Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,Sheikh Allah akubarik akuzidishie kheir na neema na barak na mwisho mema pepon.ameen Mie naomba kama kuna kitabu naweza kusoma ili nipate kufahamu vizuri,subhaanah Allah kdg nimekuwa mgumu wa kuhifadhi Allah anijaalie niwe na fahamu ameen.
Waaleykum salam warammatullah wabarakatu fatma babaz kwanilivo elewa mimi mda wakuswali swala iyo ni kuanzia asubuh baada ya kuchomoza juwa na mwisho wakuswali ni kabra ya azuhur ndipo inaisha swala iyo kwasiku iyo mpaka kesho tena
Bismillah maishaallah Shukran Sheikh
Namuomba Allah atujalie tuwe ni wenye kuswali swala za ucku kwa khushuui
Shukurani shekhe nimeelewa allah atuongoze wote
Shukran jazila nimejifunza nilivyokua sijui alhamdulillah.
Shukran shekhe
Ma shaa Allah jazakaĺlah llkher
Jazakallahukhayr
Shukran
Baaraka Allah
Shukran jazzaka Allah kher
Barakallahou fikou
Jazakallahulkhayr sheikh
Shukran sana shekh
In Shaa Allah
Ma sha allah
Allahu a'alam
Tunaomba no. zake tafadhali atusaidie majibu inshaa Allah
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,Sheikh Allah akubarik akuzidishie kheir na neema na barak na mwisho mema pepon.ameen
Mie naomba kama kuna kitabu naweza kusoma ili nipate kufahamu vizuri,subhaanah Allah kdg nimekuwa mgumu wa kuhifadhi Allah anijaalie niwe na fahamu ameen.
Wa alaykum salaam kitabu gani Ukhty?
Nishawahi kukisoma kitabu inaitwa swala ya tasbih vipo vitabu vyengine sala za sunna
ma sha allah
shukran san Allaah Akuongoze vyema uzdi
shukran
Jazala Allahu kheir
shukuran
Axante
Shekhe shukran sana
Hellow
Unatumia jina gan instagram
Mara 15 ya mwanzo sheikh,subhannah Allah niliona kama umekosea maana 300
sawa lakini katika maongezi baadae alikumbuka kuitaja ya kwanza 15
Assalam aleykum mi naomba kuuliza hii radio IHSAAN kwa dar inapatikana kwa masafa gani???
Nisamehe Sheikh wangu ni pale mwanzo tu nilivyokuwa nazikiza ila nimeendelea kuisikiza sheikh wangu.
DdDdddddd
Je unakaa tahiyatu ya mwanzo na kusoma au unaendelea moja kwa moja na tahiyatu unakaa ya mwisho tu?
Inaswaliwa wakati upi, mchana au usiku na ni saa zipi? (Swalat Tsbihi)
Assalam aleykum mi nilikuwa naomba kujua radio hii dar es salam inapatikan kwa masafa gani????
Subhaanallah,
Kwakua ALBAN Kaikubali Nanyi Mumeikubaliiiiiiiiii??
Kweli Mawahabi Ni Vipofu Wenye Utindio Wa Ubongo
Hapo ndiyo waislamu tunapofeli hatuna kauli nzuri zaidi ya kukashifu
Assalam alaykum naweza kupata namba ya uyo ustadh
Farida Ali Hemed inatajwa mwisho ckiliza vzur
Asalam aleykum,swala ya tasbih ina wakati maalum au wakati wowote unaeza kuiswali??
Waaleykum salam warammatullah wabarakatu fatma babaz kwanilivo elewa mimi mda wakuswali swala iyo ni kuanzia asubuh baada ya kuchomoza juwa na mwisho wakuswali ni kabra ya azuhur ndipo inaisha swala iyo kwasiku iyo mpaka kesho tena
Swala ya tasbih inaswaliwa baada ya swalatu ishaa tuu
Jamani swala ya tasbihi mda wowote ila ya dhuha ndio baada ya kuchomoza jua kutoka swalat fajir na kabla haijaingia dhuhur
Asalam alaikum nashukur Sana nazid kufaham mengi
Naitaji mafunzo Mimi nimesilim ata mwezi sjamaliza naomba ushilikiano wenu
In Shaa Allah
Shukran