USHAURI WA KIPUUZI ZAIDI AMBAO MATAJIRI HUWADANGANYA MASKINI ILI WAENDELEE KUWA MASKINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 05. 2020

Komentáře • 78

  • @anitajosiah604
    @anitajosiah604 Před 4 lety +7

    This is the guy we are looking for, Godamn SMART💯

  • @qeiyss7629
    @qeiyss7629 Před 4 lety +4

    Kaka mshukuru mung ulipo usije ukakufuru. Ukawaon wanafany kazi ngumu kuwa wanapenda. Ni Rizki tu mung kawaandikia waipate kwa njia hiyo..

  • @ElimikaTz
    @ElimikaTz Před 4 lety +2

    kweli kabisa! siri ni Fanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu.. work smarter and not harder! consistency is always the key..

  • @SunsetHunter4526
    @SunsetHunter4526 Před 4 lety +2

    True Story Man Jeff Nzi akiwa Serious anaweza Tengeneza Asali piaa

  • @shellemashelle3188
    @shellemashelle3188 Před 4 lety +3

    Du! Somo gumu-efficiency, productivity and consistency

  • @rubberbandman1213
    @rubberbandman1213 Před 4 lety +5

    Professor dadavua kidogo,bado tuna kiu wengi wetu🙏

  • @successpatience7641
    @successpatience7641 Před 4 lety +3

    Kaka tumia lugha moja , unapochanganya lugha watu wengine unawapteza , mtu mwingine hata hyo consistency hajui

  • @denissanga454
    @denissanga454 Před 4 lety +1

    short and clear

  • @winfridajastine4883
    @winfridajastine4883 Před 4 lety

    Nice nmeenjoy n nmeelimika pia

  • @alphakapinga3182
    @alphakapinga3182 Před 3 lety +1

    Thanks sana, nakukubari sana brow, I wish one day nije nionane nawe face to face, naamini ipo siku itafka tu,

  • @paulmutailuka2417
    @paulmutailuka2417 Před 4 lety +2

    Asante Mkuu unazidi kufungua Bongo Lala za raia, tunakubali bro endelea kulusha Mawe gizani itajulikana mbele ya safari litakae mpata 😀😀😀😀 SHARK SHAKA ZULU 🐬🙏🙏✌

  • @frankchisemeli4481
    @frankchisemeli4481 Před 2 lety

    Shukurani Sana bro,
    Bado naendelea kujifunza!!!

  • @owlbig
    @owlbig Před 4 lety +1

    That is true

  • @deonisamedeus9695
    @deonisamedeus9695 Před 4 lety +2

    Sir points always

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 Před 4 lety +6

    Ingekuwa Veema ungeelezea maana ya hizo efficiency, productivity.ingekaa POA zaidii

  • @eliamamilo8974
    @eliamamilo8974 Před 4 lety

    OK mentor

  • @faucynkrctian6607
    @faucynkrctian6607 Před 3 lety

    Work smart

  • @_Mohan360
    @_Mohan360 Před 4 lety

    Well

  • @christelle9690
    @christelle9690 Před 3 lety

    Yes sir jeff

  • @barikimomadi4210
    @barikimomadi4210 Před 4 lety +1

    WELL SAID🙏🙏🙏

  • @bernarddeus3441
    @bernarddeus3441 Před 4 lety

    Shukrani sana

  • @oscarbatege9830
    @oscarbatege9830 Před 2 lety

    Nakukubali sana kaka

  • @alfredcornel3633
    @alfredcornel3633 Před 4 lety

    Well said

  • @boshenfireee994
    @boshenfireee994 Před 4 lety

    asante sana SHAKAAA

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 Před 3 lety

    Kaka no yako tafadhari!!!👐👐

  • @misheckranda4828
    @misheckranda4828 Před 2 lety

    Bloo nakuelewa sana nakuomba nitumie namba ili unifundishe zaidi naona lupitia wewe kuna naweza fika sehem kubwa sana nakuomba bloo

