PABLO ALMAS afunguka kisa chakuondoka MANARA TV nakwenda CROWN MEDIA, MANARA wameni BLOCK

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024
  • Jiunge nasi kupitiaa mitandao yakijamii Facebook, Instagram na Twitter gusa link za zetu apo chini pia waweza kuchat nasi kupitia whatsapp ama kutupigia kawaida kupitia namba zetu ni +255755449629 karibu sana kwa habari mbalimbali
    .
    FACEBOOK / minotv
    INSTAGRAM / minotv_tz
    TIKTOK / minotv_tz .

Komentáře • 17

  • @Mgema001
    @Mgema001 Před 2 měsíci +4

    Kama mond anavomkubali jamal April ndivo kiba anavomkubali pablo, hawa washikaji wote ni watu poa

  • @lodricklazaro1013
    @lodricklazaro1013 Před 2 měsíci +5

    please naomba kujua Pablo anauwezo wakuongea lugha ngapi na nizipi hizo pia ajaribu kujieleza japo kidogo kwakila lugha please

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 2 měsíci +2

      Si kiingera kifaransa na kiswahili si Amekua akihoji watu kwa lugha hizo na tumeona

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 2 měsíci +2

    Pablo Namkubali Xana Anajuw 🎉❤🎉

  • @user-su5eg9cs6b
    @user-su5eg9cs6b Před 2 měsíci +3

    Big up pablo

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před měsícem +1

    Uko vizuri dogo

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 Před měsícem +1

    Pablo ni mzima sana

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 2 měsíci +2

    Pablo yupo visuri

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před měsícem +1

    sound mbovuuuuuuu

  • @Manumwarome001
    @Manumwarome001 Před 2 měsíci +5

    Twaskia Alikiba sai ako na gari mpya kwa mjibu wa mwijaku so please fatilia tujue ni gari aina gani