VIDEO: TAZAMA MAZISHI YA MMILIKI WA MABASI YA SAULI HUKO KIJIJINI KWAO GODIMA, FAMILIA YAMLILIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Mmiliki wa mabasi ya Sauli aliyefahamika Kwa Jina la Saul Solomon Mwalabhila (46) ambaye alifariki hivi karibuni kwa ajali ya gari mkoani Pwani amezikwa Kijiji kwao Godima wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo Viongozi Mbalimbali wa chama na serikali wamehudhuria
    Hapa nimekusogezea video kuonesha namna mazishi yalivyofanyika.

Komentáře • 122

  • @user-ns1dg4jd7q
    @user-ns1dg4jd7q Před měsícem +6

    Milad ajiri vijana zaidi wengi tunapenda habari zako maana ni za uhakika kama ITV❤❤❤

  • @ModestaNyagawa
    @ModestaNyagawa Před měsícem +4

    Tubuni kwa hujui siku ya kuondoka kwako duniani ishi maisha yakupendeza Mungu

  • @user-tc9vi3ow3n
    @user-tc9vi3ow3n Před měsícem +8

    Haya mahisha,jamani,unaendesha gari la milioni mia nne,Leo imepanda Gali la laki Tano,matahili yake ni watu,ambao ilikuwa ukiwapita bila hata salamu,jamani kufa kwa mtu ni funzo kwetu tulio Baki,mungu mjalie mja wako,huyo,

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 Před měsícem +10

    Daaah asse ndo tuzid kujifunza make mwisho wanujanja wet nihapa mungu akutangulie boss wang akupumzishe kwa aman sikuzoote insha'Allah akuepushe na adhabu za kabrii amiin🙏

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před měsícem +1

      Wew mkiristo pia?

    • @ModestaNyagawa
      @ModestaNyagawa Před měsícem

      Huu ndio muda wa kutubu hatujuwa siku wala mwaka wala mwezi wala saa kufakwetu ila Mungu ndiye anayejuwa latiba ya Maisha ya mwanadamu

  • @user-rv3ml6cf7e
    @user-rv3ml6cf7e Před měsícem +6

    Daa nakumbuka kila wikiend lazima aje apa city mall na watoto kuja kucheza mtu mmoja ambaye hana maneno menge lakini nikuwa sijui kama ndiyo boss wa sauri daaa nawajua vizuri wapo watatu aakiume mungu huyu

  • @mfaumemketo5630
    @mfaumemketo5630 Před měsícem +3

    Mwisho wa mwadam safari ya Kila mmoja wetu hakuna mwenye garantii ya maisha

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před měsícem +2

    Hubby wanawake 3 poleni sana family kichwa kijetangulia Allh awape subira

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u Před měsícem +5

    Ishi unavoishi lkn hapa ndipo eneo letu la mwisho,

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 Před měsícem +2

    KWA HERI KAKA, KWA HERI BOSI WANGU!!😢😢😢

  • @user-ky4rb2lg3h
    @user-ky4rb2lg3h Před měsícem +1

    Nikiona Godima nakumbuka Kimbelekete jamani,Poleni wafiwa

  • @loyalforumtv
    @loyalforumtv Před měsícem

    Unakuta mtu haji kuangalia video unataka nijinyonge njoo nakwangu❤❤❤❤

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Před měsícem +2

    Wanadamu hapa ndio mwisho wetu,miliki kila kitu duniana,hata ukichukuwa vitu vya dunia yote viwe vyako,lkn huu ndio mwisho, R I P ,Ndugu Sauri huna baya mpendwa ,nyuma yako mbele yetu mpendwa

    • @user-zy8pm1tw6i
      @user-zy8pm1tw6i Před měsícem +1

      Kwani usipomiliki hutakufa, mafundisho ya ya chuki hayo. Eti miliki Kila kitu, kwani wewe ulizuiwa kumiliki.

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před 29 dny +1

      Akili za kimasikini izi, kwani kuwa tajiri ni dhambi

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před měsícem +3

    Huwa sipati majibu maisha Nini ukiwa tajili utakufa na ukiwa masikini utakufa embuona anapo wekwa Hela Mari kazi acha noma thanaa

  • @user-ln7uy1nb6j
    @user-ln7uy1nb6j Před měsícem +2

    Dar alikuwa mtu wa watu sana namkubali mno

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před měsícem

    Jamani tukumbuke kufanya ibada,matukio kama haya yanamafunzo mengi ndani yake,uwe mkristo au mwaislamu kwa imani yako mkumbuke Mungu.

  • @orestaMminza
    @orestaMminza Před měsícem

    Polen mtaonana muda kitambo Yesu arudipo.

