euwiiiii nimecheka Sana jaman Ila sicheki kwa kufurahia nacheka sababu hao ndugu walio changa elfu 30 na elfu 50 walichafukwa vibaya mnooo walitegemea kusasambua na vijora vyaoo mwisho wa sikuu wanaambiwa shobo zao zime waponzaa duh mbavu zangu jaman dada mtuu kajikakamua kununua shela na sutu lakin mwishoo anaitwa mshenz kweli inakuja hiyoo jmn ubinadamu umeenda wapii jmn Yani hiyo heka heka ni 🔥 fire duh poleni kwa aibu hiyo jmn 😂😂😂😂😅😅😅
Huyo mama tapeli na mumewe pia mmmh aibu tu hyo kujitia na huyo bwana harusi amekosa aibu kabisa kumbe wangoni hawana Akili wangoni bwana mmmmh aibu tu hyo pesa mama anaibisha kweli na ww kijana hanakili kbs
Halafu kunamijitu haina akili maana hiyo familiar inajitakia maisha magumu,sawa wametapeli napesa watazitumia,wakumbuke kunamaisha yanaendelea kunamuda utawahitaji hao watu lakini kwakua tabia zao nzito zimekuwa hadharan watakosa star a.
🤣🤣🤣jamani mm ndiyo maanasikuhizi ctakikuchangia harusi bora nimchangie mgonjwa atapata matibabu maisha haya.
Kweli
Kwel
Ohhoo my goodness tamaa mbaya l do know why watu wanatamaa ya pesa yaani bora aingie aibu poleni sana ndug nimejifunza
euwiiiii nimecheka Sana jaman Ila sicheki kwa kufurahia nacheka sababu hao ndugu walio changa elfu 30 na elfu 50 walichafukwa vibaya mnooo walitegemea kusasambua na vijora vyaoo mwisho wa sikuu wanaambiwa shobo zao zime waponzaa duh mbavu zangu jaman dada mtuu kajikakamua kununua shela na sutu lakin mwishoo anaitwa mshenz kweli inakuja hiyoo jmn ubinadamu umeenda wapii jmn Yani hiyo heka heka ni 🔥 fire duh poleni kwa aibu hiyo jmn 😂😂😂😂😅😅😅
Mmmh feel sorry kwa bi harusi hiyo family sio c to shangaa Ramadan iki ishaa talaka ina toka 😂😂kweli mwana kulitafuta mwana kulipata hahahaha.
SIO KWA MDOMO HUO WA BWANA HARUSI YAANI BIBI HARUSI AHESABU SIKU ZA KURUDI KWAO.
😂😂
🤣🤣😂😂😁😁
Hahaaa minisinge kula Ila Huo mnuno wangu nazan pic zingetoka giza
Kwakweli tatizo. Ilagea nakupendaga.. (Ilaisiarusiizi unawezaukataeudugu.. Mmmhh
Familia nyingine iziii.. atareeeee....bibi arus awe mtulivu tu katika ndoa yake Mana hapaaaa mtafarukoo umeanzia Kwenye shughuli tu namna hii.
Huyo jamaa ni mtoto wa mama sana atajuta
Hihi ni aibu kubwa sanaa!!
Jamaan mamboyamicango. Sherehekujipanga mwenyewe . Mamboyamicango niwamuziwamtu
Kama media advans ya ukumbi ni laki 1 gonga like hapa
Yani Hao hiki kitu kitawatokea puani .....Jmn Yani unakana ndugu kisa mwanamke Duu.....wasubiri majibu hii ni dunia
eti ivo nivilanga vyenu!!! poleni na baba harusi tapeli.
Kama kumpiga bwana harusi Kama kumpiga mama wa bibi harusi itajulikana hukohuko😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Cornelia Cheleo 😂😂😂😂😂😂😂uswahili ni kazi kweli kweli 😂😂😂😂😂🙌🏼
🤣🤣🤣
@@aishaelias3867 sana
😂😂😂😂watu wamevurugwaaa sheeetaaani keshawabeba maskin😂😂😂poleni wadugu wangu😂😂😂
Njaa hiyo na aibu juu.
