K2ga - R.I.P JPM (Official Audio)
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Get more song by K2GA:
►Hawataki: ffm.to/4k3oevo
►Unaniona: ffm.to/6vnyqp9
►Lisambela: ffm.to/lisambela
►Bado:ffm.to/bado
Written & Performed by: K2GA
+For More Information Booking K2GA
(IG) @Kingsmusicrecords @K2ga_tz
Connect K2GA on:
/ k2ga_tz
/ k2gatz
audiomack.com/...
/ k2ga_
#K2ga #RIP #JPM
©2021 Kings Music Records.All Rights Reserved.
😭😭😭dah hii ngoma kali sana jmn hata kama tuko musibani naomba likes hata kama mbili
😭😭😭😭😭😭😭
Kings music chuo cha mziki,, k2ga unajua kuwaliza watu,, nani anaungana na mm kutaka hii nyimbo iwe official song ya maombolezo,, mnisapoti kwa likes ata k2ga akipona apate moyo ❤️
🔥🔥🔥🔥
Iko poa sana kulikozote
🔥🔥🔥
💔💔💔😭😭😭🙏🙏🙏 from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩! Poleni sana. Africa imepoteza kabisa shujaa!
Wote walikuwa wanapiga kelele hawajui kuimba nyimbo ya maombelezo k2g umejua kunitoa chozi umeimba kwa kweli
Umeaga Baba!!😭😭😭bila kutarajia ila sote ni wa m.mungu na hakika kwake tutarejea. Pumzika kwa Amani Jemedari Magufuli 🇧🇪🇧🇪🇧🇪🙏🏻
R.I.P Rais wetu JPM binafsi najua ww ndio kiongozi ulojitolea kupambania Usawa wa kweli wa Wananchi wa Hali zote na ukatufanya kuzinduka usingizi ktk haki ya Amani na uraftaji wa rizki halali. Safi sana K2GA umeimba vzur kama kawaida yako ktk kuomboleza huu msiba mzito kwa Taifa letu
Hoooo jamen mola tunalia sana😭😭😭😭😭😭
R.I.P JPM #KINGS4LIFE 😭😭🙌🌍🌏🌎
Alikiba mungu awapenguvu nyinyi oteaponyumbanikwako
Bro mbona sauti yako hii?!
Poleni sana wanangu wa tanzania
Sure kings music Rip Mr prezoo
Poleni sana tz ata sisi wa Mozambique 🇲🇿 tuko nanyinyi katika kipindi hiki kingumu kwakweli ni msiba kubwa sana
Wa mozambique tuko wawlitu daaa
@@abudokiba136 apana tuko wengi tu
RIP Mr present 😭 mungu akulaze Mahali pema peponi Daima 😓😥😢😰😭😭😭😭😭😭😰😓😥😓😥😓😥😓😥😥😭😭😭😭😭🇹🇿🇧🇮🇨🇩🇰🇪🇷🇼🇸🇴🇿🇦🇿🇼🇺🇬🇳🇬🇲🇼🇯🇲 we’re the family
Asante msanii wetu kwa iutuwakulisha wansanii wenzako haswa si underground ambao hatujaingia studio kuandaa wmbo wa kumsndkiza BABA JPM Rais alietikisa Dunia kwa uongoz wake TANZANIA kugeuka kuwa URAYA
Hii nyimbo nakupa number 1💯 Kati ya nyimbo zote za kuondoka kwa jpm🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa aseeeee , tuga kaua hapa
@@tsagytz6755 kabisa
namsechu kaka yaani hawa jamaa wameimba pwa sana
At least kwa hii nyimbo tunaweza jiliwaza kidogo uku tunalia kwa uchungu
Mdogo wangu K2GA si kwa uimbaji huu nyimbo yajonzi ila inalaza kuisikiliza yani umenilixa ukweli niseme umemuiba kiba uimbaji yni duuu😢😢😢😢🔥🔥🔥❤❤❤
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭R .I .P Rais Wangu John Pombe Magufuri. Nilikupenda sana Raisi wangu. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.🙏🙏🙏
K2ga unatuumiza kaka kiukweli inauma Sana kaka mugu ailaze lohoo ya malehem mwashimia😥😥😥😥😥
Poleni ndugu zangu Tz hii ni mipango yamungu sote twaenda then kaka K2ga uko talented fanyia kazi kipaji
Yaaah, r.i.p magufuli Asante k2ga
Poleni saana Tanzania 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 descanse em Paz grande hiroi JPM 😭😭😭😭😭😭
R I P MZEEE POMBE WW NDIO kiongozi bora Bara LA Africa mungu akulaze pahali pema poleni ndugu zangu wa Tanzania
Daaah huyu kijana anaimba daaah 😍😍😍😍😍😍😭
Nyimbo nzur sana k2ga.mungu ampumzishe shujaa na kamanda mkuu aliyebeba maono ya nchi duuuh kwel nimaumivu ninan atakaye tufkisha kwenye nch ya a had iliyojaa asali na mafanikio makubwa jmn Mungu tusaidie faraja yatoka kwako tyu
Jameni Kama ungeona kilio tunacho Lia wanainji wako mungu angekuludisha kabisa x😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ili I've Wewe?
