MAGOLI: YANGA SC 2-1 KMC FC (TPL - 10/03/2019)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 03. 2019
  • Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC wameendelea kuwa mwiba kwenye ligi hiyo msimu huu baada ya leo kuigaragaza KMC kwa kipigo cha mabao 2-1, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
    KMC ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Mohamed Rashid, kabl aya Yanga kusawazisha dakika ya 37 kupitia kwa Papy Tshishimbi.
    Dakika ya 67 beki wa KMC Ally Ally akaipa Yanga bao la pili kwa kujifunga, mpira uliopigwa na Ibrahim Ajibu.
    Haya hapa mabao yote.
  • Sport

Komentáře • 111

  • @kelvinfrancis3414
    @kelvinfrancis3414 Před 5 lety +4

    yanga for life atatukiwa ombaomba bado tuna kamata mshikanio wa ligi kuu tz bara

  • @japhetmasunga9980
    @japhetmasunga9980 Před 5 lety +69

    pasi chonganishi km ww shabiki wa young Africans gonga like apa twende saw daima mbele nyuma mwiko

  • @beliammgaya3974
    @beliammgaya3974 Před 5 lety +11

    safi ally kwa kutupatia Pt 3 daima mbele yaan tutabaki mawinguniiiiii!!!!!

  • @Ben_Mullah
    @Ben_Mullah Před 4 lety

    Hongera kmc wawoooo

  • @hopealingstoni534
    @hopealingstoni534 Před 5 lety +2

    Mtangazaji nimekupenda kwa vionjo

  • @mishaelmisana1973
    @mishaelmisana1973 Před 5 lety +1

    Ongera sana kwa ushindi

  • @adelinaamosi3135
    @adelinaamosi3135 Před 5 lety +2

    Mungu yupo upande wetu wanayanga usikate tamaa

  • @mohamedyshaban8436
    @mohamedyshaban8436 Před 5 lety

    Daah fantastic huyo Ally Ally mfungaji mzur san anajua soka mana sio kwa mkichwa ule.

  • @rizikimgonja1691
    @rizikimgonja1691 Před 5 lety +4

    yanga naipenda xana chama langu

  • @dicksondannyben9819
    @dicksondannyben9819 Před 5 lety +3

    Ajib alistahili apewe kadi Nyekundu....kwa Kosa lá kumchonganisha Ali na Kaseja!!!
    Yanga wamezidi kuonea!!

    • @angelludgery7016
      @angelludgery7016 Před 5 lety +1

      Hahaha co kadi tuu afungiwe mech 2

    • @zephaniahenry3694
      @zephaniahenry3694 Před 5 lety +1

      Co hak kabisa ase uyu ajibu m2 mbaya sana yan hyo alyaly asngekuwepo asingeshindwa kumchonganisha kaseja mwenyw akajifunga

    • @sijalirajabu474
      @sijalirajabu474 Před 5 lety

      @@zephaniahenry3694 ahahahhahahahhaaa

  • @dullahsaidi8248
    @dullahsaidi8248 Před 5 lety

    juma kasej vipee tafran shekh

  • @jeniphermassawe3037
    @jeniphermassawe3037 Před 5 lety +7

    Nilimis chapa za shishimbi

  • @jumatonny4684
    @jumatonny4684 Před 5 lety +7

    Huyu Aliali ndio mchangiaji mzuri sio Nyie mnaotoa jerojero.. yeye kachangia gori kuwahelp ombaomba fc

  • @arushamix6036
    @arushamix6036 Před 5 lety +5

    jinsi hiyo krosi ilivyokuwa tamu jamaa akaona isipite hivi hivi hata kama ni golini kwake, akatwanga kichwa.