Aibu hiyo haitasahaulika Kwa familia hiyo.
Daah pole sana
kama umeckia nmetoa elfu thelathini gonga like hapa
😃😃😃 noma Sanaa ndugu unamchangia 30,000? Kweli vyuma vimekaza
@@ilovejesus9303 alishona na nguo za maharusi ujue
Mm shuhuli oyeee😂😂😂😂
Hii kali jamani bwana harusi anamtetea mama yake.
Geah bwana, eti han dudu han dada😂😂
Dah! Aibu
😀😀😀😀kumbe mmeowana binamu haina shida mtamalizana nyumbani poleni sana atakuja kuwaombeni msamaha waachen nashuli yenu
Kweli wataelewana😀😀😀😀
Kweli
Jaman naodka mm. kama uyo bwana arusi tu.😁😁😁
huyo mweka hazina pesa haziishi na shida haziishi mm nawaambia hao wadada musimsaidie
Vyuma vimebana mama ana vikoba ana vilindi anavisufulia jomon asile tu😂😂😂😂😂😂
🤣😂😁😁😁😂🤣😂😁nenda mumusaidiye
yani hapo mama na mwanae bwana harusi alikuwa anajuwa kinachoendelea hao wakuchapwa kabisa duuuu aibu kubwa hiyoooo
hiyoaibusana
Mmh kwel aibu kama asngekuwa na nia si asingewasumbua wenzao
Dunia ina mambo jamani nimecheka mpk bhs...poleni doooooooo vyuma vimekaza
wanaitadji mitadji kwa kucangisha ndoa yamwanao noma sanaaaa
Kwakwkwa shangwe la kiharamu hamna kazi bada pesa kujegea
Maisha magumi
Hataree mambo n hv 🔥🔥🔥
Kweli mkome bwana harus yupo sahihi hajawatuma muhimu ndoa na tayar kashaowa hashuo lenu ndio mukome ufisad
Ungetuekea live dada geah tuone uhondo 😁😁
🤣🤣🤣
Kweli
Kama kumpiga bwana harus km kumpiga mama bwana harus tutajua huko huko uwiii patamu hapo😀😀😀😀😀duuuh
MASHA CLASSIC nn
Majanga wallah
Mmmh makubwa
Haya waoane waliokula hera
Uyo mama nitapeli
Dunia kuna mambo
Noma sana
huyo kaka anaonekana ni mtoto wa mama kwa sana, hivi hiyo ndoa bado iko hai?
Sizani
Toka lini mtunxa hazina anakuwa mama
Jamani dunia inamambo
ajielewi. uyo. mama.
Haaaaaa Geah unatupa raha ungekuwa unaonyesha picha haaaaa
jamani mbona majanga hayo duh nishida
Anatukana mjinga BABA ako inamana yy sio baba ake yan bwanaharus hana adabu
Duh
du,!hii kali
Haha ndoa za ramadhani hizo ni heka heka mtindo mmoja 😂😂
harusi iyo duh
hali ngumu jamani wamempiga pesa hadi ya mchango wa harusi tu kweli heka heka
Ndo mkome kuchang pesa harusi imeshaisha mengne ya nn muhimu ndoa tu sasa ona mumetapeliwa
Kwani lazima kwenda ukumbini si ndoa ishafungwa
Vikoba vitatuuwa jamani
duh!polen walengw
😂😂😂😂😂kama kumpiga bi harusi au bwana harusi
😂 😂 😂
Nafc hazina hayaa mpaka udugu kuvunjika yt ni tamaa ya pesa tu pasi kujali pesa mapito tukumbuke kuna kesho pia utakuwa mgeni wa nani haswaa?
