A/alyqoom hapa naomba niongezee Swalatul-zawwal inaswaliwa rakaa 4 kwa pamoja ina tahiyyatu 1 tu ya mwisho unaweza kusoma sura yeyote baada ya fat-ha inaswaliwa wakati linapopinduka jua yaani (kuanzia saa sita na nusu) mpaka kukaribia kuswali swalatul-dhuhri imepokelewa kua ktk wakati huu dua yeyote utakayo kuisoma ni maqbuul baada ya kumaliza swala dua ya haja zako au dua yeyote ya kheiry
Inafaa kusaliwa wakati wowote isipokua nyakati mbili 1) baada ya sala ya alfajiri 2) baara ya sala ya alasiri. Na wanachuoni wapendekeza baada ya maghrib au ishaa
Huyu anamaanisha ni muda gani sahihi inaswalia hajaelewa jinsi ulivyoeleza ule muda uliosema robo saa baada ya kuchomoza jua na robo saa kabla ya kuingia sala ya adhuhur.Inshaa Allah labda muelekeze hapo sheikh shukraan
Mashaaallah mawaidha mazuri
A/alyqoom hapa naomba niongezee Swalatul-zawwal inaswaliwa rakaa 4 kwa pamoja ina tahiyyatu 1 tu ya mwisho unaweza kusoma sura yeyote baada ya fat-ha inaswaliwa wakati linapopinduka jua yaani (kuanzia saa sita na nusu) mpaka kukaribia kuswali swalatul-dhuhri imepokelewa kua ktk wakati huu dua yeyote utakayo kuisoma ni maqbuul baada ya kumaliza swala dua ya haja zako au dua yeyote ya kheiry
wakati mwengine jua huanza kupinduka saa sita na robo au na dk 5
Ujumbe mzur wallah Allah akujaze kher in Sha Allah 🙏🙏
jazakallahu khair hii ni ilmu yantafahu bih
Oooh Alla akulipe kheri jazaaka Allahu khair
Barak'Allahu fiiQ
Shukran Jazylan
Barakallah fiik
Jazakah khera
Jazakallahu kher
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه اجمعين عدد خلقه ورضا نفسه وزنة عرشه ومداد كلماته
Shukran njaziira
Assalam allaikum sheikhe jee nimda gani husaliwa Sala ya tasbihi
Mashallah
Shekh samahani ungetuandikia hiyo swala tasbihi kwa mpangilio
Mina hujasema tasbih inaswaliwa mda gain?
Swala hii ya tasbiih yaswaliwa saa ngapi?
Swala ya dhuhha mbona hujaelezea inaswaliwa vp? Raka mbili halafu unatoa salamu? Na unasoma sura gani ndani hake?
Najma Sulleyman Soma sura yyte 2 pia hata ukiswl rakaaa mbili tuuuu,Allah yaalam Allah ndo mjuz zaid
Hii swala ya Tasbihi n wakati gani watakiwa uswali
Inafaa kusaliwa wakati wowote isipokua nyakati mbili
1) baada ya sala ya alfajiri
2) baara ya sala ya alasiri.
Na wanachuoni wapendekeza baada ya maghrib au ishaa
Shukran sana
Sura gani tunafaa kusoma swala ya dhuha
Baada swalatul subhi pka kma wakaribia dhuhur
inaswaliwa muda gani naomba unieleweshe
Nini unakusudia kujua wakati wa kusali?
Mjibu kama unaelim nayo usimuulize na wew swali
Nilifungua haraka kutaka kujua km imejibiwa muda maalumu nataka kujua pia huo muda
Huyu anamaanisha ni muda gani sahihi inaswalia hajaelewa jinsi ulivyoeleza ule muda uliosema robo saa baada ya kuchomoza jua na robo saa kabla ya kuingia sala ya adhuhur.Inshaa Allah labda muelekeze hapo sheikh shukraan
Utah nassir tufafanue swala ya dhuha