USAJILI WA CHAMA YANGA: UNA 'MAANA KUU 7' | TAZAMA KWA UMAKINI VIDEO HII.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • Sport

Komentáře • 22

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 24 dny +5

    Simba wameamua kuanza upya na kuna gharama ambayo ni pamoja na kukubali maumivu, naamini simba watasimama tu all the best 🦁

  • @lucasngulugulu9074
    @lucasngulugulu9074 Před 24 dny +2

    Nashukuru umelifanyia kazi pendekezo langu la kumzungumzia claotus chota chama

  • @user-ol3tu5uo4b
    @user-ol3tu5uo4b Před 24 dny +3

    Good kaka

  • @abdulkadirnoorhassan4024
    @abdulkadirnoorhassan4024 Před 24 dny +2

    Umeeleweka vizuri

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 Před 24 dny +2

    Acha aende tu
    Watakuja wengne
    Sisi ni simba🎉🎉

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale4752 Před 24 dny +2

    Tunasubiri first 11 ya yanga usicheleweshe

  • @Ibrahim-vo1sn
    @Ibrahim-vo1sn Před 24 dny +1

    Mbn we jamaa unaijadili yanga chama Tena unaiingiza na Simba hakika na wew umeumia kweli pole soka data

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 24 dny +2

    😅😅😅 eti jamaa analia kweli
    mapenzi wazimu

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 Před 23 dny

      Maigizo tu, Simba walishamchoka kw kweli.

  • @yusuphkilipa5606
    @yusuphkilipa5606 Před 24 dny +1

    Daha Chama Alikua ajulikani kabisa yani 😢😢

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před 11 dny

    sasa mbona unalia kama sio mzuri

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 Před 23 dny

    Mbona unalia!😂

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg Před 24 dny +1

    Vi mtema mbn machozi tena

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 Před 24 dny +2

    Chama hakutoka simba kwa hiyariyaviongozi usidanganye kaka chama kachoshwa na kukosa makombe lakini simba ilifanya uhayawani kwa morisson! Kula chuma hicho CHAMA MWANANCHI

    • @Lameckmichael-h2m
      @Lameckmichael-h2m Před 24 dny

      Chambua wewe unaejua sokuingilia account yamtu Ku comment upuuz

    • @khalifasaidi7001
      @khalifasaidi7001 Před 24 dny

      @@Lameckmichael-h2m kama ingekuwa account ya watu angeiweka mfukoni,,,,,cheefu

    • @Lameckmichael-h2m
      @Lameckmichael-h2m Před 24 dny

      @@khalifasaidi7001 Kwani umelazimishwa kuja Hulu?

  • @TheMrisho
    @TheMrisho Před 22 dny +1

    Kwamba kila kocha aliyekuja alitaka kucheza kumzunguka yeye? Makocha wangapi walitaka aondoke mashabiki ndio waliosema kocha aingie kwenye mfumo wa chama kama chama haingii kwenye mfumo wake

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  Před 22 dny

      Mmmh kwamba makocha mlikuwa mnawapangia?!... Sio kweli...timu inavyocheza, jinsi wachezaji wanapopewa majukumu fulani utabaini ni kwa sababu ya kumfanya mchezaji fulani awe huru kufanya kile anachotakiwa kufanya kwa uhuru...

    • @TheMrisho
      @TheMrisho Před 22 dny

      @@SoccerData. nakumbuka Robertinho alimtoa sub mashabiki walipiga kelele, Chama akafanya kama kaenda room akarudi nahisi ilikuwa mind game. Kama sio zile kelele angekaa benchi sana. Robertinho alitaka speed na kukaba na Chama kuna watu waliweza kutoa hizo huduma kuliko yeye kwa wakati ule.
      Kulikuwa na kocha kabla ya Robertinho nasikia ndio alitaka aachwe kabisa ikawa mzozo na viongozi.

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 24 dny +2

    Hapo kwenye kumkomoa mtani nadhani utopolo wanajiandalia anguko lao very soon

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 Před 23 dny

      Na huyo CHAMA mwenyewe awe tayari kuporomoka...