Kama hatofanya kazi izo unazosema who will work the kind of job u mention!?tatizo hapa c kufanya kazi izo tatizo ni mfanyakazi kudumu pasipo kubadilisha kazi ya kumlipa kwa baadae
TATIZO.! Aisee sijajuwa ni kwanini, ila kiukweli nikikutana na video ya JEFF hapa youtube yenye dakika chache kama hii ya dk 1 napoteza mudi/hamasa/morali wote kabisa, nafikiri mimi kama mteja wako wa youtube basi upo chini kabisa ya matarajio niloyoyatazamia kwenye upande wa dakika za video, SIJAJUWA KWA WENZANGU na (Kama kuna mtu atasema content/maudhui ndio cha muhimu na sio muda,me nitakuwa na chakumuuliza.! Unafikiri kwenye muda atakaouongeza SirJeff atakuwa anaongea pumba...? Natumaini jibu litakuwa "hapana" kama ndivyo basi muda wa video uongezwe au sio..?) Ushauri wangu "video ikiwa na dakika 9-12 au zaidi" itakuwa pouwa sanaa na vyema ajabu
#SirJeff yani wewe ni Robert Kiyosaki wa Tanzania kabisa. Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo hakuna mtu yeyote anaweza kukustua/kukuambia. Nakumbuka juzi kati hapa marekani ilifanya economic boost kwa ajili ya uchumi wao but Robert Kuyosaki aliamka akawaambia wamarekani wasibweteke kusikia Kuna economic boost that was not meant for people rather for financial institutions i.e, big banks etc, which is technically true.
This is the guy we are looking for, Godamn SMART💯
Kaka mshukuru mung ulipo usije ukakufuru. Ukawaon wanafany kazi ngumu kuwa wanapenda. Ni Rizki tu mung kawaandikia waipate kwa njia hiyo..
kweli kabisa! siri ni Fanya kazi kwa kutumia akili na sio nguvu.. work smarter and not harder! consistency is always the key..
True Story Man Jeff Nzi akiwa Serious anaweza Tengeneza Asali piaa
Du! Somo gumu-efficiency, productivity and consistency
Professor dadavua kidogo,bado tuna kiu wengi wetu🙏
Kaka tumia lugha moja , unapochanganya lugha watu wengine unawapteza , mtu mwingine hata hyo consistency hajui
short and clear
Nice nmeenjoy n nmeelimika pia
Thanks sana, nakukubari sana brow, I wish one day nije nionane nawe face to face, naamini ipo siku itafka tu,
Asante Mkuu unazidi kufungua Bongo Lala za raia, tunakubali bro endelea kulusha Mawe gizani itajulikana mbele ya safari litakae mpata 😀😀😀😀 SHARK SHAKA ZULU 🐬🙏🙏✌
Shukurani Sana bro,
Bado naendelea kujifunza!!!
That is true
Sir points always
Ingekuwa Veema ungeelezea maana ya hizo efficiency, productivity.ingekaa POA zaidii
Umeonaee
OK mentor
Work smart
Well
Yes sir jeff
WELL SAID🙏🙏🙏
Shukrani sana
Nakukubali sana kaka
Well said
asante sana SHAKAAA
Kaka no yako tafadhari!!!👐👐
Bloo nakuelewa sana nakuomba nitumie namba ili unifundishe zaidi naona lupitia wewe kuna naweza fika sehem kubwa sana nakuomba bloo
Thank you
True bro
Very very true
Tumepata dozi.... Inabidi mzee baba dingi mjuba mag** aongeze description ya kauli mbiu!!! "Hapa kazi tu zenye efficiency, Productive na Consistency"
Mwenye masikio na asikie.
Kiiing Sharkkkk.
