9 WAPYA IKULU, MKALIMANI NA WENGINE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 04. 2021
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Juma Selemani Mkomi kuwa Katibu wa Rais (KR).
    Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Machi, 2021.
    Wakati huo huo, Mhe. Rais Samia amefanya uteuzi wa Wasaidizi katika Ofisi Binafsi ya Rais (OBR) kama ifuatavyo;
    Amemteua Bw. Said Ali Juma kuwa Mnikulu.
    Amemteua Mhe. Balozi Dkt. Mussa Julius Lulandala kuwa Msaidizi wa Rais, Nyaraka na Ukalimani (PAP-TD).
    Amemteua Mhe. Balozi Ali Bujiku Sakila kuwa Msaidizi wa Rais, Hotuba (PAP-SD).
    Amemteua Bi. Maulidah Bwanaheri Hassan kuwa Msaidizi wa Rais, Diplomasia (PAP-DA).
    Amemteua Bi. Felister Peter Mdemu kuwa Msaidizi wa Rais, Maendeleo ya Jamii.
    Amemteua Bw. Nehemia Ernest Mandia kuwa Msaidizi wa Rais, Sheria (PAP-LA)
    Amemteua Dkt. Blandina Kilama kuwa Msaidizi wa Rais, Uchumi (PAP-EA).
    Amemteua Dkt. Salim Othman kuwa Msaidizi wa Rais, Siasa (PAP-PA).
    Uteuzi wa Wasaidizi wa Rais unaanza leo tarehe 16 Aprili, 2021.

Komentáře • 366

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum663 Před 3 lety +3

    Hongara mama naomba upende sana kushauriwa.hakuna mkamilifu ispokua Allah .hv ndo diniyetu inavoongea .wala usiwadhulumu watu kwadini zao au kabila zao.kua muadilifu.uondoke .watu wakiwa salama wote nawenye kupata neema tl.Allah .atakwenda kukuliza uliongoza vp watu wako.hakika hii dunia nimchezo tuu.

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 Před 3 lety

      Zahor salim maneno yako nimazima yapo kwenye msitari asiwadhum watu allah amsimamiye na ajitahidi maisha ni mafupi

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan6149 Před 3 lety +1

    Hongera muheshmiwa ila ni nakukumbusha Kuna mpambanaji anaitwa Paul Makonda 🙏

  • @lighnessmrisho1525
    @lighnessmrisho1525 Před 3 lety +2

    Asante kwa taarifa.

  • @hopekaunda1031
    @hopekaunda1031 Před 3 lety +2

    Hongera kwenu sote mtakaomfanya Rais wetu afanye kazi kwa weledi, furaha na ufanisi mkubwa katika kuirejesha nchi kwenye mstari sahihi.

  • @wence15
    @wence15 Před 3 lety +9

    mama fanya unacho fanya ila usije kuisaliti tanzania kwa kutoa bandari ile sisi ni watanzania tunajali mchango wako tafadhali bandari ile tutajenga wenyewe hatuna haraka hivo

    • @chrismndolwa718
      @chrismndolwa718 Před 3 lety +1

      Hapo kwenye Bandari Mambo siku hizi yako waziwazi hawawezi wakapitisha kitu kibaya Kwa nchi mama Samia kaweka wazi kabisa kuwa kuna ucheleweshwaji wa Malipo ya certificate ya mradi ilikusudi watu kadhaa wanapiga mpunga ktkti kwahiyo kitaeleweka tu

  • @tillahmboya1334
    @tillahmboya1334 Před 3 lety +2

    Kwakwelii WATANZANIA hatuna jema mama mwenyezi mungu akusimamie na akuongozee kwa kila Jambo Hilo tuu linatosha🙏🙏🙏

  • @joelaly6244
    @joelaly6244 Před 3 lety

    Asante sana Ayo

  • @alhabibmkama3566
    @alhabibmkama3566 Před 3 lety +2

    Nisiwe mnafiki kiukweli bado sijamuelewa huyu mama maana anapita njia ile ile ya kikwete huyu mama. Mmmmmhhh tutakuja kushuhudia usaliti mkubwa unafanyika siku zijazo

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 Před 3 lety +1

    Ahsante Sana Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Mungu akutie nguvu sana usimame na Taifa la Tanzania

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 Před 3 lety +1

    Hayati Jonh Pombe magufuli alikuwa na watumishi wachache na kazi zilienda kwa kasi, magufuli alipunguza watumishi ili kuokoa HELA zikasaidie sehemu nyingine muhimu.
    RIP JOHN JOSEPH MAGUFULI

  • @calolinamwandali3599
    @calolinamwandali3599 Před 3 lety +1

    Congratulations mama,your Excellency my president,Samia s Hassan,we together,

  • @jaalabenterprises6744
    @jaalabenterprises6744 Před 3 lety +2

    Hongera Mh. Rais, hongera mlioteuliwa, KAZI IENDELEE.

