Tazama Mtanzania Mayunga kafika nyumbani kwa Akon Marekani
Vložit
- čas přidán 20. 11. 2015
- Ni mshindi wa shindano la Airtel TRACE MUSIC STAR Nalimi Mayunga ambaye ameshafika nyumbani kwa Akon Marekani kwa ajili ya kurekodi kolabo yao, stori kamili iko kwenye hii video.
- Zábava
Moro tunavopaji ma sha allah kka mungu azid kukubariki kwa kaz ya mikono yako
mungu baba zidi kuibarik Tanzania na watu wake ili tuwakilishe vyema nnchi yetu wajue kuwa atiko nyuma natukiwezeshwa tunaweza ....nasema asante mungu ibarik Tanzania na watu wake ameen👏👏👏👏
waoooo palale palale una weza mungu akutangulie
mungu atamjalia mtanzania mwenzetu katika kutuwakilisha vyema.
Mungu bariki Tanzania 🇹🇿
Tz oyeee tunazidi kukiwashaa kinoma noma
Mungu akulinde saaana mdogo wangu Mayunga.
Denis Mayunga sisi ni ndugu
tnx Millard ayo woow mpk raha yan hiyo nyimbo noma mungu awwjalie kaz zenu
you are the best mtu wangu wa nguvu, endelea kutupa vitu vzr
Mungu ibariki tz Mungu wabariki watu wako ili tupate akina mayunga wengi.
Millard you do it better bro in this game u don't take it for granted as most of we do........ God be with you on ur way up the world till then 👍I will always be your great fan of your work for as long as I live....
Mtu wangu wanguvu MillardAyo upo juu salut
Gkeep it ip mayunga...unajua, heshima kubwa ikuendee, penye nia pana njia...vijana wenzangu hakuna kukata tamaa..tusikatishwe tamaa tuzitimize ndoto zetu. Safi Tz icon vocalist.
uko vzr mayunga God bless u
pour sana mzee kaza mzazi
Big up Sana bro your dreams will came true one day one time in one way on the other.
safi sana Kijana kazi nzuri na njeme sana
dogo unaweza,umetuonesha,keep it up,utakuwa msanii mkubwa sana.
Mungu ni mwema utafika.
ahsante mirad kwa habari mbalmbli unafanya kazi saaafi kabisa
Herbeth Andrew tru
Good job broo!! Wsh u all the best
goooooooooooooooo baba ...mungu akusimamie yunga wang
nakuelewa mayunga unaweza Sana
Kijana uko na.kipaji Mungu.azidi kukuinua zaidi.na zaidi
Dah. Edward vung bhn. Big up Mayunga.....
THE BIGGEST BOSS NASRI
Ni nzuri, lakin najaribu kuitafuta CZcams siipati nisaidien naipataje
lov u mayunga
nimependa Kweni kajakipeke hongera sana kaka
ahsante mayunga kwa kutuwakilish
Millard Ayo 😍😍 😍
Respect to yoU Mayunga....
....Tz ...god bless my country
jj
All the best mayunga
Big up Mayungaa #TZ
Mungu akutangulie
Nice bro Mayunga
Best wishes Mayunga
Ndoto ya mnyonge imetimia tuliza ndonga ufike kilele
Good
Kuwa makini dogo angalia maisha yako pambana achana na mambo ya media
thanks Ayo
bro big up mayunga
Kijana anaweza sana
kama kawaida yet brdh mayunga ukilud moro moja kwa moja had rock garden
Angeimba Tanzania kwakinasalama asingetoka wanataka za nibebebebebebebebebe
😂😂😂
Tena😂😂😂😂😂
Big up kwako
Milard Ayo SALUTE to you for all info every time you given us your fans from our Country
ayo tv...safi mirlad
safi.sana kutupa vitu .Millard TV,from London.
good. kijan
very very nic
Love u mayunga
good work
mungu amjalie mambo yake yaendelee zaid.Millard ayo upo juu mtu wa nguvu
👍👍👍 sana,
Big up mayunga
pongezi Mayunga..Wakenya ndo walilalia maskio
kaluhije ally
Huu ndo usenge Sasa mpaka leo Yuko wap bola izo million mia9 angepokea mkonon aje afanye maisha tz sahz hata umaarufu hana
duuu nic
Pleas don"t go away naupend sana
Hii video nimeiona leo but mayunga sio mtanzania .. .. malard umefeli kwennye kukusanya data
Nice
pamoja m2 wa nguvu Ayo..