  • @rehemamallya6274
    @rehemamallya6274 Před 5 lety +2

    jmn hili goli lina raha jaman

  • @mdkgmdfamily5063
    @mdkgmdfamily5063 Před 5 lety +15

    Hata asingejifunga tayari makambo alishajiseti yani nikwba angefunga tu wataka ndo ivyo usitake ndo ivyo

  • @neymarsuleyman8602
    @neymarsuleyman8602 Před 5 lety

    Ajib fundi sannna, anaakili nyingi sannna sio kwa pasi ndizi ileee

  • @BontamLee
    @BontamLee Před 5 lety +2

    KASEJA UPO FEAR TU,KUFUNGWA NA YANGA,NA SIMBA SURA ILIKUWA KAMA LIMAU.

  • @eshamwalimu6272
    @eshamwalimu6272 Před 5 lety

    Uyo ndo kadraaaaaaa Ajiiiiiib

  • @kachalavencha675
    @kachalavencha675 Před 5 lety +1

    Kweli wezetu mmezidi

  • @sultanikawambwa4118
    @sultanikawambwa4118 Před 5 lety +5

    Zahera unaeleweka sana na wachezaji wako, wanajua unataka nini ingawa kuna muda wanakosea coz ndio mpira lkn uwezo wako unabeba timu yetu. Pambaneni mpk jasho la mwisho kutetea bendera ya Yanga, tuongeze nguvu za michango sio kulaumu timu ikifanya vibayaa

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv Před 5 lety

    Yanga oyeee daima mbele nyuma kwetu mwiko

  • @albertlukoo7196
    @albertlukoo7196 Před 5 lety +1

    Yanga viva

  • @angelludgery7016
    @angelludgery7016 Před 5 lety +6

    Ajib izo ss sifa umeon wanasumbua ukaamua uwachonganish wajifung hahahaa noma sanaaaa

  • @vinmilez5739
    @vinmilez5739 Před 5 lety

    Maridadi diving header

  • @robertsongondwe6399
    @robertsongondwe6399 Před 4 lety

    Mtoto choko uyo mara ya pili iyo

  • @amosikabalata6381
    @amosikabalata6381 Před 5 lety

    KMC wakiendelea kumpanga huyo Yuda msaliti nitawashangaa! Ali Ali jana kadhiirisha Kala hela

  • @jamesnkungu7753
    @jamesnkungu7753 Před 5 lety +2

    Ingekua simba tungeambiwa pesa hinaongea hapa

  • @aslamrasheed5961
    @aslamrasheed5961 Před 5 lety +2

    Dah huyu ali ali kanikumbusha goli la van persie kombe la dunia

  • @venture_rafael
    @venture_rafael Před 5 lety +9

    jamani ili goal la pili ni goal la msimu hahahaaa

  • @sheddykayanda4369
    @sheddykayanda4369 Před 5 lety

    Ok sawa tunashukuru kwa mchango wsko

  • @amosjulius7298
    @amosjulius7298 Před 5 lety

    hapo kisanga ingekua game ya simba na ndio ajifunge hivo ungesikia wamenunua mechi huhuhu sawa changia changia team ya wananchi ipate point 3

  • @gaykazimoto1419
    @gaykazimoto1419 Před 5 lety +3

    Sisi ombaomba uwezowakununua Kama simbahatuna

  • @dgt6303
    @dgt6303 Před 5 lety

    Hii timu ndo maana imekuwa ombaomba...ona 1:00 uwanja ulivyo mtupu

  • @rajabsalim8920
    @rajabsalim8920 Před 5 lety +1

    Beki hakuna hao 🤣🤣🤣 kazama kwa nguvu zote golini kwake

  • @grecehuyukibanishida5595

    hiyo no kenge tens inabidi qtolewe kwenye kikos

  • @banzimaestro3472
    @banzimaestro3472 Před 5 lety +2

    Kufa kufaana asante Ally Ally ulichokifanya ndo maana ya kuwa mwananchi mchango mkubwa sana uo

  • @hangimasunga5959
    @hangimasunga5959 Před 5 lety +17

    Ally Ally nimeukubari mchango wako, hii ndo maana halisi ya timu ya wananchi. Changi chochote kile

  • @dismaschaz2019
    @dismaschaz2019 Před 5 lety +1

    Hapana chezea Young

  • @mudegajr4513
    @mudegajr4513 Před 5 lety

    Hivi kisoka huyu beki alichofanya ni alikamia au kauza mechi mm binafsi sijamuelewaa

