JINSI YA KUPIKA CHAMA/CHAMA SNACKS
Vložit
- čas přidán 3. 03. 2020
- Nimeonyesha Jinsi Ya Kupika Chama ,Viburudisho Tunaweza Kuviita Snacks.
Hivi Huwa Vimeshaandaliwa Kabisa ,Wewe Nikudumbukiza Kwenye Mafuta Tu Vinakuwa Tayari.
Chumvi Huwa Vimeshawekwa Kabisa.
Nb
No salt adding,snacks has salt already from its first manufacturer
Mashaallah na ahsante dada kwakutujuza mengi😍maana nilikua sijui vinapikwaje😊
Your the best I learn a lot from you.Barikiwa Sana dada
Mashalla mashallah yan nazipenda izooo
Mungu hakubariki sn Dada nimejifunza mengi sn
Napenda video zako sana 🙏🙏
Asante Sana tufundishe na u ubuyu
Asante sana
Shukrani
I love your videos, I learn alot. God bless you
Najifunza mengi mpendwa. Hivi vitu vyote tunaweza kununua wapi
Masokoni vipo dear,karibu
Nakupenda wewe dada unafundisha mengi
Ntazitafuta sisy.. Inabidi likizo nije huko kujifunza ujasiriamali. Good work
Kabisa my dear,karibu sana
Nakupenda tu my
Shukran dear
Nakupendaje dada yaaani nikishindwa kitu nakutafut fasta ubarikiwesana
😘😘🙏🙏Amiin
Your snacks looks so appetised can I ask if u can send me the snacks to do business
Zanxibar tunaita mafalfal akin dada shkrn ata enyew nlikya cjui zinavopikw but nimpet somo kutok kwako asnt sn 🥰
Ok nimesikia sila nitaipata wp
Heloo dear. Hizo zinaitwa Farfar. Zina tengenezwa India.
Ahsanteee nimefurahi kujua originally yake
Super woman mashaallah ucjali tuko pamoja
😘😘🥰🥰
Mi jina lake nalijua la vinamba wanangu wanavipenda balaa kumbe kuna shape tofauti nzuri shukran..
vinamba😂😂 pia nilijua hivyo mwanzo
@@mziwandabakers8297 vitamu kweli nitajaribu inshallah
Falfal
Falfali
Hauwezi viosha kwanza kabla ya kukaanga madame??
Kwan hauzioshi
Sooo nice
Vinamba
Kwa hyo chumvi haziwekwi Dada?
Huku tunaita vinamba au kolokolo
Naweza pata wapi hiyo mashine?
Zinaitwa farfar.
Dada hii mashine ya kubania vifuko ntaipata wap?
Zipo maduka ya vyombo
Yaani ubarikiwe mi navionaga tu sokoni sijui vina fanwaje asante mpendwa aviwekwe chumvi
Hueki chumvi maana ivo original yk vinachumvi
Tayari vinachumvi dear
Znapatikana wap hzi chama
Sokoni zipo kaziulizie utazipata bila shaka
Nita pata wapi viungo hivi am in Kenya kindly
Kongowea
Hii mashine inapatikana wap my dia ninashida nayo san
Machine ipi love
Hiyo ya kubania vifuko
Naitaji hiiyo mashine ya kubana mifuko Niko bukoba nitapataj
naipenda sana biashara hii, lakini sijui mahali.pa.kuvipata, mi.nipo Dodoma mjini, nielekeze hata kama ni dar.nitajua jinsi.yankuvipata hata kamanwewe.binafsi unielekeze.
Vipo masokoni katafute naimani utavipata
Sokoni majengo vipo dear
siko msuri mini nimejaribu lakini hijatoka msuri kama yako
Kuna sehemu umekosea labda moto je? Ulikuwa mkali sana?
Hiyo yakubania mifuko inaitwaje na bei gn
Hiyo yakubania inaitwaje
Inaitwa sealer, kwa kiswahili ulizia mashine yakubania vifuko vya karanga watakuelewa
Shingp inauzwa
Mziwanda Banker kwjina jingne zinaitwa falfal
@@mariammpessa9543 60,000 ipo kubwa 90,000
Nifundishe na mm jins ya kupika sojaelewa ujuee
Mziwanda please tufundishe popcorn za chocolates.....ni biashara pia inalipa?
Ni kweli ni nzuri nitafanya
Falfal
Vinamba