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 3 lety +1

    Asante kwa uteuzi mzuri Mh Rais🙏

  • @isackpaul8536
    @isackpaul8536 Před 3 lety +10

    Walioteuliwa, Hongereni sana na majukumu mema,lkn LAZIMA mtetee nafas zetu kwa kuwajibika ipasavyo maana hata sisi tunazitamani nafas hizo Lakini hatuwezi kuupinga usemi wa wahenga kuwa, " aliyepewa kapewa "

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Aliyepewa kapewa apete tuuu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před 3 lety

      Sio kwa kuja kuliibia taifa , huko sio kipewa ni wizi , na nani wasiwasi yule itaiba sana maana umeshA muingiza mume wa bimti kwenye unaibu waziri , hicho kinanipa ishara mbaya dhidi ya yule bibi , kamuondoa mpaka Mungu kwenye maisha ya kiserekali , kaja na kusalimia kwa ajabu , ajabu , kusalimia kiaina ya shetani, kama tunaiabudu nchi .au tunajiabudu wenyewe 🤔🤔🤔

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 3 lety +1

      @@whatisthetruth.8793 Vyovyote iwavyo zimwi likujualo ..... Kwani kuna ubaya gani kumteuwa mtu wa karibu mwenye sifa zinazotakiwa? Hizo nafasi ni zetu sote, sio sahihi kwamba usipewe nafasi kwa kuwa anaeteuwa mnajuwana. Kigezo kikuu cha kuteuliwa ni kujulikana. Kuhusu wizi huo ubinafsi wa mtu inawezekana sisi ni wezi kuliko wao lakini hatujapata nafasi. Muhimu waombee wakafanye kazi.

    • @abdulfatahhussein4087
      @abdulfatahhussein4087 Před 3 lety

      @@hajihassan5433 👍

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 3 lety +3

    safi saaaana weka unaowaamini na wanaokuheshimu

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 3 lety

    Asante mama

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety +1

    Mwenyezi Mungu amuangamize yeyote ane kuwazia kukufanyia mabaya mama yetu. Manake sio kila binadam anapenda mema ya mwingine

  • @edwardaugustinemagwe4376
    @edwardaugustinemagwe4376 Před 3 lety +5

    Ni Mimi Amina mtika,please mama naomba niangalie Kwa jicho la tatu kuna watu tupo huku nyuma ya pazia hatuonekani wala kujulikana lakini uongozi upo kwenye damu.

  • @fidelludemwa2943
    @fidelludemwa2943 Před 3 lety +1

    Safi sana mama

  • @sittatwaha805
    @sittatwaha805 Před 3 lety +3

    Waislam ndo wengi. Kwanza ni mchezo mchafu tu unaochezwa huko ikulu. Hatuna rais term him Mungu tuongoze mwenyewe . RIP JPM

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      Ubongo wako umegandisbwa endelea kuganda

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před 3 lety +1

      Mkuu Hapo Kuna na Wa Visiwani
      Ndio Maana Umeona Na Majina
      HAYO ULIYOYALALAMIKIA
      Hii Kwa Kweli Hatukuzoea Maana teuzi
      Za Watangulizi Wake
      Ilikuwa tofauti kidogo
      Ilikuwa kwa Upande wa Znz Ni Aghrabu
      Kufikiwa na Uteuzi Tena WakTi Mwingine Uteuzi
      Unaanza na Kuishia Kanda moja tu
      Hii ilizua Minong'Ono ya Chini chini
      Huko nyuma
      # WACHA KAZI NA IENDELEEE

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      Jaman DINI haifanyi KAZI ...ACHENI Kutajataja mambo yasio na maana achawatu wale MAISHA na Uteuzi wa mama nao ndio wakati wap jaman kikubwa wapige KAZI tu mambo mengine huko makanisani na misikikitini huku ni kazini na Serekalini utawala ni sheria SIO ...na...🤣😎😎

    • @majaliwamussa9268
      @majaliwamussa9268 Před 3 lety

      Wakiteuliwa waislamu udini utasikia mbona takwimu zinaonyesha serikalini wakristo ni wengi zaidi? Acheni uchochezi

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Wewe ndie mdini!!

  • @geraldleger5793
    @geraldleger5793 Před 3 lety

    Yetu masikio ! Hongera Mama !!

  • @SGS-ts1eb
    @SGS-ts1eb Před 3 lety +4

    Awamu hii atateuliwa mpaka msafisha choo,Kikwete style on return.

  • @meshackmayenga2009
    @meshackmayenga2009 Před 3 lety +7

    Naona kuna particles za udini,upande fulani ndiyo wengi zaidi,hili liangaliwe.Jamii inaona na hukumu itakuja 2025

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 Před 3 lety +1

      Acha ujinga serikali haina dini

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 3 lety

      Kwahivyo ulitaka wote wasiwe waislamu ndio kunakuwa hakuna udini au vipi? Na je hayo majina uliyoyasikia wote ni waislam?

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety +1

      Kwani dini ndio inafanya KAZI? Dini zetu ni huko makanusani na misikikitini hapa ni kazini.Watu kama nyie mtatakiwa m.........💣💣kabla mawazo yenu yakijinga hayajasambaa

    • @gulamh5077
      @gulamh5077 Před 3 lety +2

      kinachoangaliwa ni utendaji na sifa Zao tu, hata kama wote ni wapagani!!! dini na kabila lao ni huko majumbani kwao! hii ni TZ. KAZI ISONGE MBELE.

