Zama za Mwisho 3: Kisa cha Dhul Qarnain na Ya'juj wa Ma'juj pt1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 09. 2015
  • Darsa hili lengo lake ni kuondoa ufahamu usiosahihi kuwa Yajuj na Majuj ni vimnyama vilivyofungiwa ardhini na vitafunguliwa siku ya kiyama.
    Yajuj na Majuj ni wanadamu watakaotawala dunia zama za mwisho, utawala wao utakuwa wa kishetani. Kazi yao kubwa ni kulirudisha Taifa la Kiyahudi (Israel) duniani na kuhakikisha dunia siku moja inatawaliwa na Wayahudi na taifa lao la Israel (Qur'an 21:95,96)
    Ust Hamza Issa
    +255714750521

Komentáře • 8