  • @AdoniaMwambeta
    @AdoniaMwambeta Před měsícem

    Mwenzako akinyolewa zako tia maji

  • @stevenkaaya6495
    @stevenkaaya6495 Před měsícem +1

    Kufa kupo tu na kila kitu tutakiacha hapa dunian ila haimaniishi tusitafute pesa na mali kufa tutakufa ila tufe tukiwa tumefaidi kuishi vizur hapa dunian na kusaidia wengine wenye uhitaji

  • @fidahkileo306
    @fidahkileo306 Před měsícem +2

    Duh nimeikumbuka Chunya, Godima ndani sana huko Chunya😢

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 Před dnem

    Maziko ya Kiislam makaburini hakuna kelele

  • @salimucvales7495
    @salimucvales7495 Před měsícem

    Resting peace 🕊️🕊️🕊️

  • @RinussiJackisoni
    @RinussiJackisoni Před 21 dnem

    Nikweli au

  • @nancecharles2744
    @nancecharles2744 Před 26 dny

    Polen namcba,mbona ibada hamna

  • @user-cx8wn8pc2j
    @user-cx8wn8pc2j Před měsícem

    Poleni sana familia

  • @SuperCharles5
    @SuperCharles5 Před měsícem +1

    Mungu ni muweza wa yote

  • @FarianManase
    @FarianManase Před měsícem +1

    Pumzika kwa aman mwamba,nimejifunza kitu kutoka kwako

  • @emmiradorjunior3153
    @emmiradorjunior3153 Před měsícem +2

    Boss anazikwa vijijini daaah haya maisha .....

    • @faiththawe4371
      @faiththawe4371 Před měsícem +1

      Duuu Sauli zilishapotea barabarani kaka

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před měsícem

      Sasa kama ndio kwao ,ulitaka waje wamzike kwenu?

  • @Furahimwenyewe
    @Furahimwenyewe Před měsícem

    Dah

  • @tabithalimo2399
    @tabithalimo2399 Před měsícem

    Rest in peace 😢

  • @nelianevisi1730
    @nelianevisi1730 Před měsícem

    Rip

  • @ZainabItenya
    @ZainabItenya Před měsícem +1

    Hizi Tabia za mtu kufa anazikwa poleni eti mahame sipendi ,kwani hapo ndio alichagua mmzike

  • @princerwambo4119
    @princerwambo4119 Před měsícem

    rest in paradiso champion 😭😭😭😭

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Před měsícem

    Mali zote tunaziwcha tu duniani,mungu aliishatutaka tuwe watu wema na wacha mungu

  • @user-ln7uy1nb6j
    @user-ln7uy1nb6j Před měsícem

    YESU ampe pumziko la milele

  • @GeofreyMilinga
    @GeofreyMilinga Před měsícem

    Freemason pumbavu sana

  • @eliasmakire3476
    @eliasmakire3476 Před měsícem

    Rip sauli

  • @paulmutailuka2417
    @paulmutailuka2417 Před měsícem +1

    Uwe na pesa nyingi au uwe tajiri mkubwa kiasi gani, Uwe na magari ya kifahali kiasi gani, Uwe na jumba la kifahari kiasi gani, au uwe na vitega uchumi kiasi gani ila kifo hakikwepi jamani. Tusisahau kufanya ibada sana jamani siku za mwisho zpo karibu mno. R.I.P Bingwa SAULI.

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Před měsícem +1

    Kifo ni fumbo tujifunze kuishi tukitenda mema

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před měsícem +1

    Innalillahi wainnalillah rajiun mungu ampe kauli dhabit

  • @user-xm2rm7wn6h
    @user-xm2rm7wn6h Před měsícem

    Innalillah wainnalillah rajoon 😢😢😢

  • @georgekadaga
    @georgekadaga Před měsícem

    Tumezaliwa ili tutafte na kufanikiwa Kisha tuludishe

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před měsícem

    Polen wafiwa!

  • @ankochoka
    @ankochoka Před měsícem +1

    ILA HAYA MAISHA JAMANI DAAAH...

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před měsícem +1

    Muñgu ni Alufa na omega alisema ndiyo ni nfiyo

  • @RojazTz
    @RojazTz Před měsícem

    😭😭😭😭

  • @NeemaHosea-y1h
    @NeemaHosea-y1h Před měsícem

    polen kifo nifumbo ilamaumivu yakufiwa nilazima ufiwe nawew kaka angu pia alipata ajali uyole mbeya maeneo ya makasini kilaukifika mwez Wanane uaga nia sana polen san tena San wafiwa

  • @alimau7939
    @alimau7939 Před měsícem

    Maisha ya dunia ni historia

  • @tuzomwazyele8260
    @tuzomwazyele8260 Před měsícem

    😢😢😢😢poleni

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarack Před měsícem

    Alikuwa mtu wa watu sana yan

  • @HEKIMAKAPANGE
    @HEKIMAKAPANGE Před měsícem

    Pumzika Kwa aman

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před měsícem

    DU😢😢😢😢

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Před měsícem

    Hapa duniani tu wapitaji tu. Lkn mbona kama vile hakuna ibada?