    • @neemansasu9761
      @neemansasu9761 Před 3 lety

      Yaani mmmh nimesikiliza hiyo list nimechoka hoi

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 Před 3 lety +2

    Mh Rais samia naomba tusikie unafanya ziara zakikazi ktk maeneo mbalimbali ktk tanzania kuangalia miradi yakitaifa inaendaje siyo kukazana kuteua teua watu. Ushauri mambo mazuri aliyofanya Magufuli yafuate. Kuiga mazuri siyo dhambi. Pitia miradi yote siyo kuagiza .binaadam hawahaminiki Mama.

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 Před 3 lety

      Ndo namshangaa wingi wa viongozi bila utendaji haizaidi kula mishahara watu hawana maji, Magufuli tutakulilia Sana 🙏❤️

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 Před 3 lety

      Huyu Mama sijui Ni mdudu gani amemwingia kichwani amekaa kutua tu Magufuli alikuwa na wasaidizi wachache na kazi ilikuwa kubwa Sana tutamkumbuka Daima ❤️🙏

  • @badrumnunga6049
    @badrumnunga6049 Před 3 lety

    Blesses

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Pendeza sana , mungu akulinde mama yetu na mahasidi pamoja na mataga. Atakayekukusudia kwa ubaya afe yeye(aamin)

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před 3 lety

    Twa kuombea Dua Allah akulinde akuzidishe hekima

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth Před 3 lety +2

    Dah magu tutakumbuka kweli ila hatuna hofu yupo shujaa anatengenezwa na Bwana atakuja sampuli kama yako.

  • @neemaedward342
    @neemaedward342 Před 3 lety +1

    Naona hizi ndo ajira 6000 ulizotangaza.Tembelea wananchi achana na Mambo ya kutengua tengua..

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 Před 3 lety +3

    Magufuli alikuwa anapunguza watu ikulu wewe unajaza tu watu ikulu hii haipendez kila siku kuteua tu Kaz utafanya lini wanachi wanakusubir uwatembelee utatue shida zao

    • @abdallahhuseinkabale7534
      @abdallahhuseinkabale7534 Před 3 lety

      Hii ni awamu ingine msimpangie mwacheni nae apange tim yake ..

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před 3 lety

      🤔

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Před 3 lety

      Magufuli saahii anakula marungu yake tu maskini

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety

      Kuna viongozi katika ngazi za chini za madaraka. Wanaweza tatua kero za Wananchi. Sio lazima Rais kufanya kila kitu,,,

  • @munjy11tutorials
    @munjy11tutorials Před 3 lety

    19 March 2021 yaani kumbe wameteuliwa tokea mwezi uliopita? Sio April

  • @brotherdash6772
    @brotherdash6772 Před 3 lety +1

    Waislamu wote

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Ndio ujinga wenu ulipo hapo, mnaona nyie tu wakristo ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!!

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki7543 Před 3 lety +2

    Tunaanza kuleta lishe ya Rais,

  • @mehboobkarmali5211
    @mehboobkarmali5211 Před 3 lety

    Well done madam president

  • @khalidsufiankimo143
    @khalidsufiankimo143 Před 3 lety +1

    Jongela mama

  • @bilalali8023
    @bilalali8023 Před 3 lety

    Me to

  • @ericlowasa3097
    @ericlowasa3097 Před 3 lety +3

    Niwe muwazi tu huyu mama binafsi naona kabsa hii nafasi haiwezi sema tu ndo katiba tutafanyaje lakn kiukweli huyu bimdashi Kama wamemuoverdoz ok lets wait....

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 Před 3 lety

    🤔🤔

  • @sittatwaha805
    @sittatwaha805 Před 3 lety +1

    Yaani mnachaguana huko juu. Halafu mwajifanya wema kwetu. Ipo siku mtalia

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      Uchaguliwe wewe nan? Network yenye huna weweeeeee...hapanaaaa😎😎😎

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth Před 3 lety +1

    Mama wote mbona rika moja, hii nchi ili iende vizuri changanya iga mfano wa magu.

  • @julianamasunga700
    @julianamasunga700 Před 3 lety +2

    Mmmh tunarundi awamu nne maana si Kwa uteunzi huo...Mbona hawakutangazwa waliotoka

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety

      Sio lazima,,, Tunataka kazi tu, mengine sio suala,,, Tayari tumechelewa,,,

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      Atakutangazia kigogo

    • @neemansasu9761
      @neemansasu9761 Před 3 lety

      Yaaani ni shida

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Ulitakaje?

