AUAWA NA TEMBO WAKATI AKIVUNA MTAMA SHAMBANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 25

  • @fadhilaiddi535
    @fadhilaiddi535 Před 2 lety +3

    Inalilah waina ilaih rajiun,poleni Sana wafiwa mungu awape subra.

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Před 2 lety

    Hakika ni huzuni sana ,poleni sana familia kwa kumpoteza mpendwa wenu Mungu aendelee kuwatia nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe 🙏

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety

    Poleni wazee tembo uvunja vunjabei miguu na viongo

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +2

    Hee kumbe wale tembo wakiona mtu wanamfuza tu nakumuuwa niliona kama wanapita tuu

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Před 2 lety +2

    Innalilah wainna ilah rajiun

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +2

    hawa wengine sio mashuhuda ni maproduza tu.Wanatunga na wanataka kuonekana kwenye luninga

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 Před 2 lety +2

    Innalillah wainna ilayh rajiuun

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 Před 2 lety +2

    Mm naomba niwashauri viongozi wa serikali wawapatie watu thamani kubwa kuliko wanavyopewa tembo kwa sasa, wakumbuke kuwa Mungu anawathamini watu kuliko wanyama sio vibaya tembo wakipunguzwa kwa usalama wa watu izingatiwe huyo aliyeuawa hakuwa hifadhini sasa chungieni hiyo mifugo hifadhini

  • @homemohammed3244
    @homemohammed3244 Před 2 lety +1

    Inna lillah wainna illah rajiun,polen ndugu zangu wa singida

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 Před 2 lety

    Temboooo jeshi ni noma sana akuna kama tembo konde boy.

    • @mashamasha2854
      @mashamasha2854 Před 2 lety

      ᴜɴᴀ ᴜᴛᴏᴛᴏ ᴋᴡᴇʟ ʜɪɪ ʜᴜᴢᴜɴɪ ᴠᴏᴏ

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 2 lety +1

    Zinaenda zinarudi! Zitembo au!

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 2 lety

      Inahudhunisha 😢 ila mtoa maelezo anachekesha

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 Před 2 lety

      Halafu Mary mfugwa,Uache mbavu Zangu,cna kamba ya kufunga

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety

    Pole mzee huyo ndio tembo

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Před 2 lety

    Yooh yooh

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 Před 2 lety

    hapo nimimi nilkuwa mnimebebachakula Cha gombee ilikuwa acsidenct ya tembo

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 Před 2 lety +1

    Kwaiyo tembo haitashitakiwa?

  • @hassanlugoma8966
    @hassanlugoma8966 Před 2 lety

    Jmn nauli sh ngp kutoka dar hd huko

  • @loganpoul
    @loganpoul Před 2 lety +1

    Halafu tembo ndio akaenda Congo???