Alichoandika HAJI MANARA baada ya ENG KUMCHANA kuwa Sio AFISA HABARI wa YANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Hiki ndicho alichokiandika Haji Manara baada ya ENG HERSI kusema kuwa Haji Manara ahusiki kwenye uongozi wa klabu hiyo na atatafutiwa kazi nyingine ya kufanya
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
  • Zábava

Komentáře • 106

  • @yasinnyange6233
    @yasinnyange6233 Před 21 dnem +3

    Big up Ally Shaaban Kamwe
    Kila kheri kiongozi

  • @user-ot8fp5pu9g
    @user-ot8fp5pu9g Před 21 dnem +1

    Ur going global bro..i like ur content..thats what we need..watu tunakuona unaelezea with cutaaways..briĺiant man..good jon n good luck!

  • @vinny.morales
    @vinny.morales Před 21 dnem +5

    Ally Kamwe ameshakubalika. Manara apelekwe tu kwenye baraza la wazee kwa sasa. Huko atafiti vizuri zaidi.

  • @DulcanAbdul
    @DulcanAbdul Před 21 dnem +2

    More Appreciate Than Normali my Brother Rick ❤❤❤❤❤

  • @mecksonmatenga
    @mecksonmatenga Před 21 dnem +9

    APEWE TU KITENGO CHA UTUNZAJI WA VIVAA VYA MAZOEZI YA CLUB

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 Před 21 dnem +4

    Alisema Yanga wote Awana Akil kasoro baba yke na kikwete Walipompa Usemaj Nikaona Kama kwel Akil Awana IV lakn Saiz itakuwa na Eng nae Akili Anae

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Před 21 dnem +12

    Haji manara apewe kazi ya kwenda kuwapokea wachezaji airport wakiwa wanatoka kuchezea match za club bingwa african 😂 huku kwenye usemaji hatumtaki kwasababu yeye mpira anafanya unakuwa chuki wakati mpira ni mchezo wa kutuunganisha tukawa marafiki🤝

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 21 dnem +1

      Bila shaka wewe ni simba

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 21 dnem +1

      😂😂😂😂 dhambi mtu mzim yul

    • @abdallahmbwate7134
      @abdallahmbwate7134 Před 21 dnem +1

      Ally kamwe yupovizuri Saana hajji pia yupovizuri ila wakatiwake umepita maana ata taa muhimu Kwa matumizi lakini sio mchana

  • @kelvinbinda8767
    @kelvinbinda8767 Před 21 dnem +5

    Mm ni mwanamsimbaz dam Lakin Ali kamwe ni mtu bwana, Kwanzaa na Ahmed ally wamekuwa mabest kama sio mahasim,iyo ndo zana kuwa mpira niundugu sio vita

  • @RobertLukas-q8u
    @RobertLukas-q8u Před 21 dnem +3

    Wampe kazi ya kufua jezi

  • @MezdDimoso-j1j
    @MezdDimoso-j1j Před 21 dnem +2

    Khaji mnara angekuwa afisa habari angetukana sana watu 😮😮

  • @PhillyAmbilikile
    @PhillyAmbilikile Před 21 dnem +12

    Ally kamwe anaubora sana na wanaubora zaidi wakiwa na amedy ally

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu Před 21 dnem +5

    Haji wew Simba ndo ilikufanya Tz tukujue wengi njoo Simba uoshe magar ya kina Ahmed Ally utang'aa tu huku.

  • @husseinnjuga47
    @husseinnjuga47 Před 21 dnem +3

    Akauze magodoro ya GSM

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před 21 dnem +1

    Tatizo la Manara hana adabu wala heshima,anatukana,haheshimu watu,kuropoka kwenda mbele,namaanisha hajielewi,ila Ali Kamwe anajielewa,katulia na heshima imetawala kwa kila mtu,na anaitendea haki nafasi hiyo ya msemaji wa Yanga

  • @salcle9702
    @salcle9702 Před 21 dnem +2

    Ally kamwe anaheshima ila huyo manara hapana simkubali kabisa

  • @zubedaharoun6991
    @zubedaharoun6991 Před 21 dnem +1

    Wanajuana haooooo

  • @MaulidihamisiHamisi
    @MaulidihamisiHamisi Před 21 dnem +1

    Apewe nafasi ya mzee magoma

  • @bjngft4985
    @bjngft4985 Před 16 dny

    Akawe Msemaji wa Azam ili Azam wachangamke..

