Tommy Thomas Ft. Songa & Dully Sykes - Mengine Anasa (Official Video)
Vložit
- čas přidán 9. 08. 2023
- #DullySykes #SlideDigital
Dully Sykes Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/dullysykes
Follow Dully Sykes on:
/ princedullysykes
/ dully_sykes
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Hudba
Mengine anasa
Nakukubali sana Dizastavina big up bro 🔥🔥
Extra vina❤❤😂🎉😂fire kaka vipi umemuona songa um fanyen ka kolabo😅😂😂😂
Mwalimu Wa vina
Vina🙌
Comment 2 Naona kama nyimbo umeimba wew mwanangu vina
Kusoma ni kuelewa kukesha anasa
khaaaaa hii hapa, Media za bongo hebu acheni kukumbatia amapiano, Hili goma balaaa, Dully kaua kupitiliza humu.
Kusoma ni kuelewa kukesha anasa//
Mungu mmoja ananitosha //
Mke mmoja ananikosha//
Sitaki wengi hizo anasa mike zitanichosha ❤
Nimeumis Sana mziki wetu wa nyumbani tumechoka na amapiano aseeee #Mengine anasa To the Top 🔥🔥🔥🔥🔥🚀🚀🚀🚀🚀
Kikubwa tushibe tukate gogo🎉
kichwa mtumba akili spesho
Mungu mmoja anatosha..
Mke mmoja anankosha..
Sihitaji wengi anasa..
Songa vitanchoshaa
Huyu dully Sykes hajuangi kuimba sauti mbaya kweli 😂
Mwenyewe najiuliza sana, inakuaje mtu anajua kiasi hiki...
Nimejifunza kutoa na sio kuwa na vingi
Huyu mshkaji anaeanza vers ya kwanza sauti yake inanikumbusha enzi za Langa wallahi chini kunaenda watu sana 😪😭
Jamaa ni Langa Mtupu
Mengine anasa 📌📌
Mengine Anasa📌
Kusoma ni kuelewa kulesha ni Hanasa
Bonge la Chorus kutoka kwa Prince Dully Sykes Brotherman.
I AM HERE FOR MR. MISIFA.
Daaah Kweli...🙌🙌🙌 Acha Niendelee Kuipenda 😍HIP HOP😍 Vingine Ni Anasa... #Tommy_Tomas🎤 #DullySykes🎤 & #Songa🎤 👏👏👏👏👏💥💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
Acha nisikilize hii ngoma tu,hizo nyingine anasa.
Mwanangu Tommy. Kali sana hii @kai big up, keep going...
Mengine Anasa
Mengine anasa🔥🔥🔥🔥 big up sana Tommy
Watataka part 2
Uyu ndo prices Dully syski
Mengne anasa
Mengine anasaa🔥🔥🔥
Ila dully umeua Sana kwenye choras kaka
Mengine Anasa 🙌🏾🔥🔥
Mengine anasa anko
Kweli anasa
gonga like kwa hawa ninja wanatisha. mengine anasa
Kusoma ni kuelewa kukesha anasa, Mungu mmoja anatosha,
Mmke mmoja ananikosha,
Sihitaji wengi hizo anasa zitanichosha.
#songa
Kweli mengine anasa😊😊
Unyamaaaa sana ani mengine anasa
ngoma kaliii sana. mengine anasa
Niite Songa
Hatari
Nyimbo kama hii nashangaa haipewi airtime na media zetu, lakin nyimbo za matusi zinapewa airtime ya kutosha. So sad aise., Mengine anasa
Nomasana🔥
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu🔥🔥🔥🔥👍👍
Namsikia dizista vina ila mengine anasa
Best song
Asante
>>DT we Kiboko 🙌🔥🔥
sounds good and clear 🍷✊⚓️
Hakikaa
Kicha mtumba akili spesho mengine anasa
Hakika mengine anasa,mmoja au kitu kimoja tu tosha, vingine anasa
Wakwanza hapa #mengineanasa
Sema Dully ni mtu na nusu🎉🎉
Tommy Thomas namkubali sana kwa flows makini
Anasaaaaaaaa
Hii imeenda
Songa😁🙌
nakubali
mitaa inafanya nifahamu kudeel na shida #songa
😎guda
Hottest song, 🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mengine anasa, 👊👊👊
Nimewakubali wakali,big up sana wawakilishi wetu Tanzania
I know you brother.....hongera sana kweli mengine hanasa
songa ametulia sana humo ndani unaweza tamani angeongeza verse ya pili 😝😝
S.o.n.g.a was 🔥🔥🔥 respect your brother 😂😂
Paparazi sample... Flipped nicely.
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
MENGINE ANASA
🔥🔥🔥Mengine Anasa
Wa pili hapa
Mengine Anasa🔄
Ringo Beats........ 👏
Dah ngoma kali sana, bless sana 🙏 mengine anasa
safii sanaaaaa nme penda mapngilio verses and good massage at all lets kill amapiano
Big sana brother
songa kauwa sanaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tommy 🙌
Inspirational song 🤞
yes Thommy. 💣💥
Kikaka zaidi 🔥
💥💥💣
🔥
❤❤❤❤
💥💥💥💥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
jitu la mtumba
Classic
Ngoma kali
Great job here
💯✌️
💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Tommy Thomas again. Good message for the world. Thank you brother Dully ni umetisha kinomanoma
Dully ni bonge moja la msanii sema tu ndio hivyo music 🎶 wa sasa umetawaliwa na kiki
🤦♂️ #mengineAnasa
Uyu ndo prices Dully syski
Mengine anasa
Mengine anasa
Mengine anasa