Chama hakutoka simba kwa hiyariyaviongozi usidanganye kaka chama kachoshwa na kukosa makombe lakini simba ilifanya uhayawani kwa morisson! Kula chuma hicho CHAMA MWANANCHI
Kwamba kila kocha aliyekuja alitaka kucheza kumzunguka yeye? Makocha wangapi walitaka aondoke mashabiki ndio waliosema kocha aingie kwenye mfumo wa chama kama chama haingii kwenye mfumo wake
Mmmh kwamba makocha mlikuwa mnawapangia?!... Sio kweli...timu inavyocheza, jinsi wachezaji wanapopewa majukumu fulani utabaini ni kwa sababu ya kumfanya mchezaji fulani awe huru kufanya kile anachotakiwa kufanya kwa uhuru...
@@SoccerData. nakumbuka Robertinho alimtoa sub mashabiki walipiga kelele, Chama akafanya kama kaenda room akarudi nahisi ilikuwa mind game. Kama sio zile kelele angekaa benchi sana. Robertinho alitaka speed na kukaba na Chama kuna watu waliweza kutoa hizo huduma kuliko yeye kwa wakati ule. Kulikuwa na kocha kabla ya Robertinho nasikia ndio alitaka aachwe kabisa ikawa mzozo na viongozi.
Simba wameamua kuanza upya na kuna gharama ambayo ni pamoja na kukubali maumivu, naamini simba watasimama tu all the best 🦁
Nashukuru umelifanyia kazi pendekezo langu la kumzungumzia claotus chota chama
Good kaka
Umeeleweka vizuri
Acha aende tu
Watakuja wengne
Sisi ni simba🎉🎉
Tunasubiri first 11 ya yanga usicheleweshe
Mbn we jamaa unaijadili yanga chama Tena unaiingiza na Simba hakika na wew umeumia kweli pole soka data
😅😅😅 eti jamaa analia kweli
mapenzi wazimu
Maigizo tu, Simba walishamchoka kw kweli.
Daha Chama Alikua ajulikani kabisa yani 😢😢
sasa mbona unalia kama sio mzuri
Mbona unalia!😂
Vi mtema mbn machozi tena
Chama hakutoka simba kwa hiyariyaviongozi usidanganye kaka chama kachoshwa na kukosa makombe lakini simba ilifanya uhayawani kwa morisson! Kula chuma hicho CHAMA MWANANCHI
Chambua wewe unaejua sokuingilia account yamtu Ku comment upuuz
@@Lameckmichael-h2m kama ingekuwa account ya watu angeiweka mfukoni,,,,,cheefu
@@khalifasaidi7001 Kwani umelazimishwa kuja Hulu?
Kwamba kila kocha aliyekuja alitaka kucheza kumzunguka yeye? Makocha wangapi walitaka aondoke mashabiki ndio waliosema kocha aingie kwenye mfumo wa chama kama chama haingii kwenye mfumo wake
Mmmh kwamba makocha mlikuwa mnawapangia?!... Sio kweli...timu inavyocheza, jinsi wachezaji wanapopewa majukumu fulani utabaini ni kwa sababu ya kumfanya mchezaji fulani awe huru kufanya kile anachotakiwa kufanya kwa uhuru...
@@SoccerData. nakumbuka Robertinho alimtoa sub mashabiki walipiga kelele, Chama akafanya kama kaenda room akarudi nahisi ilikuwa mind game. Kama sio zile kelele angekaa benchi sana. Robertinho alitaka speed na kukaba na Chama kuna watu waliweza kutoa hizo huduma kuliko yeye kwa wakati ule.
Kulikuwa na kocha kabla ya Robertinho nasikia ndio alitaka aachwe kabisa ikawa mzozo na viongozi.
Hapo kwenye kumkomoa mtani nadhani utopolo wanajiandalia anguko lao very soon
Na huyo CHAMA mwenyewe awe tayari kuporomoka...