    • @tabumpate9762
      @tabumpate9762 Před 3 lety

      NA WAISILAM TUNA KHAKI VILEVILE YA KUONGOZA MMEANZA ULALAMISHI ULIKUA UKABILA HAPA MLIKAA KIMYA.DU ZILIKUA NYINGIIII

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 3 lety +2

    Mama na wakikuzingua tumbua kabla ya masaa 24 kuisha

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761 Před 3 lety +1

    Awali nilikuwa na matumaini lkn kwa sasa yanaanza kuondoka sielewi kinachoendelea ni kazi au uteuzi eee Mungu tusaidie

  • @franksamweli6429
    @franksamweli6429 Před 3 lety +1

    Amejaza tu nafasi ya uraisi isibaki wazi. Ushari Wangu naona kunadalili hipo za udini

    • @abdallahhuseinkabale7534
      @abdallahhuseinkabale7534 Před 3 lety

      Udini kwa waislam ila kwa wengine udini hakuna..acha roho mbaya Tanzania ni nchi yetu sote .

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 Před 3 lety

      Kwanka waislamu wangapi hapo?mbona nyie wizara zote wakristo hamjasema haya ?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Ujinga wenu ndio ulipo hapo, mnaona nyie tu wakristo ndio mna hati miliki ya kutawala nchi hii!!

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki7543 Před 3 lety

    Kwani watafanya nini jamani

  • @Imend1
    @Imend1 Před 3 lety +2

    Jaman mbona mimi siteuliwi...wanateuliwa wengine tu 😲😲

  • @ericktheonest328
    @ericktheonest328 Před 3 lety

    Mh,Andika kitabu chako,Tuna Iman na wewe

  • @marketingmazingira1393
    @marketingmazingira1393 Před 3 lety +1

    leo sio trh 16 bana

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před 3 lety

    Wapishi wa ikulu wanaludi kwa kasi yaani naona kuna ukungu mzito mbeleni

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 3 lety

    Na mimi nasubiri yangu kumsaidia mama kwenye eneo la elimu

  • @enockyangi317
    @enockyangi317 Před 3 lety +2

    Mhhh,,,,,mtafakariiiii kz iendeleee

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 Před 3 lety

    Kudadeki hizo department zote znatoka wapi???🤔🙏🏾🙏🏾

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před 3 lety

    mbona wengi waislammmm..nchi naomba tusiingize udini hata kama unaoamini ni dini

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Před 3 lety

      Mbona magufuli alivowajaza wakrsto wa kisukuma hukulalamika. Hahaha

  • @mashauriitambe9880
    @mashauriitambe9880 Před 3 lety +5

    Sasa nitaendelea kuchunguza tena ni Nani a anampa Siri za IKULU @kigogo2014
    Nasubiri matokeo ya uteuzi huu

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 Před 3 lety +6

      Magu aliwajua aliona hawatamfanya kitu ana yesu,matokeo ikawa eloi eloi la masabakitani huruma imemponza ningekuwa mm nilivoipata tepu tu ningewaosha timu nzima nisingebakiza hata chawa bata na watoto wake wote ningewamaliza

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před 3 lety

      Daah
      Huyu Anaejiita Kigogo @ 2014
      Nyoko Zake Kweli
      Simpendi Mbaya

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před 3 lety +1

      @@jumamnumbwa9483 ni kweli kaka , ule mtandao maadhali mzee alikuwa na ushahidi wa kuweka hadharani alikuwa uwaanike tuu wote , halafu mahakaman peleka ,wakajibu mashtaki , waarabu wanasema fitna haimalizi kwa kupeana mikono kwao fitina ikumalize au uimalize , maoni yangu waitwe waatalamu laboratories kutoka Russia na Ireland, zichukuliwe simple, wachunguze kama marehemu aliuliwa kwa sumu,au hapana , unajua trace za sumu zinaka mwilimi wa maiti kwa mamia ya miaka , ufanywe tuu uchunguzi kama ulivyofanyaa kwa Arafat , majibu kutoka laboratories za nchi mbili yaanikwe hadharani na watafiti wenyewe , kama ilivyokuwa kwa Arafat , no toxic substance killed Arafat. Sasa tunasubiri uchunguzi wa aliyekuwa camanda wetu sisi.. tulipigania hili kila kosa ndugu zangu. Kila siku bila hivyo tabia kama hizi zitakuja kujirejea

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 Před 3 lety +1

      @@whatisthetruth.8793 wewe ndie utakaewalipa?Huko Urusi Puttin Nae Anatawala Kwa Mkono Wa Chuma,,,we jiongeze,,,kufa kupo tu uwekewe sumu usiwekewe ulitaka wafe nani....?wasio na vyeo?

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 Před 3 lety +1

      @@whatisthetruth.8793 Kaka magufuli hata huyu lisu hakumgusa yeye ni vile lisu mvivu wa kufikiri huwenda kuna mtu aliingia kati kuwachonganisha na kuipaka matope serikali ya magufuli,kwa kumtandika lisu na wengine kitendo cha kuwaacha hawa makanali na watoto zao inadhihiri magu hakuwa mkatili kabisa na ndio maana aliwaacha hata wafungwa wa kunyongwa ,tumepata hasara kubwa kwa uzembe wetu na uvivu wa kufikiri kwa kuahindwa kumlinda huyu kiumbe ni comrade wa ukweli hakuwa mnafiki hata kidogo na ndio maana bashe alilia ,ukiona mtu anapendwa na bashe angalia sana bashe alikuwa na mapenzi makubwa na magu

  • @alisaid4380
    @alisaid4380 Před 3 lety

    Hongora mama kwa kupunguza idadi ya waskuma sirikalini bado wapungeze wamezanga Kila pembe ulichanguwana kiukabila sana

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 Před 3 lety +3

    Naona mama kakazana na kuunda team sijui mechi inaanza lini............

