Video není dostupné.
Omlouváme se.
MOYO WA CHUMA FULL MOVIE.
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- #frp #fry #fyp ytviral #1000subscriber #foryourpage #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan
Pole sana mwamba, series Iko sawa kabisa, quality ya audio sawa, location sawa sana, wahusika wachache na wanaelewa majukumu Yao na zaidi ya yote ubunifu wa high quality, kaka Kenya unapendwa na kazi kama hizi zinafanya upendwe Zaidi
Kweli sana
Zablon damiano @4492@@aligermano3615
Pole San gozi mungu amlaze mahali pema mama lakin nakuombea na ww mugu akutie nguvu na uzidi kufanya kaz nzur zaidi ya hii
Mungu akuzidishie maarifa mengine zaidi gozi upo vizulinimependaa
Aisee hii film mmetisha kinoma iko powa mno.Napenda kuwapa hongera kubwa.
Si nitachelewa kazini daaah! Movie kali mno,, hongera gozi.......
Pole sana kwa yaliyokupata? Lakini kazi safi sana bwana Gozi,,,huwa nakufatilia sana kutoka busia kenya......
Kutoka chumvi nyingi gang mpk direct gozi
Pole gozi Kwa msiba Ila bro upo vzuri Sana unaweza kaka
Pole sana kaka take heart Rip kwa mzeee😭😭😭😭😭
❤❤ongela San bro
Daa pole sana bro🇰🇪
Yani movie nikali kinoma yani❤❤
SORRY FOR THE LOSS OF U DADDY😢
BUT THANKS SO MUCH FOR THE GOOD AND WONDERFUL MOVIE ❤ MUCH LOVE AND RESPECT WATCHING FROM UGANDA ❤❤❤❤❤
Akih pole sana mungu ampunzishe pema peponi niwapenda nyote mbalikiee
Wakwanza .... yeah...!!! By Mr okay 1time
Naikubali sana hii movie❤🎉
❤❤❤wanasema ni tam ajabu chukua maua yako🎉🎉🎉 Gozi😊😊😊
Oya gozi kiukwel nyau mtu na nusu nanifuraisha sana
Pore sana kaka😢
Mtaniau na kicheko jamani😂😂😂😂
Pole sana kaka mungu akupenguvu
💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐❤️💐💐💐💐💐❤️🔥🙏
Good❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Very nice, wow movie zuri sana, Sasa mwishi mwapendeza sana thanks
Pole sana kwa kumpoteza Baba...Mungu akupe subra....Aidha ni kazi nzuri sana kaka. inatazamika mbele ya familia
Daaah aisee pole sana Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pole sanaa mwamba moyo wa chuma iko sawa ❤mimi niko america bali nafatiliziya muvie zako thanks bro
Pole kaka kwa kupoteza mzazi mungu azidi kukufariji
Pole gozi kwa kumpoteza mzee ila umeweza movie tamu sana
Nasubiri next season
Pole saana na kivo ya mzee, hongera saana kua iyi filamu.safi saana ❤.
Big up very nice movie n it’s clear
Cogratulations 🎉🎉🎉movie nzuri sana❤❤❤
Oops pole sana gozi kwakumpoteza mzeekazi yamungu Haina makosa ila asante kwakazi nzuri
Shukulan kwa KO gozi kazinzuri s
Pole na msiba gozi
Movie nzuri sana , na pole kwa kupoteza babako
Pole Sana Kumupoteza BBa
Pole sana kaka.to mach love from kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Filamu nzuri 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mmmmm pole sana kakangu
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉safi sana
Pole sana kaka kwa kumpoteza baba
Eu também gostei esta história. Dop!
Pole sana Kwa kupoteza kitu sahihii
Pole sana kaka 😢😢bt pokea zawadi ya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nakupenda sana
❤❤❤hongera sana kazi zuri sana na pole sana
Pole kwa msiba wa dady wako mungu akutie nguvu
Pole sn kw kumpoteza babako 🇲🇴🇲🇴🇲🇴
Pole sana kaka
Pole sana bro gozi
Hongeraa snaah gozii
Pole kaka na msiba wa baba
Pole kwa msiba kaka,kitu shwari lete kwa wingi
Honger gozi
Watching from kenya 🎉🎉 kazi nzuri
Kazi nzuri sana!
Nice move
Kaka umetisha hii movie n zaidi ya noma bro❤❤❤
Poleni sana kaka wangu
Pole kaka❤ kz nzur sana🎉
Pooole sana Asante
Big up bro,kazi bora sana
Pole sana
Anisa mkorogo umekataa vdoleni
Pole sana kaka❤
umetisha sanaaa mwamba na nikupe pole kwa kuondokewa na mzazi kwan kaz yke mola haina makosa
Pole sana goz Allah akupe subta inshallah
Nice one
Ado kakimbia
good movie
Gozi uko vizur San
pole mwamba maana pigo takatifu na ni pengo lislo zibika apumzike kwa aman
nice one
polewuinmbk chewsa kmoi. Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
kuna huruma na utu
Big up xna bro nimeona kazi yako
Uko vizuri bro.ila chado kaharibu ju ya Tamaa Ila movie iko POA nikiwa kenya
Pole sana😢😢
So emotionally
Pole San kaka
I'm
Kumbe gozi muzulu?
Pole sana kwa hayo lakini sinema ilikua tamu sana
oya goz we fund san
Pole Sana mkuu
Pol San dudia ndo ilivy
Gozi aliharibu Hanifa alikuwa anaenda ndani na sioni kama atakuwa mke Sawa
Goz fund wewe
Hongera sana broo ila pole xna kwa kufiliwa bba yko mngu amulaze mhli pena peponi
Hanifa, kwaninihumpi habariya yule ejamaa, ambaeanakujahaponyumbani, nakuku koromea.
Ongera sana broo
Pole sana movie Kali sana nmeipenda sana
Pole sana
Pole sana kaka