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Před 21 dnem +1

    Mpishi wa team

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Před 17 dny

    Akapike supu😊

  • @boboonesmo5431
    @boboonesmo5431 Před 20 dny

    Kweli hata Mimi naona yule dogo kafit coz chuki na mpira wap na wap hyo awe store kipa

  • @ramadhandiwani3410
    @ramadhandiwani3410 Před 21 dnem +1

    Manara awe mdhamini wa yanga

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 21 dnem +1

    Safiii ally anajua sn kuhamazisha

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 Před 21 dnem +1

    Awe anaandaa supu

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Před 17 dny

    Manala hamna kitu uyo ni kama kinyonga... Kamwe Yuko vizuri na anajielewa siyo uhuni wa uyu Mzee.

  • @TibyondimuJooo
    @TibyondimuJooo Před 10 dny

    Kikowapi Sasa huyo domo la udaku Manara

  • @nagande6270
    @nagande6270 Před 14 dny

    Mwacheni, mnaropoka tu kama misukule, yenu mmeyakalia.

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Před 21 dnem +1

    Is better Haji Manara angekuwa msemaji then Ally kamwe akawa msaidizi wa meneja wa timu,nadhani hiyo ingekua the best

  • @user-cw1wu8fn5s
    @user-cw1wu8fn5s Před 20 dny

    Apewe kazi ya ufuaji wa nguo za mazoezi

  • @MustafaHassan-x2n
    @MustafaHassan-x2n Před 20 dny

    Wampe Tanga queens au afue nguo za wachezaji

  • @user-no5xr7qc8y
    @user-no5xr7qc8y Před 20 dny

    Akaungane na mzeee mpili kwenye kamati ya nguvu za giza

  • @GODFREYMBOGE
    @GODFREYMBOGE Před 20 dny

    Hapo nje ya club ya yanga kuna majani mengi sana apewe tu kazi ya kufanya usafi kulima lima

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 13 dny

    Manara awe anafua jezi na chupi za wachezaji, mbwa koko huyo!

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před 21 dnem +1

    Mi mwenyewe nilitaka kushangaaa yaani mumuache kijana bado mdogo ana weledi afu mumpe mzee

  • @righitkileo
    @righitkileo Před 21 dnem +1

    Ila ni Aibu sana huyu jamaaa bana anapenda ujiko sana sasa atulize mshono

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Před 20 dny

    Apewe timu ya wanawake

  • @ambakisyemwanjemba5787

    kuosha maiti monchwar

  • @user-kb8gv9zf3g
    @user-kb8gv9zf3g Před 16 dny

    Akauze parfume kama mwanzo

  • @williamkilembwe7189
    @williamkilembwe7189 Před 16 dny

    Haji ni mtoto wa mjini,, akauze siso mtaa wa jangwani.

  • @nurdinimzimbiri
    @nurdinimzimbiri Před 21 dnem

    Manara akalee wajukuu

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Před 16 dny

    Haji mbon anakaziyake hapo yanga.huyo kazi yake ni ukuwadi Kwa wachezaji,tayari ameshamkuwadia Azizi Kinyambe na Sasa bado anadeni na kibabu Cha maajabu kilichotoka Simba nacho kimefata mademu kule

  • @rehemaabdalah1863
    @rehemaabdalah1863 Před 20 dny

    Awe mpambe wa ki KWA dem wake

  • @ildephoncemajaliwa7872
    @ildephoncemajaliwa7872 Před 21 dnem +1

    Aende akalime

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Před 20 dny

    Manala unajua km. Mkatoliki weni lsilamic ukipatwa na jambo swali sunna lakatain tulia yanga atukutaki nendakolo

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 20 dny

    Apewe KAZI ya kuwa Kabwili akina mzize

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d Před 20 dny

    Apewe kazi Ya Kufagia Ofisi za Yanga Pumbaav sana kwani Lazma Afanye Kazi Yanga?