  • @senetamtangazaji2901
    @senetamtangazaji2901 Před 3 lety +1

    Paul Makonda 😭😭😭😭

  • @alibomba3304
    @alibomba3304 Před 3 lety

    Hogereni mlio teuliwa ila fanyani kama mlivyo kula kiapo fahamu nafasi ulio ipata ametoka mwe nzako kutokana na kosa alilo lifanya au tumikia wananchi Mungu atakulipa katika kaz

  • @danielmwakaseka3555
    @danielmwakaseka3555 Před 3 lety

    Mninkulu ndo nn jamani sijaelewa hapo

  • @peterkisomezi1101
    @peterkisomezi1101 Před 3 lety +1

    Kumbe bado mamboyanaendelea kupamba moto xaxa

    • @dulayoawazi915
      @dulayoawazi915 Před 3 lety

      Mam njoo mkulanga kuna majipu mengi viongozi wako wamela sana

  • @sonkosolembasimba821
    @sonkosolembasimba821 Před 3 lety

    Mama piga kazi kuteua teua kila siku utakuta mwaka unaishia kwA kuteua tu

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 Před 3 lety

    Mh

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 Před 3 lety +1

    Sisi wanaharakati ndo tunaumia na tunaoipenda Tanazania kwa dhat,, naipenda nchi hii ila hatutoboi,, Yale madudu yote yatarudi mama kakalia kiti bila vision yoyote yupo tu, ila wanachi watakacho mfanyie baada ya kucho hata weza kuilusha

    • @taxconsultant5050
      @taxconsultant5050 Před 3 lety

      Hayo ni mawazo yako peke yako pole aseee

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 Před 3 lety

      @@taxconsultant5050 sio mawazo yake kila MTU anaona Sisi tunaka kuona kazi na sio kuteuateua TU viongozi wengi kazi Hakuna haionekani wananchi wanateseka

  • @UserUser-cg5ns
    @UserUser-cg5ns Před 3 lety +1

    Bado hatujampata_joshua_wetu

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Před 3 lety

      Hahaaaaa ko tuendelee kusubiri

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Ndio ishakua hiyo!!

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 Před 3 lety

      Kabisaaaaa! Tuedelee kuomba ILA tunaomba miradi Magufuli ibaki salama Hatumwelewi badala kutembelea miradi amengangania kuteu tu wapishi wengi wataharibu mchuzi

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Před 3 lety

      Hujamuna joshua kisa hajateua wagalatia wenzio au. Hahaha

  • @gaspermaselo3896
    @gaspermaselo3896 Před 3 lety +3

    Mimi bado ajanishawishi. Ntabaki kuwa wa Magufuli2,

  • @pauljuliuspaul4354
    @pauljuliuspaul4354 Před 3 lety

    Ninyinyi tu mpende mgane hela zote kwenye mabenki

  • @sylivanussyliacus5064
    @sylivanussyliacus5064 Před 3 lety +1

    Mbona hatuambiwi walio tenguliwa ? Au ni nafasi mpya tu kaziazisha yeye? Tuambie wametenguliwa akina nani na kwa nini na kuteuliwa akina nani.

  • @afmabeat9567
    @afmabeat9567 Před 3 lety

    Mninkulu ndo mnini?

  • @mr.paulminja7894
    @mr.paulminja7894 Před 3 lety +2

    Nafasi mpya za ajira...

  • @edwardaugustinemagwe4376
    @edwardaugustinemagwe4376 Před 3 lety +2

    Kumbe hizi nafasi zipo,jamani mama na Mimi nifikirie kwenye ukuu wa wilaya naimudu nafasi hiyo.nione Kwa jicho la tatu mama kwani wewe ni mama na ninaamini wanawake tunaweza,japo elimu yangu ni ndogo.
    Asante

  • @shamlatiqassim6015
    @shamlatiqassim6015 Před 3 lety

    Mh ngoja tuangalie tyu

  • @zuberninga695
    @zuberninga695 Před 3 lety +2

    Kila ck ni uteuzi tuu hivi nyazifaa zipo kwl au ndiokupigwa huku hapana kwa kwl.