  • @christelle9690
    @christelle9690 Před 3 lety

    Thank you

  • @kishoshamisungwi
    @kishoshamisungwi Před rokem

    True bro

  • @HustleOnTv
    @HustleOnTv Před 4 lety

    Very very true

  • @simonmzazi8046
    @simonmzazi8046 Před 4 lety +2

    Tumepata dozi.... Inabidi mzee baba dingi mjuba mag** aongeze description ya kauli mbiu!!! "Hapa kazi tu zenye efficiency, Productive na Consistency"

  • @michaelmaige6879
    @michaelmaige6879 Před 4 lety

    Mwenye masikio na asikie.

  • @abuukhaytham1696
    @abuukhaytham1696 Před 4 lety

    Kiiing Sharkkkk.

  • @mihayomk8621
    @mihayomk8621 Před 4 lety

    Safi sana

  • @mugaupdates8457
    @mugaupdates8457 Před 4 lety

    Facts

  • @kenworthrugambwa85
    @kenworthrugambwa85 Před 4 lety

    Uko bien mkuu

  • @frankshock6932
    @frankshock6932 Před 4 lety

    Imekaa poa sana

  • @dismasdavid450
    @dismasdavid450 Před 4 lety

    Sir jeff ningeomba nikuone

  • @sarafinamaneth3236
    @sarafinamaneth3236 Před 4 lety

    Yaaani hapo ndo nimepona kabisa ,maana kila siku nakzana tu ,kumbe wapi,thank u sana ticha wa faida

  • @christianyouthinbusiness

    RichMentor🙌🙌

  • @SWIFT-EMPIRE
    @SWIFT-EMPIRE Před 4 lety

    iko poa sana pia

  • @dismasdavid450
    @dismasdavid450 Před 4 lety

    Nakuomba sana

  • @erickopondo4676
    @erickopondo4676 Před 2 lety

    Hello do you have a telegram channel

  • @happysam6919
    @happysam6919 Před 2 měsíci

    Hard worker die poor smart worker die rich 📌

  • @carlospeter2626
    @carlospeter2626 Před 4 lety

    Imekaa poa sana 😂😂

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před 2 lety

    Ila hivyo vitu vitatu umetumia lugha gani sijaelewa ikikupendeza uwe unatafsiri kwa kiswahili ili usiniache njiani unikokote tuvuke wote

  • @swahifosman5672
    @swahifosman5672 Před 3 lety

    Bro inge kua poa sana unge ongea kiswahili pekee niambie maana ya hizo vitu tatu efficieny pr, cons,??

  • @saidibakari4190
    @saidibakari4190 Před 4 lety

    bro umetsha sana #fanyakazsana ni upuuz Lazma Brain ifkilie 3 important things #from sirJeff

  • @bmgtv1454
    @bmgtv1454 Před 4 lety

    1

  • @Miss.lucky2425
    @Miss.lucky2425 Před 4 lety

    Bro tunasubir video abt social media matketing

  • @TaniBlatant93
    @TaniBlatant93 Před 4 lety

    we mjamaa umekuwa unasave watz wengi ambao ngeli tunaelewa lkn hatupati maana km ilivokusudiwaa.

  • @lifestyletv4338
    @lifestyletv4338 Před 4 lety

    Poor Dad rich Dad.....by Robert kiyosaki....walosoma hichi kitabu nafkiri wanaelewa Anac homaanisha jeff

  • @kilazajr3720
    @kilazajr3720 Před 4 lety

    shaka shaka zuluuuuuuu

  • @josiahpatrick6554
    @josiahpatrick6554 Před 4 lety

    Tunaomba pia uwe unatumia maneno ya kiswahili kwenye baadhi ya maneno maana huwa tunashare na wengine hizi videos so inatuwia vigumu asante

