Ma Sha Allah! Allah awalipe waandaaji wa kongamano hilo muhimu katika maisha ya ndoa!! Sheikh Juma Amir hakika anatambua mengi yahusuyo ndoa!! Tuyashike ili turekebishe ndoa zetu!
Mashaallah kama ulikuwepo kwetu mamaangu mzazi kuolewa rafiki yake chanda na Pete ambae ni mamaangu mdogo nakuzaa watoto sita mama ashitaki kwa ndugu zake akaambiwa uliyataka mwenyewe shauriyako shukran sana
Mashaallah tumejifunza mengi. Nawaomba KTV wakati wakivuta hizi program wajiepushe kuvuta sura za wanawake kwani wengine ni wake za watu. Sifikiri kama inapendeza
Allah atujaalie tuwe wenye mahabbah na mapenz kwenye dini yetu na wazazi wetu na wake zetu na vizazi vyetu,Allah hummah Amina,,,Allah atujaalie tuwe wema kwake na atujaalie wake wema na vizazi vyema ili tupate nusran na adhabu zake..🙇🏻♂️🙇🏻♂️🙇🏻♂️
Nawapongeza wote wale waliojishughulisha katika kuhakikisha kwamba huu mkusanyiko umefanikiwa. Nawahimiza tuzidi kuandaa vikao vya ilmu sio tu kuhusu ndoa, bali kuhusu kila ilmu ambayo alikuja nayo Mtume wetu, Muhammad , Swalla Allahu alayhi wa sallam, popote pale ambapo panapofaa kuandaliwa vikao vya ilmu, iwe Msikitini au Chuoni au uwanjani au majumbani na hata chini ya mti. Na ikiwezekana ni vyema kueneza ilmu kwa kutumia vyombo vyote vya mawasiliano. Moja ya sababu ya Dini yetu kuonekana kama kwamba haina maendeleo ni sisi kuacha njia aliyotufundisha Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam. Na njia ya kwanza, tangu mwanzo wa Uislamu ni kwa kuhudhuria vikao vya ilmu. Lakini tukubalini kwamba jambo hilo tumelipuuza hasa kuhusu kuelimisha vijana na kuelimisha wazazi na kuelimisha Waislamu wapya. Vijana wanahitaji kuelimishwa kuhusu kumjua Allah na kumfahamu Mtume wake, Swalla Allahu alayhi wa sallam, na kfahamu kuhusu Ndoa kwa sababu ndoa zinavurugika kwa kuwa vijana wanaingia kwenye ndoa kabla hawajaelimika vyema kuhusu mafundisho ya ndoa. Na ndoa zikivunjika vunjika hiyo ni jamii inavurugika. Kwa hivyo wazazi waelimishwe kuhusu malezi ya watoto ili wajue wakifikia umri wa kuitwa vijana wawe wanatayarishwa kwa ajili ya mustakabal wao na moja ya masomo ya hilo ni kujua kuhusu halali na haramu katika mambo ya uhusiano na njia za kujihifadhi na haki za mume na haki na mke hadi malezi bora. Kwa hivyo wazazi waongee na Imaam awe anatayarissha ratiba za masomo Msikitini baada ya Swallah badala ya kuwa tunafunga Msikiti haraka haraka baada ya Swalha kama kwamba Msikiti ni pahali pa kija tu kuswali na kuondoka. Je masomo ya Jamii huandaliwa na nani na hutekelezewa wapi? Tuangaieni maneno ya Mtume kuhusu Hadith aliposema, Kullukum Raain wa kullukum Mas'uulun an Raiiyatihi
MashaAllah ni darsa muhimu sana hii ila KTV kuna kitu munaharibu kuweka background sound wakati wakati munarusha hewani hii inaondosha concetration ya msikilizaji kwakeli......inawezekana kuweka hio kwa vipande vya clips ambavyo mwaweza kuvirusha ktk means nyengine km vile whatsaap .......hayo ni maoni yangu tu ila mnafanya kazi nzuri sana na Allah atakuzidishieni ....Amin
Kwa taarifa za tiba za asili juu ya Maradhi yanayotukabili Kutoka kwa Dr Seif Albaalawy bonyeza hiyo picha yangu ujiunge pia usisahau kusabscribe na kubonyeza kengele
Ma shaa Allah sheikh Djuma Amir kwa darsa nzuri. Allah akuzidishie yenye kheri na Atujalie tuwe wenye kusikia na kuyafuata. Amiin. 🇧🇮
Sheikh juma amir Allah akujalie na akuzidishie kheri. kwa kuwakumbusha wana ndoa kwa walio ya sahau. Shukran sana
Shukran KTV kwa kutuelimisha Allah akujaalie afya njema duniani na akhera sheikh JUMA AMIR pamoja na uongozi wote wa KTV from Oman
Asante Sana kwa darasa hili mwenyezi mungu awazidishie
Ahsante sana sheikh wetu Allah akupe kila la kheir na barka ndani yake
Maa shaa Allaah tabaarak Allaah
Yaa sheikh Juma Amiri Allaah akujaaliye kheri duniani na kesho Aakhera
In Sha Allah Mwenyez Mungu Awajaze kheir waoandaa barnamaj hii kwa faida za sisi wanandoa
Ma shaa Allah alhamdulillah tunapata elim bila malipo Allah akuhifadhi shk wetu
Ma Sha Allah! Allah awalipe waandaaji wa kongamano hilo muhimu katika maisha ya ndoa!! Sheikh Juma Amir hakika anatambua mengi yahusuyo ndoa!! Tuyashike ili turekebishe ndoa zetu!