Safi sana
Facts
Uko bien mkuu
Imekaa poa sana
Sir jeff ningeomba nikuone
Yaaani hapo ndo nimepona kabisa ,maana kila siku nakzana tu ,kumbe wapi,thank u sana ticha wa faida
RichMentor🙌🙌
iko poa sana pia
Nakuomba sana
Hello do you have a telegram channel
Hard worker die poor smart worker die rich 📌
Imekaa poa sana 😂😂
Ila hivyo vitu vitatu umetumia lugha gani sijaelewa ikikupendeza uwe unatafsiri kwa kiswahili ili usiniache njiani unikokote tuvuke wote
Bro inge kua poa sana unge ongea kiswahili pekee niambie maana ya hizo vitu tatu efficieny pr, cons,??
bro umetsha sana #fanyakazsana ni upuuz Lazma Brain ifkilie 3 important things #from sirJeff
1
Bro tunasubir video abt social media matketing
we mjamaa umekuwa unasave watz wengi ambao ngeli tunaelewa lkn hatupati maana km ilivokusudiwaa.
Poor Dad rich Dad.....by Robert kiyosaki....walosoma hichi kitabu nafkiri wanaelewa Anac homaanisha jeff
shaka shaka zuluuuuuuu
Tunaomba pia uwe unatumia maneno ya kiswahili kwenye baadhi ya maneno maana huwa tunashare na wengine hizi videos so inatuwia vigumu asante
Wengine wanafkiri kufanya kazi kwa bidii ni kuminyana na zege na jasho kukutoka
Nakubali kaka ushauri wako mzuri
@@susiebabilas2971 nakubali
Kama hatofanya kazi izo unazosema who will work the kind of job u mention!?tatizo hapa c kufanya kazi izo tatizo ni mfanyakazi kudumu pasipo kubadilisha kazi ya kumlipa kwa baadae
Sisi kwetu husipo jua kulima na jembe la mkono unaambiwa mvivu hata mke hupati😀😀😀
SHAKA ZULU
imekaa poa sanaaa
Umeelewa SHAKA SHAKA ZULU
As usual, shark shaka zulu on demands
Ujaelezea ss tunaelewaje
Na ndo mana hapa kaz tuy tunalialia
Me ndio maana huwaga sipend kusikiliza speech za matajiri wanatupotosha tu
Sirjef punguza kinge maana na ss watu wa utopolo 2nafuatilia video zako
TATIZO.!
Aisee sijajuwa ni kwanini, ila kiukweli nikikutana na video ya JEFF hapa youtube yenye dakika chache kama hii ya dk 1 napoteza mudi/hamasa/morali wote kabisa, nafikiri mimi kama mteja wako wa youtube basi upo chini kabisa ya matarajio niloyoyatazamia kwenye upande wa dakika za video, SIJAJUWA KWA WENZANGU na
(Kama kuna mtu atasema content/maudhui ndio cha muhimu na sio muda,me nitakuwa na chakumuuliza.! Unafikiri kwenye muda atakaouongeza SirJeff atakuwa anaongea pumba...? Natumaini jibu litakuwa "hapana" kama ndivyo basi muda wa video uongezwe au sio..?)
Ushauri wangu "video ikiwa na dakika 9-12 au zaidi" itakuwa pouwa sanaa na vyema ajabu
Si kweli Bro katoa video fupi yenye kila kitu, kaeleza kuanzia tatizo mpaka Jinsi ya kukabiliana na hilo tatizo...
KING SHARK SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKA SHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKASHAKA ZULU
Duuh hii nikwel kabisa
We jamaa yan unaongea ukwel mtupu yani
#SirJeff yani wewe ni Robert Kiyosaki wa Tanzania kabisa. Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo hakuna mtu yeyote anaweza kukustua/kukuambia. Nakumbuka juzi kati hapa marekani ilifanya economic boost kwa ajili ya uchumi wao but Robert Kuyosaki aliamka akawaambia wamarekani wasibweteke kusikia Kuna economic boost that was not meant for people rather for financial institutions i.e, big banks etc, which is technically true.
Naomba tuwasiliàne jeff0765030995
Imekaa poa sana