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Před 21 dnem +1

    Wana yanga tunampenda msemaji wetu Ally Kamwe. Haji Manara mfanyakazi mzuri

    • @kichefuchefu2382
      @kichefuchefu2382 Před 21 dnem

      Ally kamwe uwezowke nimdogo nilini alijazauwanja ally kamwe

    • @seraphinalameck1731
      @seraphinalameck1731 Před 21 dnem

      Tunataka makombe kuujaza uwanja siyo malengo yetu​@@kichefuchefu2382

    • @user-fb9yd9vn2w
      @user-fb9yd9vn2w Před 21 dnem

      Acha isijae ali kamwe hoyeeee​@@kichefuchefu2382

    • @SubiraMohammed-ks6qg
      @SubiraMohammed-ks6qg Před 21 dnem

      @@kichefuchefu2382 kwani kazi yake ni kujaza uwanja tu sisi wana yanga tunajua na kuona kazi yake tena kubwa tu kama shabiki ataki kwenda uwanjani yeye amfosi au?

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 Před 21 dnem

    Subira Manara
    Alafu bongo teams nyingi

  • @HamzaChitanda
    @HamzaChitanda Před 21 dnem

    Wivu tu,ila manara ni semaji kwelikwel 😅😅😅

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 21 dnem +1

    Kitengo kinachomfaa manara ni cha uchawi kama ule wanaouneshaga wakati wanapoingia uwanjani. Vile vile awe anamwagia vitu wageni kwenye vyumba vya kubadirishia nguo kabla ya mechi kama walivyowafanyia timu fulani fulani zilizokuja kucheza na yanga. Mpili awe mwenyekiti wa kitengo hicho na manara awe Katibu wake.😂😂😂

  • @jennyDeusi
    @jennyDeusi Před 21 dnem

    Akadeki vyumba vya wachezaji 😂😂

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Před 20 dny

    Yeye ni ashura aende kwa ashura wenzake

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 20 dny

    Haji bwana haaminiki na anaona kwamba kila kitu anajua yeye na wengine ni wajinga bora aende kitengo cha mauzo ya magodoro

  • @LeonardHaule-j2c
    @LeonardHaule-j2c Před 21 dnem

    Akalime vitunguu mpira hauhitaji dhalau Kuna Leo na kesho lakin manara anajisahau kufunguliwa tu adhabu yake kaanza kuyatimba🤫

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 21 dnem

    Manara kama huwa anajisifia ana pesa basi huu ni muda wa kuikataa nafasi yake mpya ili Tuamini.

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 18 dny

    Anafaa awe mkurugenzi na wewe bana simbaaa

  • @AllyMikidad
    @AllyMikidad Před 21 dnem

    Yanga ni taasisi kubwa inawanahali na bado wanahabali kwaiyo lakufilia sana atakuwa hapohapo kwenye habali na wewe pia unaweza kuomba kwaiyo haji haendi mbali na idara hiyo msizushe mengi

  • @C8stories4645
    @C8stories4645 Před 21 dnem

    Rick na nyie ujanjajanja mwingi

  • @user-fs7wi6nt2e
    @user-fs7wi6nt2e Před 15 dny

    Watu wa simba mnajaji mengi kwel kuhusu Bugat ila wivu mbaya sana hakuna kitu kibaya kama kuachwa wewe hiyo yote ni kwa nn ahamie yanga? Wivu ndio mahal ulianzia mtachonga Sanaa kaka anakula birian😂😂😂😂😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 21 dnem

    INJINIA HENS YUPO SAHIHI SANA.MWACHIE KIJANA ALI KAMWE AFANYE KAZI ZAKE

  • @ndolesmwambwelwa7286
    @ndolesmwambwelwa7286 Před 21 dnem

    A good dancer should know the time of leaving the stage

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 21 dnem

    Ukifanikiwa kazini kwako...,.....usitoe nafasi Yako na kumleta make wake kama taasisi hiyo siyo Yako kwanini unajua make wake ataitumia nafasi iyo na ww uta act unprofessional na boss atakukataa kumbuka hata boss wako hakumleta make wake stejini ww mbona ufanye hivyo😂😂😂