  • @innocenthamisonndalahwa9541

    Tuna taka kaz hayo mengine sio ishu sana kwetu kupeana ulaji tu njoon na vision ya taiga for 30 years to come with strategy and goals hapo tutajua kua tuna raid lkn sasa bado

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 Před 3 lety

      sana kaka nimekusoma

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Mtaona kazi imeisha ile

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před 3 lety

      Yule bibi form IV , atawezeje kuja na projection blue prints, bottom up for the nation inahitaji mathematics , , na hili ndilo tatizo linalo tudhuru nchi zote za Africa, wazungu wanatucheka , kutudharau , kutubeza , wanasema siku zote viongozi wa Africa, hawana uwezo , wala sifa kuongoza nchi . They can't think out their boxes , they can't think for themselves, we just tell them anything and they believe and do it .they fall and they come agsin and fool theme again, Magufuli alikuwa yeye ni mathematician utAmdanganya nini , na ndio maana alikuwa anawapenda , professors na PHD , washindane kwa mawazo ya kulipeisha taifa , uchumu wa Tanzania ulikuwa ukuwa kila nyAnja , utalii , madini , viwanda , kilimo palipoliwa negative - amegeuza kuwa positive +.
      Nalia nalia peke yangu lika siku , yule bibi hawa uwezo wala maarifa ya kiongkzi , atole 2025 , Majaliwa aongoze taifa

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety

      @@whatisthetruth.8793 Utaomboleza mpaka lini, ndugu yangu ?! JPM alikuwa kipenzi chetu sote. Tumemlilia sisi sote Watanzania, na hatutamsahau. Lakini sasa, tusonge mbele. Lazima nchi iendelee. JPM ameondoka. Je, tuondoke na ye? Tumuache Mama atuongoze, tusiwe na mashaka bila sababu. Ni mapema sana kumjudge!!!

  • @amoschristopher8582
    @amoschristopher8582 Před 3 lety +1

    Wasaidiz hoyee duh hii katiba ibadiliShwe tu

  • @Swahili14
    @Swahili14 Před 3 lety +6

    *MH I DON'T FIND PEACE WITH THIS CURRENT GOVERNMENT LORD HAVE MERCY* 😭🇹🇿😓 *MAGUFULI WHY DID YOU GET AWAY SO SOON?!*

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 3 lety +2

    Tunajua mama Samia hawezi kuvaa viatu vya JPM. Tumpe nafasi tuone huenda anahitaji wasaidizi ili afanikishe kazi zake. Lakini akitaka kufanikiwa lazima JPM awe kichwani mwake akiwasikiliza kina nape atafeli. Mama huwezi kufanikiwa bila kuwa mkali na kuendeleza maono ya magufuri. Nape amesema CCM ndio kinaaminika kuongoza nchi bila maono ya magufuri. Mama kuhusu lasilimali mikataba mibovu tutaingia barabarani wananchi sio wanasiasa na ndio utakuwa mwisho CCM japo tunawapenda. Mali mlizotuibia mtazikimbia. Mmeiba vya kutosha JPM alisema wizi tushaibiwa sana. Sasa mkituibia historia ya Tanzania itakwisha.

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety +1

      .....uvae viatu vya Mtu kwani huna vyakako. .? Kila Mtu anaakili yake kama hamjui jueni leo mnayo waza hayapo na itafika kipindi mtayasahau kwani hayaishi..mama usutusahau PIGA KAZI tupo nyuma yako

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 3 lety +1

      @@kakorejrboyz6447 atapata upinzani mkubwa kama hato fuata nyayo za JPM. Arab spring itakuwa Tanzania spring anaruhusiwa kufanya zaidi ya JPM na si vinginevyo. JPM ndio alie irudisha CCM na ndio atakae iuwa CCM kama CCM watarudi kwenye chukua chako mapema. Ili CCM iendelee kutawala lazima Samia ajaribu kuvaa viatu vya JPM bila hivyo CCM haiwezi kuendelea kutawala kama huamini utakuja kuona. Tumechoka kuibiwa. JPM ni taasisi na haifi leo. CCM hawafiki milioni 15 Watanzania tupo milioni 60. Na katika milioni 15 nusu au zaidi kwa sasa wamekuwa wapenzi wa JPM na watampigia kura mtu ambaye wanaamini atafuata uongozi wa JPM.

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Před 3 lety

      @@kakorejrboyz6447 vyake havitoshi kuwa rais ndo Mana alikua makamo .akagombee aone

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 Před 3 lety

      Huyo magi mwenyewe mwizi tu

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 Před 3 lety +1

      @@husseinmkanga7794 iendelee kutawala kwani ccm 2020 ilishinda kwa kura za haki au jeshi ?

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 Před 3 lety

    Mnikulu ndo Cheo gani Jamani!???😅😂😂

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 Před 3 lety

    Mama kuwa makini

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 3 lety +1

    Anateuwa waislamu tu

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Před 3 lety +1

    Mkalimani kaharibu kazi

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety

      🤣🤣🤣"darasa la 7"?!!! 🤣🤣🤣

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 3 lety +3

    Na mkalimani😂

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Sasa akienda asikoelewa inakuwaje??Lazima mkalimani Awe naye

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 3 lety

      @@trophywilson7211 duh asiwe yule aliyechapia lakini 😂😂😂

    • @Nedjadist
      @Nedjadist Před 3 lety

      Hii ukalimani inabidi iwe kitengo kizima, nasi tujuao lugha sita tu...
      Ukalimani ni sayansi na muhimu mno. Fikiria lau si watu hawa, leo hii elimu, kama ya tiba, ingekuwa kwenye mataifa mawili au matatu pekee duniani! Labda kusingekywepo na Mkristo au Mwislamu Mwafrika!
      Just think about it!
      Leo wanapewa wababaishaji!

