MAGOLI: YANGA SC 2-1 KMC FC (TPL - 10/03/2019)
Vložit
- čas přidán 9. 03. 2019
- Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC wameendelea kuwa mwiba kwenye ligi hiyo msimu huu baada ya leo kuigaragaza KMC kwa kipigo cha mabao 2-1, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
KMC ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Mohamed Rashid, kabl aya Yanga kusawazisha dakika ya 37 kupitia kwa Papy Tshishimbi.
Dakika ya 67 beki wa KMC Ally Ally akaipa Yanga bao la pili kwa kujifunga, mpira uliopigwa na Ibrahim Ajibu.
Haya hapa mabao yote. - Sport
yanga for life atatukiwa ombaomba bado tuna kamata mshikanio wa ligi kuu tz bara
pasi chonganishi km ww shabiki wa young Africans gonga like apa twende saw daima mbele nyuma mwiko
Hakuna cha pasi chonganishi isipokuwa huyu kala hela
safi ally kwa kutupatia Pt 3 daima mbele yaan tutabaki mawinguniiiiii!!!!!
Hongera kmc wawoooo
Mtangazaji nimekupenda kwa vionjo
Ongera sana kwa ushindi
Mungu yupo upande wetu wanayanga usikate tamaa
Daah fantastic huyo Ally Ally mfungaji mzur san anajua soka mana sio kwa mkichwa ule.
yanga naipenda xana chama langu
Ajib alistahili apewe kadi Nyekundu....kwa Kosa lá kumchonganisha Ali na Kaseja!!!
Yanga wamezidi kuonea!!
Hahaha co kadi tuu afungiwe mech 2
Co hak kabisa ase uyu ajibu m2 mbaya sana yan hyo alyaly asngekuwepo asingeshindwa kumchonganisha kaseja mwenyw akajifunga
@@zephaniahenry3694 ahahahhahahahhaaa
juma kasej vipee tafran shekh
Nilimis chapa za shishimbi
Huyu Aliali ndio mchangiaji mzuri sio Nyie mnaotoa jerojero.. yeye kachangia gori kuwahelp ombaomba fc
Kweli kabsaaà
kachangia nn yani kujifunga ndiyo kuchangia anagalia goli alilojifunga kapombe kule aergelia usikall
Na kapombe sialichangia kule
jinsi hiyo krosi ilivyokuwa tamu jamaa akaona isipite hivi hivi hata kama ni golini kwake, akatwanga kichwa.
Kabisa kabisa
jmn hili goli lina raha jaman
Hata asingejifunga tayari makambo alishajiseti yani nikwba angefunga tu wataka ndo ivyo usitake ndo ivyo
Mdkg Mdfamily makambo sio streka wa kufunga mechi Kali kama hizi
na kipa alijipanga kwa makambo maan mpira ulikuwa unaelekea kwake
kuma
Ajib fundi sannna, anaakili nyingi sannna sio kwa pasi ndizi ileee
KASEJA UPO FEAR TU,KUFUNGWA NA YANGA,NA SIMBA SURA ILIKUWA KAMA LIMAU.
Uyo ndo kadraaaaaaa Ajiiiiiib
Kweli wezetu mmezidi
Zahera unaeleweka sana na wachezaji wako, wanajua unataka nini ingawa kuna muda wanakosea coz ndio mpira lkn uwezo wako unabeba timu yetu. Pambaneni mpk jasho la mwisho kutetea bendera ya Yanga, tuongeze nguvu za michango sio kulaumu timu ikifanya vibayaa
hongereni
Yanga oyeee daima mbele nyuma kwetu mwiko
Yanga viva
Ajib izo ss sifa umeon wanasumbua ukaamua uwachonganish wajifung hahahaa noma sanaaaa
Maridadi diving header
Mtoto choko uyo mara ya pili iyo
KMC wakiendelea kumpanga huyo Yuda msaliti nitawashangaa! Ali Ali jana kadhiirisha Kala hela
Ingekua simba tungeambiwa pesa hinaongea hapa
Dah huyu ali ali kanikumbusha goli la van persie kombe la dunia
jamani ili goal la pili ni goal la msimu hahahaaa
Ok sawa tunashukuru kwa mchango wsko
hapo kisanga ingekua game ya simba na ndio ajifunge hivo ungesikia wamenunua mechi huhuhu sawa changia changia team ya wananchi ipate point 3
Sisi ombaomba uwezowakununua Kama simbahatuna
Hii timu ndo maana imekuwa ombaomba...ona 1:00 uwanja ulivyo mtupu
Beki hakuna hao 🤣🤣🤣 kazama kwa nguvu zote golini kwake