  • @abelmahenge9879
    @abelmahenge9879 Před 5 lety

    Ally ally sawa na messy tu

  • @rehemamallya6274
    @rehemamallya6274 Před 5 lety

    dah

  • @alexrwechungura8512
    @alexrwechungura8512 Před 5 lety

    Dhu kwer

  • @mdkgmdfamily5063
    @mdkgmdfamily5063 Před 5 lety +15

    Sehemu kibaaao za miji yetu kuanzia Jana SAA sita usiku yani kumetulia sana hadi kumekucha Leo hii bado kumetulia yaani hadi raha masokoni vijiweni yaani kuko kimyaaa sasa sijui walinunua magazeti pia Leo au Leo wamekua wabaghili hahahahahaaaaaaaa

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 Před 5 lety

      Burudaaaan kabisa

    • @anasiatajovin203
      @anasiatajovin203 Před 5 lety

      Haiwezekan wanunue CX shabiki wa yanga ndio tunanunua magazeti tuu tunasoma habari za j s soura na ya yanga dhidi ya kmc tuu basii

  • @ahmedpenjula6422
    @ahmedpenjula6422 Před 5 lety +1

    JAMANI .. wababe wakiwa tarime wakija dar wanauza mayai ?...( Wakurya ) au (Simba) nipeni jibu

  • @shiraziramadhani1356
    @shiraziramadhani1356 Před 5 lety

    Mm nalishauri benchi la ufundi limchunguze huyu beki alli alli maana isije ikawa kama yale ya hasni kesi kwamapenzi ya timu fulani mara kampa kampa tena ushauri wa bure tu mm mwanaharakati nisie egemea upande wwte nduguye na musiba

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 5 lety +1

    Yan huyu fala aly aly ni yanga damu
    Kuokoa gan huko
    #tigopesa#

  • @maulidyussuf5454
    @maulidyussuf5454 Před 5 lety

    huyu Ally Ally yanga Si goli la bahati mbaya kakusudia

  • @evalinmumbo6994
    @evalinmumbo6994 Před 5 lety

    Huo ni uchiz na ujinga unatakiwa uwe makin kucheza sio unajichezea to

  • @mariahongerasanabekanakuku8888

    Hii ndiyo yanga bhana chama langu la ukweli

  • @othumanmwela9710
    @othumanmwela9710 Před 5 lety

    Mnateseka

  • @mirajiyassin4789
    @mirajiyassin4789 Před 5 lety +2

    Huyu mtangazaji inaonyesha ni shabiki wa timu Fulani.maana magoli ya wananchi hajayatendea haki kabs

  • @fredkinyonto8110
    @fredkinyonto8110 Před 5 lety

    Mwalimu kashasha unalizungumzieje goli la Ally Ally

  • @bennymgani3541
    @bennymgani3541 Před 5 lety

    uyu Ajib atakuja uwa watu et

  • @j6tz65
    @j6tz65 Před 5 lety

    Pongrzi

  • @halfahalfa9728
    @halfahalfa9728 Před 5 lety

    Mpenja anajilazimisha tu kutangaza kwa magoli ya yanga lakini moyoni anaumia

  • @zuberyaunda5263
    @zuberyaunda5263 Před 5 lety

    Tbetter

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 Před 5 lety

    mwishowenu utafika TU

  • @fffttty8173
    @fffttty8173 Před 5 lety +1

    Tshishimbeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 Před 5 lety +2

    Kila mtu ashinde mechi zake zoote

  • @hawardjasinimahenge2924

    ingekua simba wamenunua

  • @cosmasmwingira9074
    @cosmasmwingira9074 Před 5 lety

    pigaaaaaaaaaaaa

  • @bernadethaclety1711
    @bernadethaclety1711 Před 5 lety

    hahahahahah

  • @stevenshonza6869
    @stevenshonza6869 Před 5 lety

    Hahahaha

  • @ahmedbalouch922
    @ahmedbalouch922 Před 5 lety

    Wameuza game

  • @laurentprochess8278
    @laurentprochess8278 Před 5 lety

    Dago kazamiria huyo mpumbavu tu kapewa posho achunguzwe

    • @stellakayange4463
      @stellakayange4463 Před 5 lety

      Kwel huyu achungzwe ! Sio kwa njis hii bora angeacha mpira afungwe na mpinzan !!