  • @veronicamosha4138
    @veronicamosha4138 Před 3 lety +3

    Tunakukukumbuk kipenzi chetu Magufuli 😭😭😭😭Mungu akulaze Mahal pema pepon

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 3 lety +2

      We naye...tupishe sie

    • @castrocastro9615
      @castrocastro9615 Před 3 lety +3

      Watu kama ninyi ndio mnaosumbuliwa na roho za mizimu hadi mapepo yanawasumbua na kuanza kumtafuta mchawi na wakati umejiroga mwenyewe kwa kutamani kuishi na matehemu. Tuachane na wafu. Tujitahidi kutembee na uhalisia uliopo. Mama yuko kazini na kazi iendelee

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      ".......Asiye kuwepo na lake halipo..." Maneno ya wahengal

    • @franksofa1670
      @franksofa1670 Před 3 lety

      Hili pengo halizibiki tusijifariji

    • @castrocastro9615
      @castrocastro9615 Před 3 lety +1

      @@franksofa1670 hakuna pengo lisilo zibika mkuu! Hata meno ya dhahabu yapo tena yenye muonekano mzuri kuliko hata jino la awali.

  • @johpesa_the_money
    @johpesa_the_money Před 3 lety +1

    Kwani yule mkarimani mwingine hakufaa jamani?

  • @kelvinibrahim1841
    @kelvinibrahim1841 Před 3 lety +2

    ntaongea mbelen kwa ss ngoja niendelee kusoma mchezo unavyotaka kuchezeshwa

  • @sunyareh
    @sunyareh Před 3 lety +3

    Kazi za wizi wa Mali ya uma zime anza

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety +1

      Haiwezekani! Mama ukimzingua, mtazinguana !

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Kabisaa

    • @zully756
      @zully756 Před 3 lety

      Kivipi imeanza?

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před 3 lety

      Mnazi Wa kitabu Cha Nabii yuleee
      Katila Ubora wake
      Tuliaminishwa Kama Si yy
      TZ haiwezi kutoboa
      Kumbe Hii Nchi inajengwa Kwa
      Michango na Kijitoa Kwao Wanachi
      Wote kwa Ujumla.
      Yeye Ana Mchongo wake Mkubwa
      Na Wengine pia vivyo hivyo

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      Acha mawazo mgando kesho na wewe ukipata nafasi ya uma tukisema maneno kama hayo utafurahi ? Acha kabisa KAZI za Serikali ni dhamana tu yeyote anaweza akawa

  • @lemonumentvivantkajole4008

    Waenga walisema kuku ikifa na mayayi yanaoza. Vyeo vyote hivi Jembe alikuwa imevibana kwa maslayi yakujenga inchi. Kuaribu pesa bure

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Mlisema amebana Ajira acha awape Ajira noti ziliwe kwa mtindo huo

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      Alivikataa ILI afiche siri zake sisijulikane ni siri zipi yeye ajua hii ni KAZI ya uma na sheria ndio inasema

  • @sunyareh
    @sunyareh Před 3 lety +2

    Vyeo vipya mkiskia ndo wizi huo hayo ndio mambo Magufuli alikua akiyapiga vita. Wanapeana Vyeo ambayo havina maendeleo yoyote kusukuma kurdumu la maendeleo bali kula hela za bure huu ni upetevu mkubwa wa pesa za serekali ni wizi wa aina mpya. Wacha kuteua Vyeo hewa tuna taka kazi zindelee sio kulata mijitu ambayo haita Leta manufaa. Nishanza kuhisi huyu raisi mpya atairudisha Tanzania nyuma miaka 30.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety

      Tanzania haitarudi nyuma,,, Mama ni mchapakazi, muadilifu, na mzalendo. Vinginevyo, asingekuwa Makamu wa Magufuli,,,

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      Ulizoea vibaya raisi sio malaika mama anapenda washauri. Nchi haiendi kwa matamko. Urais ni taasisi. Acha ushabiki wa kipumbavu. Umezoea kutawaliwa mama ni kiongozi sio mtawala

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před 3 lety

      @@azizawadh5973
      Sahihi
      Kila Kiongozi ana Namna ya
      Kutimiza Majukumu yake

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 Před 3 lety

      Kamfate baba yako huko kaburini

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety

      @@mustaphahassan589 Usipomtukana mtu, ungeeleweka vizuri,,, Jiheshimu mwenyewe!!!

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 Před 3 lety +2

    Wasaidiz wa ikulu tu watu kumi? Bado wakuonja mboga nao watateuliwa tusubilie tu.

  • @shaurikibwiru8588
    @shaurikibwiru8588 Před 3 lety +1

    Mambo ameanza tutaona Mengi aliyakataa Jpm matumizi fedha vibaya jamani tulitegemea watu kupungua

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      SASA pesa inatafutwa Iliifanye KAZI kama wewe hupati iba 🤣🤣🤣🤣Asiye kuwepo na lake halipo

  • @johnssaimon450
    @johnssaimon450 Před 3 lety +3

    Tutakumic magufuli wetu haki kabsa hapa hizi nafac hivi zipogo kweli au kutiana hasara tu.