Muombe mungu amueke mahali pema insha allah
Mziki mzuri upo kings music yani huyu kiumbe wa kuitwa k2g na Tommy flavour ni hatari sanàaaaa RIP magufuli💔💔
😭😭😭😭😭k2ga tunalia rais wetu katuacha daah
Poleni sana tanzania 🇹🇿, mozambique 🇲🇿 està contigo😭😭😭😭😭
👎 amigo
Tamo junto
Kaka K2ga unafanya nimwagikwe na machozi kwa huzuni ya baba 🇹🇿
K2g umetupa wimbo mzuri wa kutukumbusha makubwa aliyofanya rais Wetu makufuli tutamkumbuka Sana💓💓💓💓💓
We really loved him but GOD loved more RIP JPM, 😭😭 K2GA barikikiwa kwa wimbo huuu😭😭😭
😭😭😭💪🙏 iko siku tutaonana JPM mungu akuweke pema inshaaallah 🙏
😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔🇹🇿Uwiiiiiiiiiiiii Mungu Atupe nguvu maana hi Inakuwa Ngumu kustahamili💔😭😭😭😭😭Apumzike Pema Aendako
Tanzania wote pole.Mungu mbele yenu.k2ga my guy pole sana😢🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙌
My sincere condolences to all Tanzanians ,,take heart ,,rip magufuli,,God is the one whu gives and the one that takes
Nasikiliza kutoka dubai ila hii wimbo umeniliza sana😭😭😭😭😭
Team kiba ngonga like apa😭😭rest in peace john pombe magufuli
Mungu ailaze roho ya Mh. Magufuli mahali pema peponi, Amen🙏😭
🇰🇪Magu wewe mbele sisi nyuma, Kenya nyuma yenu 🇹🇿🇹🇿
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 kenya tunalia na nyinyi. Mlikuwa na kiongozi wa maana ambae hatatokea tena. Lala salama Maguu
Dhu mungu nisikufulu nasi tupo njiani muwekee sehemu salamaa baba yetu
Duni mapito hakuna aliekua akijua kuwa rais wetu angekufa mwaka huu wallah kesho nifumbo tuishi kwa mapenzi 😔 binafsi nakukumbuka kila siku uncle Magufuli pmuzika baba 💔💔💔
Kiongoziiii bora Bara la Africa 🔥 🔥 🔥
Mchine wa bongo k2g kama umekubar aricho kifanya mchizi wa bongo ngonga rake mungu rinds Tanzania 🇹🇿 ye2
Ewe mwenyezi mungu ulietupa kiongozi madhubuti asietikisika wala kiyumbishwa imani yake kwako lakini umemchukua kwa mapenzi yako twakuomba utupatie kiongozi mwingine madhubuti kama huyu mola wetu, mpumzishe kwa amani kiongozi wetu ametangulia nasi tutafuatia.😭😭😭😭
Dah! K2GA umenifanya nitoke machozi jpm mungu amlaze pema peponi
Oya K2ga daaaaaah 😭😭😭 we mwanang badala ya kutoa machozi ta huzuni nimejikuta natoa machozi ya furaha,,,, we mwanang ni shidaaaa hapa mjini khaaaa utafikiri ulipewa taarifa ujiandae kuandika ngoma,, heeeee!!🙌🙌🙌🙌🙌 R.I.P our President MUGU
Nyimbo kali kinoma noma
Oooh Mungu 😭😭 Magu Wetuu 😭😭 babu yetu kipenzi cha watu Magufuli 😭😭😭 😭 DRC nzima inakulia Maguuuu 😭😭😭😭😭😭
Rip legend tutakukumbuka Dr John Pombe Magufuli from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 254 always in our hearts
😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿 K2ga hujatoka njee ya mstar nyimbo ya hisia ilio jaza huzuni big up mchizi wa uk💯💯👨🍳👨🍳👨🍳
Awa vijana wa king music mafundi sana
yani kamziki katam japo ka uzuni
@@thamaneliya4076 umeona ee
🙏🙏🙌
@@kingsmusicfans1416 🔥🔥👍🙏
Kaka unatisha ngomazote za magufuli Utazikimbiza mchizi wa Uk🔥🔥🔥
K2ga is one of the best vocalists in Africa 🌍🙌 #KINGS4LIFE
😭😭💔MAGUFULI tulikua tu Najivunia uwepo wako watanzania🇹🇿😩😩inauma Sana, mshumaa umezima bado tukiwa na giza😢😢💔💔💔🙏🙏
Tumwachie aliye juu☝️
Very emotional...song inanikumbusha msiba wa mbali sana..asee this so emotional😪
😭😭😭 very emotional song brother umeniliza... Rest In Peace my president magufuli🙏🙏😭😭
Mungu AMPUNGUZIE ADHABU ya kaburi Raisi Wetu 😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏 TUNALIA KWELI WATANZANIA AMETUONYESHA SAANA NJIA MKUU NENDA SALAMA
Very Emotional song😭😭😭😭😭😭😢
♥️
This song can resuscitate broken heart rip JPM!!