As alykm elimu , na makumbusho utupayo alah atujaalie , tuyatekeleze inshaah shukran , mashkura . alhamdulilah
MASHA ALLAH. sh. Juma amir. ALLAH akupe ijaz.
MASHA'ALLAH MOLA AWAPE KHERI KTV ONLINE"""BY AR'BAAB...✍
Shukran xna shekh wetu juma Amir mungu akueke uzidi kutupa vtu vya uhakika.
ma shaa allah mungu atujalie tuwe na subra kwenye ndoa
SHUKRAN KTV TZ ONLINE TUPO ONLINE KWELI HAKIKA HII NI FAHARI YETU
Allah atuongoze ktk ndoa anazorzia Allah (s.w)
Mashaallah kama ulikuwepo kwetu mamaangu mzazi kuolewa rafiki yake chanda na Pete ambae ni mamaangu mdogo nakuzaa watoto sita mama ashitaki kwa ndugu zake akaambiwa uliyataka mwenyewe shauriyako shukran sana
MaShaaAllah... Jazakallah kheir
Napenda sana mawaidha yake wallai, mola ampe umri mrefu aaamin
Mashaallah tumejifunza mengi. Nawaomba KTV wakati wakivuta hizi program wajiepushe kuvuta sura za wanawake kwani wengine ni wake za watu. Sifikiri kama inapendeza
Ya Rabb tujalie ndoa enye kudumu
Allahumma aamin
MashaAllah! MashaAllah!
Mashallah sheikh juma Amur mungu akuzidishie saaana
Good Job KTV🥇
Allah awalipe kheir
Ameen.
Mashalah mawaidha mazuri Mungu awape kilalakheri inshalah
MashaAllah. Allah baarikk 🙌🏽👏🏼
sheikh uislam ni kukumbushan mema na kukatazan mabaya .....shukran saaan kwa ulichotukumbusha allah akuzidishie inshaallah
MashaAllah Allah barik
Allah atujaalie tuwe wenye mahabbah na mapenz kwenye dini yetu na wazazi wetu na wake zetu na vizazi vyetu,Allah hummah Amina,,,Allah atujaalie tuwe wema kwake na atujaalie wake wema na vizazi vyema ili tupate nusran na adhabu zake..🙇🏻♂️🙇🏻♂️🙇🏻♂️
Alhamdulillah Allahubarik
Masha Allhah Masha Allhah
Mashaallah
Shukran jaziila muheshimiwa mzee wangu juma amir
Enyi mnaotaka kufunga ndoa kuweni makini sana mkishafeli ktk ndoa kuidumisha jua ushafeli kimaisha.Pia bibi mbaya watoto wabaya nyoka azai mbuzi kuweni makini sana .
