aisee hii ngoma bado ipo?? mara ya wisho nimeishuhudia mwaka 1995 wakati wa kmoeni za uchaguzi pale manyovu Munanila kijiji cha mkatanga. enzi za kampeni za mgombea wa ccm MPOROGOMWI na badae mwaka 2000 kampeni za udiwani kata ya Munanila kwa KABUYE.
Nani anaangalia 2020 sisi waha WA kigoma manyovu nyaruboza
Hadi Raha napenda sana
💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤️💓💓💞💞💓💓💓💓🤭🤭🤭🤭😋😋😋😋😋🙆🙆🙆🙆kwetuuu kigomaaaaa karibuniii wageniiii
Ukisikia nyumbani kutamu basi utamu wenyewe ndio huu❤❤❤❤❤
Saf sna yasin na kikund chako,mnalinda heshima ya kigoma
kigoma leka dutigite wishavu ameneke
Mapigo saba mko juu! Mnatisha! Hongereni sana.
Kigoma oyeeeee yaan nimependa Sana yaan adi kupiga makof Kuna staili yake aisee nimependa sans
Kamazali wahatuko juu Sana 🙏🙏🙏🙏
Wene data mulimoooo...!! Kigoma juuu
kigma noma sana nanivunia kuwa MWANA kgomaaa
Is so nice Dance, Haki nimeipenda sanaaa love you my African people's with all my heart from Kenya 🇰🇪 ♥️ ❤
mlakoze bhatama
Hii ngoma nikioa naikodi
❤kigoma🇹🇿
nomaaa
Nanipa rahaa sana waha wenzangu hongeren sana kukuendeleza utamaduni wetu waasli
Ulimwengu kweli tumejaa khaaa!!!hongera ndugu zetu
kabisaaa
aaah mnanipalaha sana waha wezangu mchezakwao hutuzwa japo nipo ugaibuni nikiona vyimvohizi nahiciniko kigoma gungu
mapigo saba hakuna mpinzan mwingine! nawakubarivsana.
Ulakozeee
Nakumbuye muhila bhadayimwe
Gamba kigoma gambaaaa
mapigo saba mulahakindagila yene neza gaa!!
Kigoma ni malimba na kupiga makofi na kuimba sio gita , ila mmenikumbusha mbali sana , ongezeni kasi jia ipo.
Ipo pw nanikumbusha mbali sana
❤❤❤
Bhulakeye shahu
Inkigoma oyee
Abhatama mliho
hivi yiya Ndilimbo yitwa Ikidoli doli kumtima yilonkekana gute
Mlakoze chane
Turihoo
aisee hii ngoma bado ipo?? mara ya wisho nimeishuhudia mwaka 1995 wakati wa kmoeni za uchaguzi pale manyovu Munanila kijiji cha mkatanga. enzi za kampeni za mgombea wa ccm MPOROGOMWI na badae mwaka 2000 kampeni za udiwani kata ya Munanila kwa KABUYE.
Good good kigoma mlakoze chane
Naomba nambazenu za cm
ntaagahinda mwenewachu yassin wirubuga
Halakeye bhene wachu
Nimefurahi sana
WAZEE WANGU MMETISHA SANA.
Kigoma on time
enzi za muheshmiwa kaburu wap bugamba na mwamgongo
muhezagiwe
Eeeehh! Wachuuu; bhulahiyee eehe mugaa!
Hahahahaha nimepams san nyumbn
Tunao angalia Leo baada ya mpango kuwa makam wa rais tar 30 Mach 2021
Ni noumah kwel Kigoma sio mchezo!
nikiona NYimbo za kiha ndashima chane ziladyoshe chane mubarikiwe mapigo saba
ngomba ibelela nayo ya bhamagwa
Justine Juliusnamaki see chambu
mlakoze
Hungurumaa uhuu
Nyimbozenu nazipenda
Safi sana vijana kg
Nintye nyene
VANESSA MWAGAMA mlakoze bhakaka
Kolekole
hongeleni busambele
Amaholo
home ni gungu kabisa enzi hizo mbunge dk kaborou dahh... hadi nataka kulia
Ata hii siobidaaa
Kgm yete
Abhatama na Magolegole; ndabhahaye Mwakeye; Safi sana Mapigo saba; nikija TZ lazima nionyeshe solidarity nanyi
Ni sheeeda
na maholo chanecahane
Mlabheleza chane mapigo saba
Mlabhereje chane
Kigoma ni malimba na kupiga makofi na kuimba sio gita , ila mmenikumbusha mbali sana , ongezeni kasi jia ipo.