hiyo no kenge tens inabidi qtolewe kwenye kikos
Kufa kufaana asante Ally Ally ulichokifanya ndo maana ya kuwa mwananchi mchango mkubwa sana uo
Ally Ally nimeukubari mchango wako, hii ndo maana halisi ya timu ya wananchi. Changi chochote kile
walah umenichekesha
Hapana chezea Young
Hivi kisoka huyu beki alichofanya ni alikamia au kauza mechi mm binafsi sijamuelewaa
Ally ally sawa na messy tu
dah
Dhu kwer
Sehemu kibaaao za miji yetu kuanzia Jana SAA sita usiku yani kumetulia sana hadi kumekucha Leo hii bado kumetulia yaani hadi raha masokoni vijiweni yaani kuko kimyaaa sasa sijui walinunua magazeti pia Leo au Leo wamekua wabaghili hahahahahaaaaaaaa
Burudaaaan kabisa
Haiwezekan wanunue CX shabiki wa yanga ndio tunanunua magazeti tuu tunasoma habari za j s soura na ya yanga dhidi ya kmc tuu basii
JAMANI .. wababe wakiwa tarime wakija dar wanauza mayai ?...( Wakurya ) au (Simba) nipeni jibu
Simbaaaaa
Mm nalishauri benchi la ufundi limchunguze huyu beki alli alli maana isije ikawa kama yale ya hasni kesi kwamapenzi ya timu fulani mara kampa kampa tena ushauri wa bure tu mm mwanaharakati nisie egemea upande wwte nduguye na musiba
Yan huyu fala aly aly ni yanga damu
Kuokoa gan huko
#tigopesa#
Sure🤣
huyu Ally Ally yanga Si goli la bahati mbaya kakusudia
Huo ni uchiz na ujinga unatakiwa uwe makin kucheza sio unajichezea to
Hii ndiyo yanga bhana chama langu la ukweli
Mnateseka
Huyu mtangazaji inaonyesha ni shabiki wa timu Fulani.maana magoli ya wananchi hajayatendea haki kabs
Miraji Yassin umeona eeh
Mwalimu kashasha unalizungumzieje goli la Ally Ally
uyu Ajib atakuja uwa watu et
Pongrzi
Mpenja anajilazimisha tu kutangaza kwa magoli ya yanga lakini moyoni anaumia
Kabsa anaumia ndani kwandani
Tbetter
mwishowenu utafika TU
Tshishimbeeeeeeeeeeeeeeeee
Kila mtu ashinde mechi zake zoote
ingekua simba wamenunua
pigaaaaaaaaaaaa
hahahahahah
Hahahaha
Wameuza game
Dago kazamiria huyo mpumbavu tu kapewa posho achunguzwe
Kwel huyu achungzwe ! Sio kwa njis hii bora angeacha mpira afungwe na mpinzan !!
Jaman bahat mbay haina mwnyew
Kweli ataliiiiiiiiiiiiiii
tatizo walikuja kwa kukakamia mno kumuingiza ajibu na tambwe wamepata mchecheto tu madogo wamepagawa tu
anajibembeleza kwa yanga.aly aly anashikishwa ukuta
rubeni kambalamwezi ali ali ametoa nae mchango wake kwenye tim ya wananch.
Aly na yeye pasua kichwa
Nn
Goli la kujifunga tamu kweli
huyu kapewa mshiko asitudanganye
Uchaw upo
wamenunua gem hao
yanga wachawiiiiiii
Huyu ally ally tokea yupo stand anajifunga mechi na yanga tu sababu wamejaa ndugu zake wazanzibar hiyo mipango tu.Mbona hajifungi mechi na timu zingine msenge sana choko yule.
musenge tu kuma
hapana hii mechi inahujuma huyo hajajifunga kuna namna imefanyika hapo yanga hawana lolote
Mwenda Omary basi tufanye 1-1..😂😂😂😂
aly aly nmekupenda gafra hongerq xana nmeupendq mchango wako Wa hali na Mali hii kweli Tim ya wananch😁😁😁😁
Mwenda omary huo ni mchango wake kwa wananchi kwann ukeleke
Kwan jaman ni ugomvi yanga inapendwa hivo Ally tutamsajili
Huyu ally kachukua ela kwa yanga sio kwa kujifunga hvyo bhana yanga hawajui mpira sikuzote
Hamna namna huyo ndio mtt wa jangwan
Mkichwa kama woto nimekupenda bureeeee Aly
Ukisikia kujiuwa kwa kujiwekea panga ndo hii
Huyu jamaa alikusudia kujifunga hata asingekuwa back kiasili asingeokoa vile
Hapana hii wamehonga hela za wachangiaji !! Mm siafik mana wangekuwa simba mnanunua mechi !