Nawapongeza wote wale waliojishughulisha katika kuhakikisha kwamba huu mkusanyiko umefanikiwa. Nawahimiza tuzidi kuandaa vikao vya ilmu sio tu kuhusu ndoa, bali kuhusu kila ilmu ambayo alikuja nayo Mtume wetu, Muhammad , Swalla Allahu alayhi wa sallam, popote pale ambapo panapofaa kuandaliwa vikao vya ilmu, iwe Msikitini au Chuoni au uwanjani au majumbani na hata chini ya mti. Na ikiwezekana ni vyema kueneza ilmu kwa kutumia vyombo vyote vya mawasiliano. Moja ya sababu ya Dini yetu kuonekana kama kwamba haina maendeleo ni sisi kuacha njia aliyotufundisha Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam. Na njia ya kwanza, tangu mwanzo wa Uislamu ni kwa kuhudhuria vikao vya ilmu. Lakini tukubalini kwamba jambo hilo tumelipuuza hasa kuhusu kuelimisha vijana na kuelimisha wazazi na kuelimisha Waislamu wapya. Vijana wanahitaji kuelimishwa kuhusu kumjua Allah na kumfahamu Mtume wake, Swalla Allahu alayhi wa sallam, na kfahamu kuhusu Ndoa kwa sababu ndoa zinavurugika kwa kuwa vijana wanaingia kwenye ndoa kabla hawajaelimika vyema kuhusu mafundisho ya ndoa. Na ndoa zikivunjika vunjika hiyo ni jamii inavurugika. Kwa hivyo wazazi waelimishwe kuhusu malezi ya watoto ili wajue wakifikia umri wa kuitwa vijana wawe wanatayarishwa kwa ajili ya mustakabal wao na moja ya masomo ya hilo ni kujua kuhusu halali na haramu katika mambo ya uhusiano na njia za kujihifadhi na haki za mume na haki na mke hadi malezi bora. Kwa hivyo wazazi waongee na Imaam awe anatayarissha ratiba za masomo Msikitini baada ya Swallah badala ya kuwa tunafunga Msikiti haraka haraka baada ya Swalha kama kwamba Msikiti ni pahali pa kija tu kuswali na kuondoka. Je masomo ya Jamii huandaliwa na nani na hutekelezewa wapi? Tuangaieni maneno ya Mtume kuhusu Hadith aliposema, Kullukum Raain wa kullukum Mas'uulun an Raiiyatihi
Masha Allah ya shekhe
MashaAllah, Allah akulipe kwa wema wako wakutupa ilmu.
Allah akupe afiya na sihaa jemaa ili utuilimishee zaidi
maashallah maashallah allah akupe umri mref akhy
Bisimillah mashaAllah baraka Allahu feekum
شكرا
MashaAllah
MASHA ALLAH
Asalam aleikum hakika maneno mazuri sana na yatupasa kuzingatia
Baaraka LLAHU fiiku ya Sheykh
MashaAllah ni darsa muhimu sana hii ila KTV kuna kitu munaharibu kuweka background sound wakati wakati munarusha hewani hii inaondosha concetration ya msikilizaji kwakeli......inawezekana kuweka hio kwa vipande vya clips ambavyo mwaweza kuvirusha ktk means nyengine km vile whatsaap .......hayo ni maoni yangu tu ila mnafanya kazi nzuri sana na Allah atakuzidishieni ....Amin
ManshaAllah
Mashallah
Shukran wajazaka Allahu heri
Allah azihifadhi ndoa zetu na kila balaa
Amin yaraby
Sheikh twakuhitaji mombasa
Lahaula haikuja kwa kazi iyoo. Hehehe kweli Sheikh sio kila kitu Lahaula
Asalamalaykum naomba kupata link zako. MashaAllah Allah bariik fi.
Sauti zinaingiliana na ya mtangazaji
Naww mtangazaji unamaneno mengi akaaa
ملاحظة الثانية: قراءة صحيحة في قوله تعالى (وَبِدَارًا أَن يَكْبَرُوا ۚ )
Ajar
Utapikiwa na Nani?
ملاحظة : لم يتنبه الأخ أثناء قراءته عند قوله تعالى قرأ فريقا والصحيح ( وَمَن كَانَ فَقِيرًا فَلْيَأْكُلْ بِالْمَعْرُوفِ ۚ )
Haha eti hata ukila mawe biriani hulitaki tena
Kwa taarifa za tiba za asili juu ya Maradhi yanayotukabili Kutoka kwa Dr Seif Albaalawy bonyeza hiyo picha yangu ujiunge pia usisahau kusabscribe na kubonyeza kengele
Mtangazaji punguza kuongea
MashaAllah