  • @gloriaaugustino8031
    @gloriaaugustino8031 Před měsícem

    Watoto 16

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před měsícem

    Mbona WANAFANYA HARAKA HARAKA hivi mmmmm no😢😢😢

  • @LatifaMatayo-sz2cb
    @LatifaMatayo-sz2cb Před měsícem

    Eeh watoto 16

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 Před měsícem

    Kipo cha kujifunza

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz Před měsícem

    Nini kimemuuwa jamani

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před měsícem +2

    NA MABASI YATAANZA KUISHA MDOGO MDOGO TUKO HAPA MATAJIRI WA MBEYA TUNAWAMANYA SANA

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +1

    Wanawake wa 3 shujaa wa kikristo kapatikana

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 Před měsícem

      Hizo ni ndoa za kimila ndugu
      Hata hao watoto 16 ni wa kabla, ndani ya ndoa na mahawala
      Hajazikwa kidini huyo

  • @elinacmasawe2898
    @elinacmasawe2898 Před měsícem

    Mechi yanga loive

  • @juliusevance
    @juliusevance Před měsícem

    Poleeeee sana Mungu amrehemu

  • @FelixMiyamini
    @FelixMiyamini Před měsícem

    Tujifuz kitu hapa

  • @elizabethandrea8379
    @elizabethandrea8379 Před měsícem

    Shida ya mali hizi ndio shida yake ukajichanganya kidogoo tuu imekula kwakoo 😢

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 Před měsícem

      Maskini huamini kila tajiri ni uchawi

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před měsícem +1

    Huyu Mwamba walitakiwa wamzike nyumbani kwake

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před měsícem +2

      Family zinakuwaga na maeneo maalumu ya kuzikia

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Před měsícem +2

    Aisee mbona kama mna wanamxika kama mzigoo aisee wakati ameachia Mali kibao nyie nyie bye bye mabusu
    Ya sauli 😢😢😢😢😢😢

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 Před měsícem +3

    Yaan Tajiri mzm mnamzika porini duuh, Kwan alikuwa ana mji?

    • @j4amas5
      @j4amas5 Před měsícem +1

      Ndo kwao huko. Na ndo makabur yalipo

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před měsícem

      Wewe ni mpumbafu sana ,ulitaka waje wamzike kwenu? Huko ndo kwao na ndo makaburini

    • @HusnaMarizwa
      @HusnaMarizwa Před měsícem

      Ukapimwe akili

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před měsícem

      Mbona mtu anafia south na anarudishwa tz Kijiji kwao Cha ajabu nn

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před měsícem

    R.I.P

  • @judithsimon7892
    @judithsimon7892 Před měsícem

    Watoto 16 mwamba kabisa hiyu apewe mwanga wa milele

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před měsícem

    M/MUNGU Ilaze roho ya marehem mahali pema peponi pole kwa familia

  • @subiramohamed8308
    @subiramohamed8308 Před měsícem

    Kwani kwao wap

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf Před měsícem +1

    Mbona kama uyo malehemu mna mna mbeba ivyo kama gunia la viazi

  • @amiriidi5721
    @amiriidi5721 Před měsícem

    😂

  • @semenimpanda-lr7om
    @semenimpanda-lr7om Před měsícem

    P0len sana

  • @TeddyMselle-zw2ck
    @TeddyMselle-zw2ck Před měsícem

    Kwahyo alikuwa na wake wawili?

  • @user-cl4dn2nd9q
    @user-cl4dn2nd9q Před měsícem

    Mbouna kama kazikwa bila Sala apo

    • @GoldenButterfly-zu9ke
      @GoldenButterfly-zu9ke Před měsícem

      Wakristo wana Mambo meusi sana apo labda itakua kw7b anaishi n wanawake w3 na sheria zao haziruhusu

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o Před měsícem

    Kifo hakikimbiliki mbele yake nyuma yetu

  • @angelmassawe6655
    @angelmassawe6655 Před měsícem +2

    Kwanini azikwe porini?

  • @user-uy8sp1wo4v
    @user-uy8sp1wo4v Před měsícem

    RIP

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 Před měsícem

    Rip