Hatariiii🤔🤔🤔
Makubwa
Huyo mama tapeli na mumewe pia mmmh aibu tu hyo kujitia na huyo bwana harusi amekosa aibu kabisa kumbe wangoni hawana Akili wangoni bwana mmmmh aibu tu hyo pesa mama anaibisha kweli na ww kijana hanakili kbs
Weeeee tengua kauli sio wote mbona. Sis harusi zetu zmeenda vzr
Duh hii hatare jmn aibuuu
wapo wamama Wa hivo loh lkn nawashangaaga sana
Uyo mama kafanya utaperi
Harusi zaa michango hizoo 😂😂😂😂😂 kwetu hakuna hayo unajisimamia mwenyewe kila kitu watu waje walee mwenye imani atakupa chochote 😂😂😂😂
Nikufanya ivo ivo
Halafu kunamijitu haina akili maana hiyo familiar inajitakia maisha magumu,sawa wametapeli napesa watazitumia,wakumbuke kunamaisha yanaendelea kunamuda utawahitaji hao watu lakini kwakua tabia zao nzito zimekuwa hadharan watakosa star a.
Of course aibu kwa family
Kutiana aibu huko
Mtoto wa mdogo etu hahaaaa
Helena Musa
Funzo hilo sasa ndoa ikiisha kila mtu afate shuhuli za kufanya mh jaman bwanahrus hana mdomo hataa ngazi
Kari ya mwaka hii duuuuuuh
Eti mjinga baba ako sasa si Baba yao mmoja makubwa huyo bwana harus jeur jaman
MASHA CLASSIC Yani ni sheeeeeeeeeeeeedah!😂😂😂
😂 😂 😂 😂 😂
Ukiona familiar ipo hivyo jua ulipo holewa / kuolewa ni shida Mimi ningesepa kwetu
Kweli
Duh Jamani inauma sana dah
duuuuh
Mh!sasa kinafuata nini hapo?
Naombeni kuuliza swali wangoni wanapatikana mkoa gani??
Susan Lazaro songea
Songea
Songea
nakwanini walimpa mtu baki azina anatakiwa apewe bwanaarusi
Aibu hy muhimu kuwazarau tu
Mmmmhhhh mtihani jamani
Waswahili ndo shida
ndoa za ramadhan izo 😂😂😂😂😂😂kaz munayo kweli
🤣😂😁😁😁😁
Hahaaaaaa jaman msimpige
duh ! akazilipe
Edina France.naam wataelewana wenyewe sindugu. Kibaya chako usikitupe my
😂😂😂Ama kwel
Cha msingi nyie muludi kwa home
Hao baba mama na huyo bwana kharous matapeli sana
😂😂😂😂😂lamba lolo
dada bd kidog uitaj mbagala mumeizoea ee
Sio utapeli jomon vyuma vimekaza kwelikweli
😂 😂 😂
😄😄😄😁😁
😴
Mmmmh haibu
patam sana Hapo. grease inatafutwa kwa mtutu
Ndio mkome harusi ishapita bado nn tena mtulie sasa
😀😀😀😀😀😀😀
Duhh
Kama mama ashagailisha shuhuli siangesema ty
Vv v
Dha balaaa gani hilii😂😂😂😂
😅😅😅
Kwani ndoa si ilishafungwa sasa tatizo nini hayo mengine mmejitakia
Hahahahahahaha umenichekesha
@@khadijahamis9787 maana wanataka kukuza mambo tu bora walivyoachwa kwenye mataa siku nyingine watajifunza
Warudishe hela za watu wote waliochanga na walionunua nguo.pelekeni polisi shenzi huyo mama
Hahaha
Kweri ili kabila linamatatizo uhuni wao utaperi ndousiseme hiii
😜😤😤😤😤😤😤
🙉🙉🙊🙊
Hatar na nusu
😂😂😂😂
makubwa