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 4 lety

    Wengine wanafkiri kufanya kazi kwa bidii ni kuminyana na zege na jasho kukutoka

  • @humphreypaul9735
    @humphreypaul9735 Před 4 lety

    Nakubali kaka ushauri wako mzuri

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 Před 4 lety +1

    Kama hatofanya kazi izo unazosema who will work the kind of job u mention!?tatizo hapa c kufanya kazi izo tatizo ni mfanyakazi kudumu pasipo kubadilisha kazi ya kumlipa kwa baadae

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 Před 4 lety

    Sisi kwetu husipo jua kulima na jembe la mkono unaambiwa mvivu hata mke hupati😀😀😀

  • @officialmsauzy4233
    @officialmsauzy4233 Před 4 lety

    SHAKA ZULU

  • @tonnymkama697
    @tonnymkama697 Před 3 lety

    imekaa poa sanaaa

  • @renatuskiiza5199
    @renatuskiiza5199 Před 4 lety

    Umeelewa SHAKA SHAKA ZULU

  • @samyjohn2389
    @samyjohn2389 Před 4 lety

    As usual, shark shaka zulu on demands

  • @grantjb4881
    @grantjb4881 Před 4 lety

    Ujaelezea ss tunaelewaje

  • @andertoneballa7656
    @andertoneballa7656 Před 4 lety

    Na ndo mana hapa kaz tuy tunalialia

  • @michaelkornel5809
    @michaelkornel5809 Před 4 lety

    Me ndio maana huwaga sipend kusikiliza speech za matajiri wanatupotosha tu

  • @joseepngalyamunu911
    @joseepngalyamunu911 Před 4 lety

    Sirjef punguza kinge maana na ss watu wa utopolo 2nafuatilia video zako

  • @mossesisaya1866
    @mossesisaya1866 Před 4 lety +12

    TATIZO.!
    Aisee sijajuwa ni kwanini, ila kiukweli nikikutana na video ya JEFF hapa youtube yenye dakika chache kama hii ya dk 1 napoteza mudi/hamasa/morali wote kabisa, nafikiri mimi kama mteja wako wa youtube basi upo chini kabisa ya matarajio niloyoyatazamia kwenye upande wa dakika za video, SIJAJUWA KWA WENZANGU na
    (Kama kuna mtu atasema content/maudhui ndio cha muhimu na sio muda,me nitakuwa na chakumuuliza.! Unafikiri kwenye muda atakaouongeza SirJeff atakuwa anaongea pumba...? Natumaini jibu litakuwa "hapana" kama ndivyo basi muda wa video uongezwe au sio..?)
    Ushauri wangu "video ikiwa na dakika 9-12 au zaidi" itakuwa pouwa sanaa na vyema ajabu

    • @qadinacci
      @qadinacci Před 4 lety

      Si kweli Bro katoa video fupi yenye kila kitu, kaeleza kuanzia tatizo mpaka Jinsi ya kukabiliana na hilo tatizo...

  • @salumjumanne2800
    @salumjumanne2800 Před 4 lety

    KING SHARK SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKA ZULU

  • @joachimnazael8325
    @joachimnazael8325 Před 3 lety

    Duuh hii nikwel kabisa

  • @lutagatejumanne6254
    @lutagatejumanne6254 Před 4 lety

    We jamaa yan unaongea ukwel mtupu yani

  • @geraldkinissa8773
    @geraldkinissa8773 Před 4 lety +1

    #SirJeff yani wewe ni Robert Kiyosaki wa Tanzania kabisa. Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo hakuna mtu yeyote anaweza kukustua/kukuambia. Nakumbuka juzi kati hapa marekani ilifanya economic boost kwa ajili ya uchumi wao but Robert Kuyosaki aliamka akawaambia wamarekani wasibweteke kusikia Kuna economic boost that was not meant for people rather for financial institutions i.e, big banks etc, which is technically true.

  • @godfreyyusuph8901
    @godfreyyusuph8901 Před 4 lety

    Naomba tuwasiliàne jeff0765030995

  • @danielmakoi971
    @danielmakoi971 Před 4 lety

    Imekaa poa sana