Mayunga yuko vizuri, ila swari langu kwake kama ningekutana naye ana kwa ana ningemhuriza "kwanini aliamua kuimba kwa kiingeleza na uku TZ tunawanamuziki wetu wakibongo,kwanini akuigiza mwimbo wa mmojawapo wa wasanii wetu?" Comeon Mayunga consolidate please!
Katisha san n enx millard
utaskia sasa ivi yuko kwa mkubwa fellaa.. jamaa mjanjaa uyo.
khamis salim Hahaaaaaa
khamis salim mzee baba umeongea kwel jamaa anapnd san vt vzl
Yuko wapi saiv
kila la kheli mayunga
naitwa maicke nipo canada napenda sana kipindi chako millard ayo
nyc
hiyo nyimbo inaitwaje kwenye bus
Hv sshv uko wp mayunga??
n hatariiii xanaaa aseeeeeh
Vizuri
hongera mayunga
ametisha
ayo upo juu shkurn
Leo
ukirud bongo utakutana nkina amba lut wakualibiee ftre yko mzee
Ukirudi bongo na mziki bac
Watueakilishe vyema xyo kubwia madawa ya kulevya
Ww
Niiv uyokijana apew kiwanj dodom
Utaipa?maana serikali haina hela
kaza bado unanafasi kaza
Wewe ayo huyu si ndiye aliyekuwa Muuza baa?
U
ndio
hahaas kuzimia
Usiruɗi tena ɓongo kijana nucki tu
Yeeesssss
tip top wasje kumchukuaa
where is he?!
Coach Temba
Coach Temba mambo
Coach Temba t
Downstairs
mayuga hukuchangamukia fulsa
Uwo wimbo uko wapi sasa adi leo ujatoka tu
Unaitwa plz dont go away
Unaitwa please dont go away
ukovizuli
tulia wewe acha ulimbukeni, dogo ishu ZA akon zipo wazi jiandaye kuingia fremason
Hahahahaaaa uwi dogo kidogo akate moto
😂😂😂😂😂
Alichezea bahati
Kabixa
Mmmmh labda karoga ila sauti hana
Qaboos said pyeeeeeee kwendraaaaaaa
Majaji wanajua nini sababu yakumchagua!! Watch your words man
Qaboos said mna asili ya kukataa vya kwenu
Qaboos said wivu tu
Wewe acha roho chafu iyo sauti ni nzuri sana umezoeya nyimbo za kurukaruka na kelele uwezi ielewa hiii au pia ujui mahana ya maneno wacha tuu sautii imetuli kupita kiasi
Usichole jina lako kwenye ukuta wa nyumba ya Akon wala usiende chooni kupiga selfie maana nyie wabongo hamchelewi
haahhaahhhaaa kwa kweli huwa hatuchelewi
edward trigga acha ujinga ww unafikir ww uwez kupinga picha seemu iy mushamba ww
edward trigga acha ujinga ww unafikir ww uwez kupinga picha seemu iy mushamba ww
Edward trigga mmmmmmh wivu mbaya xana
kaza mwana
Hapa ndugu zetu hawajaanza kusema kuwa ametokea kule kwao mana wapo kama wakenya kwa ukabila na kila MTU akifanya vizuri ni wa kwao
simon daniel haha
i can do sooo much better with my singing in the shower....
We kijana nihatarii sauti km umezaliwa marecan nakupenda bureee
thanks Ayo