😭😭😭😭😭 إِنَّا لِلَّهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ💔😭
Hiiii ngoma inatia moya n majonzi RIP baba
😭😭😭😭😭😭😭 nenda baba tuko nyuma yako
Poleni ndungu zetu watanzania msiba n wetu sote wakenya tuko pamoja na nyinyi.
Wakwanzaaaaa
May your soul rest in peace JPM😭😭🙌
Asanten wasanii wetu kwa kutumia vipaji vyenu kutufariji😭😭😭😭 ila inauma sanaaa😭😭😭
Tuna huzunika sana😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇨🇩
Hii ngoma kali san taifa tumuombe dua kwa wingi sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💔💔mola amlipe mema kiongozi wetu kila hatua dua yeye mbele yetu naci nyuma yake waja tucijisahau dunia mapito mola atujalie mwisho mwema 🙏🙏
😢😢😢😢😢😢
His legacy shall live forever more 💔💔💔😭😭😭
Pumzika kwa aman jp magufuri😭😭😭
Tunakuliliya JPM😭😭😭😭pumuzisha salama shujaa🇹🇿 wetu
Kenya 🇰🇪🙌🏽
Poleni sana Tanzânia iam from Moçambique🇲🇿
Daaaaah jamani hii nyimbo iwee ya taifa
RIP Mr. President 🇹🇿💔💔💔💔#ripmagufuli. Nice tribute 💞🇰🇪
Very emotional song ,,, REST IN PEACE JPM 😭😭😭😭 nataman kukuamsha nashndwa
Pumzika kwa Amani rais wetu kipenzi 😪🙏😭
Jamani siyo kweli ila ndo safari yetu Sisi wote 😭😭😭kwa rais magu jembe langue imekuwa haraka sana na bado tunamujali😭😭😭🙏🙏
Rip we love him but God loves him more 🇹🇿😔💔
May his soul rest in peace. Hakutawai tokea na hakuna rais wa africa atawahi fikia daraja ya marehemu Maguu. K2ga uko vizuri asante kwa ujumbe
Poleni Sana ndugu zetu😭😭😭💔💔💔
Listen from 🇺🇸 R.l.P my president 😭😭😭😭😭😭💔💔💔
dah huuu wimbo jamaniiiij dah Eeeee Mungu wangu . Alikiba kwer hapo ni chuo
Pole kaka kwa pamoja k2ga sote.kings music for life
2ga daah hii saut inaliza
Rest In Peace kiongoz Wetu
Hakika Tunamwomba Mungu Bashiru Akishe Nafasi ako😭😭
Hata Kama tunaomboleza jaman king 👑 hawatumii nguvu
Listen from 🇴🇲🇴🇲😭😭😭😭💔💔💔 kilicho bora mungu umekichukua 😭😭😭 hakika hii ni fimbo kwa ss watanzania 😭😭😭 tulioko mataifa ya kiarabu 😭😭😭😭nani wakutetea kulinda haki zetu hakika umezima gafla 💔😭😭
😭😭😭 Allah atuvushe salama mawazo yetu yana fanana kiukweli alijitahid kutupigania kwa idhn ya allah inahuzunisha kilicho baki ni kushkur tu na tumuombee duaa kwa dini zetu
@@kreamagdfsa1697 aamiina inauma jmn 😭😭😭😭😭
RIP JPM. Mungu kakupenda zaidi.😭
Asante mchizi wa Uk.
😭😭😭😭😭😥😥😥😥🙏🙏🙏 R.I.P. JPM
Jamn 💔💔💔💔💔
Poleni sana jamiiii lawa TZA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P
Rest in peace legend JPM 🙏💔😔😢
😭😭😭hatuna budi kushukuru bwana ametwa Kaz ya mola Haina makosa🙏🏼🙏🏼
Mungu akulaze mahara pema peponi raisi Wetu tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi
Mungu akulaze mahara pema peponi raisi Wetu tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi
Unanitosha chozi k2ga!!! Mungu akubariki sana * never give up*
Emotional song.....we love him but God love him too.....lets say even though you gone you still a team honourable magufuli
Dah... Soooo Touching... 🙏🙏🙏🔥🔥🔥 R. I. P JPM. #k2GA👍🇰🇪✅
Stay strong that's for all of us 😊💔🙏
Dah,we k2ga cyo mtu,unajua kuimba kaka,dah hatarii
😭😭😭😭pumzika kwa amani baba