  • @JosephKulwa-rc7en
    @JosephKulwa-rc7en Před 21 dnem

    Nakiherehere kitamuisha

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před 21 dnem

    Mie nilisema apewe Gari la kuwapeleka mazoezini

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t Před 21 dnem

    Haji ludi nyumbani paka na chuwi siyo ndugu

  • @mohdmnemo9281
    @mohdmnemo9281 Před 21 dnem

    Ajii manara hapewe muhamasishaji

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh Před 21 dnem

    Kurujuani ya magoma

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm Před 21 dnem

    Afue nguo za wachezaji na ulinzi

  • @user-db4cq6vb9x
    @user-db4cq6vb9x Před 21 dnem

    Mimi ni yanga
    Haji manara is better than alikamwe +Ahmed Ali
    Watu wana mchukia manara sababu ya umashuhuri wake
    Na umaarufu

  • @AllyMikidad
    @AllyMikidad Před 21 dnem

    Yanga bado inataka wanahabari kwani kuna vipindi vitarushwa na yanga tv na redio upo sasa ivi kuqna wanahabaqrqi kumi na tano bado watano hata wewe unaruhusiwa kuomba kaz yanga

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms Před 21 dnem

    Tatizo haji ni mzee apumzike achie vijana

  • @samsongechamet5374
    @samsongechamet5374 Před 21 dnem

    Mm ninnamheshimu Manara anafaa kokote.

  • @yussufritzy7684
    @yussufritzy7684 Před 21 dnem

    Sema nyinyi media ni wachonganishi mno,,, ivi ni kamchana manara au ameeleza jinc ilivyo kuhusu manara?? Acheni ujinga bhanaa

  • @AhmedMohamed-zj8hi
    @AhmedMohamed-zj8hi Před 21 dnem

    Kubeba jezi mazowezini!

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 21 dnem

    Naona simba mmefurahi

  • @nicolasmsaki5987
    @nicolasmsaki5987 Před 21 dnem

    Manara hàna njaaa sema nachukia waandish wa habari mnachochea tu ili haji achukie e ni mtu anamajukumu yake tulia enjia ataweka sawa mkeka boss majira

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 21 dnem

      Hakuna asie na njaa acheni kuogopa watu kisa mitandao hata asingekua na njaa alipotoka simba angekaa tu kwakwe uchumi wa tz bado kwa watu wengi kua maarufu na kua na pesa za kuzidi majina makubwa kuliko vipato Haji kwa mbwembwe zake angekua na hela asingefanya Kaz kwa mtu anahela ya kujikimu ila sio yakumfanya asitake kua yanga

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 21 dnem

      Ni makolo ndo wanaomchukia kwasababu tokea atoke simba timu inafanya vibaya

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 21 dnem

      @@mohdkhatib223 inafanya vibaya manara aliwahi cheza ? Pili hata kama makolo wanamchukia sasa si ni sawa tu yanga walipokua wakimchuki alipokua simba sa ajabu nini hapo

  • @merycianshinda546
    @merycianshinda546 Před 21 dnem

    Mbwa huyo akaoshe magar yatm

  • @kelvinbinda8767
    @kelvinbinda8767 Před 21 dnem

    Kwakwel nimeamin mkataa kwao anakuwa mtumwa

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp Před 21 dnem

    Labda kuokota mipira.

  • @nyangef.pascal9858
    @nyangef.pascal9858 Před 21 dnem +1

    Wewe ni Mpumbavu una nia ya ku chochea ugonvi

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 Před 21 dnem

    Ally kamwe nimdogo sana Kwamanara nahana uwezo wakuujaza uwanja

    • @bonifacemeela5247
      @bonifacemeela5247 Před 21 dnem

      Kwa hyo wkt Amefungiwa na TFF uwanja ulikuwa haujai? Aliyekudanganya kujaza uwanja ni Maneno yake ni nani? Timu kama yanga inajaza uwanja kwa sababu moja tuu ya msingi INAFANYA VIZURI tofauti na hapo ni kujidanganya Simba au Yanga zinafanana vitu vingi kihistoria Ukifanya vibaya watu hawaji uwanjani hata Upayuke vipi

    • @ibrahimabdullah1887
      @ibrahimabdullah1887 Před 21 dnem

      ​@@bonifacemeela5247mimi simba vuta picha kuhusu manara utafahamu na je ali timu ilikua iko vizuri je alijaza uwanja