Magoli | Kagera Sugar 1-1 Simba SC | NBC Premier League 12/05/2024
Vložit
- čas přidán 11. 05. 2024
- Simba imebanwa mbavu na Kagera Sugar kwenye Dimba la Kaitaba Bukoba kwa sare ya bao 1-1, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara....
Ladaki Chasambi ndiye aliyetangulia kufunga dakika ya 24 kabla ya Obrey Chirwa kusazisha dakika ya 62. - Sport
Simba iyombe msaada wa nafasi ya 2
Mgunda aaminiwe, apewe team na uongozi ubaki huuhuu na team mbona nzuri tuu haina shida tusihangaike hata kusajili
MAKOLO HAWANA LOLOTE MAREFA WANAWABEBA SANA HII NI AIBU SANA
Simba yetu jamen ❤❤❤❤❤❤❤
Mmh si wamezidi wachezaji 3 daah
😂😂😂 simba juzi tu mlikua mnaimba mgunda leo tena afai
😅😅😅 simba ni timu yakubebwa always
Mshaanza si mlisema Mgunda apewe timu?
Na mkasema sasa furaha imerudi?
HAPO BILA KUSAFISHA VIONGOZI NA WACHEZAJI TUTALIA SANAA ,HAKUNA MCHEZAJI HATAMMOJA WAKIMATAIFA ANA HADHI YA KUICHEZEA SIMBA
Mgunda kocha wa Deda sio mpira mkiambiwa Azam waliihujumu Timu kelele kibao Timu bovu ndio maana Chama na Kibu hawaitaki
Mbona povu😅
Kwani mgunda tokea akamate timu kifunga azam 2
Hiyo ndio raha yako msimu huu😅😅😅
😂😂 kwahiyo mgunda anaondoka au
Ila mpiraaaa,,,,,,,sasa wewe chemalon fondo kwanini usingeutoa mpira nje uwe wa kulushwa?,badala yake unasababisha kona iliozaa goli,daaaah😢😢😢
goli la simba , wachezaji walikuwa off side , hawa marefa wana shida , tff na bodi ya ligi wapo watu was#nge sana
TFF si ni mashabiki wa 5imba toka mda
Wase Nini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wanathiiimbaaa 😂😂😂😂😂
wathimbathi🤣🤣🤣🤣🤣
Lau hilo goli la simba wangefunga Yanga, refa kibendera angeashiria offside maana wachezaji watatu wa simba walikuwa golini.
Semaji sema tena
Mugunda na matola ni makocha wanaoamini kwenye miti shyamba kuliko mazoezi na mazingra mazuri
Acheni. Kuzingua. Juzi mlikuwa mna msifia mgunda. Ila leo...hafai. Ivi. Kweli
Sijaona watu wa maajabu kama hawa Mandunduka.
Tulijua tu,tangu lini Simba akafanya vizuri???? JANA MKUNDA MZIRI,LEO SARE TUNAWASIKILIZA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii simba hata mfanyeje bado na NDUNDUKA TUUUUU
Offside simba
Mabadiriko lazima
Kolo mtamkana mgunda wenyewe , nafasi ya pili ndio Basi 😂😂
Semeni basiiiii,MWAKA HUUU CLUB BINGWA MTAINA KWENYE TV,SUBIRINI DODOMA JIJI WATAKAVYO WADODOMEZA
Thimba!!! thimba!!Sikio la kufa!😂😂😂
Ko wamesare au bado mpira unaendelea
Wanayanga hamuishiwi visa kusawazisha tu munaongea hadi midomo inawapauka
Nanyie wanasimba punguzeni midoma yanga iliwahi kupoteana misimu mitatu kama sio mnne lakini walitulia wakaangalia nini wafanye lakini wanasimba wenzangu hamueleweki
Wanasimba tusidanganyane hata kidogo mgunda co kocha wa kutufikisha nusu fainaliya caf ,wachezaji ndo mabomu ya nuklia kabisaaaa
Mbona mapema sana, si mlisema mnawaza ubingwa mlipomfunga Azam?
😂😂😂😂
@@user-cx7uz3ri6v sasa ahmedally sindo kazi yake lazima aseme ili apate ugali ,tunadangnya tu mgunda co kitu hana mbinu yyte
Caf ipi ??? 😂
Robertinho alifukuzwa kupunguza pressure kwa viongozi tu
Apo bad mpka mseme
Nabado mtaisoma
Boli halijatembea leo nafasi ya tatu inawahusu mkacheze shirikisho kombe la looser
Et baleke na boko wakowap jmn?
Sa unatuuliza sie 😂 mpigie simu mudi😂
@@ngadumbishi1405 kuuliz t ND jib hilo jmn km huwez kujib si ukae kimy ND maaaan mnakuta hamfanikiw katk maish
Basi Aya fanikiwa pekeyako😂@@moreenfelluzy3243
Beki hatuna kabisa
Sikio la kufa
Che Malone kachomesha leo
Simba yetu jamen ❤❤❤❤❤❤❤
Apo bad mpka mseme
Simba yetu jamen ❤❤❤❤❤❤❤