    • @angelludgery7016
      @angelludgery7016 Před 5 lety +1

      Jaman bahat mbay haina mwnyew

    • @kachalavencha675
      @kachalavencha675 Před 5 lety

      Kweli ataliiiiiiiiiiiiiii

    • @adamsamweli9805
      @adamsamweli9805 Před 5 lety

      tatizo walikuja kwa kukakamia mno kumuingiza ajibu na tambwe wamepata mchecheto tu madogo wamepagawa tu

  • @rubenikambalamwezi5234

    anajibembeleza kwa yanga.aly aly anashikishwa ukuta

    • @mohamedramadhani4189
      @mohamedramadhani4189 Před 5 lety +1

      rubeni kambalamwezi ali ali ametoa nae mchango wake kwenye tim ya wananch.

  • @aladinho1352
    @aladinho1352 Před 5 lety

    Aly na yeye pasua kichwa

  • @allyiasachogogwe3753
    @allyiasachogogwe3753 Před 5 lety

    Nn

  • @anuarymussa3505
    @anuarymussa3505 Před 5 lety

    huyu kapewa mshiko asitudanganye

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 Před 5 lety

    Uchaw upo

  • @vincentminja6156
    @vincentminja6156 Před 5 lety

    wamenunua gem hao

  • @ramadhanihassani256
    @ramadhanihassani256 Před 5 lety

    yanga wachawiiiiiii

  • @jamesngingo4607
    @jamesngingo4607 Před 5 lety

    Huyu ally ally tokea yupo stand anajifunga mechi na yanga tu sababu wamejaa ndugu zake wazanzibar hiyo mipango tu.Mbona hajifungi mechi na timu zingine msenge sana choko yule.

  • @muhengastationary6388
    @muhengastationary6388 Před 5 lety

    musenge tu kuma

  • @alexwiliam7875
    @alexwiliam7875 Před 5 lety

    hapana hii mechi inahujuma huyo hajajifunga kuna namna imefanyika hapo yanga hawana lolote

    • @gundoanimal6750
      @gundoanimal6750 Před 5 lety +1

      Mwenda Omary basi tufanye 1-1..😂😂😂😂

    • @isackmathias9080
      @isackmathias9080 Před 5 lety

      aly aly nmekupenda gafra hongerq xana nmeupendq mchango wako Wa hali na Mali hii kweli Tim ya wananch😁😁😁😁

    • @angelludgery7016
      @angelludgery7016 Před 5 lety

      Mwenda omary huo ni mchango wake kwa wananchi kwann ukeleke

    • @kingkibotv8902
      @kingkibotv8902 Před 5 lety

      Kwan jaman ni ugomvi yanga inapendwa hivo Ally tutamsajili

  • @shabanilee3722
    @shabanilee3722 Před 5 lety

    Huyu ally kachukua ela kwa yanga sio kwa kujifunga hvyo bhana yanga hawajui mpira sikuzote

  • @veronicamtweve1806
    @veronicamtweve1806 Před 5 lety

    Mkichwa kama woto nimekupenda bureeeee Aly

  • @paulbruno5349
    @paulbruno5349 Před 5 lety +1

    Ukisikia kujiuwa kwa kujiwekea panga ndo hii

  • @oscarmanase1768
    @oscarmanase1768 Před 5 lety

    Huyu jamaa alikusudia kujifunga hata asingekuwa back kiasili asingeokoa vile

  • @stellakayange4463
    @stellakayange4463 Před 5 lety

    Hapana hii wamehonga hela za wachangiaji !! Mm siafik mana wangekuwa simba mnanunua mechi !