    • @asmamaarifa2649
      @asmamaarifa2649 Před 3 lety

      Acha ujinga

    • @sittatwaha805
      @sittatwaha805 Před 3 lety

      Hatuna rais saiv. RIP JPM

    • @chidyjunior9539
      @chidyjunior9539 Před 3 lety

      Acha unafkiiiii huyooooooo nan sasaaaa

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      Mama Rais wetu wa leo na kesho TEUA WATU UNAOWAAMINI...ILI KAZI IENDE SIUNAJUA NI MIAKA✊✊✊SASA WAFANYAKAZ WASEREKALI HAWAJA INGEZEWA CHOCHOTE tunakuamini utuvushe hapa

  • @bensonndoko9717
    @bensonndoko9717 Před 3 lety +2

    Uteuzi kila Mara wa nn? Sisi tunataka kuona kazi ikifanywa kama vile Dr jpm alivyo kua akifaya

  • @faridasalum2019
    @faridasalum2019 Před 3 lety +1

    Kila hatua soma dua ayatu kursiyu ni kinga kubwa jitahidi kumuelekea allah

  • @tamiasambo2831
    @tamiasambo2831 Před 3 lety +2

    Magufuli tumekukumbka baba yetu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety

    Ila unge mtengua mkuu wa TCRA

  • @jamiidigitalonline2644
    @jamiidigitalonline2644 Před 3 lety +2

    Nchi ya wapigaji hii

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 3 lety +1

      Mungu ibariki Tanzania,,,

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety +1

      Hama

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před 3 lety +1

      Washarudi kama mwanzo, itaSikia vyeo wavipo dunia wapachikwa watu wakapige dili tuu, mimi nilosema mapema yule bibi hana uongozi , kuikongoza sio kuti saiti , na kuongea maneno matamu , ni kujua nini unachokita, na vipi ukipata cha maendeleo ya waifa na watu wako .

    • @jamiidigitalonline2644
      @jamiidigitalonline2644 Před 3 lety

      Wapiga hela hawachukuliwi hatua daaaah!!!!

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      @@jamiidigitalonline2644 mliowacbukulia hatua enzi zenu mlishawafunga?

  • @tamiasambo2831
    @tamiasambo2831 Před 3 lety +1

    Naona waislam tu Hapo wameng'raa jamani twendeni tuuuu

    • @khamispongwa53
      @khamispongwa53 Před 3 lety

      Ushaanza udini?

    • @adamally8791
      @adamally8791 Před 3 lety

      Ukiwa na akili za hivyo ni shida sana kwako, baraza la mawaziri la aliyepita kabla ya huyu ulisema neno gani?

    • @abdallahhuseinkabale7534
      @abdallahhuseinkabale7534 Před 3 lety

      Balaza la mawaziri na matibu hatukuwahi hata kuhoji.hii nchi ni yetu sote

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety +1

      Ndio ujinga wenu ulipo, mnaona nyie tu wakristo ndio wenye hati miliki ya kutawala nchi hii!!

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 Před 3 lety +1

    Uteuzi mwingine fanyakimyakimya .kama huo wa mwiyimkuu yaani anayeangalia masuala yote ya familia ya rais chakula mavazi na mambo yote ya jikoni. Kwakweli siyo lazima yatangazwe.

  • @jeremiahagrrey1147
    @jeremiahagrrey1147 Před 3 lety +1

    Waisilamu Tupo Juu sasa

    • @salamarwezaula6280
      @salamarwezaula6280 Před 3 lety +1

      @MUHAMMAD RASHAAD BAKASHMAR nikweli raisi ,waziri, katibu mkuu, jaji mkuu n.k

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Před 3 lety +1

      Acha unafki. N nyie mlvokuwa juu zamn mbn hukusema. Hahaha

    • @jeremiahagrrey1147
      @jeremiahagrrey1147 Před 3 lety +1

      Sina maana mbàya jamani nataka muone hili kama funzo tu, kwamba nchi yetu haina dini yaan rais atakavyo penda anafanya maamuzi, maana kipindi cha JPM wengi walisema sasa basi sisi ni ndugu tusiwe na chuki bana yetu 😇

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety

    Onyo langu chukua hadhara yusinywe maji ppt wala siombe kaa n'a gilasi Yako nachupa Yako mfukoni popote yunavokwenda mama ubarikiwe epukana namadui popote walipo wandani na wanje yutaimarisha TZ usalama na maendeleo ishallah

  • @gilbertmariwa3830
    @gilbertmariwa3830 Před 3 lety +2

    NAJITAHIDI NINYAMAZE NIWE MSOMA COMMENT TUU NASHINDWA JMN MAANA NAONA SAFARI YETU KUELEKEA NCHI YA AHADI INAZIDI KUWA NGUMU KILA KUKICHA. ANYWAY ACHA NIENDELEE KUANGALIA NA KUIOMBEA TANZANIA YANGU.