Zama za Mwisho 3: Kisa cha Dhul Qarnain na Ya'juj wa Ma'juj pt1
Vložit
- čas přidán 21. 09. 2015
- Darsa hili lengo lake ni kuondoa ufahamu usiosahihi kuwa Yajuj na Majuj ni vimnyama vilivyofungiwa ardhini na vitafunguliwa siku ya kiyama.
Yajuj na Majuj ni wanadamu watakaotawala dunia zama za mwisho, utawala wao utakuwa wa kishetani. Kazi yao kubwa ni kulirudisha Taifa la Kiyahudi (Israel) duniani na kuhakikisha dunia siku moja inatawaliwa na Wayahudi na taifa lao la Israel (Qur'an 21:95,96)
Ust Hamza Issa
+255714750521
Masha allah... allah akuzidishie elimu na ukupe kila la kheri kwa kusambaza elimu hii kubwa kabisa kwa waislamu
خزاك ألله خير يا اخي
Huyu sheikh bado yuapatkana
naomba number yako ya what's up
usikate tamaa unapologetic pikwa vjta kwani hiyo ni dalili kua Allah anakupenda
0714750521
Ust Hamza Issa Tanzania kheir tupu
Huyu ni kafir anajiita mtume